Kama unaamini huyu dogo ni engeneer wa dunia nzima gonga like twende sawa
@lavianaalbert90384 жыл бұрын
Waoooooh!!!!mungu mwema sana
@zainabmrisho57164 жыл бұрын
ok
@joanithajohn70684 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwa kweli
@bettymassanja8814 жыл бұрын
Nashauri huyo mtoto apelekwe COSTECH, kama kweli kodi zetu hupelekwa kwao ili VIPAJI MAALUM VIIVE NA VIVUME DUNIANI KOTE.
@dottnatta3104 жыл бұрын
Nitakutafuta Said mtt wangu nije nikuungishe. Allah akuzidishie kipaji chako InshaaAllah
@imeldabamba37794 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amsaidie ktk kuendeleza kipaji,huyu atakua engineer wa majengo.Atakuja kusaidia wazazi wake.
@markhenry61764 жыл бұрын
Yeeeees
@lovvy8544 жыл бұрын
Ameen
@ernestmtuya79414 жыл бұрын
Serikali imwangalie kwa jicho la tofauti ni hazina wa Taifa letu
@victoriaantony95034 жыл бұрын
Mungu amsaidie afike mbali zaid
@raghadiddarous7103 Жыл бұрын
Inshallah 🙏
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana kijana, Allah akusimamie katika kazi zako na akupe hitaji la moyo wako, uwe engineer wa kimataifa 🙏
@sellah46034 жыл бұрын
Kama unakubali uyu n Engginee pure gonga like 🤙
@muhemezimshumbusi88384 жыл бұрын
Ongera sana dogo
@mariammangu16694 жыл бұрын
Saf sana
@mwanalikhamis98754 жыл бұрын
mungu akubarik baba
@abuuayoub14974 жыл бұрын
daah allah akujaalie kheri mdogo wangu usikate tamaa kwenye rehma za allah kwani allah ndio mwenye plan juu yako upo vizuri sanaa big up. ila usisahau ibada kwani ni muhimu nalo hilo .ALLAH BLESS YOU
@aminakipukasimbababalaouto63103 жыл бұрын
Mungu hakufanyie wepesi Kwa kila jambo ktk malengo yako Amina
@nassirkhatibjuma66253 жыл бұрын
Munguamjaaliekilalaheri
@jacquelinosmond2214 жыл бұрын
Tz hivi vitu huwa vinaishia kwenye enterview, lakini nchi zilizoendelea huyu wangeshamwamisha shule na kumpeleka shule maalum
@mgenikilindo57934 жыл бұрын
Upo sahihi sana
@MWALIMUMBUNIFU894 жыл бұрын
Kweli
@allyhamis88384 жыл бұрын
Jacquelin Osmond kabisa ,ttzo tz tunaonaga kua hakuna mainjinia nchin kwetu tunawaona wazungu kama ndo kila kitu, nyambafuuuuu
@barakasuleiman15714 жыл бұрын
Kbccccccc ndugu ila kibongobongo,,yanaishia apoapo
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
Tanzania bado saana
@nurustephan78734 жыл бұрын
In psychology we say a gifted person have multiple skills and all skills have equal result ,keep it up mdg angu ,I like yooooooo.
