🙋🙋🙋👍💖💕💖💕💖👌💖hongera sana kwa movie unazo igiza kaka mkizungumzia kanumba wakati wote naishiwa nguvu alikua msani wa kufurahisha sana ila basi tu
@allyjumaallyjuma6922 жыл бұрын
Mashallaah Namkubali sana huyu broo ameitendea haki Nafasi yake ya sanaa kiukweli kama alivosema kuwa wanambania2 ila angekuwa mbali zaid ktk hii nche yuko sawa sana mimi kwenye filamu yoyote nikimkuta atakama sio mzur nikimkuta yume2 siachi kuangalia .Big up Akhy
@saidkulwa88072 жыл бұрын
Daaah umeni kumbusha mbali sana aiseee.weee sister endelea na moyo huo huo wa kuwa kumbuka wakongwe wa Filamu pamoja na muziki
@rehemasalim45902 жыл бұрын
Tulojua leo serengo Ben jina lake halis abdul tujuane😂😂🕺
@aminahhuawei11332 жыл бұрын
Mashaallah Abduli mungu akulinde🙏🙏
@chazwilliam88822 жыл бұрын
Salengo ktk Interview ametulia kweli unaweza sema si yeye dah bigap sana brother nazikubali kazi zako
@dullamuso69552 жыл бұрын
Namkubali Sana Serengo, nikimuona naona Sura ya Kanumba. Mungu akutunze Serengo
@giftgodson56032 жыл бұрын
Kasema anaitwa selengo hiyo serengo umeitoa wapi?
@fatumahassan13712 жыл бұрын
@@giftgodson5603 🤣🤣🤣🤣 namshangaa
@lucyhusein40432 жыл бұрын
Ww kaka mtundu sn hua nikiangaliaga muvizako nachekaga sn daaah!!! Mungu akulinde pena sn
@mimij78682 жыл бұрын
Yani kiukweli huyu mshkaji yupo vzr kiukomedi ,,,
@lucyhusein40432 жыл бұрын
@@mimij7868 sanaaaa tena sn
@estheronyoro14522 жыл бұрын
Mungu akulinde na family yako insha'Allah 🙏❤️
@ashuraissak85612 жыл бұрын
Yani serengo unanikumbusa enzi zako na kanumba mliendana sana kama ndugu wa damu allah azidi kukuongoza inshaallah
@dianahasagi10222 жыл бұрын
I love his character he plays all the way from 🇰🇪
@aminaabdallah91172 жыл бұрын
Nakupenda Sana Abdul ktk movie zako zote namkumbuka Ile wewe muhogomchungu ukiwamasterkey nayy alikua akchochoea waizi wachomwe ulipokutwaniwewe 😄😂weee
@mariamjuma41362 жыл бұрын
Nampenda sana uyu kaka ana show show of kbs katulia sn
@missmwayway47042 жыл бұрын
Jamaniii kumbe ni mmakua mwenzangu Daaaahhh karibu kwetu Masasi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@none95752 жыл бұрын
Hata mm mmakua lakin cjui pia yaongewaje hyo lugha hhhh
@missmwayway47042 жыл бұрын
@@none9575 ooohh hujakaa kwetu Masasi ee
@nyotawauniquem74622 жыл бұрын
Mwenyewe ndio nimejua leo, kumbe mmakua mwenzangu
@Farajahelene230312 жыл бұрын
hi serengo boy much love from congo zaire
@alexkalonga36322 жыл бұрын
Ila Mbengo TV mnazingua sana mnakuwa kama Matapeli hivi, picha na mlotuwekea ni tofauti video tunayoiona!!! Nyie ni Matapeli tu wa MB za watu!!
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Na pia nashangaa nasubir kuon kijumba kizur kumbe 😎
Huyu muislam Babu yake mzee bwagu kigogo alikuwa anakaa zamani
@hassanmnimbo4572 жыл бұрын
😂😂😂😂
@rehemasalim45902 жыл бұрын
Mie pia nimejua leo🕺😂😀
@khamissalum92852 жыл бұрын
Duuu mimi nilizani mkiristo kumbe musilamu allah akuweke
@deewyzeeofficial35122 жыл бұрын
NAMFAHAM KAMA SERENGO AU BLANCO 🔥🔥🔥🔥 NAKUKUBALI BROOO BIG UP SANA
@idrissamuhamedi32892 жыл бұрын
Ank ben unajua sana wadau w kaskazn wmekumis sn broka 2nataka kz deile hongera sn
@hawwahawwa85332 жыл бұрын
MashaAllah mi najua unaitwa Ben tu 😱
@mayiahnoah21572 жыл бұрын
Selenko God bless U wewe... Unanikumbusha kanumba walai....
