Unapokataza Kuuza Bangi Anza Na Mkulima Watu Wanakula Hela Za Uma Mabilioni Lakini Mnawapigia Na Salute Jamani Hiiii Nchi Ngumu Sanaaaah
@mussarashid221619 күн бұрын
Punguza Sauti maana WATASIKIA
@marandoruzali194619 күн бұрын
Ni kweli kabisa mafisadi mnawaacha wanaopora nchi lakini mnadili na watu wa chini kwa kutafuta majina ya kazi zenu
@albertmichael401419 күн бұрын
Et amekosa Mambo ya kufanya et anaenda kukamata makahaba, asilimia 90 ya nchi zote wanachangamoto hyo sembuse tz hajafanya hata research akiamka tu anaenda kukamata makahaba
@user-ui1qs9yl1n19 күн бұрын
@@marandoruzali1946 wanatafuta kiki za kipumbavu
@user-ej5ir5pu7r19 күн бұрын
Kwahiyo ulitaka wale mawe
@omarimpogo689519 күн бұрын
Sas kosa Lao ni nini..!? Munaacha kukamata wala rushwa mnaenda kukamata watu waliojipumzikia zao kwny Nyumba za wageni!!!! Hii si saw
@user-ye4iy8jy2z19 күн бұрын
Kwaio unataka kusema zinaa iruhusiwe tena na unajina la omari kabisa hivi kama ndugu yako anafanya hivo utakubali au unasema kwasababu huna ndugu hapo
@ramadhanimtetu365619 күн бұрын
Kosa lao wanazingua wanajiuza ni kinyume na sheria za Nchi yetu
@MuhammadHassan-xp6dc19 күн бұрын
du si mchezo yani mpaka sasa bado haujafahamu kosa Lao!
@user-jc8el6je5e19 күн бұрын
Punguza ushabki kwenye Mambo ya msingi
@danielmbugi173319 күн бұрын
Ulisha wai fiki ilo eneo ukaona walivyo.uchiii
@clintonarnold629119 күн бұрын
Mi nafikili ni sawa kukamata wale ambao Unawakuta kabsa balabalani wanajiuza lakn sio saw kwenda Gest kushka watu...Mawazo yangu🌄
@nicodemaskapinga-em9pt19 күн бұрын
Upo sahihi sana
@josephmbuya986019 күн бұрын
Upo sahihi
@Alexismadimo19 күн бұрын
Ni kweli lakini ni sabbu vibali havifwati Wangekuwa wanafata wangeepuka yote haya
@FrankChalula-hz6dn18 күн бұрын
Hapo shida ni ya mwenye guest na sio aliyelala ndani
@user-tk8de2pl4j18 күн бұрын
Nimeumia sana sijapenda
@user-uk3gu2fp2w19 күн бұрын
Wewe naye umekosa kazi unashidwa kero zawanaichi unafanya kazi ambayo siyo sahihi
@MuhammadHassan-xp6dc19 күн бұрын
hiyo pia nikero,kazi sahihi ni ipi kama hiyo siyo sahihi?
@VictorLyimo-so9xr19 күн бұрын
Mfano gani unatuonesha tuonyeshe maendeleo
@Mumewangu19 күн бұрын
Unapenda uzinifu wewe?
@mussarashid221619 күн бұрын
@@MuhammadHassan-xp6dcSasa kero kuingilia UHURU wa MTU
@iddiali805718 күн бұрын
Mkuu huna KOSA. Huna makosa, chapa kazi
@beratsanoo577814 күн бұрын
Kama wewe mwanaume Kweli na unajifanya unachukia sana dhambi nenda kapambane na wanaume wenzako unaowapigia salute kila siku na ni wezi wa pesa za umma,Unakuja kuvimba kwa hawa dagaa,Unautani sana wewe jamaa.
@TABAKICOMEDY897218 күн бұрын
Mkuu unafanya kazi nzuri sana hongera sema kuna mambo mengi na muhimu zaidi kuliko hili mfano barabara ya ubungo mpk buguruni tunateseka tunakaa kwenye foleni kwanzia saa 6 jion mpk saa mbili tupo kwenye foleni kwa ajili ya maroli kuwa mengi sana ebu anagalia vitu vya msingi zaidi hongera kwa kazi nzuri
@lawrenceleonard200716 күн бұрын
Subiri tu barabara zitakuja tu taraatibu tu tunaanza
@user-tq9bn4my7v16 күн бұрын
@@lawrenceleonard2007 Kinondoni nayo ifanye hii operation hebu njoo eneo la Boko Basihaya ni shida kwa kelele na changu doa.