@waukweelinikkon65554 жыл бұрын
Nimempenda huyu mtoto daah,ukimwangalia usoni Ana utulivu flani hivi na akili kama zote,siku moja nitakuja kukusapoti mwanangu🙏🙏
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Ana akili sanaaa,utulivu 💯
@didakibo64524 жыл бұрын
Kweli kabisa
@tumainnkone24133 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ndahuraamoti40794 жыл бұрын
Mimi ni Engeneer class one hapa DRC tunampataje huyo kijana ili kuweza kumuendeleza
@peninaancon12564 жыл бұрын
+255716103028
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Jamani msaidiee pls
@kondekamemenya36724 жыл бұрын
Kuna namba ya mzazi mcheki ewani
@aminathaabubakarmasoud5654 жыл бұрын
Msaidie inshaallah Mungu atakulipa
@mrholela79064 жыл бұрын
Nyie mliotoa Namba muwe serious
@salamakombo32574 жыл бұрын
Mash Allah Allah amjalie spate mzamini mpelekeni kw bakhresa uyu injinia wa badae Tanzania 🇹🇿
@joharlijuma94454 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi mdogo wangu utumize ndoto yako
@abuumaryam16284 жыл бұрын
Yupo wapi huyu dogo nimpe CERTIFICATE YAKE kashafuzu huyu ENGENEERING
@rehemamahmud8554 жыл бұрын
Sio engineer n architect
@herbertludwig73154 жыл бұрын
Hivi ndo vipaji vinavyotakiwa kuendelezwa wapo wapi viongozi wetu,huyu mtoto apelekwe vipaji maalum
@sophiamfikwa73403 жыл бұрын
Mungu amsimamie ,MashaAllh
@inspirationmessages84204 жыл бұрын
Watu tuna roho mbaya roho za husda Sasa kwa kipaji km hiki unaanzaje kubonyeza dislike?? 🏃🏃🏃
@amazing_grace53924 жыл бұрын
Umeona eh😃
@manofgodbabazero92374 жыл бұрын
Jumanne Mayunga hao niwageni KZfaq
@kibongobongo46084 жыл бұрын
Itakuwa matumizi ya vidole hawajui 😁😁😁
@ramlatomary25364 жыл бұрын
Hii ni namna watu wenye chuki hawaangalii. Vya kuvichukia hata mitume ilipoteuliwa na mungu pale ilipozaliwa kuna maadui walijitokeza na kutengeneza chuki halii hii haiwezi kufanya ALIYE dislike kupunguza uwezo wa saidi mungu amuongoze zaidi hawa ndio mainjinia halisi
@mpokianyitike78004 жыл бұрын
Si wanga hao
@aishanassor81304 жыл бұрын
Masha Allah jmn ana kipajii kzr sna Allah amuezeshe kufikia malengo yake, In sha Allah hii iwafikie yoyte ataeweza kumsaidia ktk kuimarisha kipaji chake kihali na kimali.
@lailahasan22004 жыл бұрын
Mashaallah,, jazakallah khaira Mungu akutangulie..
@dasilvajacmwax74364 жыл бұрын
Bidhiinallah
@hawahamis51844 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi sana mdog wangu na akulinde na wenye husda, you're genius kwa kwel
@mnllyboy_tz91074 жыл бұрын
Nimependa kipaji cha huyu mtoto mungu amsaidie nataman nimsaidie kutimiza ndoto zake
@sofiasofia75574 жыл бұрын
Msaidie kakaangu kama una uwezo allah atakulipa in shaa allah
@lidaroseepimack77104 жыл бұрын
Safi sana huyu dogo
@nurumanyota4164 жыл бұрын
Msaidie jamani
@asantekwahuuwimbozubeda8734 жыл бұрын
Mashallah huyu mtt yupo vizuri mwenyezi mungu amlinde na husda za walimwengu ameen
@mahamoudomar54924 жыл бұрын
huyu mtoto mungemficha sura ili WASIJEMUHUSUDU ALLAH AMLINDE AAMIN
@josephatmgoboleni87674 жыл бұрын
Wazo nzuri ila atuamini sana ushirikina katika mungu tuache mawazo potofu broo
@nimrodsigulu20534 жыл бұрын
Acha mawazo ya kichawi...
@user-me3ee4fu8w4 жыл бұрын
Kabisa na vile huko kuna wachawi wakuiba nyota za watu
@abubakaryalmas76734 жыл бұрын
Kwani kumficha sura kuna saidia nini? Tambua kua haliwi la mwanaadamu ila kwa kupenda mwenyewe muumba
@romanambelle63564 жыл бұрын
Unaamini ushirikina hadi basi. Sasa wamfiche sura ataonekana vipi ili asaidiwe. Muamini Mungu pekee mweza wa yote.