@husseinjumaikunji6222 жыл бұрын
Aise mi nakukubali Sana mheshiwa. Nakumbuka kuna move moja uliigiza na marehemu Kanumba anko jj . Aise noma I'll ulikuwa mganga mle . Niliipenda ile kwikwi
@manyerereboniphace79892 жыл бұрын
Kwahio umeonyesha gari ziri nyumba kali alafu mnaonyesha vitu vingine uboya tu
@seifmohamedseif94672 жыл бұрын
Dah sikua na faham jamaa km ni muislam mashallah
@emmy85sweetie992 жыл бұрын
Maashalah Abdul jina zuriiii sana unatakiwa ulitendee Haki
@salhamrisho81382 жыл бұрын
Kumbe ww ni muislam miye nikajuwa mkristo masha allah😘😘😘😘😘🥰😘
@joycenicodemus.22322 жыл бұрын
Mnapendaga udini nyie
@salhamrisho81382 жыл бұрын
@@joycenicodemus.2232 hapana sijamaanisha ivo my miye nikajuwaga hilo ben ndiyo jina lake asaa napiya move zake nyingi yu nakakti ni mkrsto
@godblessjrtz.86522 жыл бұрын
@@salhamrisho8138 hiyo mashaalah imetoka wapi kama sio udini ina maana angekuwa mkristo ungemsifia hivyo? Acheni mambo ya Udini watanzania nyie. Sisi ni waafrika imani hizi zisitugawe.
@joycenicodemus.22322 жыл бұрын
@@salhamrisho8138 haya pouwa my.
@davidsika52922 жыл бұрын
@@joycenicodemus.2232 kweli kabisa udin umetawala kwa hawa watu
@anitanahimana21152 жыл бұрын
Hungera sana serengo Abudul hamdi. Allaha. Akuhifadhi
@mariachuri71232 жыл бұрын
😅 Serengo upo serious jmn kwenye interview,hata kucheka..hahaaa! Tofauti na ukiwa kwenye movie..big up then
@koletakilasa59882 жыл бұрын
Hongera sana aaaa
@abdallaabedi2354 Жыл бұрын
Kwamm binafsi namjua kama vumbi vumbindu ile ya matron asee mlitisha Sana baast apunzishwe pema peponi Mzee wetu majuto.
@simondelefa8802 жыл бұрын
Nakuelewa sana ktk kaz zako Mwamba .pamban kaka
@victorkivuyo61262 жыл бұрын
AISE UMRI UMEAONGA SI JUZI TU ULIKUWA CHALII , MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
@GahSjj-sj6ok Жыл бұрын
Da brather nilifikili unaubili kanisani kumbe nishee mashalaah
@SengekaSilvester20 күн бұрын
Mungu akulinde serengo
@godfreyraymond44642 жыл бұрын
Namkubali sana Ben sikujua kama mmakua mwenzangu Jamaa
@alayoboyboy68462 жыл бұрын
wee dem nakupendaga sana unasauti ya kibabe safi sana
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
Tom boy huyo
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Maashaallah very nice broo Allah SW akupe umri mfef
@geofreynjanga67942 жыл бұрын
Sio mfef ni mrefu shekhe 🤣🤣🤣🤣😂😂
@rashidisereman69742 жыл бұрын
Mashallha Kaka Ben ongera Sana! Napenda Sana! Unavyo fanya kazizako!
@anitanahimana21152 жыл бұрын
Hongera san. Karosi kumbe ina watoto wawili hkeri😘
@neemachendwa68272 жыл бұрын
Hongera sana kaka beni unafanya vizuri sana kwenye huba
@salumallynannume67242 жыл бұрын
Abdulhaliim, uko njema 😄😄. Naikumbuka movie yenu "jumba la maajabu".