@EstherAndrea-ho3xe12 күн бұрын
Ata luwaha wapo wengi xan
@modricseif101818 күн бұрын
DC well done, kazi nzur but hao wote uliowakamata warikodi majina yao kisha hakikisha unawapa mtaji wa kueleweka au kazi za kueleweka kuepukana na umaskini, utakua umetisha ssana💪 👏
@user-xc5tv9dl5k19 күн бұрын
Huyu Dc hafai kuwa kiongozi ipo siku atakuja kufukuswa kazi ww endelea.anashindwa kufanya kazi za maana unakuja kuhangaika na watu wazima.pili unasema wakafanye kazi hiyo kazi umewatafutia.ww Dc hata mshahara hunauwezo wa kuwalipa
@justardzelphine652619 күн бұрын
DC inawezekana hana kazi ya kufanya
@wilbertkemeli886919 күн бұрын
Yuko sahihi watoto wadogo wanoishi mazingira hayo wanajifunza nn! Isitoshe hata watu wazima wanaoishi maeneo yale inakua kelo kwao maana mazingira yao yanayowazunguka yanakua sio ya maadili
@andrewmuya721219 күн бұрын
Kwa nini asipambane na vibaka wanazuri watu usiku
@leokamil628419 күн бұрын
Masifa tu huyo jamaa fala sana, akawape mishahara yake ili iwe mtaji .Ati anawaambia wenye bar wawadhibiti wadada nje ya bar kwani huo ni wajibu wao kukagua wateja huyo ni mjinga kweli. Afunge hizo biashara alafu kodi alipe yeye
@user-yb1ut1yo8u19 күн бұрын
Kweli shida ana taka kuonekana ana fanya kazi 😅😅😅😅
@user-xh9cf9rn5q19 күн бұрын
Mkuu acha waendelee na maisha yao hakuna jipya hapo.
@sangajaffar741918 күн бұрын
KWA KWELI HIYO KAZI IMEANZA HAJAZALIWA NA YEYE BALEE ALIPONEA HUMO HUMO
@Allybinamour19 күн бұрын
well done DC allah akutie nguvu katika zaid katika majukumu yako.
@EmmanuelChrispin-bo5xh18 күн бұрын
Kwel mungu amlinde kwalipi nawakati tunachaniwa nyavu zetu na vibaka ana hangaika na malaya
@Malkia-jv4ct17 күн бұрын
@@EmmanuelChrispin-bo5xhsindo hapo sasa
@Sudibo18 күн бұрын
Unakuta huyo jamaa aliliwa hela na madada wa hivyo ndoo maana 😂😂
@kaaakwakutuliaa517919 күн бұрын
sio safi
@Mumewangu19 күн бұрын
Safi mungu anapenda
@jakobongwara303818 күн бұрын
Kamateni wenzi wauma wanao ibiserikari
@OscarAsukenie19 күн бұрын
Kuna wakat serikali yetu inakuwa kama ina unafki, tunaona kuna wapigaji serikalini mpaka bungeni wanatajwa kwa wizi, wanaachwa eti leo wanajidai wanakatmata dada poa daah! Mungu inusuru nchi yetu.
@DavalsonMarlony19 күн бұрын
wanaznguwa
@moshifrank962212 күн бұрын
Hii nguvu ingetumika pia kwa mafisadi
@EliaElibariki-pu9lu19 күн бұрын
Uyu DC anatafuta kiki
@albertmichael401419 күн бұрын
Adi nashangaa hv huyu elimu alipata wapi, napata waswas
@Jacklinejohn719 күн бұрын
Yani makonda ndio kiongoz watu wananyanyasika uko yee yuko bize au anamtafuta hawara wake ndio mana anapita kilakona
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Kwa nyie mnaojiuza ndio mnaona anatafuta kiki
@lilianobed19 күн бұрын
Ye mwenywe demu wake ni malaya hakuna sehem duniani inakosa makahaba alishindwa makonda utaweza we muone machonyalivyo mtoka km katoka kupuliza kutoka kwenye ukahaba ni neema ya mungu nilikua huko kwa miaka7 mungu ndo kaniokoa Sasa siwalaumu makahaba wanajuwa wenywe changamoto zao za maisha we muone akiuza hujui yalo mkuta
@haidhabushiri955819 күн бұрын
W@@rumdeesonsoa1811wanunuz hao
@ankoharunacomputers970918 күн бұрын
Iwe Sheria ya Nchi mzima. Bravo❤❤❤🎉
@josephmakonga320117 күн бұрын
Viongozi wa siku izi wanapenda sana camera kuliko kufanya kazi za maendeleo tengeneza miundombinu ya ajira ndio utatokomeza iyo biashara.
