No video

MJENGO WA MAMA HAPPY MBIONI KUMALIZIKA |MUONEKANO WAKE WA SASA

  Рет қаралды 14,787

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 153
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/FCA6SAgkoMrEGkjCjJupI8 JIUNGE KWENYE GROUP LETU
@irenemsangi7933
@irenemsangi7933 2 жыл бұрын
Hongera Sana💥🙏🏾
@tiaraoscarjuma4522
@tiaraoscarjuma4522 2 жыл бұрын
Safi sana, mafundi woow nimewakubali kitu kimenyooka hadi raha, Mungu awape zaidi waliochanga na Zahir ubarikiwe kwa yote🙏🏽
@halimajaphet8926
@halimajaphet8926 2 жыл бұрын
Maaashallah mwenyezi mungu awalipe sana kwakazi unayo ifanya Namuombea mungu mama happy apone afaidi hiyo nyumba nizuri sana
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
In Sha Allah apone yarab afurahie nyumba yake
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Amiin ALLAH atampa shifaa InshaAllah. Afurahie nyumba yake
@adijarashidi1426
@adijarashidi1426 2 жыл бұрын
In sha Allah
@cocorita8367
@cocorita8367 2 жыл бұрын
Wahoo jamani mama Happy pona dada uenjoy nyumba yako.
@nadiahassan1359
@nadiahassan1359 2 жыл бұрын
Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌
@wemasamir7362
@wemasamir7362 2 жыл бұрын
Kaka zahir unatakiwa upewe tuzo jmn
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 2 жыл бұрын
@@wemasamir7362 kweli kabisaa aisee
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 2 жыл бұрын
Masha Allah nyumba nzuri sana kazi nzuri brother zahir hongera zako na waliochangia mungu awazidishie zaid na zaid
@sadiamassage9589
@sadiamassage9589 2 жыл бұрын
Mashaallam haraka sana dah inamaana ukiwa na pesa yakutusha wiki mbili tu nyumba imeisha duh wako sawa mafundi
@mereyamhomesmariamhomes3464
@mereyamhomesmariamhomes3464 2 жыл бұрын
Kabisaa
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
.usilete husda
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
Yaani hata kumtaja mungu mnshindwa??sema masha Allah...mereyam homes
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
@@mereyamhomesmariamhomes3464 ...
@sadiamassage9589
@sadiamassage9589 2 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 bibie kwani huoni ni chongo ww?
@rahamrahma6259
@rahamrahma6259 2 жыл бұрын
Mashaallah hongera sana kaka kwa usimamazi mzuri
@adijarashidi1426
@adijarashidi1426 2 жыл бұрын
Kaka zahir namuomba Allah akulipe kila lakheri Na atujaaliye mwisho mwema sote in sha Allah
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 2 жыл бұрын
Amiina ya rammbi
@nooor1120
@nooor1120 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah nyumba sana nzr.,hlf madirisha makubwa hata sio lazima chumba kiwe na madirisha wawili dirisha moja linatosha.
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Mashaallah kweli mafund wapo vizur yani ukuta upo km umepingwa plasta hongera sn kaka zahir kwajitihada zako mashaallah
@remiomar7154
@remiomar7154 2 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah mungu awabariki nyote mliochangia
@hadijamwekilinga1969
@hadijamwekilinga1969 2 жыл бұрын
Mashaallah Allah awalipe mliofanikisha
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
Inshallah nawewe uje kufanikisha
@aishaathman7340
@aishaathman7340 2 жыл бұрын
Hapa ndio utaona jamaa zake mama happy wajitokeza
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Hakupoi huku jmn 🗣🗣 njoeni wana maximum
@isunga1964
@isunga1964 2 жыл бұрын
Woow hongera sana ila hapo kwa jiko wangefanya choo jamni kuna usiku kupika wapike hata kwa kolido kutokea kwa nyuma
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah kaka zahr hongera sanaa allah akuhifadh
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
Amiin yarabal alamin
@aishajeanine3552
@aishajeanine3552 2 жыл бұрын
Alhamudulillah jmn Kazi nzuri sana Mwenyezi Mungu akujalie umri kk zahir uzidi kusaidiya wanyonge.
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 жыл бұрын
Jaman kaka zahir...kazi unayofanya ni kubwa sana...Najiuluza tuu...nan anakulipa wewe kwa kaz hyo kubwa unayofanya jmn.Mungu akulinde daima 🙏
@QwQw-tr7gy
@QwQw-tr7gy 2 жыл бұрын
Nyumba imefka kwenye kingereza Sasa kwenye kiswahil tumetoka
@ashaali7154
@ashaali7154 2 жыл бұрын
Alipangalo Mola binaadam hawezi kulipangua. Maskini Mama Happy hakuandikiwa kuishi kwenye nyumba hii. Mola amlaze pema kwenye nyumba yake ya milele. R.I.P. mama Happy.
