MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO

  Рет қаралды 921,195

Wasafi Media

Wasafi Media

4 ай бұрын

MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 278
@asteriashios1852
@asteriashios1852 4 ай бұрын
Miso missondo nawakubali sana watafika mbali sana Kila mahali lazima waalikwe wanatufurahisha sana sisi watu wazima
@wizk_halfa
@wizk_halfa 2 ай бұрын
Hatari sanaaaa😅😅😅😅
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Mwenye kigaloni mbona yupo😁😁😁😁👍👍❤❤ila nguo leo ziko safi kweli'mwaliko ni MKUBWA huu.
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t 3 ай бұрын
Tena Leo n beat tuu hakuna maneno 😂😂😂
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 4 ай бұрын
Hii nchi ukijifanya una akili zako una kufa masikini😅😅😂😂😳😳🏃‍♂️🏃🏃
@user-fx4pr4vp8p
@user-fx4pr4vp8p 4 ай бұрын
Hapo kweli unacho lakin unakuwa maskin tumia fan yako
@fridaanders183
@fridaanders183 4 ай бұрын
😂😂
@amanmalik6917
@amanmalik6917 3 ай бұрын
Ukitumia akili za shule kutafuta hela hutoboi
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 3 ай бұрын
@@amanmalik6917 🤣🤣🤣😂😂 seriously
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 3 ай бұрын
Haswaaa kiwa navitu vyakichizi ndio unaonekana
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 4 ай бұрын
Mungu akitaka kupa hakuandiki barua yan wamefika mbaka kwa mwueshimiwa kama masihala
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 4 ай бұрын
😅😅😅😅maisha ni plan ya allah
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
Haswaa
@user-bq3np7gt3z
@user-bq3np7gt3z 2 ай бұрын
@@user-pw2sw1sk1byeah
@mariamyusuph3262
@mariamyusuph3262 4 ай бұрын
Namkubali sana waziri mkuu.mungu amlinde
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 4 ай бұрын
Dah Ktk serikali yet naombeni nimpe waziri Mkuu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
@subiranathanaeli-yd1tw
@subiranathanaeli-yd1tw 3 ай бұрын
Agombee tu urais jaman
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
Wakati wa mungu Big up kazi kazi
@user-ft7qb1wq8i
@user-ft7qb1wq8i 4 ай бұрын
mama samia kaamua kuwaachia wenyewe Tanganyika mupokee ndege yenu yeye yupo kwao zenji .safi sana mama
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 3 ай бұрын
Kwan tanganyika sio kwake?
@abedysteven4930
@abedysteven4930 4 ай бұрын
Aisee kiukweli hii nafac hamkuitegemea leo mungu kawafkisha mbali!! Mshukuru mungu wakat wote amen
@maryjoseph1996
@maryjoseph1996 2 ай бұрын
Upo vizuri nakukbal
@user-oc8rh9br4k
@user-oc8rh9br4k 4 ай бұрын
Jaaaman tnzn muraha😂san nataman nifike InshaAllah
@marcelinamyallo4098
@marcelinamyallo4098 3 ай бұрын
Karibu sana.
