Leo me was kwanza bhn nipen like zangu mwananchi mwenzenu kahwa
@sonicaghendewa98864 күн бұрын
Et kombe lipite lisalimie wanyama mbalimbali dahhhh nimecheka sanaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@sebastiansalamba3134 күн бұрын
Tanzania bila yanga haiwezekani
@fihirishemaadihussein61244 күн бұрын
Hakuna ushamba ktk maisha, maisha ni mtazamo
@warrenkilimber40134 күн бұрын
Brilliant man
@rukiakyaka18274 күн бұрын
Inshaallah Allah aijaalie timu yetu mafanikio zaidi
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@user-bt6ep3yb2h4 күн бұрын
Kama nyie mlipeleka kifurushi cha nguo mlima kilmanjaro, mnaona ushamba kupelekwa kombe serengeti?.
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu
@Chilowechilowe-ez5mp4 күн бұрын
sema hilo kombe zuri xan
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Yanga
@user-ox3ij7ki3t4 күн бұрын
We aly kamwe pamela yuko na mavala tv leo anakulilia ulimwahd kwenda nae morogoro alf haujatimiza. Alf huyo simba juu ya mti alipo ona kombe alitabasam et😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Yanga 🎉🎉🎉
@chisongastephen72994 күн бұрын
Safi sana
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Kila la kheri 🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Yanga 🎉🎉🎉🎉
@user-hy3en6vk5f4 күн бұрын
Ally Pamella analia kwaajili Yako aisee 🤣🤣🤣Fanya mchakato Mkuu 🙏🙏🙏
@user-ql2hc7zt6b4 күн бұрын
Utani utani mara hakim anakua mwananchi
@Carolina-sm5zt3 күн бұрын
Hongera Sana semaji letu naona unatamba na kombe lako mwenyewe
@user-hy3en6vk5f4 күн бұрын
Well said 🙏🙏🙏
@nuhu-sanda3 күн бұрын
Umoja wetu nitishio kubwa Sana Yanga oyeeee sema kamwe
@DeodatusiLyaruuu4 күн бұрын
Ila kamwe unawakela ww duuuuh
@rukiakyaka18274 күн бұрын
Kilalakheir Viongozi wetu
@Kimweri_tz4 күн бұрын
💛💚💛💚💛💚💛💚
@MirumbeMarwa-eo2yl3 күн бұрын
yan ally et my wetu alikua anaogop😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-mp6zd2ui7r2 күн бұрын
Yanga hoyeeeee
@fabiandanielkatikiro14784 күн бұрын
Nimechekaa ahahahahahahah uuuwiiii huyo simba alivopanda kwenye mti 🤣🤣🤣🤣
@SiliviaJoshua-gd3xd3 күн бұрын
Mmetisha yanga hamna jambo dogo
@DeodatusiLyaruuu4 күн бұрын
Yanga hatuna dogo ss
@ameir13mwadini474 күн бұрын
Hili kombe kweli ni Mali ya Yanga ndio maana lina umbile la Y
@mohamedikassimu70163 күн бұрын
Hatar kweli l kweli hapa msemaji tumepata
@EliudJames-s3m4 күн бұрын
Msemaji hatar sana
@allinoti3 күн бұрын
Kazi wanayo upande wapili
@danielsaninga17873 күн бұрын
Na Bado Bugati ndani,mbona msimu huu kazi wanayo
@mealsbymana65614 күн бұрын
💛💛💛💚💚💚
@charlesmkisi80522 күн бұрын
Hauna baya Ally kamwe
@ntanilanjema043 күн бұрын
🔥🔥🔥
@ramadhanikuchuna54103 күн бұрын
Kuwakilisha kufanya jambo kwa niaba, kuwasilisha ni kukabidhi iwe ripoti au taarifa
@ksjmashairi5384 күн бұрын
Inawakilisha sio inawasilisha....Yote kwa yote hongereni kwa ubunifu uliotukuka. (Kwakua tunatangaza utalii basi tujitahidi kiswahili tukifikishe kwa usahihi). Kuwasilisha ni neno sahihi la kiswahili ila maana yake sio hiyo uliyokusudia. Hapo ulitakiwa kusema kuwakilisha....Kuwasilisha maana yake ni kufikisha kitu chochote mahala fulani.
