Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 96
@lucasshirima28807 ай бұрын
Mwijaku unamke...Hongera Kaka...anajua kujibu unajua kujieleza Dada...shikilia hapo hapo...❤
@user-sn6dc9gh8k7 ай бұрын
Yaan Tz jifanye taila ili utoboe🎉❤yaan mwijaku kuna wa2 huwa wanampa maokoto kama chizi kumbe wengne anawazdi mafanikio duh😂❤❤hongera sana washakusema sana leo umetufunga mdomo 🤐🤐Allah awabariki katika ndoa yenu na kazi zenu🤲🤲🙏🙏
Dada hakika unajielewa sana Sina mengi hongera sana
@aminathaabubakarmasoud5657 ай бұрын
Natamani siku Mathias ahojiwe
@glorianikiza39407 ай бұрын
🔥🤝
@user-cd8ge8mx7p7 ай бұрын
❤❤mke wa mwijaku
@husseinjongo75887 ай бұрын
Ana akili sana💪
@zoab26997 ай бұрын
Mashallah dada mstarabu si kama dada zetu hawaa
@mwajumakitoro85827 ай бұрын
Ongezeni watoto mpo poa sana hàdi raha
@user-yp5wq9ow5o7 ай бұрын
hongereni sn kwel uvumilivu unsitajika kwenye maixhs
@TheSalma19997 ай бұрын
Natamani huyu dada angekuwa rafiki yangu tufanye wote mambo ya maendeleo nimemu admire mno I wish angekuwa rafiki yangu hongereni sana hapa kazi tu
@salmamussa82407 ай бұрын
Niwe mim rafik yako wajina
@Zainab_salat7 ай бұрын
Urafiki unakuja na kuondoka siku hizi hakuna. Urafiki wa ukweli wengi ni wanafki. Siri zako unakaa nayo mwenyewe na mungu
@HalimaJuma-de5gc7 ай бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️
@user-wy4fv9vd7w7 ай бұрын
wewe ni mwamke wa kipekee hongera dada
@shabanmakata73295 ай бұрын
Mwijaku amepata mke muelewa xana mungu amibariki inshallah
@user-wf2ni5yl1h6 ай бұрын
Nipenda alivyosema sitaki mtu amuelezee mume wangu nimeenda sana kwann mtu amuelezee mume wangu
@RandB_Channel7 ай бұрын
Mwijakuw si basi umuzalishe mkewo starehe hazina mwisho
@faridadumasalhathoseni6 ай бұрын
Mke anae na mwijaku anaakiri sana
@dotnatajoseph26207 ай бұрын
Kajibu vizur kwenye swari la menina kajibu vizur sana
@fahyma467 ай бұрын
W❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@Official836407 ай бұрын
Hivi huyu c ndy alikuwa miss Shinyanga alizaa na Elli Kingu Mbunge au sio huyu?
@badifundi60897 ай бұрын
Alizaa na babangu uyu
@Official836407 ай бұрын
@@badifundi6089 Baba yupi?
@user-vj7fx4bh2t7 ай бұрын
Mtangazaji Hajui kuongea
@Zainab_salat7 ай бұрын
Anajua kuongea kwani yy ni mtoto
@maryamtanzania97437 ай бұрын
Umewakomesha mashabiki sasa ndo nini tulikuwa tunakuonea huruma kumbe unaenjoi umetukomesha mama
@ummahmed33547 ай бұрын
Allah awape ndoa imara na yenye mafanikio...
@Zainab_salat7 ай бұрын
Ameen
@daimondelfina56896 ай бұрын
Kwa mfano mimi ndo Mama yake huyu binti,siku yamshinde afu aje kwangu kuniulizia mama mama nishauri😏yaani unajitapa kwenye mitandao hakuna anaweza documents kuhusu mume wangu NOT EVEN MY PARENTS 😳😳😳 siku akina na shida zake za ulimwengu wa ndoa unamkumbusha tu,I HAVE NOTHING TO SAY,or simply NO COMMENT😂😂😂
@user-qn2hq1nb2b6 ай бұрын
Hivi wamezaa mtoto?
@IshaManugwa7 ай бұрын
Swalehe zamu ya maisha yko
@RayyanRayyan-rt9cg7 ай бұрын
😂😂nani ata muhoji
@WemaOmary-of6to6 ай бұрын
Atamuhoji mzeee wa ngengaa😂😂😂😂😂
@Jamila-cz5ge7 ай бұрын
Hiyo cio ndoa mlinyonga kisha mkachinja mwaishi kimada tu.
@Lu-zw9we7 ай бұрын
Huyo mwijaku mbona mke wake katoboa ulimi kama malaya .
@mamodelmam7 ай бұрын
Kila mtu na starehe zake na ww heee! Kama mumewe ndo kampeleka kutobolewa
@badifundi60897 ай бұрын
Mpaka mtu anafanya kitu na yuko kwenye ndoa hio sio Shida ya waja tena ata atoboe kisigino maadam mumewe amependa ww shida iko API..ndo maana mwana FA alisema usihuku sio Kazi yako we ni mwenzangu na mm na Una dhambi kama mm😂😂
@maryamtanzania97437 ай бұрын
Ni urembo wa mwanmke kwa mme wake
@ummuadam24237 ай бұрын
Na mtoto ni mmoja, miaka 9 na 5 ndoa😮
@edsonnelson44647 ай бұрын
Wazae na wengine wafike wannnne
@user-qn2hq1nb2b6 ай бұрын
Hujaelewa jumla wana miaka14 kwhy ni hak kuw na mtoto wa miaka 9
@KibiduGeorge-kv2mr7 ай бұрын
btts
@ukhutfatumah11547 ай бұрын
Daaaaaa UVUMILIVU unao dada miaka 9 kwenye mausiano ndoa miaka5 unastahiri maua yako
@fatmamansour6767 ай бұрын
Ndoa subra tu mmi uchumba miaka 5 ndoa naingia miaka 12 na mtto Wa mwanzo jana kaingia miaka 11 tena nimeishiwa mbali na mume miaka 7 sahv Ndo tupo pamoja ni miaka 4
@sophsoph47407 ай бұрын
@fatmamansouru676 umeishi na mmeo miak 7 mbali ulikua wap
@Kabwela7767 ай бұрын
Mara nyingi mke anayesamehe usaliti wa mume wake ujue na yeye mke ana tabia za usaliti kwenye ndoa yake.