@lilianpuka21819 күн бұрын
Wape ajira ss acha kelele🙋
@BarakerZeonlist17 күн бұрын
ajira ni wewe serikali aiwezi kukufata
@ZedMngulwi-gw6nb17 күн бұрын
Jiajiri wewe
@AbrahBuraheze15 күн бұрын
😂ko hao tu ndio wapewe hajira kwan tanzania wangapa hawana kazi na hawajiuzi😂😂😂
@mdl646319 күн бұрын
Walikiwepo tangia enzi Dunia inaumbwa 😂😂😂😂😂
@leokamil628419 күн бұрын
Namshangaa sana kazaliwa juzi huyo ndio anajiona anajua sana. Serekali yenyewe iliwashindwa waanzilishi miaka ya zamani na walikua na mitaa yao ndio yeye ataweza mjinga huyo
@user-ur8cq1ye3b19 күн бұрын
Mbo@@leokamil6284mbona mtetea nawewe umo
@user-ye4iy8jy2z19 күн бұрын
@@leokamil6284usiombe kwenye familia yenu awepo japo moja ndo utajua hii aibu ipoje
@nassercurtis957919 күн бұрын
Mpumbavu na mjinga wewe mpenda zinaa mwanaharamu kabisa, kwa hiyo sababu wapo walishindwa hivyo kwa kipindi chake aache sio? Kuchekelea ukahaba ni nisawa na wewe unaetetea pia kahaba au wewe ni mmoja wao unanunuliwa au unanunua? Hawa washenzi wanatuharibia mitaa kwa tabia zao chafu kama sijambo la aibu kwanini wasiuzie watu wa kwao majirani ama mitaa karibu na kwao wakihojiwa hao wote wanatokea mikoani au nje ya mji, ukahaba ni tabia mbovu ya kukemea na sio kukubali kushindwa@@leokamil6284
@user-zs4qz4wm2n19 күн бұрын
@@leokamil6284😂😂
@paulmutailuka241719 күн бұрын
Safi sana mhe. DC Hassan Bomboko, unafanya kazi nzuri classmate wangu. Mungu akubariki sana, Ni kweli kwa sasa maisha yamekuwa magumu sana ila dada zangu ambao mmeamua kufanya biashara hii ni wasihi tu muachane nayo kuna shughuli nyingi sana za kufanya. Unaweza kuanzisha hata biashara yyt ndogo na ukafanikiwa. Mungu awatie nguvu kwakweli.
@romualdmadeniromuald52519 күн бұрын
Biashara bila mitaji
@paulmutailuka241719 күн бұрын
@@romualdmadeniromuald525 Kaka inahitaji ubunifu wa hali ya juu ili uweze ku survive ktk maisha haya. Nakubaliana na wewe bila mtaji huwezi kufanya jambo ila naweza nikakupa mfano kdg. Kuna kamsemo kanasema anzia unapo weza mtu anaweza akafanya kujiajili mwenyewe kwa kuanza kufulia nguo watu mwisho wa siku akapata mataji na maisha yakaenda vzr, pia anaweza akaanza kuchoma maandazi na akauza mpka akapata mtaji. Sema siku hizi vjn wengi wamekuwa watumwa wa kufikiri sana. Anasubili mpka apate ajira na siku hizi ajira hamna.
@DavalsonMarlony19 күн бұрын
awape ajira sasa
@hamissomary686919 күн бұрын
Safi sanaaaaa kiongozi mkuu wa wilaya"All akupe wepesi"wanazalisha snaaa family
@beddaathanas315019 күн бұрын
Hongera sana comred, kazi nzuri sana
@frankmahenge594319 күн бұрын
Angekamata mashoga ingekuwa safii lkn hapo hamna cha ajabu
@mandelasamson840118 күн бұрын
Uzuri wa kazi hiyo ni ipi, watu wanakero kibao hazishughulikii anahangaika na malaya,malaya hawajawahi kuwa kero popote
@OscarAsukenie19 күн бұрын
Vitu kama hivi ndio vinafanya serikali igombane na wananchi😂😂
@Mumewangu19 күн бұрын
Wee mshenzi tu kwa iyo waachiwe kwa sababu nawe unajiuza
@OscarAsukenie19 күн бұрын
@@Mumewangu unajua mke wangu, ulaya walishindwa wakaamua iwe biashala halali. Vp wana uhakika wa kuwapatia maisha? Maana pale ndo kula kulala yao🤣🤣🤣
@InocentPius19 күн бұрын
Kweli
@Mumewangu18 күн бұрын
@@OscarAsukenie wewe sijui upo katika Dini gani! Manake ukristo uzinifu unapinga na uislam vile vile unapinga halafu wewe unawaunga mkono mungu mwenyewe anapinga alafu wewe unaunga mkono omba msamaha kwa mola wako utaangamia ukipata ukimwi utajuwa .
@al-bleproshooteur192211 күн бұрын
❤❤❤❤❤ kazi nzuri njo congo
@kemmymartine488410 күн бұрын
Amen God bless uu hakika mh
@user-uf7oh5eu4v17 күн бұрын
Sema siku unaweza ukawa na hata na mke wako guest au mpenzi wako mmeenda kupumzika .alafu operation inakukuta hii ya dc unaweza ukachanganywa na madada poa.kwa mtazamo wangu nipende kuishauri serikali wakamate madada poa wanaowakuta mabarabarani sio ambao wapo kwenye vyumba vya guest
@malakisilas652319 күн бұрын
Kazi nzuri sana Mkuu wa Wilaya.
@sasha-ri7tf13 күн бұрын
Nendeni kwa Mwambukusi na Lisu ili wawatetee sababu Chadema ni chama chenu mashoga na makahaba mtatetewa tuu.
@AbdulkarimAisha-ex5kp14 күн бұрын
Kazi nzuri sana kiongozi dada zetu waache uzinifu watafute kazi zingine uchumi wa nchi ukue
@user-vk4mv8vs7c19 күн бұрын
Hana kazi DC Hana uwezo wa uongozi Tengeneza ajira DC Haya mambo yalikuwepo tangia enzi ya bwana Yesu Ammulize Mzee Makamba
@ziggertv318519 күн бұрын
Akuletee ajira nyumbani wakalime
@ziggertv318519 күн бұрын
Uvivutu
@SabrinaMikidadi-oc5xg19 күн бұрын
Huko ndo wameonaga pa kupatia kiki wakafunge club za masaki huko au kitambaa cheupe kwanini wanafunga vichochoroni tu
@SabrinaMikidadi-oc5xg19 күн бұрын
Mbona tip top bado wapo?
@esmailesmail431919 күн бұрын
Nenda dodoma, kamata wa bunge pia
@chrismkama488919 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-pw8ml6ts8r9 күн бұрын
Safi sana👏👏👏👏👏
@user-sz9sg1ez4b10 күн бұрын
Alhamdulillah huenda. Tanzania ikapata neema kamata wote hao manyang'au
@RobertNjoroge-dt6yc18 күн бұрын
Umefanya vizuri sana ndio watu waolewe na kuoa jamani tunapoeleke sio nafanya kazi nzuri sana hongera
@joycefrances451619 күн бұрын
safiiiiiiiii,wanatuletea laaana Mungu anachukia Bali inakuwa ngumu,on do a LA a na muheshimiwa,Hui ndio ma a na ya muheshimiwa,Jes him a ichukue mkondo wake
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Nafikiri ulikuwa na point nzuri sema ndio ivo mwandiko umekusaliti
@liverobby898819 күн бұрын
Me nataka nikununue wewe
@RaiderTube18 күн бұрын