@dickaugustino22142 жыл бұрын
Hongera sn, serengo! Ila mling'ara Sana kpnd Cha kanumba.ukweli ndo huo, ingawa nyie wote mnapendwa na cc mashabiki mbaka leo
@farijimartin70312 жыл бұрын
Nakusubili sana pamoja sana💗💗💗
@charlesndallo5152 жыл бұрын
What can I say is that, I appreciate you more
@HafidhOmar-rs4ty3 ай бұрын
Hyu jmaa mm namfaham kma beni masanduku yaani kma unatka ucheke ,unatka kujifunza zarau, jeuri ,utemi hpa umefka
@suleimansalim87442 жыл бұрын
beni nakukubalii mchapaa kazii , lkn siku hizii ckuonii ktk movie, tupe vitu, napenda huna tafrani ya mitandao
@munatwalib28082 жыл бұрын
Mashaaallah mashaallah jina zuri
@happynkya977014 күн бұрын
Mpaka home ya zamaradi tv ishawapiga bao, maana anaenda mpaoa vyumban mpka jikon seblen kila mahali tunaona sasa nyie jaman
@nicolaschan37852 жыл бұрын
Mwanangu Anko Selengoooo 🤣🤣🔥🔥
@aminasaid76572 жыл бұрын
Mashaallah Jina zuri
@elishasamson772 жыл бұрын
Hongera selengo kwa kukomba mboga na jenipha
@faithwemamusic52662 жыл бұрын
Jamani naomba usaindizi.. Kuna filamu huyu kaka ameicheza Na sikumbuki inaitwaje, huyu kaka alizaliwa wakiwa mapacha mmoja akafariki Na Bandae huyu kaka alipelekwa Kwa nganga akaingizwa kwenye ulimwengu Wa ndoto kupambana... Basi naomba nisaindiwe hiyo filamu inaitwaje wenzangu
@bahlaoman64672 жыл бұрын
Una jina la Kaka angu Mashaallh
@OmanOman-ep7bw2 жыл бұрын
MaashaAllah kumbe wa kwetuu
@nancymark6982 жыл бұрын
Daaah nampenda Sana huyu jamaa 😅😅😅
@NiderTV2 жыл бұрын
auncle selengo nmekupata na jamaa hhuyu hahahahahahaaha fire
@davidoscooper2372 жыл бұрын
Kanumba kaondka na bongo movie hat mkikataa
@felistermilanzi51672 жыл бұрын
Kumbe mmakua mwenzangu
@omarbosiomar86082 жыл бұрын
Mziwanda njoo tufanye maisha
@niokoemahenge43122 жыл бұрын
Majibu mazuri sana serengo kanumba ludi duniani muone serengo wako huku anatia huruma anakukumbuka kanumba
@hindisaid24132 жыл бұрын
Kumbe mjukuu wa Rajab hatia ambae alikua msanii pia redio Tanzania enzi hizo... Nilitegemea na lile jumba na mgari kwenye kava ni halisia
@sautinassor21022 жыл бұрын
Masha allah kumbe muislam
@oredinondo78762 жыл бұрын
Ben next time heshimu interview, simu weka silence.
@elizabethverael17092 ай бұрын
😂😂😂😂😂 huo mjengo mzr ndo umewapiga picha au
@sottithomas94432 жыл бұрын
Sema hapo kwa kanumba angekubali tu kuwa jamaa alimpa jina na kumfanya ajulikane.
@hilalyhashim21942 жыл бұрын
Wameanza pamoja hao tokea wapo kaole walikua wanaigiza wote itv
@sottithomas94432 жыл бұрын
@@hilalyhashim2194 ni kweli ila kuanza pamoja siyo sababu maana hata shuleni kuna wanafunzi waliweza kuwaelekeza wenzao waliopo darasa moja. Licha ya kuanza pamoja lakn kanumba alimtambulisha Ben kwenye game
@shabanially47942 жыл бұрын
Kwani msipoweka picha ya gorofa hatuangalii?
@asiaas66172 жыл бұрын
🤣🤣🤣labda walidhani hatutaangalia
@mekeyamusa35232 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mamalaozphilemon.88002 жыл бұрын
🤣🤣🤣 hawa wanapenda sana kuzigua .
