NI KATIKA NGONJERA YA KUIMARISHA IMANI ILIYOFANYIKA KATIKA KONGAMANO LA MASISTA VIJANA MLOWO,JIMBO KUU LA MBEYA
Пікірлер: 19
@costantinojohn273928 күн бұрын
Nimeipenda baba zangu mpo vizuri sana kwenye utunzi wa mashairi
@devothamichael6362 жыл бұрын
Mungu awabariki sana nyumbani kumenoga nimeipenda hiyo
@devothamichael6362 жыл бұрын
Mumetuongezea siku za kuishi mmbarikiwe sana baba zetu
@devothamichael6362 жыл бұрын
Kwetu pazuri sana nimemwona Mungu kwa sitaili hii tunaitaji neema za Mungu
@levinasilayo86712 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana,
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Vidonge vya imani honereni
@justardmutarrmwa44522 жыл бұрын
Wakuu wetu mbarikiwe sana
@josephineombati14652 жыл бұрын
Amina
@devothamichael6362 жыл бұрын
Tunakuombea usiondoke baba atakayevumilia mpaka mwisho ataona utulufu wa Mungu
@devothamichael6362 жыл бұрын
Nikweli baba lazima mvumilie mtavishwa taji siku moja
@furahambughi49772 жыл бұрын
Safi sana
@mbeyaarchtalenttv2 жыл бұрын
Amina Mheshimiwa Mbughi tuendelee kuhamasishana kusubscribe katika mtandao ili waendelee kupata mafundisho Kanisa,Ujumbe mbalimbali kutoka kwa Mababa,vyama vya kitume,Watawa na maagizo,elimu ama masuala mbalimbali ya maendeleo ya kiimani na kijamii
@devothamichael6362 жыл бұрын
Aliwaita basi mmjengee uaminifu kwa sababu aliwapenda upeo
@chidjosh60562 жыл бұрын
Hakuna dini tanzania tena, tumebaki na viongizi wanafiki,hawana faida yeyote kwa taifa
@justardmutarrmwa44522 жыл бұрын
Ulikoenda ndugu sio njia yako!
@franciskalistus69872 жыл бұрын
Chid Josh kwani kuna tatizo gani hapo na viongozi wa dini?. Mbona sioni tatizo?. Au chuki zako tu binafsi, mbona watu wote wanaona ipo vizuri sana. Peke yako ndiyo unakasoro ktk kutafsiri mambo. Muda wote lawama tu!. Tumia vizuri mtandao!@.
@edwardpastory8122 жыл бұрын
Samahan, huyu padre anayefanana na Rais Hussein Mwinyi anaitwa nan?