chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2
@Sebastianrichard25313 күн бұрын
Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote
@jamesmaneno228113 күн бұрын
Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga
@malietamaliet13 күн бұрын
😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana
@saltechnologiesco.ltd.237712 күн бұрын
Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni
@user-uh2em3og8w11 күн бұрын
We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama
@mathiasdaud784211 күн бұрын
Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂
@abelimaganga41713 күн бұрын
Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha
@FatumaSwaleh-it4qq13 күн бұрын
Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅
@moiseszacariasmoisesmoises12 күн бұрын
miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊
@user-wc2gs5xs1r11 күн бұрын
Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother
@malietamaliet13 күн бұрын
Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi
@mansoursaid813 күн бұрын
Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣
@athumanhusen600812 күн бұрын
Matola mbna amumzungumzii
@leonardmabula947210 күн бұрын
Mwananchi
@ChristianeMahendekaJr-mo6ze13 күн бұрын
Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana
@kaizermgawa13 күн бұрын
anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf12 күн бұрын
Ww chagamba tupe Mzee saidi bana
@elizabethywinnie109013 күн бұрын
Mzee Said yuko wapi jamn😢
@wilemajani13 күн бұрын
Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake
@mr.lawimagupa391412 күн бұрын
UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE
@huseinbusaba506413 күн бұрын
Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
@samsonlusheleja880913 күн бұрын
Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa
@stevensosipita13 күн бұрын
MAKOLOOOOOOOOOOO 😂😂
@jamesmarumbo682013 күн бұрын
Mzee said yupo wapi chagamba
@hoseadyson447413 күн бұрын
Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba
@MzeeMzee-lv7sv13 күн бұрын
Shabalala asije kumroga mwenzake
@mosesnjenga-jc2to13 күн бұрын
Namba ya miraji ama chagamba tafadhali
@samwelingasa163813 күн бұрын
Kramo yupo jamani
@msongeomary619513 күн бұрын
Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa
@BinbbasBinbbas13 күн бұрын
Chagamba unazingua nenda kwa mzee said
@JeniphaRobert13 күн бұрын
Mzee saidi yuko wapi chagamba😭
@user-tg7vq3ty8p13 күн бұрын
Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.
@fatumasophu585513 күн бұрын
Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone
@user-eh6wn9qf4b13 күн бұрын
Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢
@JANE-jv4eq13 күн бұрын
Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi