RAIS SAMIA ALIVYOMUITA MBELE MDOGO WAKE IKULU, "EBU NJOO HUKU, HUYU NI MDOGO WANGU KABISA"

  Рет қаралды 338,819

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 146
@wazirally1791
@wazirally1791 Жыл бұрын
Miladi miladi ulishindwa kumrekodi kwa upande wa muonekano???? legend mnanielewa
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 2 жыл бұрын
Basi ashauriwe asifate mkumbo ajistiri kwani tukumbuke kuna maisha baada ya haya na ndio khatar sana huko
@jacksonpallangyo1369
@jacksonpallangyo1369 Жыл бұрын
Kwani yupo uchi wee vp?
@khalfanikimanta6663
@khalfanikimanta6663 Жыл бұрын
​@@jacksonpallangyo1369 Ndugu ifanye akili yako ni nyenye kufikiri jambo hilo kalizungumza @shaame ni kwa kuzingatia familia anayo ishi na kutoka huyo dada ake umemuona yuko kichwa wazi? Kisha nakufahamisha katika uislamu UCHI wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja vyake
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 2 жыл бұрын
Safi sana mhe Rais wangu/wetu.Ucheshi wako unatufanya nasi tufurahi.Ninakuombea sana mama siku zote.Inshallah
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 Жыл бұрын
Rais wetu tuna kupenda sanaaaaqaa
@habibndyeshobora6848
@habibndyeshobora6848 Жыл бұрын
Mlilelewa vizuri saana ki maadili , EXCELLENT!!!! M/ MUNGU AWASIMAMIE ZAIDI!!!!
@alloycejames5285
@alloycejames5285 2 ай бұрын
Hehe... mamangu. Asante sana mamangu. Je ameolewa? Nauliza tu...😊
@fallymetoo191
@fallymetoo191 2 жыл бұрын
Waaw!! So nice 👏👏👏🇧🇪🇧🇪🇧🇪
@fatumamtukane44
@fatumamtukane44 Жыл бұрын
Mashallah mbona watu mnateseka
@iddikimia4951
@iddikimia4951 2 жыл бұрын
Safi sana Mama
@minnadaffa6453
@minnadaffa6453 2 жыл бұрын
Congrats ladies .women are always able ,no fear
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
RAHA kweli kweli. FAMILIA ikiwa na wenye VIPAJI viingi VIZURI KTK jamii yao. Ashukuriwe MUNGU kwa kweli.
@farajajosephat6022
@farajajosephat6022 2 жыл бұрын
Vipaji!???
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 жыл бұрын
Vipaji kwenye familia za viongoz kasikilize wimbo wa twenty percent 20% naficha harafu njoo mtaani uone sefuria zinavyo toboka kwa kukwanguliwa ukoko.
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hongeraaa team manager
@tengestenges8028
@tengestenges8028 Жыл бұрын
Mimi pia mdogo wako kabisa.ila nasota kweli kweli
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@maskthegreet8400
@maskthegreet8400 Жыл бұрын
Ccm kitanda naijuaga damu yako mamasamia uwa unapendaga sana kuweka dore juu ukishusha dore mezainajisafisha yenyewe✋🧧nimeanza kuukubari ufaamu wako💙❤️😁
@SavaniLaboratory
@SavaniLaboratory Жыл бұрын
This is what we call in Kenya corruption/state cupture
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 2 жыл бұрын
Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe zenye kukatika.
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Asante
@tuliahamidu2573
@tuliahamidu2573 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@cutelady7410
@cutelady7410 Жыл бұрын
Kweli kabisa yani dada mpira tu umemvua hijab dadake amekua hadi raisi lakin bado hijab ipo kichwan
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 Жыл бұрын
Allah atujaliye tuwe wenye kumuhofu
@nassorseif7907
@nassorseif7907 2 жыл бұрын
Mpe ushauri avae km wewe dunia ya kupita tuu
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 жыл бұрын
Wapumbavu mko wengi
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
@@franklinassey6600 Hahahaa aisee... wengi mno! Anaacha kufanya kazi anataka pesa za BURE!
