Hongera Jackline halafu uko humble sana.wewe ni mtaalamu na moyo wa unyenyekevu.Mungu akusaidie mama
@genovevatarimo39822 жыл бұрын
MUNGU AMBARIKI HUYU DADA MTOTO...NIMESALI NAE LIFT HIM UP CHURCH ARUSHA
@angeljasson43763 жыл бұрын
Ni kwel nimeona parachichi la tanzania huku Dubai nilifurahi sana
@aminatundondege93843 жыл бұрын
Hongereni sana ni habari njema mno!Tanzania tuna bidhaa nzuri za mazao mengi ya chakula,ningeshauri kwa upande wa matunda na mbogamboga, exporters wawe wengi hapa nchini na kuwe na vitengo maalum eneo la bandari,airport,na maeneo yote ya mipaka ya nchi yetu,lengo ni branding ya bidhaa zetu,nina imani uchumi au kipato kwa wakulima kitazidi kuongezeka na hivyo kufanya hamasa kubwa kwa wakulima wengine ambao wao hufanya kilimo cha kujikimu tu.
@jameskileo52923 жыл бұрын
huyu dada nampataje
@jameskileo52923 жыл бұрын
hajataja namba za simu tuone jinsi gani tutapenya kwenye hiyo biashara
@kennedymboma82683 жыл бұрын
Itakuwa la kyelahuko
@temuemanuel46713 жыл бұрын
Safi sana ila ninyi wataalamu endeleeni kuwahimiza wakulima ili zao letu litawale soko la dunia. Uwezo huo tunao kama tukitanguliza utu na uzalendo mbele
@tonywilliams88193 жыл бұрын
Contact please!Hiyo ni good news
@vailetaron57173 жыл бұрын
Good
@kikombotv96153 жыл бұрын
Boss wetu
@saidjuma97823 жыл бұрын
Ile Tanzania ya Viwanda Bwana Mashauzi alihaidi iko wapi??