Wimbo huu ni utunzi wa Bernard Mukasa, ulirekodiwa na kuimbea na Kmk Makuburi katika album ya Nyumba ya Roho
Пікірлер: 790
@beatriceloyang2 ай бұрын
Who's here in 2024
@doreenchikuni2449Ай бұрын
Am here oooo 🙏🙏🙏
@florencenyadila48627 күн бұрын
We here being uplifted
@pattypatty93152 ай бұрын
2024 bwana Yesu asifiwe
@mauruskomba91877 ай бұрын
Nimeanza mwaka 2024 na huu wimbo, naona nina kila sababu ya kusimulia ukuu wa Mungu siku zote za maisha yangu. 🎉🎉🎉❤
@winniem81154 жыл бұрын
Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini Kweli Bwana wewe ni mwema sana Nitasimulia miji, Yesu ni mwema, Yesu ni mwema Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Kwa kuwa humtupi anayekutumainia Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Kanuni za dunia zikavunja matumaini Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe < h i t i m i s h o> [t|b] Naimba he he, naimba leo Naimba he he, naimba mimi Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili, Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu Makusudi ili nione ukuu wako Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu Marafiki wanijali, wanisaidie Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia; [w] Utukufu ni wako milele Sifa heshima ni vyako daima Wewe peke yako unastahili Usifiwe na uhimidiwe! Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
@baariumicky62162 жыл бұрын
Good job
@paulinemwemba23582 жыл бұрын
wanted this thank you
@maggyshiquow32582 жыл бұрын
Thank you very much ubarikiwe kupindukia
@JanethMadios9 күн бұрын
Thank you!.......
@user-fredrickmtei2 ай бұрын
Hongera mtunzi wa kwaya hii
@immanicoikonko52875 ай бұрын
Kaiiiiii this song wueeeehhhhh!!!! Powerful!! Praise...Nimetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisaaaaaaa, binadamu angenipa Neema, kesho angechoka kunipa zaidi....lakini wewe Haina kikomo wala mvua zako hazina majiraaaa!!!! This one got to my spirit with immediate Effect....vipi na hiiii....ulijua wazi ya kwamba mimi sikustahili lakini ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu!!! Dahhhhhhhhhh nyieeeeeeee aiseeee this song is preaching a great deal sanaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤Much Love for the song!!!!
@PerisMokeira5 ай бұрын
It's 2024 still the song like of yesterday,can't get enough of it🙏🙏
@SiloRosy-oz1lw Жыл бұрын
Natamani kujiunga na kwaya hii
@FraiscaNestory2 ай бұрын
SIFA NA UTUKUFU NI ZAKO MILELE 🙏
@JeremiahMatuku-wb3fi3 ай бұрын
Huu wimbo nasikianga ukinibariki sana
@alexminde31297 жыл бұрын
yesu no mwema katika maisha ya kila mwanadamu amina
@JanethMadios9 күн бұрын
Jamani huu wimbo sina cha kusema kwa kweli, maana umekuwa ukinibariki kila iitwapo leo!.......... mbarikiwe sana watu wa MUNGU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@petermbinga31285 жыл бұрын
yesu kweli ni mwema sana mungu wetu yupo hai
@shukuranizawadi Жыл бұрын
Huu wimbo sisemi k2 kabisa
@Ellybeny Жыл бұрын
Hata ipte miaka 100 nikiwa dunian .,, Huu ndio wimbo wangu pendwa namba 1
@fedhakamili9425 жыл бұрын
Yesu ni mwema kilasiku mungu awazidishie vipaji
@VelejilyoMhongole11 күн бұрын
Acheni utani Hawa watu waliimba vizuri vizuri vizuri vizuri.
@TibyondimuJooo4 ай бұрын
Huu wimbo kila niusikiapo unakua mpya masikion mwangu haakika Mungu ni mwema
@dannjoroge2002 Жыл бұрын
Live long Bernard Mukasa😍😍😘😋🎶🛐🛐🛐🛐🛐🛐
@esthernzioka8988Ай бұрын
This man Bernard, God bless him for His own glory.God bless whoever finds comfort in this Godly inspired song, Amen
@abelkaka9266 Жыл бұрын
2023 Utukufu ni wako milele
@benoitwaziri20044 жыл бұрын
Bwana asifiwe na furaishwa na wimbo huyu ... from DRCongo
@taracisiogikonyo99895 жыл бұрын
hongereni sana twangoja vibao vingine Mungu na awajalie neema
@georgelucas80314 жыл бұрын
Nmetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisa, binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi, lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira. Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani, wawasha jua mpaka baharini. Kweli Bwana wewe ni mwema sana. Haya maneno yakiimbwa kwa Imani, katika ulimwengu wa roho yanisikika kwa nguvu, kuna namna fulani hivi unaanza kuyaona maisha katika mtizamo tofauti
@josephlupasha62285 жыл бұрын
Several years down the line, but this song never grows down mtunzi alituliza kichwa akaja na sala hii be blessed.
It's now 2023 and the song still afresh in our play list 😀😀
@aggreyotieno9 ай бұрын
I like Catholic and I urge all the families to be in catholic church, this this the only church which teaches the way of truth. THANKS TO MT. KIZITO FOR THIS GREAT SONG.
@justinemaingu14604 жыл бұрын
2020 Yesu ni mwema anazidi kutupa baraka tele heri wale ote wanaomtumainia
@zinedinezidane2129 Жыл бұрын
Hadi raha jamani
@johnsadiki26575 жыл бұрын
A trillion likes for this catholic praise and worship song. Never will I leave the catholic church. Singing well is praying twice. Long live KMK Makuburi.
@petertemu6431 Жыл бұрын
O
@sarahcriss764211 ай бұрын
@@petertemu6431 Ppp
@peterevalest-gp7md Жыл бұрын
Mungu ni mwema nyimbo nzury sana mbarikiwe sana
@metrinenasimiyu7588 Жыл бұрын
11 years down the line isn't a joke ,wimbo wenyewe waweza dhania uliimbwa jana,maybe some faces were too young now they are full grown kwa kimo na zaidi kwa hekima ya uimbaji
@magdalenakulwa4802 Жыл бұрын
Ni, 2007 rafiki😂... so, ni miaka 16 tangia wareckord audio na ku-shoot video
@user-in6me1mx5p Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@veronicamgimba5964 Жыл бұрын
Hata nikiwa sina chakula niusikilizapo huu mwimbo naona Amani tele moyoni na njaa haipo tena mt kizito mbarikiwe sana
@morinemuonja3382 Жыл бұрын
Mubarikiwe makuburi kwa nyimbo zenu
@sarah-hy7gz Жыл бұрын
Mungu ape nguvu Tena atunge nyimbo nzur Sana ubarikiwe Sana 2:54
@tasharosre60264 жыл бұрын
Ni kweli Yesu ni mwema dunia nzima mpate kujua jamani any one watch with me may 14 2020
@pasiensiabel7278 Жыл бұрын
Miongoni mwa tungo bora zaidi kuwahi kutokea kwenye kwaya za Tanzania. Be blessed
@NeemaKmussa4 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo nafanya kazi iringa za ndani tulikuwa yunasikiliza kipitia redio Maria 2009- hadi leo28/ 01/2020 Yesu ni mwema
@anatolyandrew77774 жыл бұрын
Huu wimbo ni mzr sana jmn hata ipite miaka 50 kama niko hai sintaacha kuusikiliza jmn naupenda san huu wimbo mpaka najion mwenye furah muda wote! Naimba eehh! Ulijua wazi kwamba mm sikuwa nastahili kwasabb mm mdhaifu mwili na roho ukaruhusu nifanikiwe juhudi zng makusudi ili nione ukuu wako ndg wanipende,jamaa waniheshimu marafiki wanijali wanisaidie ndio maan leo mm ninakurudishia Utukufu ni wako milele sifa na heshims ni zako daima ww peke yk unastahil uhimidiwe n Utukuzwe amina
@rahelmanyama63386 жыл бұрын
Mbarikiwe sana hakika nafarijika sana nikisikiliza nyimbo zenu.hakika yesu ni mwema ck zote
@khairatzinzibar14345 жыл бұрын
Jamani Mungu awabariki kwa wimbo mzuri sana yaani ww acha tu mpaka nimelia kwa kukumbuka ukuu wa Mungu kwa kweli mwanadam angenipa neema angetaka kulipwa na maskini tungekua wageni wa nani tungekufa kama utitiri kwa kweli Mungu ni mwema tumsifuni mpaka kieleweke kwa ukuu wake na utukufu wake
@Martha442213 жыл бұрын
NYIMBO INA MANENO MAZURI SANA KWELIMWANADAMU ANGENIPA NEEMA ANGENIDAI SIKUMOJA ILANEEMA YAKO MUNGU HAINA KIKOMO, NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUA UMENIONA
@PaulineNzioka-tc7iy6 ай бұрын
It is truly said that "old is gold". I've always loved this song since the first time I watched it in 2013. 👏👏
asante mungu maana huu wimbo nimeutafuta nashukuru kwa kuupata . barikiwe sana kwa uwimbaji wenu . by amina nchimbi
@HappyJaakimАй бұрын
Nyimbo nzuri Sana imenifariji sana
@lilianpatrick39904 жыл бұрын
Mbalikiwe San wapendw wote mnaoskiliz nyimbo za din
@camycamilo3163 жыл бұрын
Mi
@sheckycobb52403 жыл бұрын
Nasisimkwa mwili kusikilizia wimbo huu....una uvuvio wa roho Mtakatifu. Kazi nzuri kumsifu Mungu
@lelo3106 Жыл бұрын
Yesu ni mwema nakupenda yesu kristu
@whiteirambona55444 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda sana. Nausikia Lila Siku asubuhi na jioni. ..unanipa fursa ya kutaja ukuu wa Jesus. Ila tu nigeomba aliye tunza huu wimbo atutilie maneno kwenye vidio ili tuweze tambua maneno yake yote. Juu kama mimi Murundi asiye zoeya vyilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kuna maneno ambayo siyadikii vizuri.
@antonynganga41864 жыл бұрын
Wanakizito hongereni...huu wimbo ata Cjui niseme nini jamani...dah!! Naupenda sana..nausikiza kila siku na c choki,Asanteni Sana,barikiweni!!!!!
@martinmuthuititotitomuthui33834 жыл бұрын
I feel much blessed with this song every time. Proud to be a Roman Catholic believer .in the name of the father the son and of the Holy spirit Amen!
@benmshongi34112 жыл бұрын
Yesu ni Mwema Yesu ni Mwema..my favourite catholic song.,getting to watch this Choir perfoming live is a real life blessing..
@Cilouh_Music9 ай бұрын
Today I lost the Teacher Who made me know about the existence of this Hymn😢, It Will forever be special
@witinessnombo47175 жыл бұрын
Naipenda San hii nyimbo jaman
@restitutamartin74558 жыл бұрын
i like Catholic Church for ever in my life but i like that song,be blessed all Roman catholic
@jeanmubemba12045 жыл бұрын
kwa kweli Benard mukasa amepakwa mafuta ana kipaji cha sana cha kuandika vigongo,huwa anatubariki sana na kwaya yote,barikiwa
@marymimina Жыл бұрын
11 yrs ago and still rocking.....I can only recognize two singers who are still active in this choir to date. May God bless them and KMK at large🙏
@chepkoechjanethrotich1318 Жыл бұрын
Kwani wengine walienda wapi??
@tarryfahy43176 ай бұрын
I thought it was a new song kumbe it's this old ❤
@mercychepkorir6562 ай бұрын
After meeting Zacharia in person i had to look for his name everywhere and im realizing you are here. My favorite song, God bless you brother
@akwinomsombe19 күн бұрын
Wimbo wangu pendwa😊
@floramarco255 Жыл бұрын
Yesu ni Mwema 🙏
@jescamuijsers420618 күн бұрын
Yesu ni ngome yangu 🙏
@emmanuelsadiki71608 жыл бұрын
I have 10000 reasons to listen healing songs like these, God talks his people in several ways, among of these ways is through choirs, I'm blessed with your nice songs dears in jesus christ, let God go on blessing you
@annielove53516 күн бұрын
MUNGU ni mwema🙏🙏🙏🙏😇
@user-fredrickmtei2 ай бұрын
Nabarikiwa sanaaa
@user-fredrickmtei2 ай бұрын
Hata sasa yesu ni mwema🙏🙏
@kipawacrew5639Ай бұрын
Nani ametoka tiktok kwa ule mc wa maharusi😂🎉
@martinodhiambo1639 Жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana.... the organist , the vocals....wacha tu. Mbarikiwe tena na tena.