@khadejarajab80074 жыл бұрын
Huyu ni engeneer wa mzuri sana mashaallah saidi
@sakinat25274 жыл бұрын
Masha Allah
@kuruthumabdallah43954 жыл бұрын
Nidhamu, Juhudi na Uthubutu vimetengeneza jambo kubwa ktk maisha yako. Kizuri kinajulikana hta ktk mazungumzo tu Allah amekuruzuku Hekma basi mmfanye awe wa kwanza ktk maisha yako utafika uendako. Nimejikuta machozi yananitoka haki ktk umri wako kuwa mtulivu hata kimaongezi hili nalo ni jambo jema sana kwako Barikiwa zaidi mtoto mzuri😘😘
@florandayishimiye49934 жыл бұрын
Africa got talent 😍
@lifewithpaul14 жыл бұрын
Baba anatia huruma waweza lia hongera yake maisha aliyonayo sio kosa lake kikubwa anamsimamia mwanae afikie ndoto zake HE IS A LOVING DADY.
@abdallahali22154 жыл бұрын
nimetokea kumpenda huyu kijana kwa kazi yake na imani yake thabiti..mtu aniunge naye jmn,mm nipo kenya...i like this boy
@lightnessngatale42874 жыл бұрын
Akimaliza form four anafaa kwenda Dar es salaam Institute of Technology (DIT)
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Duuuh Dogo noma sanaaa anakpaj cha aina yake 🙏🙏 🙏
@Binti18014 жыл бұрын
You deserve allthe support, am behind you na ntafanya ntakacho weza kuku support! God bless the fruits of your hands abundantly son! Mungu ata provide na utafikia ndoto zako! Keep it up🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤️❤️❤️
@lovvy8544 жыл бұрын
Haposawa dogo umevunja record hio sio mchezo mungu akufungulie njia upate promotion ya halia juu ufikie malengo yako insha'Allah Khair Allahubariq
@sulaimanafrican81344 жыл бұрын
Mashaallah😍
@shuuufadhil13494 жыл бұрын
Ameeen
@brandonkisinga81844 жыл бұрын
Mungu akusaidie mdogo angu na hiyo ndo njia sahihi ambayo mungu kakuchaguria,simama katika hilo mungu yu pamoja nawe
@angelmkunda97652 жыл бұрын
Vizur sana, isiishie mtandaoni, itakuwa vema Kama mtafnya jambo apelekwe akasome engineer, Tanzania tunapata watu Mungu anatupatia
@muhtarimtinginda66424 жыл бұрын
huyo mtoto yuko vizuri sana
@danielmbalwa93074 жыл бұрын
Huyuu dogoo apelekweee Technical school kama Ifunda,Iyunga na Moshi ilii awezee kuendelezaa kipajii chakee
@kondokibugula65514 жыл бұрын
Pale ifunda, wamuweke Milambo J3. Atafanikiwa
@therezalukungwa31894 жыл бұрын
Nmemkubali huyu dogo kama unakubali gonga like twende sawa
@jengatech_tanzania4 жыл бұрын
Huyo mtoto anajitahidi sana, inabidi apatiwe fursa ya kusoma Techical school mf moshi tech, Musoma Tech, ili aweze kusomea architectural drafting, anaweza kuja kuwa Architect mzuri au mtaalamu wa kutengeneza model, it's a big deal especially ukishapata skills za kumsharpen awe na ile workmanship safi.
@adefunmioluwadamilola6054 жыл бұрын
Mashallah dogo yuko vizuri mungu mbariki mpitishe njia sahihi
@frankmbexu77064 жыл бұрын
Tanzania u have great young talents.plz plz give them a support.
@hashimjuma12174 жыл бұрын
Safi sana Saidi mashaallah mungu akuengezee kipaji chaji chko akufiche na husda za walimwengu amin
@mwinyisarbok22614 жыл бұрын
Huyu dogo Architect wa ukweli,
@musakhamis69064 жыл бұрын
Upo Vzuri mdogo wangu jitaidi upate mtu akuelekeze utumie n'a vipimo itakuwa vzuri zaidi ningekuwa karibu ningekuelekeza uko vzuri sana kwa umli wako jitaidi
@allec29054 жыл бұрын
Wow what a gifted young kid! He deserves support future & upcoming architect or civil engineer!
