Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef982323 күн бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod236423 күн бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoya23 күн бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba880723 күн бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2v20 күн бұрын
together
@user-sy9cu5ef5q23 күн бұрын
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
@NipherKwamboka23 күн бұрын
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salat23 күн бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema21823 күн бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6ux23 күн бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_Talent23 күн бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2ml23 күн бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
@abdallahassan637823 күн бұрын
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
@user-ex6tg6di7r23 күн бұрын
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
@OUTLAWDRILLERS23 күн бұрын
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
@tobiaschirwa936423 күн бұрын
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
@simbeyrugata874523 күн бұрын
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
@nasorohusein-uz4hv23 күн бұрын
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
@modostar23 күн бұрын
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha14 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
@ShanBaby-dy4db23 күн бұрын
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
@madymag692623 күн бұрын
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@ruth137723 күн бұрын
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
@hamzaIlunga23 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
@JohariJohari-rv5js23 күн бұрын
Nguo zashule zimewapendeza
@SamuelAloo-qv3kg23 күн бұрын
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv6 күн бұрын
Nimeipendasana
@MauaroseMauarose23 күн бұрын
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari67358 күн бұрын
Kwann likuume❤
@lucyrif-np8ik23 күн бұрын
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@yohanemwanzalima277723 күн бұрын
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
@user-xd8qy1cx2b23 күн бұрын
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
@JanetSanga-b6p23 күн бұрын
Kazi nzuri nawapenda nyote
@LinetOpio-uj2eb21 күн бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj23 күн бұрын
Nampenda sana mze likoma❤
@user-md2ct5fl7h23 күн бұрын
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
@jacksonminani978223 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi1823 күн бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hr23 күн бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi1823 күн бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma626319 күн бұрын
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi1819 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
@EdwardTz.23 күн бұрын
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
@user-dy2zp2iw6z23 күн бұрын
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e10 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
@user-su5oi5wb6c23 күн бұрын
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@FaithAdela5 күн бұрын
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
@user-op7tg4wq2g23 күн бұрын
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaud19 күн бұрын
Dog sele
@user-lf5ud8vb5j23 күн бұрын
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
@MarcygloriaIbrahim23 күн бұрын
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
@UchebeUchebe-h3w22 күн бұрын
Vp
@BaroJunio10 күн бұрын
Mdada
@metrinenyakoe176420 күн бұрын
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
@CarolinePeter-gc8fp23 күн бұрын
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
@jaymapepefatma593619 күн бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@user-dt9uc7wj1y21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
@theopisterjovent348318 күн бұрын
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
@johnfilbert591523 күн бұрын
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
@GentilKakule-rd2pz23 күн бұрын
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
@AbdulBushiri-b6o2 күн бұрын
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
@user-rl5zb1jc9k23 күн бұрын
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
@Asia-dq3rt23 күн бұрын
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
@isabellahchuma19 күн бұрын
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
@user-zo8lz3wm7n23 күн бұрын
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
@user-zw7nz4nh6d12 күн бұрын
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
@BrayMark-d3z21 күн бұрын
Tupe hii baba achana na plan b
@janepaul-pu3ds23 күн бұрын
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
@EstherwakioWukanda21 күн бұрын
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
@user-ck7fi3bh3i23 күн бұрын
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
@Stardinyo23 күн бұрын
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
@EmmyMo20 күн бұрын
Imenzidi umrii😂😂😂
@user-jd9jb3ri4u23 күн бұрын
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
@zainzain116323 күн бұрын
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
@brenduemmanuel754017 күн бұрын
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
@CollisBill-mu3zp23 күн бұрын
😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER
@ThumahSalush8 күн бұрын
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
@FatimaFatima-bx8ez21 күн бұрын
Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
@TantineZuzu23 күн бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
@user-qq4zr3sk2g20 күн бұрын
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
@JerryGebiyr-dv6jp23 күн бұрын
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
@PedrocesarmsuyaMsuya-k9p23 күн бұрын
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
@philohmutua296823 күн бұрын
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
@ALAINMUFUNGIZI-gb2gs23 күн бұрын
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
@maimunarajab682621 күн бұрын
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
@user-gg5ed4wt2v23 күн бұрын
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
@JuliaAyuma-z5w19 күн бұрын
Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania
@GentilKakule-rd2pz23 күн бұрын
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
@user-xm4uu7he9c23 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
@juliusshauri449819 күн бұрын
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
@NAOMICOM-my4ql23 күн бұрын
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane