I can't wait series itakayofuataa tukuone tena Mimi mars lov you Soo much❤
@user-pu6pr5jt4n4 ай бұрын
Mimi mars KISU bana nakapenda long time❤ Ila hata lulu wangu NAMPENDA ❤
@user-oj3zs9gu3h4 ай бұрын
Wewe unaehusisha jua kali na mada za kanumba usiongee ukajisahauu Msisababishe lulu aka kosa ujasili Sio powa bwana
@zainabzain34344 ай бұрын
Ni kipi ambacho hakipiti embu mwacheni awe na amani na kz zake
@bahatimngwale79024 ай бұрын
Kiukwel sema tu ndyo hivyo matatizo kaumbiwa mwanadam,,,hakuna jinsi,ila tatzo la kubadilika kwa wahusika waliozoeleka mwanzo hupoteza uondo kwa sisi wafuatiliaj,na kwenye nafas ya muhusika kuna ving upungua,,,tumeona kwa bili haijakaa sawa saiz maria,,,ila tunashukuru jahaz linasonga,,,hili nalo litapita na tutazoea kama la Neyla wa unty zai🙏🙏🙏🙏
@user-iv7ey6sq6i4 ай бұрын
Iulu muigizaji mzuri sana lakini kwakufiti nafasi ya maria sidhan
@EsterAidanmadati4 ай бұрын
Sawa ni muigizaji mzuri lakini kwenye nafasi ya maria ni maria mwwnyewe nd alikuwa anIweza
Mm naona lulu yupo saw kabsa make ana play vzur kama Mimi mars
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Hata amuige vipi lulu hawezi fanana na mimi mars ana haiba na tabasam la peke yake
@MariamOfficial-ve1yt3 ай бұрын
We ungewez au unaongea2
@jemakapologwe90443 ай бұрын
pole kipenzi Mungu akufanyie uponyaji zaidi
@mrliverpoolynwa76414 ай бұрын
Pole sana jamn mtoto mzuri,MUNGU ni mwema siku zote atakuponya
@MukeshimanaAbiba4 ай бұрын
Pole sanaaa Maria wetu Ila kiukwel ulikuwa vizuri basi wakuweke sehemu nyingine hata mara moja moja
@wacundirangu16614 ай бұрын
Both are a great talent mmoja who ni sana mwigizaji mwingine mwimbaji kwa asilimia kubwa.
@NEEMATHADEO4 ай бұрын
Mbona uyu dada anaigiza tuu vzr sana?
@zulfandonyi14343 ай бұрын
Yupo tu sawa. Wengine ni wivu tu
@happyfania93844 ай бұрын
Binadamu midomo mali yenu ila kumsema vibaya dad watu mumezidi tena sana acheni izoo siyo vizurii
@marikwilliam98864 ай бұрын
Nawapenda wote wanajua sanaaa❤
@aishaomar96214 ай бұрын
Pole Sana da Mimi mars Mungu akujalie afuen ya haraka😢twakupnda pia❤
@bestinamafipa6084 ай бұрын
Pole jamani. Inawezekana . mkono uliumia pia eti eee!?!? Pole kweli.
@ireneimbuhira77594 ай бұрын
Shes so beautiful ❤
@mrliverpoolynwa76414 ай бұрын
Mimi mars ni mzuri sana❤❤❤
@MariamOfficial-ve1yt3 ай бұрын
Kwan Malia mmbaya?
@ChristinaYona-dm7sr4 ай бұрын
Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa 🙏🙏🙏
@user-sn9ip6qr3l4 ай бұрын
Nadhan mmemuelewa maria mwenyew alivosema mnaotunga maneno achen faten nn maria kasema
@ChristinaYona-dm7sr4 ай бұрын
Pole sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hati❤😅mae utakua sawa 🙏🙏🙏
@lusajokafuko34504 ай бұрын
Lulu ni muigizaji mzuri na anafanya vizur katika nafas ya Maria....!!