@abdallahmuttaq73064 жыл бұрын
Dogo kaweza kubadiri changamoto kuwa fursa
@fetysaidsaid7084 жыл бұрын
Imetoka kwa baba iki kipaji ila wanasema vyakurithi vina zidi hii kwa Saidi imezidi mungu akusimamie kipaji chako dogo 🙏
@am12ghh374 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah mungu atakubarikiya kwe maisha yako said hio ni barka kwa mola wako🙏🥰😘
@erickzephania10304 жыл бұрын
Tz watu wanapoteza muda kwa pierre na Dr. Shika dogo kma uyuuu wanampotezea
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
Umeonaa
@mariezhungu52244 жыл бұрын
Exactly
@nurumanyota4164 жыл бұрын
Kweli kabisa
@methiwmigeto79294 жыл бұрын
He need just courage and improvement,this is great,
Allah akulinde,akufanyie wepesi inshallah,, kila rakheri baba angu
@Da-cr6ow4 жыл бұрын
Masha Allah mungu ni mkubwa atakufanyia wepesi na pia atakuwezesha
@homebest92584 жыл бұрын
Hiyo ni kazi ya serekali ya Tanzania kumusaidiya huyu great future engineer. Africa is blessed as nothing would have been invented in the whole world without African people Knowledge
@claireomari1123 жыл бұрын
these is really talented.....hope umeenda far boy...God bless u to accomplish your talent
@professormpakistanimweusi57664 жыл бұрын
Huyu Dogo Allah amnyanyue na ampe Rizki za halali na nyepesi kutokana na mkono wake, he is a Good Arttectcher . Wazungu wanaelewa umuhimu sana wa hawa watu,kama kuna watu Duniani wanapiga hela ni watu waliosomea kipaji cha kuchora Ramani, ata uku Arabuni watu hawa wanapewa kipa umbele sana
@skwamiujiza3794 жыл бұрын
Daah dogo kanitoa machoz sana kwanz 1 ni mdg pi 2l anajua kuongea vzr sana tatu 3 ana akili sana ANAISH MAISHA AMBAYO NIMEPITIA YA kuisaidia familia kipind mdg BIG mdg angu mwenyez mungu akuongoz ukuze kipaji chako uendeleze jahaz la familia.....
@zamamuuhamisi66543 жыл бұрын
Jmn dogo anakipaji chake aendelezwe kwa kazi yake nzuri wenye vipaji wapo huku mitaan jmn wainuliwe vipaji vyao mpk rahaa
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Hongera sana Said,Mungu ni mwema utafika mbali sana!Mungu ni mwema,Barikiwa!
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Mtoto Mungu akubariki usonge mbele sana jamani msaidieni huyu dogo wenye uwezo huo, sio kipaji cha kukipotezea kabisaaa! Engineer mdogo kabla ya vyeti
@pilijuma29134 жыл бұрын
Daaaaaah.. nimejikuta machozi yamentoka kwa furaha Mungu akuongoze jamani
@mohachibu00174 жыл бұрын
Mashallah Allah azidi kukupa kipaji ndoto itimie kua interior designer all the best dogo😍😍🙏🏼
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Allah.akiamua kukupa anakupa bila kipangamiz uyo dogo kapewa kipaj chake kuna wengine wamepewa kipaji cha din unakuta MTU ajui ata arifu lakin anaiman Kali yakujitolea.
@khamismussa4164 жыл бұрын
Daaaah ningekua na uwezo ningemsaidia ila sina uwezo
@canivatz19974 жыл бұрын
😂😂😂toa hichohicho kidogo
@saleheinnocent76364 жыл бұрын
Asant kwa ukalimu wako Mungu wetu ni Mwema atamfanyia wepesi
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Daaa jamani kweli Kijana ana kipaji sana Mungu azifanikishe ndoto zako ili uweze kukamilisha ndoto zako.
@abubakarihamissi41784 жыл бұрын
Huyu mtoto ni genius kabisa yaani hata anavyoongea tu ni hatari sana Ana akili sana.
@khadijamwalimu67634 жыл бұрын
Ningeomba amabae anahitaji kumsaidia huyu mtoto nibora awasiliane tu na hii channel ya ayo tv ili apelekwe hadi kwao kuliko kuwasiliana na watu kwenye mtandao mana sai watajitokeza watu wengi kujifanya wanamjua kumbe ni matapeli
@rukiafaraj14004 жыл бұрын
MaashaAllah, Allah amjaalie akue ndoto zake zitimie..Allah amkinge na husda
@ireneassey36854 жыл бұрын
Mama usitoe mimbaaaa ooh mungu akileta mtoto .... uwenda akawa engineer...
@kbjuomaly84664 жыл бұрын
Mashaallah big up San mdgo wng mungu akufanikishe zaid ...... Ila dah hao dislike c ndio wachawi wenyewe
@RomwardWM4 жыл бұрын
Hongera sana 😊😊😊🤔 dogo una kipaji kizuri kikubwa soma kwa bidii hata mimi ni IT sijaingia darasani lkn ninauwezo mkubwa , nimesoma mengi sana Relation Unique , Python, Programing, n.k ila nimesoma online mpaka sasa ni genius ... Huwa nikiamua jambo sishindwi kikubwa vitendea kazi na kuwaza sana
@agnessahia4154 жыл бұрын
Hongera natamani kufika huko Ila nakata tamaa kabisa
@RomwardWM4 жыл бұрын
@@agnessahia415 jifunze lugha kuhusu mengine utayaelewa vema wala haina shida .. Ila kukosea lazima ... Mie niliwahi weka system passowrd kwa laptop kuitoa nilitumia wiki 😂😂😂 maana solutions zake siyo za mchezo mchezo , ila nikajifunza mpaka hapo laptop ikija na password za BIOS ni elfu 50K na kama ni password za window huwa nafanya kwa elfu 20K 😊😊 ... Computer inahitaji uwe na mawazo yakufikirika.
@RomwardWM4 жыл бұрын
@EXTRA PLUS hii hapa 0677991687
@brendakimaro37474 жыл бұрын
Hapa waziri wa Elimu anahusika..lakini naamini asipoliona hili muheshimiwa raisi ataliona(raisi wa wanyonge) Shule zinazoendana nae zipo, asaidiwe aende...na anavyojieleza inaonekana ni mtoto mwenye nidhamu na kujitambua..Mungu azidi kumbariki..
@sophiaalpha52694 жыл бұрын
Congratulation young man
@kuruthumabdallah43954 жыл бұрын
Ni kweli yn anajitambua hadi raha💕💕
@rutyfunisacapastar60884 жыл бұрын
Nimetokea tuu kumpenda huyu mtoto nakipaji chake mwenyezi mungu akuongoze kilanjia uweze kufika.mbali.nakipaji chako jmani serikali angalie vipaji vya watoto wahali ya chibi na wawezeshwe hata wafadhili wa mfazilikila nwenyekipaji jamni.mtoto anaweza huyu jamn
@fettybaby82034 жыл бұрын
Namuona mbali sana mashaallah mungu amueke tuje tuone kipaji chake kikizidi kukua
@hassanramadhan89784 жыл бұрын
Ma shaa Allah mungu akubariki mwanangu kwa kipaji/kazi ya mikono yako
@ladyyes43944 жыл бұрын
Allah hakujaliye kila la kheri .mwanangu. uko rika na mwanangu wapili .hapatikana vipi njamani . sijafika tanzania lkn nitafika nije kumuona live huyu mtoto .number ya simu njamani.
@subranadja40524 жыл бұрын
People who dislike this vidéo are heartless.
@chiefmahucha68474 жыл бұрын
I think they dislike it accidentally.. Let's blame no one...!
@janenjenga56394 жыл бұрын
Enemies of progress
@Mpakauseme4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bwana mdogo mimi artist pia nafahamu anachokifanya hicho anachokifanya kinaweza kumpeleka hapatapo hata kwakulipa hada ya shule mwenyewe aisee
@mwambarockmwambarock7394 жыл бұрын
Daaa hii noma Sana jiniaz wa bongo mwenyezi mngu atamjalia atafanikiwa .🙏🙏✍️✍️✍️
@evasaimon67644 жыл бұрын
Mashalllah!
