Mzee Matata upumzike kwa amani mzee wangu. Pia, team yako uliyoiacha inaendelea vizuri sana.
@swaibuiddy20643 жыл бұрын
R.I.P mzee matata allha akuhifadhi
@saidimohamed997111 ай бұрын
Ndio baba
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Mpo vizuri sana mizengwe daima. 17.10.2020.
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono.
@titojeremia77442 жыл бұрын
Imenitoa machozi kwa kicheko duuu kweli.mpo vizuri
@issamsumi5383 жыл бұрын
Sjachelewa sana mizengwe mko juu
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono.
@mwaserarashid54512 жыл бұрын
Nyinyi mume muuwa mzee kwa mateso
@rasmbegu3 жыл бұрын
Heshima kwenu
@lusese13 жыл бұрын
Asante, nawe pia. Asante kwa kutuunga mkono.
@shabanialfani53943 жыл бұрын
Noma saanaaa
@TALLUBOY3 жыл бұрын
Hataliii
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Safina ukijipamba unapambika
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Mizengwe msiochuja ❤
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono.
@abednegonoel22593 жыл бұрын
Inajenga sana kwa vijana kama wataelewa
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono.
@nyagaboy14273 жыл бұрын
Pamoja
@innocentmarunda58533 жыл бұрын
mko vizuri sana mbarikiwe
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono.
@kudraramdhan22313 жыл бұрын
True thoughts
@lusese13 жыл бұрын
we thank you for your surport
@boazambokile25873 жыл бұрын
😌😌😋😋😋😋😋😋
@TALLUBOY3 жыл бұрын
Myamba iyoo
@innocentakili77453 жыл бұрын
Sawa mizengwe pambaneni
@samwelimushi55493 жыл бұрын
Kwel upande mwingn mtu unasoma ajira akuna
@franaelnanyaro42773 жыл бұрын
Mizengwe
@niazonbukoke23493 жыл бұрын
Kwa nn hamruhusu kupakua video offline ,tutaacha kuangalia shauri zenu
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Mkwele wew husikii usia wa baba mkubwa duh wew kwel kiboko hahahaaa
@josephmisambo81673 жыл бұрын
Hilo sofa mbona liko nje
@rajabalfarazliganja3973 жыл бұрын
Pesa ilivyo haimuamini mtu hata ukimpa mwanao pesa ya matumizi shuleni lazima atahesabu mbele yako.
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
Ktk PESA hata mtoto wako wa kumzaa haaminiki KWA ULIMWENGU tunaoishi🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@masibabasalile63493 жыл бұрын
Palipo na wazee hakiharibiki kitu
@geraldlyimo28593 жыл бұрын
Hili ni somo kwa vijana wa mjini wenye kauli ya nyie wakuja sisi tumezaliwa mjini
@michaelsiweya65003 жыл бұрын
Aaaah...wamechemka..eti milioni 13..wahusika wasionyeshe ukali wa kuchanganyikiwa...Hivi milioni 13 kwa life la sasa ni mchezo...harafu wanaongea huku wanawaegemea ...Aaaaa...No reaction yoyote ? Siyo kabisa
@mahadshekh3983 жыл бұрын
Tickets za regular zilikuwa ngapi na VIP zilikuwa ngapi?Tuanzie hapo.
@bakarisongoro47893 жыл бұрын
Hivi ni vichekesho. Hakuna uhalisia
@bakarisongoro47893 жыл бұрын
Kwa hiyo unatakiwa ucheke tu uhalisia kaangalie Panguso
@michaelsiweya65003 жыл бұрын
Kwani mimi sijui kwamba hilo ni igizo? Na siku zote kinachoigizwa kinabeba taswira halisi kwenye maisha ya jamii inayotuzunguka...Hata kama wakiigiza katika uhalisia wote bado litabaki kuwa ni igizo tu linalotoa ujumbe ndani ya jamii inayotuzunguka....Kwa hiyo nilichokiona mimi ni kwamba kuna kakipengele kadogo hakajakaa sawa katika kuigiza
@lusese13 жыл бұрын
@@bakarisongoro4789 Asante kwa kutuelewa na asante kwa kutuunga mkono.