@aidankakulu3982 жыл бұрын
Ni upuuzi wao tu huo jamaa yangu
@ibnnjoka76492 жыл бұрын
🤣
@peteveprosper71862 жыл бұрын
Jamaa hana shidaa na hicho ki interview mna mdharirisha maisha magum sana
@hamissusinga41642 жыл бұрын
Ben branco nakubali mwamba
@makulaikuku69092 жыл бұрын
Heeee abduli ahmad masha Allah me najua naitwa benjamini
@fesalchambuso80232 жыл бұрын
Umeonaee eeeh 🤣
@naimaislam5522 жыл бұрын
Mi pia Ben ndio nimezoea yaaani
@heyumi23402 жыл бұрын
😁😁😁😁
@zalhathasaid20602 жыл бұрын
@Fatherjaytz ndio ttz kuwa sio muslam mtihan
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
@Fatherjaytz nimecheka,sema swali zuri hilo
@nadhirusadick74462 жыл бұрын
Daah mi nilijuwa anapga chang, a mana alivokuwa anamuibia pombe hayati Kanumba duuuh kwel mwamba anajuwa
@davidelias67302 жыл бұрын
Siwafichi nilikuja kuangalia mjumba kilichonikuta naanza kukumbuka tu uncle selengo bongo jaman mnajua kula mb zetu🤣🤣🤣🤣
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@saumuabdi18022 жыл бұрын
Mashaallah Abdul
@rehemasalim45902 жыл бұрын
Kwan aitwa abdul😀mashallah jina zur nalijua leo
@saumuabdi18022 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 mimwenyewe sijawahi juwa kama Muslim wallah nimefurahi
@rehemasalim45902 жыл бұрын
@@saumuabdi1802 tupo wengi
@rajabuwazir69482 жыл бұрын
Nakukubali sana ktk jambo lako Allah akuhifadhi na familia yako
@saudambinga38322 жыл бұрын
Serengo Yuko vzr Sana🇴🇲
@Stanbul.Y2 жыл бұрын
Weee dem jirekebishe maisha hayendi hivyo
@duniawadunia48242 жыл бұрын
Masha"Allah Masha"Allah zamwizi ni 40 kingwendu hahaha kali sana
@sumisumi81812 жыл бұрын
Mnano mwaka 2000 kaigiza kwenye " MAISHA" pamoja na Dr cheni , shwebe,muongo Mchugu,lina ,max,doki etc ..kitambo mno from North Dakota USA
@rukiasadiki99922 жыл бұрын
Typing bhana😜
@zalhathasaid20602 жыл бұрын
Mwaka uo mm nko tumboni hhhh
@petermaro98522 жыл бұрын
Una kumbukumbu kinouma Sumi,ila dokii hakuwa kaole alikuwa Mambo hayo.Igizo la Hujafa hujaumbika au maisha 2000 walikuwepo akina jerry, bambo,kelvin,mashaka,kahabi,rachel,Nina,Nora,kemmy,Bahati,Zawadi, Bupe,kisa na akina bi mwenda na mama haambiliki.
@hamadimwechiwa98352 жыл бұрын
Kumwambia mama wawatu rasta kama pweza ilieparalaizi ache
@bukheribukheri7982 жыл бұрын
Ben Ben huyu jamaa anaweza sana
@fatmabhai28122 жыл бұрын
Wee selengo kitanda kimvulugika.😀😀😀😀😀
@ayshaaysha21652 жыл бұрын
Mashaallah uko vzr
@ladymuna49452 жыл бұрын
Mm namjua kama Carlos 😂😂😂
@matovuasuman91482 жыл бұрын
#Huba
@irenemagreti59212 жыл бұрын
Jamani beni kufa kwa Kaka k ume potea tinahitaji kukuona kwenye gemu bana
@sarahmwaluko24802 жыл бұрын
Manshallah napendaga uigizaji wako mkorofimkorofi
@Henryphd3552 жыл бұрын
Namkubaliiii saaana
@mamumariam75822 жыл бұрын
Nakubali kazi yako
@atanasjisonge25382 жыл бұрын
Nakukubali sanaa mzee
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
Maajabu ya leo ni baada ya kumjua kama Ben ni Abdull maana nilijua ni Benedictor
@rehemasalim45902 жыл бұрын
Tupo wengi😂
@shuusalumu86182 жыл бұрын
Benedictor ni jude kwenye hubba
@OmanOman-ep7bw2 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 mm pia nilijua jina lake alisi
@vailetadam33662 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ramabwagizo39742 жыл бұрын
Kiukweli hiyo picha ya gorofa na gar ndo ilonivutia niangalie
@neemazee18642 жыл бұрын
Mbego TV mimi naji Ansubscribe mana mmezidi uongo, iyo nyumba sasa iko wapi apo