@youngteo71543 жыл бұрын
Mdogo wetu upo juu sana duh mungu atakusaidia nakukbal sana nikija dar nitakutafuta mm nataka nyumba moja
@joachimkafanabo20504 жыл бұрын
Franklin speaking the truth is that he is a good great thinker and also he has a good mind of creativity
@ATIBZ4 ай бұрын
Honger San mdgo Wang mwenyez mungu akulinde na maduwi ktka kuendleza kipach chako
@wilsonmaboto164 жыл бұрын
Hakika uyo dogo yupo vizuri sana Mungu amsandie afikie malengo yake
@godblesscharles90234 жыл бұрын
Hiyo gholofa nmeitamani kuijeng ramani nzuri sana kijana
@fettydavid9013 жыл бұрын
Big up xna mdgo angu .......I wsh nkusupport plzz tupta namba za wazazi
@aludomakori42304 жыл бұрын
Mungu akubariki!!jmn engineer Magufuli naomba umsaidie ,na MUNGU akubariki
@teddylameck213 жыл бұрын
Mungu mlinde mtoto uyuu kuna watu wanapata chanc za kusoma alafu wakifika shule wanazuga pambana mdogo wangu
Allah akuongoze mdogo wngu umalize masomo uendeleze kipaji chako uje usaidie familia yko inshaallah
@mirajiabdallah71314 жыл бұрын
very talented
@mtatiromgeka72704 жыл бұрын
Kikubwa mungu awe nawe kwa faida ya badae. Ila nimuombe mungu funga macho ya watu wabaya kwa huyu dogo kwa jina la yesu...
@hadijaalpha75474 жыл бұрын
Wow!hongera mjukuu 🤩 you 're genius 👍Allah atakufanikishia Kazan buti!Mashaallah
@aishanassor81304 жыл бұрын
Kwel anasoma kwa bidii masha Allah hta kitabu kikifkia hali hio unajua kimesomwa 👌😂 kuna wngne mpka wanamaliza mwaka kitabu kipyaaaa km kinatona dukani sasa 🤣🤣🤣
@canivatz19974 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣✔️
@samiraabdimahamed44494 жыл бұрын
aisha nassor mimi ni mmoja wao, vitabu vyangu vipya kabisa😜😜😜
@keyakeya89114 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Mm nilikua naenda Dasani nasinzia ila saivi maisha yamenikaba mpaka natamani niludi shule 😁
@Mohabmts4 жыл бұрын
@@keyakeya8911 😂😂😂
@judithwirth22564 жыл бұрын
Excellent! Stick on it Boy.One day your dreams will come true. Keep it up.
@aminahamadi40173 жыл бұрын
masha allah dogo upo vzr alla akuzidishie na akulinde na hasad za walimwengj...
@ukweliunauma45704 жыл бұрын
Tanzania wana dhamini walevi kuliko watoto wenye vipaji kama huyu aje andeleshe nchini, kama hajawahiwa mapema, huaribika kua mteja baadae au bangi nyingi Allah amlinde
@frankbeatus91944 жыл бұрын
Jah bless you dogo
@khadijasaid54614 жыл бұрын
Wow wow wow pia ana MZAZI mzuri mno maana anamsupport sana watoto tuwakuze vipaji vyao
@sadaturuku40033 жыл бұрын
MashaAllah, MashaAllah Allah yupo atakusaidia
@dr.alexmagufwa9131 Жыл бұрын
Pongezi nyingi sana kwake., Mwenyezi Mungu amtimizie malengo yake
@neemamahusho61934 жыл бұрын
jmn Mungu akusaidie kipaj Chako kikue
@fortunataangelo55754 жыл бұрын
Utazani nyumba ya ukweli dah
@nurumanyota4164 жыл бұрын
Jamani Mungu azidi kumtunza na kumbariki
@oscaroscaroscar79744 жыл бұрын
Akiwa Mkubwa Aendeleze Kipaji chake cha Egenear Awe Ana Wachagulia Watu Desgn zake..Mungu Atakusaidia Mdogo wangu
@coletashirima21933 жыл бұрын
Kwanza anajua kujibu vizuri ...Mungu akuze kipaji chake ,Amen
@florachalz73224 жыл бұрын
Daaah!great engeneer
@abdulrabihassan37344 жыл бұрын
Mungu amzidishie iko kipaji mpka utu uzima wake inshaallah