KWA WANANDOA TU - Ili kuongeza thamani yako wewe kama mwanamke. Jifunze kukata kiuno kuboresha eneo la tendo la ndoa katika ndoa yako. Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39
Пікірлер: 143
@aishahaisha49415 жыл бұрын
Aki asante nimejifunza fundisho Kali lenye na nguzo zote za kuenjoy tendo la ndoa nimefurahi na umeniboost sana sina cha kukupa ila mungu Wa mbinguni aliyekupa hii Neema ya kufundisha mambo haya ya thamani na sema azidi kukubariki nyanja zote
@raminsafari82974 жыл бұрын
Hakika Mungu are not limited,kuona yeye ni juu ya mambo yenye tulifikiria kubwa kizima kutoka kinywani mwake mtu yeyote ile hadharani. Yesu apewe sifa zote!
@stephanochungu59594 жыл бұрын
Kama una amin wana wake ngangali wapo wengi gonga like
@judithcherono25955 жыл бұрын
Hahahaha pastor am single Umeniamsha aki😀😀aty kata kiuno😂😂mbaka nmeskia utamu😀😀Aki apo mwenye ajui kuinua leo amejua Awesome man❤❤😘😘😘
@musamwapinga3614 жыл бұрын
Sijui kwa nini umenyakuliwa mapema Mwalimu Wanguu 😍
@abedymigodela13145 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumish wa Mungu kwa kuponya na kuokoa ndoa za watu mamia na zaidi
@holySpiritchoir245 жыл бұрын
Mambo makubwa hayo...!! Kila la kheri wanandoa..🙌🙌
@makolemwita97364 жыл бұрын
duuuuu hakika mipango ya mungu haina makosa mungu ukupunguzie dhambi ulale salama mchungaji R. I. P mbelee yako nyuma yetu pumzika kwa aman
@bandekepaul69555 жыл бұрын
Kwel kabisa walio wengi hawana radha maan wakina baba wengi wanalalamika kwa marafik zao mpaka kunazuka ugomvi ndan kwaajir ya kutafuta kuridhishwa.
@janempoki17095 жыл бұрын
Mamboo ya kuzima taa si mahabaa ni kuwangaaa washenii taa waonee shangaa jaaaamanii kama umeona ni kweli nipe like
@edwardmahemba81895 жыл бұрын
Asante sana mchungaj nimekuelewa sana mngu aendelee kukulinda ili utufundisha meng
@omarikintu86425 жыл бұрын
Patamu hapooo mtumishi wa Mungu
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu, RIP mtumishi wa Bwana ! Tuliipenda sana huduma yako. Na ukweli ulikuwa ni muwazi na wa tofauti sana katika eneo hilo. Rest in peace brother, Mioyo yetu inalia, ila pia ina furaha kwa kuwa tunajua upo salama pamoja na mzee Ibrahim, Lazaro pamoja na watakatifu wengine mbele za uwepo wa Mungu Baba wakati huu mkiendelea kulisubiri Kanisa na kuungana nalo kuingia mji ule Mtakatifu ambao haki ya Mungu inakaa ndani yake !
@hassanrashid59355 жыл бұрын
Hapo patamu sana sasa nafanya mpango wa kuoa.
@heavenlightmushi6495 жыл бұрын
Nakupenda Dady God bless you Man of God
@mealemalika75655 жыл бұрын
Asante mchungaji mafunzo bomba kipindi chako chanifunza mengi yenye sikuyajua
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Wanaume wengi hawapendi wake zao wafanye kazi,wala kujishughulisha
@franciscarlaizer14355 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. Barkiwa mchungaji
@roseindekhwa76375 жыл бұрын
Safi kabisa Kenya tunakukubali mafundisho mazuri sana
@wilfredmtumkubwa98545 жыл бұрын
Thankyou .Remember my country with prayer God be with u all
@isayakalinga64755 жыл бұрын
Nakupenda bure mwalimu @mitimingi
@neemalucas45824 жыл бұрын
RIP baba hakika mafunzo yako yataendelea kuishi tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza imani umeilinda😭😭😭
@angelsylvester47955 жыл бұрын
Duh hahahaaa yani wee acha tu mtumishi inaonekana idara iyo yuko vizur😱😱
@user-no5iy4fx2t5 жыл бұрын
Asante sana barikiwa ninaendelea kujifunza na kubarikiwa pia
@janejoseph84675 жыл бұрын
Asante Kwa mafunzo
@carolmuchiri99214 жыл бұрын
Duuh kwa nzia reo nitakua nikimpa Mume wangu kira siku asante Mchungaji na swari nyigine jee nakama nina Maziwa madogo!