@SikudhaniIbadi
@SikudhaniIbadi 4 ай бұрын
Miso misondo namkubali sanaaa
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 4 ай бұрын
Yani Uyo DJ ni maandazi kabisa Kazingua sana Yani 😲
@user-bg6kp7lp6u
@user-bg6kp7lp6u 3 ай бұрын
missomisondo in the world❤❤❤❤ kinomaa yaniii
@user-gr9qs2db6j
@user-gr9qs2db6j 3 ай бұрын
Unyama ni mwingi sema wamezingua kufua nguo zao maan zikiwa chaf ndo unyam wa kutosha lakin wapew maua yao💐💐💐💐
@madamjoy2402
@madamjoy2402 3 ай бұрын
Misodo wamejitaidi 🎉😂❤❤❤❤❤❤😅😮😢
@GloiSa-of6vo
@GloiSa-of6vo 3 ай бұрын
Nijambo la aibu taifa kufanya hafla ya mapokezi ya ndege. Hii nikukiri umaskini ambao sio uhalisia wa Tanzania
@ABUUSHURAIM
@ABUUSHURAIM 20 күн бұрын
Sawa tu Kwan Mara ngapi wew unafanya birthday unamwaga pesa afu Kiran anapga miayo mbona uko hamshangai ivo ukiona unashndwa kuhurumia wasio nacho na ukafanya ufujaji wa pesa ovyo bac ni ivo ivo ata juu kaa kimya
@hyerarosemary
@hyerarosemary 4 ай бұрын
We miso misondo umepigajee apooooooo (kusini kwanzaaaa)
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 4 ай бұрын
Mungu akitaka kukupa akuandikii barua😂😂😂😂😂
@saidmayombya2798
@saidmayombya2798 4 ай бұрын
Sijapenda maan sijaisikia honey ya miso misondo
@paulchirstian
@paulchirstian 3 ай бұрын
Jaivah
@paulchirstian
@paulchirstian 3 ай бұрын
Jaivah
@brandsmedia4861
@brandsmedia4861 4 ай бұрын
nawakubali ila hapa hakuna mlifanya aisee
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 4 ай бұрын
Mungu azidi kuwabariki misso missondo
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 4 ай бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi 100%
@abeidmbano6077
@abeidmbano6077 4 ай бұрын
Joty angekuwepo kikosini..nakazia
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 17 күн бұрын
Mm nawapenda wakiwa wamevaa nguo chafu,,Leo mmefua ,,illa pokeen maua yenu🎉🎉🎉
@user-mm5td4rz8t
@user-mm5td4rz8t 4 ай бұрын
Tanzania Kuna Uhuru kweri🙏🙏
@Deldy-ww5gx
@Deldy-ww5gx 4 ай бұрын
Bien sana ❤️✌️ niko Congo 🇨🇩🇹🇿
@victorphilipo
@victorphilipo 3 ай бұрын
Mimi sierewi kira mwaka cag anasema shika randege rinaendeshwa kwa hasara sasa nawaza hospitari hakuna madawa ndege ya nini tuwaze kabula ya kutenda
@user-mp3fb9gu8g
@user-mp3fb9gu8g 4 ай бұрын
DJ sijui anawaonea wivu madansa wake kaboa hatali wakati mwingine anatamanigi nae haingie Kati kucheza
@barakalema4358
@barakalema4358 4 ай бұрын
Sasa shirika la ndege linajiendesha kwa hasara halaf bado mnanunua ndege what a shame
@BundalaCharles
@BundalaCharles 3 ай бұрын
nawakunari sana waje nahuku geita wapige show
@kingthedon508
@kingthedon508 4 ай бұрын
Dj kazingua alafu hao jamaa ni wengi sana wangekuwa at 5 wangevutia zaid
@saidyally8148
@saidyally8148 4 ай бұрын
kwahiyo wengine tuwapereke wap?
@kingthedon508
@kingthedon508 4 ай бұрын
@@saidyally8148 wachukue ww
@sebastianphineas1593
@sebastianphineas1593 4 ай бұрын
Leo dj kaboronga kabana mziki mbwembwe zimeharibu hawajakinukisha vilivyo
@salimkatumbaku3384
@salimkatumbaku3384 4 ай бұрын
Dj anapika tu kwa faida yake, awa jamaa wasipo cheza kwa mpangilio watapotea mapema sana
@peterpetter1311
@peterpetter1311 4 ай бұрын
Jamaa wanajua sana miondoko
@KINYONGAMASAUTI
@KINYONGAMASAUTI 3 ай бұрын
Nakukubali sana wazili
@danielmgonja9906
@danielmgonja9906 4 ай бұрын
Bado tuko nyuma sanaa daah mpka Leo tunafanya sherehe mapokez ya ndege Tena Moja aise
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 4 ай бұрын
Uyo DJ maandazi kabisa Kazingua sana
@aminihashimu9979
@aminihashimu9979 3 ай бұрын
Leo kafeli sana
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 3 ай бұрын
Kapaniki
@KarimuYusuph
@KarimuYusuph 3 ай бұрын
ukibaitika kuwa kiongozi wakat huu wa bb tt uta enjoy sna
@ANAMARYRUNYORO
@ANAMARYRUNYORO 4 ай бұрын
Sema bdo hampo organized lkn mnafurahisha
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 4 ай бұрын
mmetisha sana wanangu
@erickmsemwa4268
@erickmsemwa4268 3 ай бұрын
Hatari saana ngoja wapige hela.
