MR MONEY_EP 01

  Рет қаралды 260,999

LIKOMA

LIKOMA

25 күн бұрын

#mzeelikoma#mrmoney#kpnazebuu

Пікірлер: 741
@AnithaStiven
@AnithaStiven 23 күн бұрын
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef9823
@rozeyousef9823 23 күн бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod2364
@christinamethod2364 23 күн бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoya
@AmosBudoya 23 күн бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba8807
@josephluomba8807 23 күн бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2v
@user-sc7sn6ux2v 20 күн бұрын
together
@user-sy9cu5ef5q
@user-sy9cu5ef5q 23 күн бұрын
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
@NipherKwamboka
@NipherKwamboka 23 күн бұрын
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salat
@Zainab_salat 23 күн бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema218
@purityneema218 23 күн бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6ux
@PendoRobert-ph6ux 23 күн бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_Talent
@Laxy_Talent 23 күн бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2ml
@PoliceNdizeye-rt2ml 23 күн бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 23 күн бұрын
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
@user-ex6tg6di7r
@user-ex6tg6di7r 23 күн бұрын
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
@OUTLAWDRILLERS
@OUTLAWDRILLERS 23 күн бұрын
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
@tobiaschirwa9364
@tobiaschirwa9364 23 күн бұрын
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
@simbeyrugata8745
@simbeyrugata8745 23 күн бұрын
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
@nasorohusein-uz4hv
@nasorohusein-uz4hv 23 күн бұрын
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
@modostar
@modostar 23 күн бұрын
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha
@Therapist_kicha 14 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
@ShanBaby-dy4db
@ShanBaby-dy4db 23 күн бұрын
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
@madymag6926
@madymag6926 23 күн бұрын
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@ruth1377
@ruth1377 23 күн бұрын
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 23 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
@JohariJohari-rv5js
@JohariJohari-rv5js 23 күн бұрын
Nguo zashule zimewapendeza
@SamuelAloo-qv3kg
@SamuelAloo-qv3kg 23 күн бұрын
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv
@WardaMohhamed-xx9mv 6 күн бұрын
Nimeipendasana
@MauaroseMauarose
@MauaroseMauarose 23 күн бұрын
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari6735
@bakariomari6735 8 күн бұрын
Kwann likuume❤
@lucyrif-np8ik
@lucyrif-np8ik 23 күн бұрын
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@yohanemwanzalima2777
@yohanemwanzalima2777 23 күн бұрын
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
@user-xd8qy1cx2b
@user-xd8qy1cx2b 23 күн бұрын
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
@JanetSanga-b6p
@JanetSanga-b6p 23 күн бұрын
Kazi nzuri nawapenda nyote
@LinetOpio-uj2eb
@LinetOpio-uj2eb 21 күн бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj 23 күн бұрын
Nampenda sana mze likoma❤
@user-md2ct5fl7h
@user-md2ct5fl7h 23 күн бұрын
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
@jacksonminani9782
@jacksonminani9782 23 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 23 күн бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hr
@mary-lx3hr 23 күн бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 23 күн бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma6263
@jacklinefatma6263 19 күн бұрын
​@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 19 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
@EdwardTz.
@EdwardTz. 23 күн бұрын
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
@user-dy2zp2iw6z
@user-dy2zp2iw6z 23 күн бұрын
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e
@user-yg7dy8ls9e 10 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
@user-su5oi5wb6c
@user-su5oi5wb6c 23 күн бұрын
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FaithAdela
@FaithAdela 5 күн бұрын
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
@user-op7tg4wq2g
@user-op7tg4wq2g 23 күн бұрын
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaud
@EdalyDaud 19 күн бұрын
Dog sele
@user-lf5ud8vb5j
@user-lf5ud8vb5j 23 күн бұрын
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
@MarcygloriaIbrahim
@MarcygloriaIbrahim 23 күн бұрын
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
@UchebeUchebe-h3w
@UchebeUchebe-h3w 22 күн бұрын
Vp
@BaroJunio
@BaroJunio 10 күн бұрын
Mdada
@metrinenyakoe1764
@metrinenyakoe1764 20 күн бұрын
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
@CarolinePeter-gc8fp
@CarolinePeter-gc8fp 23 күн бұрын
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 19 күн бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@user-dt9uc7wj1y
@user-dt9uc7wj1y 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 18 күн бұрын
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
@johnfilbert5915
@johnfilbert5915 23 күн бұрын
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
@GentilKakule-rd2pz
@GentilKakule-rd2pz 23 күн бұрын
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
@AbdulBushiri-b6o
@AbdulBushiri-b6o 2 күн бұрын
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
@user-rl5zb1jc9k
@user-rl5zb1jc9k 23 күн бұрын
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
@Asia-dq3rt
@Asia-dq3rt 23 күн бұрын
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
@isabellahchuma
@isabellahchuma 19 күн бұрын
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
@user-zo8lz3wm7n
@user-zo8lz3wm7n 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
@user-zw7nz4nh6d
@user-zw7nz4nh6d 12 күн бұрын
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
@BrayMark-d3z
@BrayMark-d3z 21 күн бұрын
Tupe hii baba achana na plan b
@janepaul-pu3ds
@janepaul-pu3ds 23 күн бұрын
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
@EstherwakioWukanda
@EstherwakioWukanda 21 күн бұрын
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
@user-ck7fi3bh3i
@user-ck7fi3bh3i 23 күн бұрын
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
@Stardinyo
@Stardinyo 23 күн бұрын
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
@EmmyMo
@EmmyMo 20 күн бұрын
Imenzidi umrii😂😂😂
@user-jd9jb3ri4u
@user-jd9jb3ri4u 23 күн бұрын
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
@zainzain1163
@zainzain1163 23 күн бұрын
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
@brenduemmanuel7540
@brenduemmanuel7540 17 күн бұрын
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
@CollisBill-mu3zp
@CollisBill-mu3zp 23 күн бұрын
😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER
@ThumahSalush
@ThumahSalush 8 күн бұрын
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 21 күн бұрын
Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
@TantineZuzu
@TantineZuzu 23 күн бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
@user-qq4zr3sk2g
@user-qq4zr3sk2g 20 күн бұрын
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
@JerryGebiyr-dv6jp
@JerryGebiyr-dv6jp 23 күн бұрын
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
@PedrocesarmsuyaMsuya-k9p
@PedrocesarmsuyaMsuya-k9p 23 күн бұрын
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
@philohmutua2968
@philohmutua2968 23 күн бұрын
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
@ALAINMUFUNGIZI-gb2gs
@ALAINMUFUNGIZI-gb2gs 23 күн бұрын
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
@maimunarajab6826
@maimunarajab6826 21 күн бұрын
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
@user-gg5ed4wt2v
@user-gg5ed4wt2v 23 күн бұрын
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
@JuliaAyuma-z5w
@JuliaAyuma-z5w 19 күн бұрын
Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania
@GentilKakule-rd2pz
@GentilKakule-rd2pz 23 күн бұрын
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
@user-xm4uu7he9c
@user-xm4uu7he9c 23 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
@juliusshauri4498
@juliusshauri4498 19 күн бұрын
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
@NAOMICOM-my4ql
@NAOMICOM-my4ql 23 күн бұрын
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
@MaryamSafi-vm6or
