Amen nimepokea kutoka Dubai nilikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi lkn kwa dk chache nagusa miguu nahisi .kitu.nilikua nimelalal ghafla nimeamka ahsante mtume Dr mwamposa barikiwa baba
@RoseLukandonda2 ай бұрын
Naomba kupokea uponyaji, naomba kufunguliwa kila kitu kwenye maisha yangu, naomba kupokea uponyaji kwenye kizazi changu, kazin kwangu, kila njia ya mafanikio, navunja kila mikosi, laana, kupona ugonjwa, Leo napokea katika Jina Yesu Amen
@dativafreedrick9965 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish Boniface kwa Kaz yako na mm naomba uniombee maombi yangu Saba niiyoweka mbele ya mazabau yako.amina
@FurahGrace2 ай бұрын
Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza yani tinguba ❤
@FurahGrace2 ай бұрын
Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza
@user-sj8os4zl5l2 ай бұрын
Amen 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏 napokea kutoka Saudi Arabia napokea muujiza wangu kulipwa madeni yangu napokea uponyaji na ndoa yangu kulejea
@rainacypriansebastian81003 жыл бұрын
Nipatie Mme mwema,nishinde mitihani yangu ,nipate nafasi ya flied ,napokea naomba kufunguliwa kwa jina LA Yesu
@samwelsakaza93143 жыл бұрын
Naomba mungu anipenguvu za kila Aina iliniweze kufanya mambo yangu kwa kurud kubwa amen
@FurahGrace2 ай бұрын
Nataka ni zaye wa mapasa tatu waume mbili n'a musichana moka mutoto yangu apate kibali ya kuenda Ichi ya kigenyi niuzeihi nyimba nikonakaa ndani Niki uze kiraisi niuze ngari ki raison tuu yote ninao maitaji itendrke kiraisi tuu amen
@FurahGrace2 ай бұрын
Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza yani tinguba
@josephinachipa39284 ай бұрын
Napokea uponyaji wa mwili wangu na napokea mambo mazuri na mafanikio yangu Kwa jina LA yesu
@theonestinakaizilege99744 ай бұрын
Uchumi ukaongezeke kila kazi iongezeke kwa kasi Amen 🙏 🙌 ❤️
@maryamjumah13 күн бұрын
Naomba mchumba wangu khalid afunguliwe maisha yake na mwili wake apate kutembea vizr arudishiwe maisha yake yaloharibika na nguvu za majini
@SADAMKUYU8 сағат бұрын
Naomba mungu anisaidie nipate Mme pia nlgunguliwe uzaz nopata families pia nifunguliwe kiuchumi
@josephinachipa39284 ай бұрын
Napokea uponyaji wa mwanangu janeth kupata kazi nzuri kiurahisi
@anchillakagombola93 Жыл бұрын
Glory to God.Asante Mungu kwa baraka za kufunguliwa kiimani, kimaisha, kikazini, kiafya Na mentioned mengi kwa familia na uzao wangu.Mtume barikiwa sana na Bwana Yesu.
