No video

MIRAJI | TUMKUMBUKE CHAMA KWA ALICHOTUACHIA | USAJILI VIONGOZI WAMEJITOA | JOBE SIO MAAMUZI MAGUMU

  Рет қаралды 27,563

Finest Online

Finest Online

Ай бұрын

Пікірлер: 49
@ChenchiKing
@ChenchiKing Ай бұрын
Miraji Uwaga Akwepesh Yey Uwaga Ni Kutem Fact Tu🔥🔥
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Ай бұрын
Hujawahi kufeli miraji mzeee wa minyoosho❤❤❤
@huseinbusaba5064
@huseinbusaba5064 Ай бұрын
Yani miraji bana et hakuna noma 😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@christinaKufakulala
@christinaKufakulala Ай бұрын
Miraji chukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉 wewe ni mtu na nusu 💪🏾
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile Ай бұрын
Wa pili like kwa miraji mara moja
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 Ай бұрын
Oyaa hivi mwamba anajuaga jinsi anavyonikumbusha ngoma Kali zazamani kutoka kama kawa record
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 Ай бұрын
Miraji Eeee, tarehe 8 tunawapiga hao utopolo niamini 🎉🎉
@AloyceNdalije
@AloyceNdalije Ай бұрын
nakuerewa sana miraji tuko pamoja familia
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 Ай бұрын
Nakuelewa sana miraji,ila me niko pale nimetuliaaaa!!! Krismasi haifiki kuna mtu atatolewa kafara pale msimbazi. Yani ni kama msimu uliopita.
@saidkhadija7557
@saidkhadija7557 Ай бұрын
mamaeee kama naonaaq
@BubuallyMwakipesile-br8dc
@BubuallyMwakipesile-br8dc Ай бұрын
Miraji wewe nimwamba na kukubali jembe ila wambie viongozi wawalinde wachezaji wetu pia Dua isomwe kwajili ya wasaliti plz plz
@mrtallentsgp2623
@mrtallentsgp2623 Ай бұрын
😂
@JacobTambara
@JacobTambara Ай бұрын
Hiyo Dua una timu??
@williamissaya8091
@williamissaya8091 Ай бұрын
Miraji waambie viongozi wa Simba kwamba yanga Wana mbinu kubwa 5 za kuiharibia zimetumika muda wote Toka waanze kuchukua ubingwa wa miaka 3 mfululizo, Sasa Simba kama watazing'amua Basi yanga hawana lolote.
@hammytototundu9292
@hammytototundu9292 Ай бұрын
Nimefanya sana kubadirisha radio dah
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
mimi naeza washauri costal kimataifa waakikishe matampi na lawi wasiwauze na juma Shaban kama anakuja kweli atawasaidia ila nimeona game ya Leo wamecheza vby kisa awana first eleven Yao Ile ya msimu uliopita
@clintonnyaluke1567
@clintonnyaluke1567 Ай бұрын
big up sana.
@ahmadakhelef9650
@ahmadakhelef9650 Ай бұрын
marahii wkipita nyum tunapita hukohuko hakuingia vyumbani hatuingii mpaka kidleweke
@FahiyeFarah6878
@FahiyeFarah6878 Ай бұрын
Miraji is a world class PUNDIT 👏
@user-nh5ch4ur5x
@user-nh5ch4ur5x Ай бұрын
hadi Dk 21:59 chagamba hajala makofi ya bega !
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
Kwani crown ya king kiba haimuoni chagamba na miraji siwaende wapige pindi laopale liwe pindi Lao pendwa ? King anafeliwapi . Anakazana kuokota okta waliotumika huko
@saidkhadija7557
@saidkhadija7557 Ай бұрын
fact bro
@user-hy6lh7cp1q
@user-hy6lh7cp1q Ай бұрын
miraj nakubal sana bro coz unaongeaga fact bla kujal ushabk Yan unaweza kaka ungelkua kwenye media ingependeza sana
@Nuraty-oy1zy
@Nuraty-oy1zy Ай бұрын
Miraji uko vzur cna unajua mpran kinoma
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 Ай бұрын
Mara mmoja kama NOMA NA IWE😂😂😂😂
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx Ай бұрын
Milaji ❤
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Ай бұрын
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@BasuleBasule
@BasuleBasule Ай бұрын
Chama Baba❤😂
@SumaEtoo
@SumaEtoo Ай бұрын
Kak unalijua sana ball yan ungekua kwenye midia da tungekua tunafurah sana
@HajiSimai-pp9cm
@HajiSimai-pp9cm Ай бұрын
Ndugu miraji unahabari gani kuhusu mpazu
@johnmwita9370
@johnmwita9370 Ай бұрын
Toka nikufatirie Yani ongera sana
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 Ай бұрын
Tatizo ushabiki mtu wa simba akiongea ukweli au akiwasema viongozi wake mnafurahi nyie mbona hamsemi yenu
@realmalik3192
@realmalik3192 Ай бұрын
Kila Nikiangalia Kwa Usajili Tuliofanya Simba SC Nanusa Chuma 3 Anakufa UTOPOLO August 8 Japokuwa Wako Bora Sana #respect #nguvumoja
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Ай бұрын
Sawa in'shaaAllaah tunasubiri dakika 90'
@BibeLunangela
@BibeLunangela Ай бұрын
Pole
@pauljoackim2786
@pauljoackim2786 Ай бұрын
WATU WA MPIRA! HATARI SANA:
@AlfaKanasa-zv9fo
@AlfaKanasa-zv9fo Ай бұрын
Miraji vs chagamba nguvu moja unyaman
@user-xe8uk1fs3l
@user-xe8uk1fs3l Ай бұрын
Chagamba jeziza Simba zikitokitoka nambieni
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala Ай бұрын
Watu wamaana kabsa hawa
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 Ай бұрын
Chagamba, Tatizo je Simba ataendelea kuwa hyo nafasi ya kuanza stage ya pili.? chagamba
@idrisakhalfan7025
@idrisakhalfan7025 Ай бұрын
Huna baya
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 Ай бұрын
Leo hii Miraj unasema shirikisho ni shindano kubwa,hatari sana aisee Pindi yupo yanga,uliponda sana...😂😂😂
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 Ай бұрын
Acha unafiki, leta hiyo clip aliyopinga
@florakasike4331
@florakasike4331 Ай бұрын
lini aliongea tofauti
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 Ай бұрын
Tuletee hiyo crp...kumbaffff
@fadhilimrisho7804
@fadhilimrisho7804 Ай бұрын
Crip zenu ni nzuri ila nashauri muwe mnaweka fupi
@elizabethsingano5922
@elizabethsingano5922 Ай бұрын
Wakwanz
@realmalik3192
@realmalik3192 Ай бұрын
kalale
@EmmaPallanjo
@EmmaPallanjo Ай бұрын
×1 ukweli simba Hadi Sasa hivi usajili tumeridhika nao ila mm binafsi natamani Elie mpanzu aje unyamani naamini kocha atakuwa na machaguo mengi vipi Kwa upande wako
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 39 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 16 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН