No video

MR.RIGHT APATA WAKATI MGUMU/AFANYA MAAMUZI HAYA

  Рет қаралды 436,342

ST BONGO TV

ST BONGO TV

Күн бұрын

Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU

Пікірлер: 251
@user-es2fs3li5r
@user-es2fs3li5r Жыл бұрын
MashaAllah napenda lulu alivovaa
@yasnaghump5763
@yasnaghump5763 Жыл бұрын
Mwijako anapenda Sana kuwa kiongoz kwenye kila kitu Kuna muda lijifunze kukaa kimya
@KyaruziInvestment-te6jr
@KyaruziInvestment-te6jr 7 ай бұрын
Huyu aliyesema amepima mapigonya moyo amevaa vizuri I like that
@essaumpuma2981
@essaumpuma2981 Жыл бұрын
Video zenu mnazikata sana zina boa
@rugemalirakamgisha1543
@rugemalirakamgisha1543 Жыл бұрын
Huyo chitamu ana tabia mbaya Ali mkataaga mr light mzuri sana, mwachen aachwe tu
@tracymasangula213
@tracymasangula213 Жыл бұрын
Malipo ni apa apa dunian😂😂💔
@user-kh7dp1xx1v
@user-kh7dp1xx1v 6 ай бұрын
Hahaaaaa atajua hajui mwaka huu
@user-mc7bb5yd4s
@user-mc7bb5yd4s Жыл бұрын
Allah awape elimu pia na akusamehen m
@ahazystanley-ew7wy
@ahazystanley-ew7wy Жыл бұрын
Hiii ni sawa na kusurport ushoga😢😢🙏🏿🙏🏿
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 26 күн бұрын
@@ahazystanley-ew7wy kivip Kwan kuna mwanaume kuolewa hapo acha ukuda
@aal8041
@aal8041 Жыл бұрын
Mmmmm allha atusaidie ndoa hii bona aina shekhe wala mchunguja jamni mungu atusaidie sijajuwa inaitwa ndoa ipi
@HappyMunisi-ig6he
@HappyMunisi-ig6he 10 ай бұрын
Sijapenda tuu hawavai kiheshima,,,
@AnnaMuhema
@AnnaMuhema Ай бұрын
Wakivaaa manguo wakificha miguuu utaonaje kuna wachaga ujuw
@maryjoseph2772
@maryjoseph2772 Жыл бұрын
Mwijaku anakiherehere jamn kha!!
@MeshackNelisan-vi8fj
@MeshackNelisan-vi8fj 7 ай бұрын
Wai sijapenda hat angemchagua yule mwengine uyo kaka amemchagua uyo dada anajua ataenda kulelewa
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Akuna Mungu Apo Pesa Na Shetani Kweli Jamani Ziko Ndoa Za Ivi Kweli Zenye Sifa Ndani Ya Msaafu Na Biblia Jamani Apa Duniani Pesa Izi Ziko Na Mambo
@madamhappymwalongo3653
@madamhappymwalongo3653 Жыл бұрын
Ndio zipo ester alichaguliwa pia kulikuaga na show za kuchafua mke mfalme ahusuelo alimpata ester Kwa style kama hii
@addocharles1167
@addocharles1167 Жыл бұрын
Mwijaku anamkono wakuozesha jamani hajawahi kufeli hongela
@makrinaibinga-on2qx
@makrinaibinga-on2qx 11 ай бұрын
Dada mkubwa kuliko kaka
@anitahlydia
@anitahlydia Жыл бұрын
This is so interesting! than here in Kenya
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Жыл бұрын
da yani wanawake sijui kwanini awajithamini maisha Yao au mili Yao dunia mtaiyacha nawewe mwijaku unajifanya sana mtu wa dini apo unachochea uzinifu tu
@princejalloh2767
@princejalloh2767 Жыл бұрын
Am favourite program I will one day mr right
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Жыл бұрын
mimi Ninaswari kwanini awo wadada Mnawaambia waje hapo Uchi😢Nawakati watoto wakiume Wamevaa nguo kwanini woteee wasivae nguo😢???
@Rdj__255
@Rdj__255 Жыл бұрын
Wao wameona nguo hizo znawafaa hawajapangiwa
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Жыл бұрын
@@Rdj__255 Kumbee🙏
@user-rq7kl4mq5k
@user-rq7kl4mq5k 11 ай бұрын
kwakweli mavazi ya wadada sio mazur
@vicentjulius
@vicentjulius 10 ай бұрын
Watangazaji wa kike baadhi yao tu wanavaa nusu uchi sembuse hao mabinti? Nowadays hakuna maadili kabisa
@janethkomba4485
@janethkomba4485 10 ай бұрын
@@vicentjulius Kabisaaa
@irenekarume1470
@irenekarume1470 Жыл бұрын
Wawe wanajistill khama lulu diva hata siku moja mojaaa
@Ann-Strong
@Ann-Strong Жыл бұрын
Kujisitiri bila ya Imani bure
@cimpayeriziki6680
@cimpayeriziki6680 6 ай бұрын
Lulu reo burundi tumekupaga Dati mwiimbaji❤❤❤❤
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 8 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@AnnaMuhema
@AnnaMuhema Ай бұрын
Mwijak
@BrenderMartin-eb2on
@BrenderMartin-eb2on Жыл бұрын
Mwijaku anaharibu
@sabahsalim3306
@sabahsalim3306 Жыл бұрын
Mwakili wa zinaaa
@arushamedia6812
@arushamedia6812 Жыл бұрын
Chitam utaondoka mwenyewe mbwa wew si ulimkataa mwanaetu 😂😂
@DM_15
@DM_15 Жыл бұрын
🤣🤣🤣na ata achwa kaulizake zakijuaji sana mwanamke mjuaji sana Hua nikero kwanyumba
@khayrathahamadi656
@khayrathahamadi656 Жыл бұрын
Yan hat mm nasema abaki tuu ni mshenzi
@sarazacharia
@sarazacharia Жыл бұрын
😂😂😂😂
@sarazacharia
@sarazacharia Жыл бұрын
​@@DM_15 😂😂😂😂
@tracymasangula213
@tracymasangula213 Жыл бұрын
Malipo ni apa apa dunian 💔💔🚮🙌
@juniversal.onlinetv4163
@juniversal.onlinetv4163 Жыл бұрын
Sema kwamba hujuhi kuchagua
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 8 ай бұрын
Mwijaku😂😂c kwa shangwe hilo.
@JohnMalingumu-nh9le
@JohnMalingumu-nh9le Жыл бұрын
Dunia ya leo imejaa upumbavu tu,mwijaku nilidhani anaakili kumbe ovyoooooooo!!!
@fredysparta7014
@fredysparta7014 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@meckitilidatushabe
@meckitilidatushabe Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-kh7dp1xx1v
@user-kh7dp1xx1v 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Sarahsaid2648
@Sarahsaid2648 Жыл бұрын
Huku ni kujiuzaaa kbasaa daah Mungu tuhurumie
@menahallie5301
@menahallie5301 Жыл бұрын
Kipindi ni kizuri, Ila ambieni hao wadada wawe wanajistili jamani khaaaaah
@raybby9291
@raybby9291 Жыл бұрын
Wanahisi ili wapendwe lazima wakae uchi kumbe sivyo mwanamme alie timamu awezi chagua mwanamke alie acha mapaja mbele za watu
@agathaaroni7783
@agathaaroni7783 Жыл бұрын
Kabisa yan wanavaa uchi uchi tu hata wanaotaman wanaojistiri wanashndwa kutokana na hayo mazingira
@LoreenBernard-lr6cg
@LoreenBernard-lr6cg Жыл бұрын
Nakuunga mkono maana wote wanavaa nguo fupi mxuuuiew
@ZulfahAbdillah-fd5gq
@ZulfahAbdillah-fd5gq Жыл бұрын
Watangazaji wenyew wako uchi ndo watajistir washirik best
@tamimbinaltan1325
@tamimbinaltan1325 Жыл бұрын
Mungu akujaze kheir dada
@user-gz6dk8hu8c
@user-gz6dk8hu8c Жыл бұрын
Mh mungu amisimamiye hivi halafu mkitoka hapo mwaenda pima kweli au ni hukokuvamiyana
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 11 ай бұрын
Hapo ndo umesha ozesha mungu tusaidie
@emmagodson3048
@emmagodson3048 6 ай бұрын
Ndoa za kizazi hiki 😂😂😂 kazi mnayo 😂😂😂😂😂
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Kweli wambien wajisti uzuri nitabia ht mm nitakujabkuongeza jiko ila wajistir nikitoka Dubai tu pnp majaaliwa
@user-go6xm3ef1o
@user-go6xm3ef1o Жыл бұрын
Kwaiyo utaenda apo kwenye icho kipindi 😅 mtaan kwenu wameisha
@AnnaMuhema
@AnnaMuhema Ай бұрын
Yan video Tam na mnaikatisha
@GracieTyno
@GracieTyno Жыл бұрын
Mnaongea sana,kila mtu anaongea.