@marygregory7566
@marygregory7566 2 жыл бұрын
Mnajali sana miili kuliko roho zenu, Jichunguzeni na matendo yenu
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 2 жыл бұрын
@@marygregory7566 Ukisha vaa ovyo hayo ni matendo mabaya usisitete ujinga
@marygregory7566
@marygregory7566 2 жыл бұрын
@@hamzaswaibu9470 jiulize wewe una dhambi ngapi, sio kila wakati kukosoa wenzio
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg Ай бұрын
Mbona kama Mtanganqyika kichwa hajafunika, na wazanzibar wengi hufunika nyele zao jamani
@lanlady2504
@lanlady2504 2 жыл бұрын
Kumbeee!
@sirajanimunira9424
@sirajanimunira9424 2 жыл бұрын
Eeee
@fadhilhimid2776
@fadhilhimid2776 Жыл бұрын
Well done
@estermachea3373
@estermachea3373 Жыл бұрын
Safi Sanaa mama hongera kwahilo
@prosperkullaya6721
@prosperkullaya6721 Жыл бұрын
Mama mcheshi sana
@johngerrald4453
@johngerrald4453 Жыл бұрын
Mashalaaaah ana kitu atafika mbali hebu nipe namba yake
@mussaharun7257
@mussaharun7257 Жыл бұрын
Kwann hajafunika kichwa
@berthajohn8840
@berthajohn8840 2 жыл бұрын
Chezea mdogo wake ww
@georgenyoni9879
@georgenyoni9879 Жыл бұрын
Msimu ajaficha kichwa ,kwa mwanamke wa kizanzibar hii ni adimu sana
@mosalim871
@mosalim871 Жыл бұрын
ila hajavaa ushungi Kma ww
@salminasalim5630
@salminasalim5630 Жыл бұрын
Kwani yeye ndio anafundisha mbona hivyo hapana wanaocheza ni wote sema unawapongeza wote sio huyo tu jamani utawakatisha tamaa wengine
@mezddimosso3318
@mezddimosso3318 Жыл бұрын
Sisi na mama
@muhammadfadhil9442
@muhammadfadhil9442 Жыл бұрын
Na mimi namuona alivyovurugika maa nywele ipo wima na haitaki kufunikwa.
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 жыл бұрын
Sisi wengine na familia zetu ndiyo tutakula jeuri yetu siyo
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
hahahah
@gracelee61
@gracelee61 2 жыл бұрын
😅
@hamiyhamadi2613
@hamiyhamadi2613 Жыл бұрын
Hahahahaahha
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
Kila familia Ina mchango kwa Taifa... Eneo gani hapo ndio tunakotofautiana. Kuna wachezaji, wachekeshaji, waalimu, madaktari, manesi, dereva, injinia, makasisi, majeshi, wachungaji, wakulima, Wafugaji, wavuvi nk. Labda kwa nadra sana familia nzima iwe ya majanga Kama wezi, majambazi nk
@herimallya3385
@herimallya3385 Жыл бұрын
angekuwa ni Magufuli,, angeng'aka fatuma,,"Sukuma Gang"!
@berusarga2897
@berusarga2897 Жыл бұрын
Mama samia me mkwe kwenu sasa utanisaidia mahari lakin
@emmanuelymwaja7318
@emmanuelymwaja7318 Жыл бұрын
VIP kwan ameolewa huyo? Ili niwe shemeji yake Mh.Presdent🤪🤪
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Жыл бұрын
Samia miaka 10 tena
@SamweliFelix-ij2pc
@SamweliFelix-ij2pc 6 ай бұрын
Mama naomba unisaidie unipeleke studio
@godfreymwenesho1770
@godfreymwenesho1770 8 ай бұрын
Nawezaje kupata mawasiliano ya ikulu au namba ya Rais DK Samia
@gracerishandumilema278
@gracerishandumilema278 3 ай бұрын
Mimi mwenyewe natamni nionane na mama Samia,ila sijui nafanyaje,mungu tusaidie
@machaggechacha243
@machaggechacha243 9 ай бұрын
Mwarabu.
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 2 жыл бұрын
Ushamba tu
@alikidungura9419
@alikidungura9419 Жыл бұрын
Ayo manyele
@momo21
@momo21 Жыл бұрын
Wa Tz from kenya ❤'mdogo wangu 'inamaanisha nini ,I've been wondering .someone please nielimishe
@Kandege
@Kandege Жыл бұрын
Means my sibling.