@zunguzungu6068
@zunguzungu6068 2 жыл бұрын
We huseni nkana unasema mafundi wako vizur wakati magepumakubwa wamelazisha kutokuweka vipande tofari iko mbalimbali hv hapo ukuta kukata kret nigusa tu subili utaiona
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Inaumiza mno ukiambiwa tunaempigania amefarik subhannallah Allah amreem na kaka zahir na rimu yako mungu awatunzeni sana hakika mumepigana sana kuhakikisha mama Happy anakuwa sawa lkn kwa amri ya Allah bc imeshindikana tumuombeeni apumzike kwa amani
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 2 жыл бұрын
Mashallah mjengo umenyooka hd raha zahir mungu akuweke mdg wangu inshallah na ma happy mungu amfanyie wepes aje aone nyumba yake inshallah 😢
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 2 жыл бұрын
Mashaaallah Mafundi wazuri wa kujenga Pia Allah Amzidishie Zahir Azidi kusaidia Jamii
@masillambadotto1757
@masillambadotto1757 2 жыл бұрын
Pole kwa kuwa na afya zaifu unapumua kwa nguvu sana sijui unamatatizo gan tufanye mazoezi ndugu ondoa manyama uzembe
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema amguse uyu mama apate kupona
@habtyaminasadala1943
@habtyaminasadala1943 2 жыл бұрын
Mashaallah fundi yupo smart sn hd nimependa💓💓
@zeinabmabeka1830
@zeinabmabeka1830 2 жыл бұрын
Kaka zahir unaenda mbio maskini lakini uwambiye usafi bora coz hiyo nyumba mashaallah nzuri
@maryammagisu628
@maryammagisu628 2 жыл бұрын
Mashallah Mashallah mjengo Uko poa asikwambie mtu
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mashaalah mm pesa sina nimefika kozi 5 tu nipo oman pemba kujenga ni hali ngum sana
@salmasan7673
@salmasan7673 2 жыл бұрын
Mashaallah mungu habariki
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Mamahappy mungu akujaalie uionenyumbayako naupatenguvu uinukekwafurahaa
@arlife9489
@arlife9489 2 жыл бұрын
Hongera kazi nzuri
@munamohd963
@munamohd963 2 жыл бұрын
Mashaalwah. Alwah akupeni nguvu wadogo zangu.kaka dhahir natamani ungalikuwa mkwe wangu jamani.au hutaki wazanzibari,Alwah akuhifadhi mtoro wa mwenyewe hongereni nyote na kina fabi
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Duuh! Vifaa vya ujenzi vina panda bei siku hadi siku, kipindi naendesha ujenzi wangu nondo 1ilikua elfu 18 sasaivi elfu 25nondo 1 huko tunako elekea tutajenga kweli?.
@husnahabityhabity9517
@husnahabityhabity9517 2 жыл бұрын
Kaka zahir na Fabian wanajituma lkn wallah.Mungu awasmamia kila hatua
@user-pg3pu4jk9f
@user-pg3pu4jk9f 2 жыл бұрын
Mashaa Allah, ipo poa kiyama,
@johaakida743
@johaakida743 2 жыл бұрын
Mashalaah ongera maxmama tv
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah Mungu akuhifadhi Baba angu Dhahir
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Dah nimependa kk zahr. M. Mungu hakuweke hakupe afya njema uzidi kuwapambania watu wenye matatizo 🙏🙏❤️❤️
@najmaaa6548
@najmaaa6548 2 жыл бұрын
Ma shaa Allah 🙏🙏
@teedullah5708
@teedullah5708 2 жыл бұрын
Mashallah kaka zahiri fabiy nakikundi chenu kuizima munqu atawalipa ujira wenu ama kweli munqu hatupimja wake
@omanphone3455
@omanphone3455 2 жыл бұрын
Masha allah
@semenimohamed8156
@semenimohamed8156 2 жыл бұрын
Kak zahir unahma sana pole punguza mwili
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Maashallah maashallah maashallah 🙏🙏🙏
@aishaathman7340
@aishaathman7340 2 жыл бұрын
Eeh mola muinue mama happy kama ilivyoinuka hii nyumba
@fatmazahor357
@fatmazahor357 2 жыл бұрын
Mashaallah Tabarraka Allah
@kimcash3079
@kimcash3079 2 жыл бұрын
Mungu akuweke zaahir
@maryamm7765
@maryamm7765 2 жыл бұрын
Mashaa Allah
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Kaka zahir tukifkia kujaza kifus kuwa makin nahao waleta kifus uwa wanajazaga udongo wakichuguu kaka ake mi nilingia hasara mara2 kwani udongo waloniletea ulizaa nchwa nanilikuwa nimisha weka frem zamilang zilitafunwa ndani kwandani ivo zowez lilianza upya kung'owa frem kubomowa ndani nakuanda nakuanza kupiga dawa nyumba nzima yani chini pote nchwa walikuwa wamisha tengeneza kichugu kbs
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Pole sana ila asante sana kwa wazo kubwa nitalifanyia kazi
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
@@maximumtvonline inn shaallah asant kaka ake
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@nasraabdallah850 duh pole mwaya
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
@@khadijahali4837 asant mamy yani ujez unataka umakin mno mana walijuwa kuninyosha haswa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@nasraabdallah850 sana tuu yn kila atua uwepo
@salmanassor8732
@salmanassor8732 2 жыл бұрын
Mashallah mafundi wazurii nyumba imenyooka hongera zahiri na timu yako ya maximum