@user-ow8ux5lt1h
@user-ow8ux5lt1h 4 ай бұрын
Kwani miso missodo ni team au ni msanii
@KassimBwanali
@KassimBwanali 4 ай бұрын
Misomisond ni dj wa mzik
@maigekigendi6414
@maigekigendi6414 4 ай бұрын
Sasa hapo Kun miziki gani ama kweli maisha ni Bahati
@gracemassawe3670
@gracemassawe3670 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hamadichopoti2996
@hamadichopoti2996 4 ай бұрын
Wauni wamekchafua had serikaln😂😂
@KharudickigMkolosai
@KharudickigMkolosai 3 ай бұрын
Mh hiyo ndo miujiza ya Mungu umepigaje apo
@user-zv4ip3zu8p
@user-zv4ip3zu8p 3 ай бұрын
Utamu ni nguo zao chafu na hio ndio nguvu ya Africa
@user-do9fj6uy1p
@user-do9fj6uy1p 3 ай бұрын
😂
@salhaiddy403
@salhaiddy403 3 ай бұрын
Nawapenda Sanaa hawaa watu nachekaga tuu 😂😂
@KarangiMafuruMjinja
@KarangiMafuruMjinja 3 ай бұрын
oya weeee nakubali xana misomisond
@nuruhhussein167
@nuruhhussein167 3 ай бұрын
Waziri 🙏
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Wazee wa makoti'kusin hoyooo❤❤❤❤
@KingPeter-hi3sk
@KingPeter-hi3sk 2 ай бұрын
❤mkhhggggjj
@nestorynestoryjohn4738
@nestorynestoryjohn4738 2 ай бұрын
Mungu nakuomba ujibu maombi yang kwazia sasa
@AllySeleman-co6km
@AllySeleman-co6km 4 ай бұрын
Jama Wana weza sana
@lusakokyando8693
@lusakokyando8693 3 ай бұрын
Namshukuru mama kwa kutuletea makoti
@user-wd2zh9hr3c
@user-wd2zh9hr3c 3 ай бұрын
Nawakubalisana❤
@sheyjimmy6055
@sheyjimmy6055 3 ай бұрын
Kumekosekana vumbi tu😅
@Victoria-bv6xu
@Victoria-bv6xu Ай бұрын
God bless you
@EmadoDone
@EmadoDone 4 ай бұрын
Amen
@ridermc7734
@ridermc7734 2 ай бұрын
Mungu akipanga kuwa inakuwa
@user-pe1qv1sn5p
@user-pe1qv1sn5p 3 ай бұрын
nasikia matikiti matikiti ama nimesikia vobaya alafu bangi sio mchicha haki 😂😂😂😂😂😂
@AmiriHamisi-lj4zg
@AmiriHamisi-lj4zg 3 ай бұрын
❤❤❤❤love
@andersonsamuel9214
@andersonsamuel9214 3 ай бұрын
apa wamezingua. beat haijaleta vibe kabisa. kuna kionjo tumekikosa kabisa
@ApronalCharles
@ApronalCharles 4 ай бұрын
Mwenyew nikinunua baiskeri nawaharika
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 ай бұрын
Dj,,muhuni....hafla kama hiii speed yoote ya mziki unakimbilia nn,,sio wote wazaramo bhana
@rajabungatanda630
@rajabungatanda630 4 ай бұрын
Amakweli rizki ina nguvu Misomisondo amepata sifa kwa kuvaa Makoti na kuruka ruka tu
@KhadijaKindamba-yj9bn
@KhadijaKindamba-yj9bn 2 ай бұрын
Sana unaweza 🎉❤
@p.l.sfinancialserivesltd-fe3jt
@p.l.sfinancialserivesltd-fe3jt 2 ай бұрын
Mung azidi kuwapa sku nying miso msondo nawakubali San nilifurah sana pale niliposkia Ngoma ya kupigwa na kitu kzito hatar san
@YaqoobElyasa
@YaqoobElyasa 4 ай бұрын
Mh watu na mamb yao now kila moj ana angalia upande wake
@KarimujumaMkasa
@KarimujumaMkasa 3 ай бұрын
We misi misondo nakup dadaa
@janemcharo5371
@janemcharo5371 4 ай бұрын
Hv miso misondo mnanini lakini😂😅😅Niachen😊
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 3 ай бұрын
Wewe zunguka naPHD zako kwenyemaofi yalioandaliwa nafamilia ya kwaniaba ya watoto wavigogo uku wadu wanapiga pisasa bila kutumia akili ya PhD bidii yako tu❤
@betumargytvmedia.6297
@betumargytvmedia.6297 3 ай бұрын
mi nimesikia tuuu misondo ee luhya in the house sema tu hi
@innocentchristopher7571
@innocentchristopher7571 4 ай бұрын
Sijapenda Leo wamefua nguo bana hahaha
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 4 ай бұрын
😂😂😂😂👍👍👍
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 4 ай бұрын
😂😂😂sasa hapo ni kwa Mheshimiwa
@innocentchristopher7571
@innocentchristopher7571 4 ай бұрын
@@happynesbaemuhappynes8813 hahaha ndo wafue nguo jaman dah hahaha Leo saf kwl
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@veronicaromwald8311
@veronicaromwald8311 4 ай бұрын
😂😂
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 4 ай бұрын
Wazee wa makoti wapo kwenye moto, nchi yao sasa hivi, wamekaikamata vema😅
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 3 ай бұрын
Inyanyapaa dhidi ya walemavu mbele ya viongozi wa serikali, na wanachekelea tu.
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 4 ай бұрын
Kumbe ata mimi nikinunua gari mpya itabidi namualika angalau mkuu wa wilaya kuzindua
@user-mu1uf2rl4x
@user-mu1uf2rl4x 4 ай бұрын
😅😅😅😅 sasa ww sisimizi na tembo wapi na wapi,tofautisha vitu vya umma na vitu vya mtu binafsi jombaa
@shadrakagalus1185
@shadrakagalus1185 3 ай бұрын
Keep it up miso misondo🎉
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 ай бұрын
Mosondo inavutia ukipiga saiz ya kati,,we dj wa wapi??
@MremaMkunji
@MremaMkunji 3 ай бұрын
Dj kazingua Sana hapo
@user-jw8pw2pd9l
@user-jw8pw2pd9l 4 ай бұрын
Hamna kazi ya kufanya mmekuwa mavichaaa kabisa
@milley7185
@milley7185 3 ай бұрын
Vichaa vyao vinawalipa pesa
@shupanamugala6266
@shupanamugala6266 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@upendomwampulule1724
@upendomwampulule1724 3 ай бұрын
Big up msondo wako vinzuri
@JafaryChamungwana
@JafaryChamungwana 2 ай бұрын
ukivaa hivo mtaana unaonekana masikini.
