Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh
@stellashao78853 ай бұрын
Daa mm kila nkiingia KZfaq 🙌
@SaedyNganur-he8bc3 ай бұрын
Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli
@levisdeicon50732 ай бұрын
Mi simba lkn all kamwe napenda story zake
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊
@kingkendrickk2 ай бұрын
Kabisa
@getrudamunna3 ай бұрын
Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema. Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe
@ZawadiNyambulapi-lk1np3 ай бұрын
Aly MUNGU akubariki sana
@justinejackson17312 ай бұрын
Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏
@NaseebMshuza3 ай бұрын
Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku
@user-cv4yi5hz9b3 ай бұрын
Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️
@rajabually53723 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-cv4yi5hz9b3 ай бұрын
@@rajabually5372 🤣🤣🤣🥷🥷☝️🔝✅
@emmanuellupiga2 ай бұрын
👆
@Saidi-ic7um2 ай бұрын
Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa
@hk_ballers3 ай бұрын
Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽
@khalidhamka95673 ай бұрын
Sema ally kamwe anajua kuongea sana
@machakuroger70683 ай бұрын
Watoto wa Mbagala hao
@stn48733 ай бұрын
Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.
@joycekija62453 ай бұрын
😅😅😅😅😂😂😂
@emmanuelmhagama23842 ай бұрын
😂😂😂😂
@gudimbwana80883 ай бұрын
KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi
@bigjizee41303 ай бұрын
Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu
@yasirsaid8464Ай бұрын
MAA SHAA ALAH ALLAH Ambariki Ali kamwe he's bright man
@Samsonmajula18 күн бұрын
Bro unajua adi Ayo anataka uongee tu, he is speechless
@benjaminmpangala26112 ай бұрын
"Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii
@paulnyingo73163 ай бұрын
Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro
@binwasiumbanga92563 ай бұрын
Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe
@ChenchiKing3 ай бұрын
Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙
@Cherehani_Tanzania5 күн бұрын
Yaani namna unavochambua stori yako tu inatosha kukuamini🎉
@Bashirubakarisalala3 ай бұрын
Mwanafunzi wa Ahmed ally
@anithqpaul39233 ай бұрын
Yahani Ally❤❤❤❤❤
@nuruelmada28773 ай бұрын
Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛
@mussansoleziplutnumz20973 ай бұрын
Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji
@theheroesmusic43982 ай бұрын
Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸
@HassanRamadhan-cv8de3 ай бұрын
Dah nimeipenda hii😂❤
@cryptoboy_53 ай бұрын
hii kichwa hii
@hamisikambona87633 ай бұрын
Ally kamwe anajua sana
@user-gc6ml8ec3k3 ай бұрын
Ndo maana movies zetu hazitoboi
@OdriaKabati3 ай бұрын
Kaka Ali mm nakukubari sana
@faridhamad36782 ай бұрын
Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri
@ngoyaboy15903 ай бұрын
Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto
@abdullyjadu77232 ай бұрын
Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx
@user-uk4os3zj6f2 ай бұрын
Amin me mwenyewe namwona mdog
@suleimanbalemba33483 ай бұрын
Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata
@titorichard51402 күн бұрын
Ally anaupeo mkubwa sana
@husseinkadawa28462 ай бұрын
Ally Mungu mungu akubariki sana.
@francepaul77113 ай бұрын
R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌
@idrismghamba64393 ай бұрын
Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪
@machakuroger70683 ай бұрын
Mbagala moja hiyo
@HappyJohn-jo8im2 ай бұрын
Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu
@judithtitomalyeta40003 ай бұрын
Ally hachoshi story zake
@TatuHusseni-hs7mu3 ай бұрын
Ally huwa nampenda bule
@linnerphilip42603 ай бұрын
Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn
@charlestobby60313 ай бұрын
Kazoea kuapia shida iko wapi apo ndug😅
@yohanadwac74973 ай бұрын
Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌
@wazarendotv79663 ай бұрын
😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa
@judithtitomalyeta40003 ай бұрын
Kichwa Cha ally safi sana
@franciskavyega2802 ай бұрын
Natafuta movie ya AISHA😅😅😅
@paulPius-uk9rq3 ай бұрын
Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza
@plustzafromusic49082 ай бұрын
Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote
@meshackdauda43152 ай бұрын
Mbona ilishafanyika SAANA HIYO
@MtessaAlly-rd4hf3 ай бұрын
Kamwe kama kamwe... Semaji lao
@QueenMushi3 ай бұрын
Duh! Kweli millage ni baba lao
@valleluoga62582 ай бұрын
Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake
@abdylugete20562 ай бұрын
Sema unatupanga kka
@mswaki_newstz2 ай бұрын
Congratulation brother 🎉
@piusnkwale3 ай бұрын
Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊
@departmentofpolicyplanning81842 ай бұрын
Namkubali sana
@happymboma35673 ай бұрын
Ally utafika mbali
@AminaLucas2 ай бұрын
So fun na raha
@wonderkid14.2 ай бұрын
Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana
@ifraimifraimuhusen2822 ай бұрын
Frida naona kadata & ALLY
@sangotelleming74443 ай бұрын
Ayo namkubali sana uyu mdada frida
@djumakonki19643 ай бұрын
Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .
@antyigasper28502 ай бұрын
Ila Ally😂😂 nakupend bure mm
@user-vf5gs7ik7w2 ай бұрын
Wapi chuo champira???
@allyngimba4302 ай бұрын
my rolmodel
@user-xh9ow7jl4m2 ай бұрын
Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam
@farlykunga85993 ай бұрын
Mtu wa History san..😂..kichwa
@attanasleones-wn5qs2 ай бұрын
Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba
@mathiasmhangilwa1953 ай бұрын
Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali
@Nyamko-christmas3 ай бұрын
Watu wanatoka mbali
@meshackdauda43152 ай бұрын
Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa
@user-lf1bd4vj9c2 ай бұрын
Ally
@AlexMosha-ci5uq2 ай бұрын
😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY
@kidawajuma95973 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@LatifaOmary-zo1un2 ай бұрын
Ila ally😂😂😂😂
@khamoshmikidadi6183 ай бұрын
Dah nampend uyu kaka atar
@FredMaulid2 ай бұрын
Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.