@MaryamSafi-vm6or 23 күн бұрын
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
@user-bc5zw3jn2x
@user-bc5zw3jn2x 19 күн бұрын
Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi
@TamashaAwadhi
@TamashaAwadhi 11 күн бұрын
Nawakubali sana haswa kp
@MalakiKapesa
@MalakiKapesa 4 күн бұрын
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
@feisaldesign4156
@feisaldesign4156 2 күн бұрын
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
@zawadichengokatana4750
@zawadichengokatana4750 23 күн бұрын
Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba
@MayengDulu
@MayengDulu 23 күн бұрын
Kazi poa sana mzee likoma na dibosi na wanafuzi dodosha vitu Kali kaka❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AugustinhoManyangaunitedboetz3
@AugustinhoManyangaunitedboetz3 23 күн бұрын
Wanafuzi??
@FatumahUbwa
@FatumahUbwa 19 күн бұрын
Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉
@samwelnestory8716
@samwelnestory8716 23 күн бұрын
Likoma unaweza sana napenda kucheka😂
@samwelnestory8716
@samwelnestory8716 23 күн бұрын
@aishalovesesibe
@aishalovesesibe 15 күн бұрын
Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰
@FREDRICKotieno-li2vo
@FREDRICKotieno-li2vo 23 күн бұрын
Gained a new subscriber ❤❤
@AmosBudoya
@AmosBudoya 23 күн бұрын
Jaman from Tanzania nipen likes zang
@janethmshahara4048
@janethmshahara4048 21 күн бұрын
Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂
@RehemaMwambene-nf3yh
@RehemaMwambene-nf3yh 22 күн бұрын
Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂
@user-yu9qn4oi3g
@user-yu9qn4oi3g 23 күн бұрын
❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥
@MancaGilbert-os9kx
@MancaGilbert-os9kx 13 күн бұрын
Huwa nikiangaliaga video za likoma na diboz huwa na cheka Sana mm jmn haya jamn kaz yenu nzuri
@AnoriteMungusa
@AnoriteMungusa 23 күн бұрын
Nawakubali sana ❤💪
@paulinekombe3753
@paulinekombe3753 23 күн бұрын
Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉
@DianaKatyetye
@DianaKatyetye 23 күн бұрын
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
@AmosBudoya
@AmosBudoya 23 күн бұрын
Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka
@user-wn9xk7ys7n
@user-wn9xk7ys7n 4 күн бұрын
😂😂😂😂mwanzo hiy nyimbo ya pochi nene nlkua nme imiss san mzee lkoma
@salhatiddy
@salhatiddy 23 күн бұрын
Hahaha😂 nimeipenda sana hiii kama Mzee wagiza 😘
@user-eq9xt7qi3n
@user-eq9xt7qi3n 23 күн бұрын
Ila mnapendeza sana na hizo uniform 😂😂
@directorshasibu
@directorshasibu 22 күн бұрын
Kazi nzuri, Natamani kukushot filamu moja uone ubora wangu pia 😢
@tommroverdose1242
@tommroverdose1242 23 күн бұрын
mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome
@user-vp5yi6gb8v
@user-vp5yi6gb8v 20 күн бұрын
Hongereni sana movie nzuri like kwao🎉🇹🇿
@user-dv2wl3gh4n
@user-dv2wl3gh4n 23 күн бұрын
😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana
@floramacheva5855
@floramacheva5855 20 күн бұрын
Jamani Mzee likoma, 😂😂😂😂 unamfanyaje dibosi....
@MomoDarucy-tw2ti
@MomoDarucy-tw2ti 23 күн бұрын
Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂
@abdullatif053
@abdullatif053 18 күн бұрын
Mzee liko unalaza sana damu tushachoka kusubiri ep y 2🎉
@agapitshayo-cy7vy
@agapitshayo-cy7vy 23 күн бұрын
Sijachelewa big up likoma
@aishalovesesibe
@aishalovesesibe 15 күн бұрын
Muze Rikoma na Ribozi munachapa kazi😂😂🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮
MR MONEY_EP 02
21:43
LIKOMA
Рет қаралды 174 М.
MR MONEY_EP04
27:37
LIKOMA
Рет қаралды 62 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,7 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
SIFI LEO - EPISODE 11 | CHUMVINYINGI
15:48
CHUMVINYINGI GANG
Рет қаралды 12 М.
#JINI_MANOTI__[01] NEW 🌹LOVE ♥️🌹 STORY 🇹🇿
18:22
MIGA FANTY TV🇹🇿
Рет қаралды 6 М.
HARMONIZE ASIMAMISHA LUPASO HUJAWAHI KUONA KAMA HII
28:58
I Built a SECRET McDonald’s In My Room!
36:00
Stokes Twins
Рет қаралды 70 МЛН
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00
Steve Mweusi
Рет қаралды 580 М.
TAZAMA SHOW YA ALIKIBA SIMBA DAY 2024, UBAYA UBWELA.
13:22
Jambo FM Radio Tanzania
Рет қаралды 26 М.
PLAN B _ Episode 9
27:15
kp wa Aquino
Рет қаралды 60 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2 МЛН