Ongera mwanangu mungu akutunze uje utuongoze tzania
@Zai-vh7jdАй бұрын
Mtoto baraka amekariri ipasavyo. Hongera zake. Kinachosikitisha hakuna mikakati ya kuendeleza hawa watoto wenye vipaji vya kukariri waweze kuwa wabunifu na wagunduzi wa mambo mbalimbali. Tumeshawasikia watoto wengi kama baraka. Lakini sasa wako wapi? Mfano yule bingo wa Hisabati kule morogoro. Aliishia wapi? Waje waliotengeheza magari, ndege na katapila wako wapi? Tanzania sasa ianzishe Silicon Valley yake kuendeleza, kukuza na kutumia hawa wenye vipaji wafanye maajabu ya kugundua vitu bikubwa zaidi vyenye faida kwao na nchi yetu. Big up Prof. Baraka.
@konatatufilmАй бұрын
Baba na mama wa balaka hakika walitulia sana kumtengeneza baraka mwenyezi mungu amulinde
@hadijamandanje6189Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuepushe na hasadi mtoto mzuri,amiin amiin amiin
@user-dh2zb2dm1vАй бұрын
Safi Sana Mungu amtunze mtoto uyu
@AbdallahShekhan-qx3kp2 ай бұрын
Big up mjukuu wangu Baraka halafu wakubwa wazima wasio na aibu wanasema Mama Samia hajafanya kitu huyu ni Professior kweli.
@mabiolojinamakemia9143Ай бұрын
China mnawapelekea hicho kipaji....inamaana sie hatuna matumizi nae?
@user-ty1tp8ly8qАй бұрын
😂😂😂
@fallymetoo191Ай бұрын
Bismillah mashallah 🙏🏼
@menelus911mene5Ай бұрын
Jsmaniee hongera kwa mzazi ❤
@user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын
Mimi nakubwa wangu sijui chochote nipo tu hata kujieleza siwezi 😂😂 hongera sana Baraka. Mungu akulinde
@user-gy3dv3tq8d2 ай бұрын
Upo kama mimi😅
@pillyseleman8090Ай бұрын
Mimi pia
@mabiolojinamakemia9143Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allymazrui974415 күн бұрын
😂😂😂😂Ila ww
@Kidd111682 ай бұрын
Big up!!!!!!! Kwa huyu mtoto. Mbele yake kuna mwanga mkubwa.
@mohddelo2 ай бұрын
Mtoto noma mashaalha
@user-rh5yn3bc1o2 ай бұрын
Afate nn China? Angeletwa kwangu nimfundishe.....why China???? Tuache utumwa. Mpeni professor Kabudi huyo mtoto amfundishe kiswahili na amfanye kuwa professor halisi.
@EliauMtishbi-os5ky2 ай бұрын
Akasome china
@georgepeter20552 ай бұрын
Kabudi amfundishe nini… kuwa kigeu geu au…. Fatilia historia ya kabudi babu
@mabiolojinamakemia9143Ай бұрын
Export 🤣🤣🤣🤣
@user-rh5yn3bc1oАй бұрын
@@georgepeter2055 sio kigeugeu ni mfumo wa jamii ulivyo........hata wew ukipata nafas hiyo.....utakuwa kigeugeu tu
@DelightfulMacawBird-tl5hfАй бұрын
Mashallh
@Kidd111682 ай бұрын
Kweli hakika, kazi inaendelea ipasavyo.
@aishajuma78132 ай бұрын
Mashallaah🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤
@halimamfaume1925Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@stevenobunde93452 ай бұрын
Huyo prof. kwanini asipewe wizara aongoze?
@SalmanMughal-lq5ltАй бұрын
MashaAllahMajinayanaumba
@andrewkissava91842 ай бұрын
Mbona mnatumia nguvu kubwa kwani kunanini ,hakika kibaya chajitembeza watanzania wasasa sio wakupangwa na maneno wanajua hivyo tusipoteze mda
@JulaybibiBabahАй бұрын
Mama Samia Sulhu Hassan Nibonge la RAIS wa Heshima
@fettiemaganza1484Ай бұрын
Magufuli kazaliwa upya mzee wa takwimu
@SelnaKawanaАй бұрын
Hongelamwanangu..uwezowako
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Mawaziri mwengine maongezi kama hayo ndio lazima Atizame mwenye makalatasi 😂😂😂
@alexvenas26992 ай бұрын
😢
@JudithDaniel-sw4ogАй бұрын
Mimi naitwa professional j yan sijuh kitu
@sudymgeni7012 ай бұрын
Icho kichwa Cha sungu sungu.hatari
@dominickrukokelwa12842 ай бұрын
Ngonjera like. Hapo Tanzanite imelindwa na kuokolewa kiasi gani??
@zainabramadhani9838Ай бұрын
Wawooooo❤❤❤
@hassanisamuya19 күн бұрын
kwendeni zenu uko
@Franknicholaus246Ай бұрын
Anasoma mahali au anagea tu kutok kichwan
@MohamefMullahАй бұрын
Wewe unaebeza kipaji chake wewe hata ukaririshwe miezi 6 huwezi acheni hasad muombeeni duwaa
@valenakomba76862 ай бұрын
SASA HUYO SI MTOTO AMEKARIRISHWA TU.
@MohammedAwadh-gq9siАй бұрын
Hakuna MTU anayejua bila kukaririshwa ! Hata wewe umekaririshwa kuita baba,mama , kuvaa kunya kula, nk au wewe ulijua bila kufundishwa ? Mimi nilikaririshwa kuwaambia watu kama wewe " mjinga wewe