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
Mashaallah karibu inaisha wiki 2 tu 🤔😍😍
@princessvyona3412
@princessvyona3412 2 жыл бұрын
Masha’Allah but hiyo choo c iko karibu sana au iko sawa?hiyo nyumba iko sawa,i wish mama Heppy to recover faster so that afurahie nyumba yake
@user-yp5mm2pg5s
@user-yp5mm2pg5s 2 жыл бұрын
Mashaallah ila kuna shughul ya kujaza kifusi
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Fundi Mashallah. Hongera kwa kanzi nzuri
@Saifmohd-th1tr
@Saifmohd-th1tr 2 жыл бұрын
Nyumba gani iyo haina hata chuma kimoja bado wasema itakaa miyaka Mia wachekesha Sana
@dalilahahmed5370
@dalilahahmed5370 2 жыл бұрын
Nunua upeleke
@Saifmohd-th1tr
@Saifmohd-th1tr 2 жыл бұрын
Zaher makaratasi ya nyumba yako wapi mbona uonyeshi watu kwa nini watu wataka kuyaona
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
MashaAllah hongera mama happy
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Huyo mama anahitaji tiba zaidi ya yote hao binti zake hawajitambui
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 2 жыл бұрын
Wee Zahir wee utaenda peponi
@mlawatvonline3720
@mlawatvonline3720 2 жыл бұрын
Mashaallah
@aminaraisa8893
@aminaraisa8893 2 жыл бұрын
Mashaallh ongera Sana kaka zahri
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 жыл бұрын
Hongera fundi unajuwa sana zahiri weka number ya fundi tafadhari
@lizzyshawn1892
@lizzyshawn1892 2 жыл бұрын
Kaka zahir nimeipenda iyoo ramani
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 жыл бұрын
Mashallah washafika top ruff
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 жыл бұрын
Mashaallah, mungu awabariki inshaallah, Amin. Mungu akulinde Zahir.
@joliea2956
@joliea2956 2 жыл бұрын
Hongera kwa fundi
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
Mashaalah
@munahjira8236
@munahjira8236 2 жыл бұрын
Naomba hio ramani kaka zahir
@salha6596
@salha6596 2 жыл бұрын
Namba ya fundi Kaka zahiri
@maikomahanji9411
@maikomahanji9411 2 жыл бұрын
Kaka kwani hakuna mbao za kukodisha samahani
@user-gk6et7yg3x
@user-gk6et7yg3x Ай бұрын
Mtangazaji punguza mwili na uzito una hema sana
@munirashughuli7224
@munirashughuli7224 2 жыл бұрын
Masha Allah mola atakulipa kaka Zahir
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 2 жыл бұрын
Mashallah kazi iendelee
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 2 жыл бұрын
Mashallah 🌹
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Masha Allah
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Maashallah tabarakallah
@twocountrieslady6307
@twocountrieslady6307 2 жыл бұрын
Maasha,Allah Allah barik
@maryamalhabsi4364
@maryamalhabsi4364 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah, 🤲🤲
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 2 жыл бұрын
mashaallah nzuri
@tato8979
@tato8979 2 жыл бұрын
Hongera sana
@IbrahimAli-fk9st
@IbrahimAli-fk9st 2 жыл бұрын
Zahir wale zabibu na mwanamme wake hawazi biaahara wale bora km utakua unampa kibarua km cha kujengaa
@tatumakadara5793
@tatumakadara5793 2 жыл бұрын
Nina kimuhemuhe. Natamani kuiona imeisha. MUNGU atawafanyia wepesi muweze kuimaliza kama ya babu na bibi.
@mwajomaessa7513
@mwajomaessa7513 2 жыл бұрын
Masha Allah 🙏🙏
@gloryr9497
@gloryr9497 2 жыл бұрын
Mungu amponye mama happy aje afaidi jengo lake
@tatumakadara5793
@tatumakadara5793 2 жыл бұрын
Ameen
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Mashaallah jmn
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 2 жыл бұрын
Manshallah
@hamidahassan1282
@hamidahassan1282 2 жыл бұрын
Tuko pamoja
@kadigatanzaniya4792
@kadigatanzaniya4792 2 жыл бұрын
Mashallah❤❤❤❤
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@nellytsuma7519
@nellytsuma7519 2 жыл бұрын
Wau 🥰
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Mhh msafirisha Makubwa hy
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Maashallah
@bonita329
@bonita329 2 жыл бұрын
Zahir umesema mambo ya jenga na zahir. namba ipi naweza kuwasiliana na wewe please mie na shida halafu nipo nje.
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 2 жыл бұрын
Mashallah
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 2 жыл бұрын
mashallah
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
maa shaa Allah
@linakuha2059
@linakuha2059 2 жыл бұрын
Hongera kaka
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 39 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 33 МЛН
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 902 М.
ujenzi unaendelea
3:15
Jiver Kasigara
Рет қаралды 9 М.
LIVE : MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI
ACT Wazalendo Digital
Рет қаралды 235
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН