KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 11
@kolosii43513 күн бұрын
Simba msilazimishe mchezaji hata kama moyo wake haupo tena eti ili asiende popote. Chama hasipofanya vizuri mtamlaumu.
@HospiaceMata3 күн бұрын
Issue ya chama Simba waachane naye Tu mana yawezkn akawa simba alafu akili ikawa sehemu nyingine so hawezi kuwa na parformance nzuri
@christopherchisuligwe5122 күн бұрын
Kasuga wew unaitendea haki taaluma ya uandishi wa habari, ni poroje taauma hawana
@user-yh3dv2bl7u3 күн бұрын
Brooo nimekuelewa sana
@user-lt2wb6hb9h3 күн бұрын
Nyie mnaosema achana na chama mnatoaga pesa ya usajili kaa kimya utopoto,
@eddymarquess88512 күн бұрын
HANS NDO MZEE WA KUJIMALIZA YAANI YEYE NI DEAL DONE MUDA WOTE😅
@rexgodwill73533 күн бұрын
Kama pesa ipo Tajiri karidhia mwache abaki hata bench akae tu😂.. Maana Kuna watu roho zinadunda duu juu ya chama... Kama kwenda aende kama kubaki abaki 50/50
@bakarimmbaga23443 күн бұрын
Chama asidanganywe akaondoka Simba, kwa umri alionao sasa uwezo nao unapungua haitachukua muda hao yanga watamuweka benchi. Ni vyema akamalizia pale aliko anzia, akumbuke kuwa walipo ondoka yeye na mwenziye Luis Miquison kwenda uarabuni mambo yaliwa haribikia mapema na waliporudi viwango vilishashuka!😂😂😂