Wewe mwenyewe malaya tu, unakuta unatombwa hapo bikra huna na haujaolewa, au umeolewa unatombwa na michepuko halafu unasema wanaleta laana, biashara hiyo ilikuwepo hata kipindi cha yesu, malaya wewe
@MaikoSiria18 күн бұрын
uko vizuri sana yani nchi ikiendelea hiv tutafika mbali
@daudkindy806218 күн бұрын
MASHAALLAH KAZI NZUR MKUU
@christiancalvin218319 күн бұрын
Vina mda basii.. Mda si mrefu watarudi na maisha yataendelea kama kawaida
@njuka351519 күн бұрын
Na wateja Ni wenyewe
@abdallahiddy633319 күн бұрын
hahah
@kekiplus1andonly19 күн бұрын
Weeeeeh huyu DC hataki mchezo eti,kazi kazi🙏🙏🙏🙏
@TwahaRashid19 күн бұрын
Safi sana mheshimiwa Yani umenifurahisha sana , na huku kwetu tunakerwa na aibu hii,
@JumaYusuphu-ek1dn11 күн бұрын
Nimeipendasana iyo hongera ds isiishie kata yaubungotu maana nimbaya sanaiyo
@dorcasdavid224719 күн бұрын
M/Mungu Akusimamie Sn Mkuu,,Umejua kunifurahisha sn.maana ni Aibu sn kwa Jamiii
@KassimAlly-xp4dz18 күн бұрын
Aibu ya nn sasa
@babazizu125517 күн бұрын
Haswa ndgu yangu hasa mfano eti unamkuta mtt wa kiume nayeye anachukuliwa kinyume na maumbile subbuhanna llah
@babazizu125517 күн бұрын
Kassimally naww ndyo wale wale nn mtt wa kiume unauliza aibu gani pumbavu weeeee
@AnnaSamson-ym7tu18 күн бұрын
Umekosea DC iyo siyo sawa
@Veronicaenos17 күн бұрын
Siyo Sawa nn vp Yan mtu anaweka maadil ww unapinga
@mwanyongamama440718 күн бұрын
Mungu Atujibu tumelia sana Mbarikiwe viongozi
@jamesonjames429113 күн бұрын
Huu ni upuuzi na kutaka sifa tu Kwaiyo watu wasiende gest au bar au watupe vitambulisho basi sasa kama mtu upo bar wazingua hivyo ndo nini kama sio sifa nchi hii adi viongozi wanataka kiki yani kama wanajua sana wakakamate wanaokula hela za miradi ya nchi
@daudymlauletv848919 күн бұрын
Mbna hamdili na mashoga wakati yapo kibao huko dar
@DativaMbowe19 күн бұрын
Ndio nashangaa 🤮🤮
@rayisadesigns264619 күн бұрын
Mbona kashasema wanawakamata
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Hujasikia hapo alichoongea?
@daudymlauletv848919 күн бұрын
Tuwaone sio tunaona ma dada poa tuyaone mashoga na tuonyeshwe sura zao ili tuwatenge
@DativaMbowe19 күн бұрын
@@daudymlauletv8489 kabisaaa
@abumuhammad961519 күн бұрын
Huyu DC anawalipia kodi hao wamiliki wa lodge? Yaani sasa hv mnaingia mpaka kwenye magesti ,je kama mtu kaenda na mpenzi wake?
@leokamil628419 күн бұрын
Kwa sheria gani?.kuna shida chungu nzima za kutatua wamebaki kudhalilisha watu .Je hao wenye gesti wazifunge? .Ningeomba uwape hizo shughuli zingine na mitaji sio ukurupuke tu.Uonevu mtupu acha sifa wewe
@user-mi7cd8ch1b19 күн бұрын
Wanashindwa kukamata wanaotuibia zahabu na haridhi zetu na wanaoiba pesa serekarin wanaenda kukamata watu wanaishi na maisha Yao iyo serekari haijawai kutoa kaz wara pesa hakina misada pesa wanakula wenyewe tu mnakuja kuzaririsha watu na family zao
@josephernest15517 күн бұрын
Unaweza lala zako guest huna hili wala lile DCanakuja paaap unajikuta Centro na kwenye video clip mitandaoni unaitwa Kaka Poa😊
@leokamil628417 күн бұрын
@@josephernest155 Huyo jamaa kakurupuka tu kutafuta umaarufu
@selelimaganga671016 күн бұрын
Mbaya zaidi sasa ukute alieemda anafamilia yake mnamkamata hawaona wanaweza kuongeza migogoro ktk familia?