@poprehemason58734 күн бұрын
😂 wakae kwa kujishikilia ..unaelewa hiio kitu ukiwa kwa gari vile itakuwa
@allymanyika35024 күн бұрын
Nawaona makolo wanavyoteseka juu miti baada ya kuliona kombe duhh Ally unajua kuwakera makolo😂😂
@ismailkiwawas59823 күн бұрын
😂😂😂😂😂hapo kwa mai wetu duuh😂😂😂😂wewe kamwe ww
@mansouromary92463 күн бұрын
ILA ALI KAMWE😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gs4 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁
@samsonyuves79233 күн бұрын
Baba Pamela 😂😂😂😂
@michaelcretus14904 күн бұрын
😂😂😂😅😅
@PaulinaKirway4 күн бұрын
Ukianza na kubwa usishangae utaishia na dogoooo
@everlynkimaro404 күн бұрын
Leo nikukosoe semaji, sio kuwasilisha ni kuwakilisha. 😂😂😂
@amanizavala4 күн бұрын
Utopolo washamba sna
@user-ox3ij7ki3t4 күн бұрын
Haha😂😂😂 hapo kwanza nicheke yanga washamba nyie simba wa mjini et?? Vp zile pesa za mchicha na boxer mlishalipa au ndo kwako hakuna furaha unakuja kuitafuta kwa jirani??
😂😂😂😂 washamba waloo peleka matambala mlima Kilimanjaro wao walipeleka matambala wenzao wakapeleka kombe we huwogopi 😂😂😂😂😂
@yakobokuzenza68374 күн бұрын
Tatizo mashabiki wa simba wamekaa kiroho mbaya.Mtu mwenye roho mbaya huwa hafanikiwi hata siku moja
@TheGoldmanTz4 күн бұрын
yupi mshamba kati ya aliepeleka furushi la maronya rona mlima kilimanjaro, naaliepeke kombe😂 twende apo
@CantonaKunona4 күн бұрын
Kombe la serikali timu ya serikali mpaka league pia ..... Akija mbappe mtamuonesha hadi matako 😂 huyo akim mkamuonesha kombe kama kivutio
@hasanimohamedi2794 күн бұрын
😂😂😂😂😂acha wivu www utazeeka vibayaaaaaaa😅
@EnockKombolela4 күн бұрын
Huo sio ubunifu NI matumizi mabovu ya rasilimali za klabu
@user-to6cg8uf3f4 күн бұрын
Wewe jitafakar....kuna game ya charity(kurudisha Kwa jamii) hakimi nae kama Mchezaji mkubwa atahusika siku hiyo kama kivutio pesa itayopatikana itarejeshwa Kwa jamii kosa liko wapi hapo????
@EnockKombolela4 күн бұрын
Lakini na wewe alikamwe inabidi upunguze utoto hata Mimi ni yanga lakini umezidi kufanya matumizi yasiyo kuwa rasimi na viongozi WA kuangalie hizo NI ada zetu unafanya utalii kwa kihezo kwamba unazungusha kombe kwa nini hulipeleki hata gombe huko kigoma au mahale punguza utoto
@user-nn8yj7fe4n4 күн бұрын
Wewe ndo unaona utoto, fikra zako ndogo.." At first you have to risk "
@gabrielnjiapanda37104 күн бұрын
Hiyo ni biashara wewe na ukae ujijua hapo Crdb wamedhamini hiyo tour ndio maana anawatangaza sana.
@TheGoldmanTz4 күн бұрын
mzee hizo gharama zote ziko sponsord na CRDB sio pesa ya club hizo ni offer za Team bingwa hata ingeshinda team nyingine wangefanya hivyo, wewe huwazi kwanin hawajabeba kombe la premear league? (NBC)?
@TheGoldmanTz4 күн бұрын
alafu Ally kanwe ni Balozi wa CRDB , naona tatizo sio wewe aoo tatizo ni shule
@emmanuelsylvester31903 күн бұрын
Kama unaona anazitumia vibaya usilipie kadi yako 😂
@methodpeter13234 күн бұрын
sijawahi kuona tokea nizaliwe mshamba kama Al kamwe yaan kusemea mpira hajui amekaa mambo yake kama ya mke mwenza,
@user-to6cg8uf3f4 күн бұрын
Umepungukiwa akili wewe
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Yanga 🎉🎉🎉
@EliudJames-s3m4 күн бұрын
Msemaji hatar sana
@proisolution71664 күн бұрын
mnaojua kiswahili sawa ,nafurahi kuwa mmeelewa ali maanisha nini na sio ushamba au uchungu wa matumizi ya ada zao asemao Enock Kombolela na musarama 7692 wanaokalili .maisha.