@mercymbithe0001
@mercymbithe0001 Жыл бұрын
Bona mm na enjoy 😂😂😂😂
@GracieTyno
@GracieTyno Жыл бұрын
@@mercymbithe0001 Me pia sijakutaja wewe kwamba unakerwa.
@franciskimosong7750
@franciskimosong7750 Жыл бұрын
So good
@frenciustryphone4531
@frenciustryphone4531 Жыл бұрын
Wanavaa vibaya n kama malaya tu hawana adabu hata kidogo
@omanoman2044
@omanoman2044 13 күн бұрын
Ndoa gan ama akatulie kwenye zinaa jakhanam inawasubiria nauj8nga wenu mkafikir mtakaa mpaka lin
@Winniequinepretty-wm7rr
@Winniequinepretty-wm7rr Жыл бұрын
Nimependa kipindi shukran
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Жыл бұрын
Uyu mama itakuwa anaela uyu semajamaaa alishtukiya iyo ndomana akamchaguwa
@rukiamkwayo6302
@rukiamkwayo6302 Жыл бұрын
Mwen jaku nakukubali sana
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 7 ай бұрын
Bro ujachaguwa mtu sahihi mana uyo dem anaonekana kbd ni pashukuna
@user-mr1fe8kx3t
@user-mr1fe8kx3t Жыл бұрын
Na mimi nitaftieni mume jamani ❤
@shabanponera2895
@shabanponera2895 Жыл бұрын
Njoo nikuoe
@jamesswai6583
@jamesswai6583 11 ай бұрын
Unakosaje sasa
@janethjassonjoseph-se2ub
@janethjassonjoseph-se2ub Жыл бұрын
Iyo sura tu 😢
@petermwenda6470
@petermwenda6470 Жыл бұрын
Hili mbona ni dangulo, serikali iko wapi?
@bagengift3488
@bagengift3488 Жыл бұрын
😂😂😂aya sasa
@mohamedslh5478
@mohamedslh5478 Жыл бұрын
😂😂😂
@Clex-f5s
@Clex-f5s Жыл бұрын
Waiting for such comment
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Жыл бұрын
Hovyo kbsaa
@mohamedslh5478
@mohamedslh5478 Жыл бұрын
@@rehemakanyere4188 watu wanatafuta wake banaa😜
@user-fn6uo7bb9u
@user-fn6uo7bb9u 6 ай бұрын
Mbona eriza hawamchagui jamani
@annamakome2979
@annamakome2979 Жыл бұрын
hivi kweli hayo mahusiano huwa yanadumu yanayopatikana kwenye kipindi hiki? muwalete baadhi wenye mfano walotokana na kipindi hiki.
@rhodapyuza6053
@rhodapyuza6053 11 ай бұрын
Mnaongea sana
@VuwaiVuwai-eb2zy
@VuwaiVuwai-eb2zy 7 ай бұрын
Sirias gara B kamaind maamuz ya mr right😂😂
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 5 ай бұрын
Kumbe mnawauza😢😢
@SharonEndesha
@SharonEndesha Жыл бұрын
Huyu mwanaume aliye kukura hela mfukoni anakiherehere kingii😅😅😅😅 bila msimamo
@rachelmuhehe7789
@rachelmuhehe7789 Жыл бұрын
Wanawake tufanye kazi, tusije tukajiuza kwa mbwa wagonjwa 😏
@kelvinalfredy8988
@kelvinalfredy8988 Жыл бұрын
😂😂😂😂 dah nmecheka
@RuthySulle-yc5dq
@RuthySulle-yc5dq 9 ай бұрын
Jamn mnapatikana wp wapendwa
@user-sp8zu7oh2n
@user-sp8zu7oh2n 5 ай бұрын
I saf, watu wamenyetuka uko wamechoka sasa wanajiongeza ninyi ni kuponda tulien
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
Mwijaku❤❤❤
@sophiajuma6798
@sophiajuma6798 Жыл бұрын
Mwijaku kungwii
@oman1oman179
@oman1oman179 Жыл бұрын
Ongereni
@MtaboraMuhidini
@MtaboraMuhidini 2 ай бұрын
Ameacha chombo ile daah
@mashaali6519
@mashaali6519 Жыл бұрын
Ammy gel una mikelele mbaka una boa
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Hiv wanaendaga wapi baada yahapo
@emmagodson3048
@emmagodson3048 6 ай бұрын
Huu ni mchezo au comedy?? Mbona haiingii kichani wanachaguana kuwa marafiki au wanandoa, 😂😂😂😂
@user-hq5vq7gx2q
@user-hq5vq7gx2q 8 ай бұрын
Mdada be mkubwa jmnii
@Aginga264
@Aginga264 Жыл бұрын
I'd pick the lady in black as well, she did better in terms of modesty
@jonimwafitness9516
@jonimwafitness9516 11 ай бұрын
She looks like she is in her 50s .
