Anaitwa Sabaha Salum Mchachu 👌 Usipofurahia nyimbo zake, ukapimwe mkojo.
@hannanbaby90873 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Maandiko yaliyokataza taraabu hafai ndio yanatakiwa yakapimwe mkojo kwa mujibu akili yako
@jadam40312 жыл бұрын
Jee mavi
@yusufuheri65242 жыл бұрын
@@jadam4031 nayo pia
@zenaal-baalawy1953 Жыл бұрын
Ah!😂RoadTech@Piga kelele
@shillahmahiri8553 жыл бұрын
Nmesikia Jina magufuli nmetokwa na machozi from Kenya poleni sana watanzania jurani zetu tuko pamoja na mama samia 🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Umetokwa machozi ya nini sas n ww
@kelvin7ithuiumwasamaki9873 жыл бұрын
Tunashukuru ndug yetu kwa kushare maumivu na sisi huu ndo undugu wa kweli
@aishachambo97883 жыл бұрын
Ahsante ndugu
@brianomondiodera81873 жыл бұрын
Kutoka kenya pia nimeskia iyo imeniumiza Magu tulimpenda
@stevenlugojeremia23233 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 Sasa ni swali fani unalo muuliza shillah mahiri
@huseinsenior44293 жыл бұрын
Congratulations 👏🎈👏 swaba salim good song
@fatmaabdalla85433 жыл бұрын
Anakumbukia enzi zake na yy alikiwa wamooo
@forkanoman7403 жыл бұрын
Hapo sawa nyimbo zenye ujumbe mnzuri sio kitimbua sijui sukari🤣😂😂😂
@siyabongakzn98643 жыл бұрын
Forkan Oman unasema kweli kabisa sio hao wengine wanaimba nyimbo za kihuni mpaka kuimana utadhani wamekulia Buza.
@forkanoman7403 жыл бұрын
@@siyabongakzn9864 😂😂😂😂😂
@user-fv2sn7js7g3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣
@joezeno83 жыл бұрын
@@siyabongakzn9864 😂😂😂😂😂😂😂
@jennytugara94703 жыл бұрын
Yaani kaka nakuunga hizi ndio nyimbo zenye maudhui zile za Zuchu sukari ni uhuni wala sio nyimbo wajameni
@MegaHazry3 жыл бұрын
Samia modern taarab!!
@luganoamosi64163 жыл бұрын
Hapo akina mond Bay Bay,ni kazi iendelee na taraabu tu
@tahiraabdul17013 жыл бұрын
Baraka za mama zatufikia East.Africa yote
@user-se5jr6rk6t7 ай бұрын
Mungu akupe Maisha marefu mama suluu
@thatcontentguy53223 жыл бұрын
Blessed vocal mama uko juu 🇰🇪🇰🇪 swabah salum
@abdulijongo13553 жыл бұрын
Kila Zama Na Kitabu Chake.🖐
@jennytugara94703 жыл бұрын
Ata Magu alisakata rumba ya Hamonize sana pale uwanja wa Taifa umesahau
@abdulijongo13553 жыл бұрын
@@jennytugara9470 Nakumbuka Sana Sio Rhumba Tu Ya Harmo Hata Singel Ya Shoro Alicheza, Kwahyo Ndio Tunarud Palepale "Kila Zama Na Kitabu Chake"
@rahabnkya82763 жыл бұрын
Saaaaaaf saaana taaarabu yenye ladha na maneno mazuri kusif na kumtukuza kiongozi wetu. Hongera saaana dada.
@hemedijuma40993 жыл бұрын
Mama Samia hoyeee hoyeee Hongeraaa hongeraa Mama Samia
@josephwahome48363 жыл бұрын
Nampenda Samia na nampenda Sabah
@armanichicandow12253 жыл бұрын
Safi sana Mama Samia. Tunakupenda na Mungu awe pamoja nawe In the name of Jesus
@azdaally53243 жыл бұрын
Nmependa uyo mama alivonyenyekea
@edlumala94283 жыл бұрын
Nchi nzima sasahivi itapenda taarab sasa!
@florianhenry71983 жыл бұрын
Mambo ya vijembe vijembe 😂
@goodmorningafrica64093 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂hahahaha
@masalakulwa76013 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mbwanakhamis96343 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@caslidajosephat89123 жыл бұрын
😂😂😂
@bahiyalumelezy30163 жыл бұрын
Safiii mamaa tupo nawe pamoja sana shaka ondoa huku pembeni tunakuunga mkono vibaya sanaa.na inshaallah utavuka tu mungu mkubwa inshaallah❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿👍
@ranahadi51783 жыл бұрын
Masha allah
@alimakame92152 жыл бұрын
Yangu machotu hapa wall jaa liwa nawafanye sisi tutazametu
@nyamangaking66083 жыл бұрын
Mama kwenye taarabu ndo ungepeleka mashuka,hospital ungepeleka fedha,kweli kazi tunayo hadi 2025 tutanyoka
@masalakulwa76013 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ahmedzahor29753 жыл бұрын
Wacheni unafiki nyie Wakati wa mwendazake kila hafla yake wasanii wote huwepo na hupiga miziki ila nyie munachuki zenu tu
@macaver18593 жыл бұрын
Kabisa umeonaeee bt vice vessel is true da mama kazingua sa
@salmashahbal93063 жыл бұрын
Heee mnaumwa na nn walimwengu? Achen afanye kazi roho mbaya tu...kwan walopita walikua hawatuzi waimmbaji
@josephatjordan55603 жыл бұрын
Watz wenzangu tuendelee kula msoto Tuko pamoja tu
@ibnayub23743 жыл бұрын
Imba na wew taarabu utapewa manoti na mama wala sio zito kwake 😂😂
@josephatjordan55603 жыл бұрын
@@ibnayub2374 Sipewi nafasi ndugu😂😂😂
@makulaikuku69093 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mawazoaliselemani3 жыл бұрын
😅😅😅😅
@ahmedzahor29753 жыл бұрын
Fanya kazi nani akupe pesa bure au uolewe
@metnews423 жыл бұрын
Ni mwendo wa taarabu mpaka kieleweke
@makulaikuku69093 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hawamabira14993 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@wemakalamu35383 жыл бұрын
😅😅😅😅
@mwanashazingas66843 жыл бұрын
Na sio za alhajj
@caslidajosephat89123 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@shiksshiks84943 жыл бұрын
Thats amazing!!hivi niulize hio noti ya pink ni ya pesa ngapi?
@mariyamgharib9403 жыл бұрын
Red iyo elf 10 iyo
@shiksshiks84943 жыл бұрын
@@mariyamgharib940 thanks sana
@matanojuma83333 жыл бұрын
Ak ww
@shiksshiks84943 жыл бұрын
@@matanojuma8333 am a kenyan so sijui n huona sana sana ikitumiwa na wasanii na celebs wakiwa kwa event😆😆😆
@danielswai80273 жыл бұрын
@@shiksshiks8494 mambo?
@ndukulusudikucho_3 жыл бұрын
Mi nishaanza kula hadi urojo kariakoo, maisha yenyewe magumu alafu tuchoshane na mineno migumu
@masalakulwa76013 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mbwanakhamis96343 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@asaaomar43153 жыл бұрын
😂😂😂
@hawamohammed6939 Жыл бұрын
Ww Hodari Sana Kusikiliza Matatizo Ya Familia Yk Ina Maana Huangalii Mpira Wala Husikilizi Mziki Ww Kl Mara Unasikiliza Kero TU Za Nyumbani Kwako
@hamzahassan20793 жыл бұрын
Dah. ASante sana Umeichelewwsha jana Sabah ndiyo Aliye funika kwawimbo saaafi bila makelele
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
👌🏾
@rukiagambere80503 жыл бұрын
👏👏👏👏
@hamaddady48623 жыл бұрын
Nikiwa +259 Zanzibar nimeipenda hii
@raffeiystar28702 жыл бұрын
Zanzibar ni 256 kumbe
@hassanmohammed91533 жыл бұрын
Hizo Taarabu mametu kafika
@berthamakortha83872 жыл бұрын
Safiiiiii sana
@kagodenis7833 жыл бұрын
Oookay! Mama Samia making it rain. I see
@luganomwakyusa76973 жыл бұрын
Taarab iendelee
@fauzimohamed57573 жыл бұрын
Kate mbele huko
@hawamabira14993 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🏼 Ndio ndio Lugano
@hawamohammed6939 Жыл бұрын
Wacha Kumkosoa Raisi Kuna Muda Wa Kazi Na Muda Wa Mapumziko Katoka Mapumziko Yk Unaamua Ufanye Nini Nayy Ameamua Kwenda Kwenye Taarab Kosa Liko Wapi
@bjzee19813 жыл бұрын
Huenda ni mtoto wa mamake mdogo huyo
@wamoroboy89633 жыл бұрын
At nin taarabu😲🙉
@witnessmwigune16903 жыл бұрын
Penda sana Mama samia
@charlesmwisera71753 жыл бұрын
Serikali ya waimba taarabu hii yangu macho.bora magufulu mara billioni.
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
Charles:umesahau marehemu Magufuli alipokuwa akicheza wakati Diamond akiimba.Kweli haikuwa taarab lakini ni bandit ya mbona kama taarab. Tofauti ni kuwa taarab ni ya wanapwani na ile ya Diamond ya Wabara.Upo?
@gavanaimrani67773 жыл бұрын
WW MSENGE TULIA TULIAA MTAUMIA SANA LKN HUYO NDO ALOCHAGULIWA NA ALLAH ACHENI ROHO MBAYA HAIJENGI NCHI MBONA NYERERE ALIPOOONA ISHAMSHINDA ALIMPA MWINYI🤣🤣🤣🤣🤣
@saadaissa25243 жыл бұрын
Na Magu alikua mcheza nini
@saadaissa25243 жыл бұрын
Na bado mtaumwa na mama samia habari ya mjini
@saadaissa25243 жыл бұрын
Piga kazi mama waache wanopika majungu
@mwanad45952 жыл бұрын
huyo mdada anawashwa washwa nikimpata disco atakubal show yangu atarembua Hadi mwaka unaisha😁😁😁
@rafiamussa89182 жыл бұрын
Naitawauma sana imetoka iyoo
@zenj19863 жыл бұрын
Tofauti ya Magufuli ni kwamba alikuwa anachangisha na kutoa kwa wahitaji. Huyu mama anatoa kwa lipi??*
@omarylukindo53063 жыл бұрын
Acha kuongopea watu,yule mzee alotoa jogoo nae akapewa pesa tuambie zilichangwa kwa Nan?
@fauzimohamed57573 жыл бұрын
@@omarylukindo5306 mwambie shoga huyo hajitambui kashasahau jpm alikuwa anapiga ngoma
@hijabomaa13903 жыл бұрын
@@omarylukindo5306 tatizo lao wamejawa na fitna na uzandiki,huyo mwendazake alishakwenda so' sasahivi ni awamu ya mama acheni apige kz,,,mitano mingine mama
@emmanuelbonaventura42583 жыл бұрын
Acha ushamba wewe
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
@@omarylukindo5306 huo ni msumari pahala pake
@saniamsae11483 жыл бұрын
Acheni unaaa
@manchalijob96003 жыл бұрын
Wananiudhi wanavo vaa mabarakoa
@salamasaidi66203 жыл бұрын
Usiwaangalie sasa 😆😆😆😆
@makulaikuku69093 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@siatemba37633 жыл бұрын
@@salamasaidi6620 🤣🤣🤣
@asyakhamis16023 жыл бұрын
Choyo kinawauma kwa kweli na nyie kaimbeni
@asyakhamis16023 жыл бұрын
Watqnganyik mnaumia wap mbon wakitwa kin diamond hamsem kitu choyo tuuuu
@jennytugara94703 жыл бұрын
Zamu za wengine wakae pengine
@hawamohammed6939 Жыл бұрын
Wacha Ufala
@muungujaunguja86092 жыл бұрын
Huko taarab huku mauaji 😭😱
@hamadihamadiali20333 жыл бұрын
Kwan bi sabah Salum si ushaacha kuimba ushrd makka au siyo weyeee?
@zakiahaji16833 жыл бұрын
karud mzee yussuf bdo hao hawajwah tyr kurud kw Allah
@mosesallyson78463 жыл бұрын
Hela zetu hizi jamani
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Za kwako ziko mfukoni kwako, hizo si zako,,,,,,!!!
@fauzimohamed57573 жыл бұрын
Babako alivokuwa kanagawa ovyo pesa ulishawahi kuandika hivyo pesa yetu hizi?
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
Moses,umeona wapi jogoo ananunuliwa kwa laki moja?Jee ile ilikuwa hela ya nani?
@asaaomar43153 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 😂😂
@mosesallyson78463 жыл бұрын
Mbwa nyie kwani kusema pesa zetu nimekosea au nimetukana, au mnajua me niko upande wa magufuli mamae....," this is free country i comment what i feel"
@kiri58073 жыл бұрын
huyu anaonekana poa nyimbo zimeendana lakini zuchu ni ile super women tu zilobakia uharo mtupu manyimbo ya mapenzi nampa sukari siaseme tu nampa utamu kuficha nini ?
@siyabongakzn98643 жыл бұрын
Arimari usisahau Zuchu katoka Wasafi Headquarters ya nyimbo ambazo hazina maadili na zenye matusi. Wimbo wa Sukari ni matusi matupu. Eti onjesha onjesha, ndo nini. Get to the point Zuchu.
@kiri58073 жыл бұрын
@@siyabongakzn9864 wallah . ndio vioo vya jamii hivyo
@amosmoses78003 жыл бұрын
MtuMbuE LuKuVi NA SiLLo. HawAnA mAanA yEYoTe .
@jenussanzala77633 жыл бұрын
Unaijua viZuri kazi ya lukuvi
@pascalgasper4033 жыл бұрын
Raisi Atunza🤣🤣🤣🤣
@salamasaidi66202 жыл бұрын
Acha roho mbaya na umbea ww .mwanaume....kwan raisi hana moyo
@pascalgasper4032 жыл бұрын
@@salamasaidi6620 Hapo Kwanza Nicheke 😂😂,, Rest In Peace Maghu
@jocenocha88463 жыл бұрын
Leo Rais gani huyu anaacha kwenda kusikiliza kero za wananchi anasikiliza taarabu kweli wazalendo tunatukanishwa
@eddy49983 жыл бұрын
Hapo hakuwa kwenye taarab alikuwa kwenye kikao na akina mama pumbav ww kichwa boga
@mayaniphilipo92563 жыл бұрын
@@eddy4998 🤣🤣🤣🤣
@huseinshedrack61803 жыл бұрын
Kwan waimba taarabu sio wananchi....?
@huseinshedrack61803 жыл бұрын
@@eddy4998 Hahahahaha umeanza vzr ulivyo maliza sasa Hahahahaha
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
Joce,wacha ukereketwa,Marehemu magufuliì alikuwa hachezi kwenye mziki wa Diamond?
@anahna67883 жыл бұрын
INCH YANGU TZN RASI WANGU JPM WENGINE WAPITE KUSHOTO
@florianhenry71983 жыл бұрын
Kesho tunasain mkataba mwingine !!
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Nenda nae kaburini!
@hawamabira14993 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 ucje ukatangulia ww tu😂😂😂😂 Mana maisha saiv hayana formular wa mwisho anakua wa kwanza.
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@hawamabira1499 ishu sio kutangulia, ishu ni yeye huyo ambae hataki kukubali kuwa magufuli keshakwenda,,,,,