@evelynemoshi5705 Жыл бұрын
😊 tupo apa leo
@zachariagerald11 жыл бұрын
Fernndes, this is not a Kenyan choir, it is a Tanzanian catholic Music.. Glory be to God, and many thanks for all who have given us congrats and positive complements, we are now working on our new album, please pray for us so that through our sings we all praise our reigning God forever... AMEN.. :)
@anthonygambishi55807 жыл бұрын
Hongereni kwa nyimbo zenu zenye ujumbe na majitoleo makubwa..Mungu awajarie uharisia katika myoyo yenu..uharisia wa nyimbo zenu
@cyrusregnald17182 жыл бұрын
Who come to watch this after tcra do there thing 😃
@jacklinechepkoech18654 жыл бұрын
Nitasimulia nchi, Yesu mwema!! Super! Super! Great voices and spirit!!!!
@polinesagina-ut1rs Жыл бұрын
Amen amen amen nimebarikiwa sana🙏🙏🙏🙏
@dominashirima8735 жыл бұрын
Mungu awalinde sana, wengine mmekulia hukuhuku jamani, Mungu naomba uwabariki
@justinamwikali49752 ай бұрын
Hakika Yesu ni Mwema
@fadhilawashiku73 жыл бұрын
Actually,Yesu ni mwema,kazi njema.Mbarikiwe sana.
@veronicasyombua61932 жыл бұрын
This song doesn't get old,,I like it...the sweetness of being a catholic😍😍😍
@lawrencerogena39293 жыл бұрын
Hii ni kwaya ya ajabu
@alexnicholaus997411 жыл бұрын
Pindi ninapo usikiliza wimbo huu,YESU NI MWEMA.na kutafakari nakuwa furaha na amani tele,endeleeni kuinjilisha kwa njia ya nyimbo na;MUNGU AWABARIKI, mt.kizito makuburi choir.
@deogratiussweke50074 жыл бұрын
Dah! Tusife moyo tu jamani,.....Ni Mwema kweli.
@luxuriantxeryza64762 ай бұрын
Kwa kweli yesu ni mwema
@izackgarimoshi68284 жыл бұрын
Yaan nikisikiia hz nyimbo naona kama hakuna kfooo mungu atuszidie
@jaelmgassa33327 жыл бұрын
Barikiweni jamani, Mimi ni Msabato lkn nyimbo zenu zinanibariki saana
@Rosette84745 жыл бұрын
Mimi ni mroma lakini hata za kwenu pia zinanibariki sana
@peterjamesnjoroge48425 жыл бұрын
I love your songs too
@chazkoillah26525 жыл бұрын
@@Rosette8474 😂😂😂
@adokorachmarie85604 жыл бұрын
Esag7hf is
@machoziraphael35514 жыл бұрын
@@peterjamesnjoroge4842 hh
@elyseekarimu66673 жыл бұрын
Yesu kristu ni mwema
@marthamollel-mm5wsАй бұрын
Yesu ni mwema.
@user-cj4um7ec4g8 ай бұрын
Mtunzi abalikiwe sana
@rosepiere18573 жыл бұрын
Uwiiii imeimbwa Leo kanisani wote tumesimama na kucheza hakika yesu ni mwema
@joshuakaira-fe4yq Жыл бұрын
Inanikumbusha mkoa wa manyara 2008 acha kabisa
@angelkaiyula69806 жыл бұрын
Napenda sana kwaya mt kizito wako vizuri hasa kwenye wimbo wa yesu ni mwema mungu hawabariki
@kuwomdaniel19826 жыл бұрын
be blessed St kizito choir I sincerely love this song I also belongs to St kizito small Christian community baragoi catholic church
@gracebuhatwa6359Ай бұрын
Napiga kigeregere
@natashajunior45005 жыл бұрын
This song real encourages me especially this time am preparing for my final year exam-medical school (6years).I really feel overwhelmed but I know God will see me through. Ukataka nijipe moyo nisianguke
@karimuhasani16524 жыл бұрын
nani anabarikiwa na kwaya hii nzuri 2019
@lagrandegaudence28534 жыл бұрын
# 2020👌 still loving this🙏🙏💖💕
@stellamarisaburia78884 жыл бұрын
My all time favorite👌
@user-me7hb5kr3y Жыл бұрын
Looks new & sweet till 2023
@BrianKigen-hh2hy Жыл бұрын
yesu ni mwema ni mwema sana
@gracebuhatwa6359Ай бұрын
Naimba leo naimba leo
@wesleyrogito83265 жыл бұрын
mungu apariki kanisa letu katholiki na watunzi wetu wenye kibaji na neno LA mungu ienee kote