@marypaulo13634 ай бұрын
Naitwa Mariam Marco paul namshuhudia mungu amenitendea mengi mweza wa 8 tulikuja kawe badaa tu ya kuganyaga mafuta nakujiungamanisha na komboa familia usiku nikiw kawe asbuh yake tukapigiw cm paka wawili wamekufa na niliandika maombi 12 mme wangu aache pombe na tayar ameacha namshukur mungu na mtoto wangu alikuwa na kifafa miaka 12 na shv anaendela vzr mungu mungu akulinde uishi miak mingi baba
@Mwaminihabarugira4 ай бұрын
Naitwa mwamini nahitaji kuombea manymbani and shine nayipendasana Asante nipo ichi ya burundi mupakan y Tanzania
@user-eb3fh7vf1h3 ай бұрын
Asante Mungu naomba nipone hofu na wasiwasi naomba aman moyon nimekosea aman baba naamin katika jina lako
@TinaJulius-in8rd3 ай бұрын
Naomba uniopee na mim niolewe ndio ya Baraka nipete nijilie uzao mwema mungu wangu mutumishi wa mungu atakapo omba na mim poake kwajina la yes Amina Amina nimepokea
@noellaNigaba-qg5vj4 ай бұрын
Naomba mungu aniponye magonjwa yananisumbua mudamulefu pia nawatoto wangu wanashida kupitiya Baba anawatesa sana haaudumiye naomba mungu amufunguwe katikajina layesu
@HagaiAron8 ай бұрын
Naamini napokea nguvu za Mungu,kama Prophet Mwamposa mtumishi wa Mungu ulivyosema.Amen
@Mwaminihabarugira4 ай бұрын
Napokea kwajina la yesu Krist niweze kubeba mimba myaka 23 nime olewa sijawahi kushika mimba ❤❤❤
@marypaulo13634 ай бұрын
Kwa kupitia madhabahu ya inuka uangaze Leo nafunguliw biashara yangu amen
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏hakika unafungua wengi hata mamaagu alinusurika na kifo iman yake ndo ilimuokoa kumbeba mafuta ya upako wakati wanasafiri walitetwa na majambazi jiani 😭😭😭lakin hawakufanikiwa nashukuru Mungu alikuwa upande wao
@josephinachipa39284 ай бұрын
Napokea uponyaji wa mwili wangu Kwa jina LA yesu
@ulumbimtemi76252 жыл бұрын
Navunja roho za utasa ktk uchumo wangu,roho za unyumba wangu nazivunka amina
@SleepyBallet-yp2cu4 ай бұрын
Najiungamanisha na maombi haya komboa familiy kwa jina la yesu kirsto ameeeen,
@rashidykidaude75993 жыл бұрын
Mungu Ni Mwema Nimesikiliza Haya Maombi Leo Lakini Nimehisi Kama Kitu Kimeachia Tumboni, Asante Yesu Ubarikiwe mtumishi Wa bwana
@mariamoneiro6927 Жыл бұрын
Naomba ntume,mimi nahishi n ndoa yaa Kufugua na washawi. Ubariki. Family yangu na witoe mangojua wote kwajila lá yesu.
@elifarajasarwat3 ай бұрын
Nataka kujifungua mipango yangu yote ya mwaka 2024,,, nifunguliwe kiafya. Kiuchumi na kifamilia watoto wafunguliwe kiafya na kitaaluma Kwa jina la Yesu kristo
@janethmtakubwa29983 жыл бұрын
Amina napokea muujjiza mimi nadada yangu yulitha mungu amponye presha nafamilia ifunguliwe gadi eliki juli AbethBene wapate aira
@IrineRingoine16 күн бұрын
Naitwa irine Paulo kutoka karatu nashkuru mungu nilikuwa na tatizo kwenye kizazi lakn baada y kuskiliza maombi haya mda huu nimeangalia nimekuta tatizo limeisha
@roseboamo5777Ай бұрын
❤❤nataka mungu anitendee nifanikiwe kiuchumi
@DEVOTAMSENDO2 ай бұрын
Ee mwenyezi mungu niko mbele zako nakuomba unitendee muujiza nipone uvimbe kwenye mrija wauzazi nanibebe mimba nipate watoto wawili wakike na wakiume
@SofiaTabu-jp7gd15 күн бұрын
Amen nitapona namu.yangu nauzawo wangu
@IMAKULATAMWENGWA4 ай бұрын
Amen ninapokea kibali cha kupona kwangu naninapokea kibali cha kurudi kwa ndoa yangu kufunguliwa 5:55 5:59
@SarahSaraha-ct1cgАй бұрын
Ameen naomba Mungu atend mujiza kwenye ndoa
@nikolasmndeme2 ай бұрын
Naomba no pokeeupako naomba kazi nanijege nyumba yangu amina
@jasminmashaallahjohn4473 жыл бұрын
Napokea miujiza kwenye ndoa Yang,biashara ,watt Wang mama yangu ambae ni mgonjwa Mi pia ugonjwa sukari napokea uponyaji Amen
@jasminmashaallahjohn4473 жыл бұрын
Amen
@noellaNigaba-qg5vj4 ай бұрын
Mungu naomba ubadilishe Baba watoto wangu aweze kuaudumiya
@shshsus63374 жыл бұрын
Napokea taarifa njema kwa mtoto wangu ramadhani amepokea furaha katika maisha yake
@MakinginhaSahani3 ай бұрын
Baba napokea neema napokea upako ninamimba ya miezi 2 inanitesa sana naumwa sana napokea uponyaji ameeee
@Mwaminihabarugira4 ай бұрын
Naomba uniondolee hofu kwamoyo wang yesu❤❤❤❤❤
@roseboamo5777Ай бұрын
Nataka mungu anitensee niuze shamba kirahii
@suzan47125 ай бұрын
I received in the name of Jesus 🙏. I'm watching from Dubai
Ninahitaji kufunguliwa maisha yangu ktk jina la yesu
@Fatma-qi9yc2 ай бұрын
Naomba maombi nipate mme mwema 🙏 amen
@LovenessKileo-fc1tk3 ай бұрын
Mungu naomba unipe watoto mapacha mwaka huu na uponye Juma msunza akapoke uponyaji popote alipo mungu naomba
@vativati5054 жыл бұрын
Amen nimeisikiza sasa ivi asubui I I praise the lord napenda sana kuwasikiza
@josephinachipa39284 ай бұрын
Napokea uponyaji wa mwanangu kuacha bangi kiurahisi .amen
@nittysaloon27202 жыл бұрын
Naitwa Rebekah mwashambwa naomba mumuombee baba yangu anakisukali pia naomba miujija itende mungu wangu
@ernestgeorge52653 жыл бұрын
Namshukuru mungu kwa baraka nazopata Kila iitwapo Leo ,kwakupitia mtumishi wa mungu burdoza mwenye upako wake.!
@gideonmichael8757 Жыл бұрын
Bwana safiwe MTUMISHI najiganisha nikiwa namanga
@munirasaga64943 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe.. Naitwa munira nipo Oman nimeguswa sana na maombi nilikuwa kondoo niliye potea 😭😭mchungaji Asante Sana 🙏🙏 kwakunifungua ufahamu wangu 🙏
@elisimalongo49652 жыл бұрын
Nataka yesu anifunguliwa kwenye uchumi wangu
@jobandoade49343 жыл бұрын
Naimn naenda kufunguliwa maish yangu yote nanfungua vifungo vyote saba katika jina la yesu naennda kupokea miujiza na ufaulu mkubwa katika shule yangu biashara yangu Amina
@benwamanzimulumba81213 жыл бұрын
Naomba mungu anipoye casa yadamu na sina kazi ata watoto mungu anisikiliye uruma anifunguwe ndachuudiye manguu yamungu
@queenmamy84143 жыл бұрын
Baada ya haya maombi naomba mungu hanifunguwe nyota yangu ya mafanikio ingae bwana yangu shaban mmanga hanipe ela nyungi na haniudume vizuli eee mungu nisaidue Emeee
@MarietaRukag-ch1vr27 күн бұрын
Amina Amina !!!!!!. Nimepokea ❤❤🎉🎉
@theonestinakaizilege99744 ай бұрын
Kupitia dhabahu hii ifungue familia uchumi uzao biasshara ndugu zangu roho za kutoolewa nanafunguliwa Amina
@marypaulo13634 ай бұрын