@elizabethjuma48395 жыл бұрын
Duuuuuh somo nzuri
@rabansinkala52195 жыл бұрын
Mbarikiwe
@lornaongayi15954 жыл бұрын
Thank you for enlightening women.I've liked it.
@boniventuremarrirey69305 жыл бұрын
God bless you for your good teaching Mwalimu Dr Mitimingi
@tumpeernest96904 жыл бұрын
So sad umekufa ndo nimeanza kukufuatilia ulikuwa amazing Sana mchungaji 😘😘
@wilfredmtumkubwa98545 жыл бұрын
Amina mi nko kenya but uwa napenda mfunzo yko
@jayma15375 жыл бұрын
Duu somo limeshiba kwel..kwel
@matirdakarlo12335 жыл бұрын
asante mwalim somo nzuriiisana
@shantaaswad95235 жыл бұрын
Thank you
@hudahope86135 жыл бұрын
nimecheka wallah asante kwa somo
@isaacwafula95274 жыл бұрын
I'm touched. By miti mingi
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Alafu weee miti mingi wewe😃😃😃😃
@trophainamagogwa11635 жыл бұрын
Tanzania mnafundisha saana mambo ya Ndoa lakini Talaka ni nyingi kwa nini?
@bettyoluoch97745 жыл бұрын
Pwaaaaah niokotwa Kenya
@janethishengoma49595 жыл бұрын
Barikiwa sana,asante
@linahsemindu95754 жыл бұрын
kweli wema,hawadumu ktk dunia dah! pumzik kwa,aman baba
@lydiahann17374 жыл бұрын
Good teaching Dr mitimingi
@maryjoeljoel5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 thank you so much mwalimu be blessed.
@patiencemwende44515 жыл бұрын
wow barikiwa mtumishi
@nzisakasau82345 жыл бұрын
😂😂😂nimecheka kweli funzo nzuri
@prettynesspastory31114 жыл бұрын
Bado mapema sana!! Tutapata wapi material haya? Mungu watie nguvu familia,kanisa na taifa zima mana hili pengo halizibiki!! Mungu tuhurumie! Pumzika kwa amani baba yetu
@exaverykapiry18114 жыл бұрын
Safi saaaana mchungaji umesema kweli
@trophainamagogwa11635 жыл бұрын
Mnatuchanganya mchungaji Daniel Mgogo anawataka wanawake waombe Pesa kwa waume zao wewe unafundisha Kuwa wanawake wajishughulishe,kipi tushike?
@edinalihedule34215 жыл бұрын
Aiseeeee!
@hamidakassim45 жыл бұрын
hapohapo mchungaji! ushanenaaaa kwa kukata maunoo😃😃😃😃😃😃😃
@allanjoseph77594 жыл бұрын
Daaah maneno matam saaanaaa 🔥 🔥
@charlsehizza19145 жыл бұрын
asanteeee ubarikiweee mtumishi
@lourinechanzu20604 жыл бұрын
Am enjoying this 🙏
@focustz44085 жыл бұрын
.leo nimecheka sana ila jambo naumwa apo kwa wanawake umewafikisha kweli
@angelinaelishachisongela78595 жыл бұрын
Hii kali ila ina mafunzo ya kujenga
@jordiegradie66044 жыл бұрын
Somo nzuri kabisa
@bettyoluoch97745 жыл бұрын
Wamama mko smart sana be blessed
@ibrahimgwasma2354 жыл бұрын
Jifunze kukata kiuno ,,makavu live bila kupepesa macho
@suzanmbaigwe53405 жыл бұрын
mh nmeipenda hii
@karolibunyinyiga46724 жыл бұрын
Rest in peace, your teaching will leave for a long time