Рет қаралды 13,598
Azam FC yabakiza mtu, Simba yatema mtu huku ikizindua kampeni ya kuishangilia timu yao ya vijana ya U20, wakati Zawadi Mauya wa Yanga akifanya ziara nyumbani.
Zimo nyingi, ikiwemo ya Masau Bwire kuhusu kushuka daraja na maoni ya mashabiki Simba na Yanga kuhusu usajili.
Ni #MshikemshikeViwanjani ya #AzamSports1HD kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 3:00 usiku.