Mungu naomba nijibiw ombi langu nimalizie kujenga kwa njia rahisi
@lilywei66163 жыл бұрын
Mungu naomba unifunguwe vifungo vyote nilivyo tupiwa katika maisha yangu
@user-zj8hz5rv3q4 ай бұрын
Mwanangu rehema afunguliwe kazi zimkimbiliye
@rusiamboma91643 жыл бұрын
Namuchukuru mungu nirikuwa nasikiya maumivu ubavuni sayivi siyasikiyi tena naitwa rucia mboma Niko seychelles
@catherinenicolaus40853 жыл бұрын
Asante mungu nilijifungua salama, eeh mungu naomba nifungue , bariki niwe naamani
@catherinegeorge3973 жыл бұрын
Na uibariki kazi ya mikono yangu ujalie familia yangu izidi kuwa na furaha na ujalie maisha yangu yawe yeny furaha siku zote kwa jina la mungu baba na mwna na roho mtakatifu amen naitwa janeth rameki
@noellaNigaba-qg5vj4 ай бұрын
Naomba mungu aniteteye katikanyumba ninayo ishi
@theonestinakaizilege99744 ай бұрын
Naomba motor wangu Lillian kufunguliwa kupata mume kutoka kwa yesu amina
@marypaulo13634 ай бұрын
Mungu naomba maombi yangu yajibiw ndan ya mweza huu tanesco waondoe nyaya zao bila garama yeyote
@ulumbimtemi16692 жыл бұрын
Asante mungu nimepata faraja sana leo amina
@elifarajasarwat3 ай бұрын
Nataka kupona UTI wa mgongo leo. Kila nguvu za Giza zikome leo katika maisha yangu
@maryamjumah13 күн бұрын
Nimepokea uzima sahii nipo oman nilikua nabanwa na mbavu na mgongo wa chini nashukuru madhabahu ya mwamposa zimeachia
@marypaulo13634 ай бұрын
Mungu ataka nijibiw na tanesco mapem
@mwanaidbaraka84752 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kupitia mazabahu yamtume burudosa mwamposa uniponye maradhiyote yanayo nisumbua,ipepe familia yangu uwezo na mafanikio
@mariamguli80234 жыл бұрын
Nimepokea upako kwa jina LA yesu naamini nitajifungua salama ameen
@zainabujumarajabujumarajab82602 жыл бұрын
Nitendewe miujiza nipate wateja wengi changu kikawe changu.nipate mtu atakae niinua kiuchumi 🙏🤲
@emmymwakyusa21382 жыл бұрын
Amen napokea upako wa kufunguliwa nipate watoto mtume ubarikiwe
@malishakija74933 жыл бұрын
Aminaaa najua shida zangu zote zinaishia leo maisha yangu yawe ya furaha na upendo mme wangu anaiheshimu ndoa yetu.idumu .
@agripinaligelele93674 жыл бұрын
Naomba kupokea uponyaji wa damu yangu nime tumia daw miaka mingi pasipo mafanikio pia biashara yangu ina vifungo na pokea biashara mpya Mimi Niko Nairobi na amini nitapokea
@winifridadonat18463 жыл бұрын
Naomba uponyaji wa mama mzazi Hilda aliyelala kitandani toka 24.09.2020 baada ya kupata stroke upande wa kulia na mimi nasumbuliwa na presha ya kupanda.
@roseboamo5777Ай бұрын
Nataka mungu anitendee nilipe hela ya marejesho niliyo mkopeshea mtu flan
@esthermwipagi5583 жыл бұрын
Naitwa Esther nimepokea uponyaji leo hii utasa umeondokaa haleluyaaa
@nicholausjoseph33913 жыл бұрын
Asante mungu nikaweze kufungulia ugonjwa wa yutihai inasisumbua sana hakika wewe jemedali wangu nimetumia dawa lakini siponi mala sindano lakini kwako hakuna linashindikana
@dativafreedrick9965 Жыл бұрын
Napokea baba ktk jina la yesu
@emanuelmbughi35833 жыл бұрын
Amina napokea mafanikio kwa jina la yesu kupitia upako wa nabii na mtume Bobiface mwamposa