@Kenyan_Duke
@Kenyan_Duke Жыл бұрын
Hiyo kijana hatoshi na like jaguo,,,daa!!!
@binloufy454
@binloufy454 Жыл бұрын
Huku ni Kuendelea Ku promote UZINIFU TU
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@saidijuma9386
@saidijuma9386 Жыл бұрын
Sure kbsa huwez kutft mwenza kwa style hii ni upuuz mtupu
@martinakimaro3302
@martinakimaro3302 Жыл бұрын
Aseeeeee vijana watanzania kama vile tumeamua kujiuza kitaalamu ivi wazazi wao wanaona huu jinga wanao ufanya kwel😢such a shame
@ashurakhamis5787
@ashurakhamis5787 Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@assadlugendo5583
@assadlugendo5583 Жыл бұрын
modern day prostute
@Iamfarhya
@Iamfarhya Жыл бұрын
Et Dont dissapointed me😂😂😂😂 MWIJAKU
@valerianmtowe7822
@valerianmtowe7822 Жыл бұрын
Kwa iyo apo ndo kashapata mke au mbona sielewi
@deogratuskakuru
@deogratuskakuru Жыл бұрын
ivi jaman tunaelekea wap Kuna ndoa za hivi kweliii ee mungu tusamehe ee mungu linda na watoto wetu wasipotoshwe
@KelvinJackson-bf1ki
@KelvinJackson-bf1ki Жыл бұрын
Ivii apo unachagua mke au wa kwenda kulala naeh hii dunia ipo siku tu tufany yote ilaaa tutaona
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Mashee Na Wachungaji Mko Wapi Kondoo Wanapotea Ivi Madanguro Ya Waziwazi Aya
@petermwenda6470
@petermwenda6470 Жыл бұрын
Halafu wanapiga marufuku madanguro ya mafichoni km kinondoni, hata mbeya mafyati
@tiffahrajabu5892
@tiffahrajabu5892 Жыл бұрын
Uko sasa kuuziana mbuzi kwenye gunia
@hamisshabani3126
@hamisshabani3126 Жыл бұрын
Hiki kipindi inatakiwa MC awe mmoja tu. kuwa watu 4 haileti maana pia contents zinapotea maana wanaongea sana wao tu
@rehemageofrey1246
@rehemageofrey1246 7 ай бұрын
Wanambwembqe nyingi zisizo na maana
@bmstudio3712
@bmstudio3712 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@HappyMunisi-ig6he
@HappyMunisi-ig6he 10 ай бұрын
Huyo kaka havuti bangi kweli
@veronicahpallangyoh6065
@veronicahpallangyoh6065 11 ай бұрын
Hivi ni kweli au maigizo maana mi siamni mke yuko uchi mke gani huyo
@rusiahnyabuto1741
@rusiahnyabuto1741 Жыл бұрын
Watu wakubwa makerere tupu kwani tunawatch nyinyi
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Жыл бұрын
Sasa Hao wanawake kwa nn wamuwambii wawe wanajaribu kujistiri sahapo mnafundisha nn
@kishkiozil2156
@kishkiozil2156 11 ай бұрын
hakuna wife materiel anaweza kusimama ati anatafute mume wote waongo ao
@hashimlowela294
@hashimlowela294 Жыл бұрын
😄😄😄😄eti kaacha kwenye gari
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Жыл бұрын
Sasa haya ndo madili gani ya kitanzania madili Hawa ndo wanachochea uharibifu watoto
@user-to7fd7ev4t
@user-to7fd7ev4t 11 ай бұрын
Mnapatatu dhambi
@anselmoonolius
@anselmoonolius Жыл бұрын
Hua naulza lkn cjawah pata majibu, hch kipindi kinatoa fundisho gan kwa jamii?😳😳😭😭
@Zuuh4286
@Zuuh4286 Жыл бұрын
Kuuzana 😂🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🫢🤷🏼‍♀🙆🏼‍♀🙆🏼‍♀🙆🏼‍♀🙆🏼‍♀
@mohamedally5225
@mohamedally5225 Жыл бұрын
Hicho kipind ni kwa ajili ya mzinifu kutafuta mtu wa kuzini nae
@alaidertolatine4750
@alaidertolatine4750 Жыл бұрын
@@mohamedally5225😂😂😂😂
@rajtz6283
@rajtz6283 Жыл бұрын
Kina raheem atukosei😊
@ktigerman5736
@ktigerman5736 Жыл бұрын
Hakuna haja ya wapambe wanaondoa ladha ya kipindi wawaache vijana waamue wenyewe.
@jacklinewilbard
@jacklinewilbard Жыл бұрын
Napita2
@JohnMalingumu-nh9le
@JohnMalingumu-nh9le Жыл бұрын
Huyo mwanamke hajitambui
@jonabrnd628
@jonabrnd628 11 ай бұрын
Boy anatak kua kibenten. Mdada ujapat boy 💀😳
@dennismadundounyamasanahom8435
@dennismadundounyamasanahom8435 Жыл бұрын
Hiki kipindi mwijaku anakihalibu Sana analopoka maneno mengine yasio na staha mwsho kipindi kinaonekana Kama Cha wahuni
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Acha utimu kikundi chenyeywe cha wahuni
@tinerpatrick6386
@tinerpatrick6386 Жыл бұрын
Jamani iki kipindi ni cha kweli au
@AngelinaGabriel-ro2tn
@AngelinaGabriel-ro2tn Жыл бұрын
Leteni hiko kipindi dodoma
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Mwijaku huyu mdada anae kikumbatia vip hajaolewa huyu alisema ndo wakat woko wakutoa
@ramadhankhamis-kk1dc
@ramadhankhamis-kk1dc Жыл бұрын
Haya ni mambo ya kishetani kwa kweli mbona hatuoni hizo ndoa
@aminadjuma7555
@aminadjuma7555 11 ай бұрын
😀😀😀😍😀😀😀😀
@edwinewanjala2521
@edwinewanjala2521 Жыл бұрын
Oooh God
@elizabethsamson4923
@elizabethsamson4923 Жыл бұрын
Kipindi kizuri ila wadada wanavaa hovyo
@user-wq7dr3ix2j
@user-wq7dr3ix2j Жыл бұрын
Hivi hii huwa ni kwel kabisa mbona kama maigizo eeh
@suleimanmkombo3576
@suleimanmkombo3576 11 ай бұрын
Inamaana sharti la mr lite lazima awe mrefu😥
@thabitichikumbidi982
@thabitichikumbidi982 8 ай бұрын
Kila anaeshiriki anachangia uzinifu wazinzi wote
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 Жыл бұрын
Tanzania hakuna pressure 😂😂😂😂 nitakuja tena
@shivuboy301
@shivuboy301 10 ай бұрын
kwer😂
@frankmayala4564
@frankmayala4564 10 ай бұрын
Hivi akichaguliwa ndiyo tayari ameolewa
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 11 ай бұрын
Umalaya wa kimataifa
MR RIGHT KAMKATAA SARAH KAENDA KWA GLORY
5:49
ST BONGO TV
Рет қаралды 172 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 62 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 63 МЛН
MREMBO VICKIE ATAKUWA ANA GUNDU | AKOSA MR.RIGHT TENA
7:09
ST BONGO TV
Рет қаралды 701 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 372 М.
HUYU JAMAA MBONA MTATA SANA AISE!!
9:54
Hello Mr Right Tanzania
Рет қаралды 628 М.
HIVI NDIVYO DULVAN ALIVYOMKANA MWANAMKE NDANI YA STUDIO
5:00
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
HUYU MWANAUME HAJANIVUTIA/ HANA KIFUA NINA MATUMIZI NACHO
7:38
ST BONGO TV
Рет қаралды 122 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 62 МЛН