@rehemashetuli862018 күн бұрын
Daaaa mungu tulindie vizazi vyetu
@yussufally866819 күн бұрын
Hongera sana muheshimiwa
@shyneafya246819 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MKUU wa Wilaya fanya kwa zamu yako Mungu akusimamie
@TahilaRamadhan-hz3pd18 күн бұрын
Ubarikiwe sana mkuu🎉🎉
@user-bb6nq7qs3d16 күн бұрын
Mheshimiwa unajaribu kunishangaza unatumia power kubwa kukamata wanawake ,samahani kaka hebu tumia nguvu kubwa kukamata mashoga ,kwani crip gan inayonesha umekamata mashoga ,unafeli bro,niachie inchi hata Kwa dakika 240 uone shughul zangu ,Sasa mheshimiwa u nakamata ambao wanazaa duu kweli nimeamin mashoga wananguvu,boss mtangulize mungu
@jimysanga577714 күн бұрын
DC BIG-UP SANA. TAIFA LINALORUHUSA HAYO LAZIMA LITAVUTA LANA.WALA USKATISHWE TAMAA NA MTU YEYOTE.
@kisinza607719 күн бұрын
Naunga mkono but siungi mkono udharirishaji, msiwaoneshe camera kwa lazima. Ni kinyume na Maadili ya utu. Tumieni vizuri vyeo.
@akidajulius158119 күн бұрын
Kuonyeshwa kwenye kamala na wanavyo jiweka uchi kipi , kinazalilisha hapo😮
@christophernzige391319 күн бұрын
Mbona hawakamati mashoga?
@kisinza607719 күн бұрын
@@akidajulius1581 nadhani wewe inamaana Yako, Sasa nilichokisudia na unavyotaka ni tofauti, kwahiyo sikulaumu.
@MBANGA_NAME18 күн бұрын
Tengenezeni mazingira ya ajira, waoneeni huruma wanategemewa, sidhan kama mtu anezakua na uhakika wa maisha na akaamua kuuza nwili, Kwa kulinda utu ni sawa, ila ki uhalisia sio sawa, Tengenezeni mifumo ya uhakika wa ajira.
@Segeja-fm3ye19 күн бұрын
Tanzania ndio nchi pekee ambyo dc anahusika kukamata makaba
@emmanuelmasele958513 күн бұрын
Askari wa like ana wivu na madada poa anajua humzibia ridhiki
@icesue661319 күн бұрын
Ajira hakuna, Hilo zoezi hutoliweza.
@shaban664419 күн бұрын
Kwa hiyo ndo Ajira Mpuuzi wewe.
@frankngoloka541619 күн бұрын
Tatua tatizo la wafanya biashara,hao wadada wanapunguza ubakaji
@israelifissoo214119 күн бұрын
madhara yake kwa jamii ujajua tu watoto wanaoishi kwenye hiyo mitaa lazima wajifunze hayo mambo ya hovyo
@ubunifulifestyle349219 күн бұрын
@@israelifissoo2141wanawake wa siku hizi ndoa na mapenzi kwao biashara, mi naona bora hao wamejitambulisha kuliko wanaojificha chini ya mwanvuli wa ndoa na mahusiano
@abdulkarimabdallah953619 күн бұрын
Mshenz mbwa mweus wewe
@official_nansty189619 күн бұрын
Mifumo ya maisha kwa watoto inaanza kwa wazazi
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
@@official_nansty1896Kama wazazi wenyewe ndio hao wanaojiuza je?
@saidmwangasama12 күн бұрын
Kosa kubwa sana Hilo gest munaingia achen hizo
@al-bleproshooteur192211 күн бұрын
Daah hao wa dada poa Wata kudayi uwape mutahe
@user-gg4xj1yt3r19 күн бұрын
Msirudi nyuma Mungu awabariki iwe kweli wakarime
@vincentdaud995419 күн бұрын
Siyo wakarime ni wakalime
@janethulotu45019 күн бұрын
@@vincentdaud9954 .
@ruthmuja779219 күн бұрын
Hongera sana mh . Dc
@josephsimbeye530513 күн бұрын
Mh amefanya jambo nzuri sana
@ramadhanisalum389819 күн бұрын
Daa uo mshangazi huna nyama za kwenda daa
@MigomgoMigali-ky1jl19 күн бұрын
Daaha mwanangu nimeutamani kinyama
@Jumamussa.-gm1eo18 күн бұрын
@@MigomgoMigali-ky1jl kweli babu toto jeupe nyama za kutosha lazima nikalitafute hapo sinza
@NardhisMhagama-sy3eq19 күн бұрын
Ungejuwa wewe mteja kaja kunywa kwako una m uliza wewe ni kahaba au una mfungulia bia
@bwanasheby935314 күн бұрын
DC NENDA LAMADA KUNA MASHOGA KULE NA MASAKI SAMAKI SAMAKI
@jamesjahasa334819 күн бұрын
Mkamate hata ma kakapoa😂😂😂
@strikerforce494919 күн бұрын
Huyu dogo mkuu wa wilaya hatoboi. Hiyo vita haitakiwi kwenda kwa kukurupuka hivyo. Angeanza kwa kutoa elimu
@YaeliJoseph19 күн бұрын
Mungu atamlinda maana anafanya kazi njema
@gracerichard814519 күн бұрын
Ww unaona sio njema lkn mtaan maisha ni magumu mno watu wamesoma lkn kaz no wanaolewa ndoa nazo changamoto biashara mtu hawez, kweli hii vita ni kubwa ngoja tuone@@YaeliJoseph
@melchiadepaschal309719 күн бұрын
Hii sio powa kabisa, nikuwazalilisha tuu, maisha ni magumi, serekali tengeneza ajira kwa vijana, hakuna anaependa kujiuza
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Basi hata wezi, matapeli na majambazi waruhusiwe maana hata wao ni maisha magumu
@nshaijatedy551219 күн бұрын
Umo na singashai na watoto wa chuo wakawemo umo😂
@elishapeterbalele387919 күн бұрын
HONGERA Sana MUHESHIMIWA Kwa KAZI Nzuri sana...NI mfano WA kufugwa
@SaidiMiraji-lk3vm19 күн бұрын
Mko sawa kabisa lakin nashaluli kamela zisitumike kuwacholesha sura zao ina kua sio vizurii kivilee maana naona maisha bado yataendelea na mmeisha wazalilisha
@leokamil628419 күн бұрын
Hii ni sifa za udhalilishaji mtupu. Fungeni kisha Serekali ikose kodi. Hii inakusaidia nini wewe mkuu
@NardhisMhagama-sy3eq19 күн бұрын
Mkaifunge lamada
@official_nansty189619 күн бұрын
Kweli ramada ikafungwe
@sophsoph474019 күн бұрын
Yn pale
@barakalameck208219 күн бұрын
Ramada mkaifunge mbona iko wazi
@emmanuelmodest745719 күн бұрын
MMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KAMA SERIKALI. KIFUNGU GANI KITAWAHUKUMU HAO KWA KAZI YAKO, NAAMINI WOTE WATATOLEWA NA MAHAKAMA BURE. MAJIMBONI SHIDA KIBAO HUJAMALIZA UNAHANGAIKA NA UTELEZI. WAKUU WA WILAYA WAONGEZEWE KAZI .
@Mumewangu19 күн бұрын
Unapenda uzinifu na ukimwi uzidi kutapakaa
@easternyerembe727119 күн бұрын
Safiiiiiiiiiii, njoo Riverside
@nth351219 күн бұрын
Uko alishapita, cjui wamerudi
@AlyMohd-yp1xe19 күн бұрын
Tufuta ela ww wacha ushamba
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Hatutaki uharibifu wa maadili
@ZaiNdogondogo-wf7mw19 күн бұрын
Mnapowakataza wasifanye hiyo biashara basi inabidi muwepe na mitaji kwa ajili ya kujikumu wengine sio kama wanapenda ila ni shida tu zinawapeka huko mungu awasaidie watoke kwenye hiyo laaana
@user-yb1ut1yo8u19 күн бұрын
Uko sawa kabisa wawape mitaji
@marympango924719 күн бұрын
Kwan kazi ni kuuz k...tu....mbona kuna kazi nyingii ..maandaz....nk...kwli kujiuza jmn..hapana...mnisamehe..tu....
@user-vz4xj2ci2w19 күн бұрын
@@marympango9247 INAWAHUSU NN KAZI HAKN
@Majuu-fp3nd19 күн бұрын
Acha utaira ambao awadangi walipewa mitaji@@user-yb1ut1yo8u
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Kama ni hivyo basi hata wezi, matapeli na majambazi waachwe huru maana hawafanyi hivyo kwa kupenda bali kwa sababu ya ugumu wa maisha. Pumbavu zako kabisa
@dismasmsemwa894819 күн бұрын
Hongera sana mkuu wa wilaya, wakuu wengine wa wilaya Dsm waige mfano huu ili wapate combination nzuri
@user-gy5en6cy8o19 күн бұрын
Safi sanaaa Muheshimiwa
@dayana5513story19 күн бұрын
Ubakaji utaongezeka
@idrisamngagi28419 күн бұрын
Bora . Ili wajue umuhimu wa chumvi kwenye chakula
@azizasaleh662419 күн бұрын
Kwaiyo we unaona aki kufanya uchafu safisana
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Mbona wanaobaka huwa ni watu wenye wake zao? Tofautisha nyege na ushirikina
@HamisMghuna-fj3vz18 күн бұрын
Mbona hamkati wabakaji
@user-ui5xc6sb5m19 күн бұрын
Hilo limshangazi veep limenona kinoma
@user-cv4jb1bm6i19 күн бұрын
Umeliona na wewe mwanangu😂
@MigomgoMigali-ky1jl19 күн бұрын
Oya mwanangu nimelitamani kinoma😅
@mariamdullazy816619 күн бұрын
😂😂😂 jaman
@philemonmagesa554819 күн бұрын
Mzigo wa kuvunja chaga
@user-ui5xc6sb5m19 күн бұрын
Uyu mkuu wawilaya Hana mahana kabisa
@muhasatv924515 күн бұрын
Mtuachie Dada zetu bhana
@user-pu4mo2rg6w15 күн бұрын
Kwani kunaulazima kutuonyesha simuwakamate kimya kimya atutaki kiki maisha yana tuvuluga tutangazieni ajila sio makahaba
@annabanene656719 күн бұрын
😂jamn sasa watu tusiende gest tutaambiwa tunajiuza 😅
@user-vz6kk8id2f18 күн бұрын
Yaaani inabidi muende vichakani
@annabanene656712 күн бұрын
😂😂nyoka watuume
@karyori6919 күн бұрын
serikali hamna cha kufanya?
@mkandesadiki464818 күн бұрын
Sema mnatualibia sana tukakojoe wapi sasa
@ayoubdallu447614 күн бұрын
Dc unafaa kuwa askofu 🎉
@allymtapera537019 күн бұрын
Mungu awatangulie ila kuna wapumbavu watakuja kuwakatisha juhudi hizi
@MuhammadHassan-xp6dc19 күн бұрын
Kweli kk kuna baadhi ya watu hawana akili alafu wanalalamika kuwa viongozi hawafuatilii
@frankmahenge594319 күн бұрын
Mbona msako wa mashoga hatusikii
@chrismkama488919 күн бұрын
Iyo kazi ni kazi ya kitabia.kukomesha tabia ya mtu aliyeshikwa na mapepo si kazi nguvu za kimwili ni kazi ya neno la Mungu liumbe upya Roho na mhusika akubali kumpokea Mungu.Shida kubwa Wanawake ni wengi Duniani kuliko Wanaume, ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni chanzo cha hayo.tatu wakuu ndo wanaongoza kununua maana masikini anawaza mlo wa siku apateje. MAHAKAMA ITATAFASIRI SHERIA KWA USHAHIDI.SWALI WATAKALOULIZWA UPANDE WA SERIKALI NI KWAMBA WAMEWAFUMANIA WAKIFANYA IYO BIASHARA? KUNA MASWALI MENGI HAPO.NAFIKIRI MNGEWAPELEKA KWA VIONGOZI WA DINI NGUVU YA NENO LA MUNGU INGEWABADILISHA MAISHA YAO.KUNA MAHALI PAMEANDIKWA MAKAHABA WATAWATANGULIA KUONA UFALME WA MUNGU.
@vibetz999119 күн бұрын
Tutaishije wahuni?
@KhadijaKiwambu-qx8qh19 күн бұрын
Utaishije wao Kama Nani nandomana amuowi munapenda nva bure
@rumdeesonsoa181119 күн бұрын
Wakifukuzwa huko sasa ndio watakuja muwaoe. Unakuta mdada anasema sitaki kuolewa najiweza kipesa kumbe anajiuza
@vibetz999119 күн бұрын
@@KhadijaKiwambu-qx8qh havina stress
@ChristianMzoro14 күн бұрын
Hacheni kusumbua watu UONGOZI hauko hivo jamani wapeni HAJIRA hao ni watoto wa TANZANIA 😢😢
@nth351219 күн бұрын
Mungu akujalie mke mwingine DC ucje ukadanganywa na tamaa
@elieneapalangyo693819 күн бұрын
Hao wanapunguza ubagaji
@OstakiaCornely19 күн бұрын
😂😂😂😂
@kaaakwakutuliaa517919 күн бұрын
haki za binadamu nafaragha mbona hamlioni hili uyu msenge aende RAMADA HOTEL