@momo21
@momo21 Жыл бұрын
@@Kandege humbled G
@alisaleh2507
@alisaleh2507 2 жыл бұрын
MAMA MM NAKUKUMBUSHA TU, HUYO MDOGO WAKO UNAEFURAINAE LEO ANAWEZA KUKUGHARIMU SIKU YA HUKUMU, INAKUAJE.MTOTO WA KIISLAMU ANATEMBEA KICHWA WAZI NA WW UNAMPONGEZA, NAKUKBUSHA TU MAMA, ANGALIA SANA.KUNA MAISHA BAADA YA KIFO
@mtwamkulu7319
@mtwamkulu7319 Жыл бұрын
Ameolewa?
@marlonstudios4408
@marlonstudios4408 Жыл бұрын
Itabidi nimuoe
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 жыл бұрын
Vipaji kwenye familia za viongozi kasikilize wimbo wa twenty percent 20% naficha harafu njoo mtaani uone sefuria zinavyo toboka kwa kukwanguliwa ukoko!!
@muniraame1535
@muniraame1535 2 жыл бұрын
Jamani hata kuvaa mtandio basi jihifadhi ww mwanamke was kiislamu unatutia aibu wa kwetu
@fridageorge2809
@fridageorge2809 2 жыл бұрын
Kwahiyo huo mpira atacheza na mtandio!!?
@ayushsaeed1051
@ayushsaeed1051 2 жыл бұрын
Mwambie ajistiri
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf 2 жыл бұрын
Mshauri avae shungi basi
@selamanngasa8200
@selamanngasa8200 2 жыл бұрын
Kaolewa maana, nikalembo kwr
@allygibu7003
@allygibu7003 2 жыл бұрын
@@selamanngasa8200 itabidi tuulizie Kama hakajaolewa tuoe
@eliashibundabalinze2217
@eliashibundabalinze2217 2 жыл бұрын
Shungi ni nje tu ndugu, vipi kuhusu usafi wa roho zenu zikoje?
@suleimanjuly1396
@suleimanjuly1396 2 жыл бұрын
@@eliashibundabalinze2217 stara ni moja wapo ya kupunguza maovu wew acha kujisemesha na ndio maana vitabu vyote vya dini vinasema hakuna alie kamilika isipokua mungu na katika dini yetu stara kwa mwanamke ni mhimu kuliko kitu chochote sijui huko kwenu
@eliashibundabalinze2217
@eliashibundabalinze2217 2 жыл бұрын
@@suleimanjuly1396 kwetu sisi usafi wa roho zetu ni bora kuliko kitu chochote, maana Mungu ni Roho nao wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Vipi kwa makabila yasiyovaa nguo yanavaa majani au ngozi tu tena wanafunika mbele na nyuma tu hawana stara?
@ismailjuma3692
@ismailjuma3692 2 жыл бұрын
Eeeeeee viumbe muogopeni Allah miongoni mwa njia za kumuogopa Allah ni stara.
@khamisabduuqataadah8488
@khamisabduuqataadah8488 2 жыл бұрын
Kama ni Mdogo wake kweli kwanini stara hana na yeye rais yu na stara?
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
Stara uwanjani? Atachezaje mpira na majuba?
@khamisabduuqataadah8488
@khamisabduuqataadah8488 2 жыл бұрын
@@salmahalfani6307 hapo alipomwita alikuwa uwanjani? Unaamua kuasi kisa nini?
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa 2 жыл бұрын
Kiujumla michezo ya mpira ni ushetani, haipo katika biblia wala quruan tukufu.
@khamisabduuqataadah8488
@khamisabduuqataadah8488 2 жыл бұрын
@@HelbethMlelwa Shukrani Sana ndugu mie nawashangaa Sana hawa akina Mama.
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 жыл бұрын
@@HelbethMlelwa point sana mimi kama mimi sitakuja ruhusu binti yangu ajiingize kwenye mambo kama ayo na akikaidi atafute pakwenda
@petercostakisoka
@petercostakisoka 2 жыл бұрын
Daah kwelii imekaa powah sana
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
Maji hakishamwagika hayazoleki
@jumamussantuiche8942
@jumamussantuiche8942 2 жыл бұрын
Sasa fundi mabomba wanini, ikiwa kauli yako sahihi.