@HhhTt-vl9ct7 ай бұрын
Sio kweli hayo ni maoni yko
@Kabwela7767 ай бұрын
@@HhhTt-vl9ct ndio Iko hivyo ukiwa msaliti utaweza kusamehe ule uchafu wa Mwijaku wa video za porno na hukute mume wa huyo menina alikuwa anamfira mke wa mwinjaku kwa hiyo wote watu wa kuchepuka
@Zainab_salat7 ай бұрын
@@Kabwela776ninacheka translate to English 😂😂😂😂Kiswahili kwa English unacheka
@user-vj7fx4bh2t7 ай бұрын
Mtangazaji huyu hajuagi Kuhoji
@HhhTt-vl9ct7 ай бұрын
Ingekuwa wewe ungehoji maswali gani?
@user-zi3lo4yp4x7 ай бұрын
Mumeo. Achae mdomo🎉
@estermahenge-ks3dr6 ай бұрын
ndio kazi yake😅
@aktwabimuli25117 ай бұрын
Wadada wa siku hzi mapenzi leo kesho kutwa mnataka ndoa dada alivumilia ndani ya miaka 9
@khadijerabdallah87037 ай бұрын
Ni bahati tu Maan Ata mim nilivumilia miaka 9 Mwaka Huu ingekuw wa 10 Lakin Mwaka 2023 Tena mwishoni kabisa Ameniacha bila Sababu ya Aina yoyote Tulianza mahusiano nikiwa na Miaka 18 Anakuja kuniacha na Miaka 26
@gracepatric43717 ай бұрын
Duuu pole mahi
@aktwabimuli25117 ай бұрын
@@khadijerabdallah8703pole sana kwahiyo hauna mchumba 😂😂😂
@shamsahaji62027 ай бұрын
Kweli ni bahati mana mi sijakaa kwenye mahusiano na mume wangu kaja kwetu kaniowa na tupo mwaka wa 28 na km tumeowana jana life is good ..alhamdulillah fresh tu@@khadijerabdallah8703
@user-fo2on5rg6t7 ай бұрын
Miaka yote hyo lihusianoo@@khadijerabdallah8703
@user-zi7vp7wy1v6 ай бұрын
Manywele funika
@RandB_Channel7 ай бұрын
Hawezi sema kama ililetaga shida ju sanajuwa anatiya mazifu ya ndoa yake inje?? Hakuna mwanaume anaweza kutoka inje ya ndoa tena vitoke kwa mitandao eti visivuruge kichwa wala nyumba yako .
@saidalhinai11317 ай бұрын
Sasa miaka 9 mulikua mnazini haoni aibu
@josephlorri4317 ай бұрын
Wewe unazini mwaka wa ngapi ... acheni kuhukumu maisha ya watu
@fatmamansour6767 ай бұрын
Sio rafiki wote ni kuzini mi nimekaa uchumba miaka 5 yye yupo mbali na mie na mpk sahv kwa ndoa. Nina 11 naingia 12
@mouldykomba18527 ай бұрын
Utafikiri ww umekamilika
@AminiMsellem-gk3yy7 ай бұрын
Wameshatubu kwa Allah na Allah ni mwingi wa kusamehe tofauti na binadamu🙏🙏🙏
@abdiabdi-ec9ib7 ай бұрын
Mwijaku limepata mke dar hongera zao
@ashaali71547 ай бұрын
Miaka 9 ya kuzini miaka5 ya ndoa.
@aminathaabubakarmasoud5657 ай бұрын
Kwaiyo wewe ulitakaje kwa mfano😮
@sophsoph47407 ай бұрын
Wee mwenyewe humezini mpk umezaliwa
@zeyanaalgheithy65617 ай бұрын
😂😂😂😂
@fatmaalnabhani36097 ай бұрын
Subhanallah, yarabbi salama
@AminiMsellem-gk3yy7 ай бұрын
Wameshatubu kwa Allah na Allah ni mwingi wa kusamehe tofauti na binadamu 🙏🙏🙏
@salmakassim4027 ай бұрын
Dada alikuwa mbaya huyu uwiiiii pesa sabuni halafu chembamba mno asa iv Mashaallah
@edsonnelson44647 ай бұрын
Wewe je mzuri toa picha yako Tuione na wewe tukujaji
@mwitaagness4557 ай бұрын
Huoni haya, ringia nyota dada, wewe mzuri ebu tuambie sasa hivi upo wapi ndugu.
@HalimaSalym-jl2ui7 ай бұрын
Mwanamke wa KIISLAM nywele ni haram kuonekana. Mali isiwatie KIBURI kila mmoja atakwenda kaburini peke yake
@badifundi60897 ай бұрын
Ndio maana upo hapa wahukumu kila mtu na life yake ww kaa Ivo Ivo bila dhambi tuone utaenda wapi😂