@user-ye5jw3kj2j3 ай бұрын
Mim mars nakubali sana nakuombea upone awazi kufiti nafasi yako
@Da20nn05y3 ай бұрын
Da Lulu unajua kuigiza vizuri Sana endelea hivyo hivyo.
@nkoydavid96584 ай бұрын
Sasa kuigiza na mziki ipi kazi unatumia nguvu kubwa?😂😂
@ChristinaYona-dm7sr4 ай бұрын
Jamn pole Sana maria wetu ulikua unatuflahisha lakin kikubwa nikumbuomba Mungu tuuu hatimae utakua sawa🙏🙏🙏🙏🙏
@agirlofthegirls27914 ай бұрын
wote wanaweza kucheza vizuri, meaning wanavaa uhusika vizuri
@user-ny4kh4qs4b4 ай бұрын
Nakamiss huyu Mimi mars from kenya
@ndukulusudikucho_4 ай бұрын
Lulu ni muigizaji mzuri saaaana, tena saaaana , na ana uzoefu Mkubwa saaaana
@user-sf3hq3tl8j4 ай бұрын
Nikweli kabisa watu Wana ropoka TU lulu nimuigizagi pia anajua anacho kifanya tumsapot nasiyo kuleta mambo yasiyo usika na kazi anayo fanya
@WazaTimothy-kh9ip4 ай бұрын
Lulu hawezi kuigiza uhusika wa Mimi mars jmn
@MariamOfficial-ve1yt3 ай бұрын
We unaweza
@ECAFEZA4 ай бұрын
Jamani wote wako vizuri Ata lulu ageaza Kisha Maria akakaa nafasi ya lulu Tena mungesema ooò jamani tuna mtaka lulu mturudishie lulu wetu wanadamu bwana
@GodilivaSanya4 ай бұрын
Bila maria na kaka freck hakuna jua kali
@user-zx7yi7fs8b4 ай бұрын
kwel
@clementineselemani66994 ай бұрын
Ndo lulu avae na nguo kama ile ile 😂😂
@elizabethdamas-zp9xl4 ай бұрын
ndo sare za kazi yake pale kwny ile ofisi
@clementineselemani66994 ай бұрын
Kwaiyo anatumika peke yake na iyo sare? maana ata nyumbn mimi Marc anakuwaga naiyo vaz
@nyamisanachiwanyi78234 ай бұрын
Hpn wala si ile ya maria ilikuwa na zipu nyeusi hii ni nyeupe...kuweni na machoo
@Official836404 ай бұрын
Mkono na mguu haupo sawa huyu msione kapendeza tu lkn hivyo vitu havifanyi kz vizuri. Ila kaka Fule kajua kumuobyesha dharau Lulu kwa kicheko alichomcheka kisa Pizza Maria ww alikuwa anakuheshim😂
@EMMANUELKIBONA-pu4yw4 ай бұрын
Nakupenda Xana dadaang❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
@Da20nn05y3 ай бұрын
Nawapenda San wote but Mimi mars kuimba tu na kuigiza unujua.i can't wait to see you again❤❤❤❤
@VeronicaGeni2 ай бұрын
Ludi bs tunakupenda
@VeronicaGeni2 ай бұрын
Pole
@dorcusnsajigwa74994 ай бұрын
Jamn tuachen uongo bila maria Anna fule madevu akuna tena jua Kali tunaomba ulud kwanza wew Ile nafasi yako uliitendea kaz unasuka minyosho no kujilemba no nn sasa lulu anavaa mawig anapaka makap apana jamn
@CatherineKweka4 ай бұрын
Poleee
@pamellaokito91044 ай бұрын
Yani mariya kwasasa ana kili nzuri🙄🙄🙄🙄amekuwa kichaa sasa 🙄🙄
Mimi mpaka Leo siangaliagi Tena jua Kali nilikua naangalia jua Kali sababu ya maria mlokole
@chiriccmabobo87464 ай бұрын
😂😂😂😂sasa kuigiza na uemc na kutumbuiza jukwaani ipi inatumia nguvu
@user-up7qx5vy1q3 ай бұрын
😊
@JacklineSweetbert4 ай бұрын
Mimi na jua Kali basi tena
@RahmaIdris-wq3eo4 ай бұрын
Atutakusahau maria
@MariamOfficial-ve1yt3 ай бұрын
Kwanz nyie mnaongea2 nyie mnge pew hiyonafas mngewez jibu ni msingewezaaaa! bas punguzen midomo
@agripinamallya74334 ай бұрын
Mars mm nakupenda wewe
@jallenboy-w8wАй бұрын
da nilitamani aenderee
@eshterjulius34084 ай бұрын
Tumekuelewa
@user-wf9jg3cm5c4 ай бұрын
Mbona bado umevaa Pete ya jua kali
@user-me3so4pi4b4 ай бұрын
Rudi jua kari bn jua kali imepoaa mi nalia et mrs j
@user-uf8hq3ei6e4 ай бұрын
Kwahy Sasa lulu na Anita mkubwa nani
@sharifamohd38574 ай бұрын
hahahah nalo neno
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@sharifamohd3857😅😅😅😅😅😅😅
@YasintaAbely-ov2mb4 ай бұрын
Ukipona tu uludi Malia wetu
@LeilaGube-qn1rn4 ай бұрын
Ila lulu kwa kuigia anakipaji kikubwa kuliko mimi mars oya ee tukumbuke kaole sanaa group ilituetea vipaji akiwemo lulu enziizo ana futa mafua kwa mkono 😂😂😂lulu ninomma sana kipaji kimelala pale
@fj83174 ай бұрын
Unaongelea zilipendwa poor you
@user-kd6fl7lp4t4 ай бұрын
Nyie mnataka maria kwa vile mmemzoea ila kwenye uigizaji luku nimkali kuliko maria Kwanza maria mchanga lulu mkongwe kumbuken helo alfu mpka uongozi umefanya hayo umeona lulu afaa kuwen wa pole kama vipi msiangalie tuone kama mmechukia kweli
@user-ky2ch5rl7i4 ай бұрын
Jman na akili pia imeruka ama😢😢
@salmamlokela19874 ай бұрын
😂
@ManofValor734 ай бұрын
Daaah!!
@rehemadaudi5504 ай бұрын
Alisema kichwa kiliumia
@user-md7sb2vf9q4 ай бұрын
Jua kali bila Mimi mars hamuna jua kali
@BekaBoss-jl9myАй бұрын
😅😅😅😅😅
@user-ds5tf9xx1d4 ай бұрын
Tutakumiss mno Maria wetu
@neemacharles98484 ай бұрын
Pole sana maria nakupenda
@chizashungu83644 ай бұрын
What was said on social media about you,tainted the image of film industry.My advice to you,Just wake up.
Yani kumkataa lulu huo wote ni wivuu kwani sio binadamu kakosea Nini lulu khaaaaaaaaaa Acha aigize mimimarz akipona atarudi nafasi yake Kwa Sasa acha lulu afanye kazi.
@MalaikaBright-rv6yb4 ай бұрын
Pole dear tunakuombea upone na urudi kazini
@OmanOman-dn6dj4 ай бұрын
Jamani mie wameniudhi sana kutuletea muuwaji wa kanumba..asije kutuulia madevu..lulu muuwaji wa kanumba wala hatufai jua kali na Ufupi wake
@barackawithokiswaga26864 ай бұрын
Una uhakika gani kua aliua?
@Fausta-di8qu4 ай бұрын
Acha kuropoka unahakika gana aliua
@dannymoses18824 ай бұрын
Acha ushamba uo ulikuwepo anavyo ua
@aliceudoba36724 ай бұрын
Kuua mchezo mtafute amiel katekela utajua kama aliua au freemason walimchukua kupitia kifo
@vi3ayo16224 ай бұрын
Wewe uliesema lulu muuaji mkundu wako mara 1000000 wakati anaua ulikuwepo wewe nyokoo