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 3 ай бұрын
Haya makoti ni ya urithi au?😂😂😂
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 4 ай бұрын
Ukitaka uwe maarufu fanya mambo ya kipumbuvu hii ndiyo tz
@wilsonlombweti2868
@wilsonlombweti2868 4 ай бұрын
good
@aloycebabene6239
@aloycebabene6239 Ай бұрын
Kuna pesa imetumika hapo.. Then hakuna pesa za kununua vitabu kwenye shule na vyuo binafsi ilhali wanaosoma ni watanzania pia na wazazi wao wanalipa kodi.
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 4 ай бұрын
Ndio nawaona leo , ngoja nikae kimya
@TausiOsein
@TausiOsein 2 ай бұрын
Nawapenda jamani 🥰
@EmanuelMsangi-ro9we
@EmanuelMsangi-ro9we 3 ай бұрын
Kazi kazi babu
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 3 ай бұрын
hapo kwenye kama kilema, hapana. siyo vyema kuigiza kasoro za wenzetu maana hayo ni maumbile walopewa na Allah
@benancejohn1198
@benancejohn1198 3 ай бұрын
Ukijifanya upo serious na haya maisha, hutatoboa 😂😂😂
@user-ps1xy1mw4s
@user-ps1xy1mw4s 3 ай бұрын
😮noma balaas
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 4 ай бұрын
Mbona wamekua wengi ivi au na wao wamefanya usajili 😂😂😂
@user-nl8ec4np1t
@user-nl8ec4np1t 4 ай бұрын
😂😂
@user-sc7sn6ux2v
@user-sc7sn6ux2v 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@nuruhhussein167
@nuruhhussein167 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 4 ай бұрын
Wanaaibisha Tanzania
@user-pd5ev1fi8q
@user-pd5ev1fi8q 4 ай бұрын
Pitia frm254 💥💥
@user-je8hj2fv1q
@user-je8hj2fv1q 4 ай бұрын
Nunueni makoti safi,muwe smart,mtapendeza zaidi,hasa kipindi cha kampeni,mikoti hiyo mnaonekana wachafu, mbele ya wagen
@JOSEPHDUNIA-qi3ol
@JOSEPHDUNIA-qi3ol 4 ай бұрын
Kazi ya Sanaa hiyo😂
@IsaacLameck-nz8yr
@IsaacLameck-nz8yr 4 ай бұрын
Shirika Hilo ndo linaleta haaara ya billion
@hassansuleiman-ph3jg
@hassansuleiman-ph3jg 4 ай бұрын
Kula Chuma ikooo😂😂😂😂
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 4 ай бұрын
Miso misondo izo nguo zao vip😂😂
@ErnestAbel-gn9px
@ErnestAbel-gn9px Ай бұрын
Wapewe kibunda chao kazi imeishaa
@neemaneema-xw1ol
@neemaneema-xw1ol 3 ай бұрын
mashall❤❤❤❤❤
@neemaneema-xw1ol
@neemaneema-xw1ol 3 ай бұрын
unatari❤❤
@djumatenga4774
@djumatenga4774 4 ай бұрын
Hhhhh naburundi tunawapenda
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 19 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 52 МЛН
The Day Ronaldinho Showed Zidane Who Is The Boss.
14:05
RDHDComps
Рет қаралды 42 МЛН
SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO
40:50
CLAM VEVO
Рет қаралды 654 М.
TAZAMA OSCAR NYERERE ALIVYOMUACHA HOI RAIS SAMIA, AITWA KUTUNZWA
6:20
KINGWENDU AJARIBU KUWA PATANISHA DAIMONDI NA KONDE BOY UTACHEKA SANA HII
7:44
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
CLAM VEVO
Рет қаралды 341 М.
All creatures are from God #jesus #jesuschrist #jesuslovesyou
0:19
Jesus By Your Side
Рет қаралды 4,3 МЛН
А ЧТО С ЗУБАМИ ТО?😂😂🦷
0:54
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 1,9 МЛН
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3 МЛН
La emociones de Bluey #歌ってみた #bluey #burrikiki
0:13
Bluey y BurriKiKi
Рет қаралды 30 МЛН