@musamsangi774
@musamsangi774 2 жыл бұрын
Duh!! Mrembo kweli kama hajolewa naomba uchumba
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 жыл бұрын
Utaonekana unataka hela we kausha tu
@matildaandrew5290
@matildaandrew5290 2 жыл бұрын
Mbn ana pete jaman..she is taken
@prosperkullaya6721
@prosperkullaya6721 Жыл бұрын
Nimesha muwahi lol
@blackpanther4825
@blackpanther4825 Жыл бұрын
@@kennywilliam2466 😅😅😅😅
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
Undugu kufaana
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Hayo ndo alikataa Baba mangu mambo ya ndugu ndugu hakutaka.misifa tu misifa
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 Жыл бұрын
Wivu nenda nawe kacheze malalamiko ya mshindwaji hayo
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 Жыл бұрын
Acha makasiriko pambana na hali yako
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Wivu tuuuu
@lilykarim8968
@lilykarim8968 Жыл бұрын
Mbona hafanani na mwinyi
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 Жыл бұрын
😂😂
@saidsalum9587
@saidsalum9587 2 жыл бұрын
Km ni mimi kwa jamii ninayotokea nicingemkataa kama ni ndugu yngu ila nicingejivunia kwa yy kutembea kichwa wazi wakt ni muislmu kbsa
@ednaJF1028
@ednaJF1028 2 жыл бұрын
Mambo ya kuonyeshana hayo magufuli hakuwa nayo kabisa.he was very simple man I will always remember you Baba ❤️
@muddyville
@muddyville 2 жыл бұрын
Sijui huwa mnavutaga bangi au nini, mbona hata huyo uliyemtaja alikuwa anawasimamisha watu? Hukumbuki wakati anahutubia kuhusu yule Mtoto wa Dada yake aliyegombea Jimbo la kawe alimwambia asimame? Daaah
@mkude
@mkude 2 жыл бұрын
Acha chuki wewe kwahiyo kama mh Magufuli alikuwa na tabia flani unataka na huyu mama awe na tabia hiyo hiyo,buree kabisaa wewe,
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 жыл бұрын
Raisi anawapongeza vijana kwa mafanikio na kuwapa support,ni jambo njema kwa mkuu wa nchi ,hakuna dhambi kumtaja mdogo wake ,its not a show off stuff, just appreciating her young sister
@ghost8641
@ghost8641 2 жыл бұрын
​@@muddyville sio bangi tu wanavuta unga kabisa hawa watu ni wale wenye roho za kwanini mwanammke Rais that's why they are still bitter sour losers
@mudighurayra
@mudighurayra 2 жыл бұрын
Hufatilii ulikua unafata mkumbo 2
@ayoebi7666
@ayoebi7666 Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 Brushed political sexs .
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
MSIMU NAKUPENDA SANA
@lazaromaria5334
@lazaromaria5334 2 жыл бұрын
duuhh nakubal mwanangu 😂😂😂
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
@@lazaromaria5334 Hahhha nipe number zako Kaak
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 жыл бұрын
Wabongo kwa fursa tupo makini saaaana Said weka jitihada upate chombo
@trayoversion
@trayoversion 2 жыл бұрын
Umeniwahi nilitaka niseme hivyo
@user-kr2qr8vx1x
@user-kr2qr8vx1x 2 ай бұрын
Msimu nakupenda mwanangu...mungu akupe hekima kama ya mweshimiwa dada ambae kwangu mweshimiwa mama...nakuomba mwanangu niombee Kwa dada Nina mkwe wangu anae tarania kuwa mwanangu amsaidie kazi naomba sana sana nashindwa kumfikia mweshimiwa rais..Kwa uwezo wa mungu kupitia kwako akate nde naamini mungu ni mwaminifu..hili anisaidie naomba mwanangu nibembelezee Kwa mweshimiwa dada...Sina kazi nauguza baba.mungu akubariki ktk yote nakupenda mwanangu.
UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR
6:42
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 713 М.
IKULU DSM: UAPISHO WA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN KUWA RAIS WA TANZANIA
25:18
Ijue familia ya Rais Samia Suluhu -mume, watoto na historia yake
13:38
Zanzibar Kamili TV
Рет қаралды 948 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 584 М.