Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 119
@antybabybintrashid23332 жыл бұрын
Mashallah like mother like doughter mpaka working style
@modestwenceslaus92 жыл бұрын
Chapa kazi na Mwenyezi Mungu atazibariki kazi za mikono yako,achana na wale wenye vijiba vya moyo dhidi yako.
@selemankishema57802 жыл бұрын
Hongera!!!
@lailasalim86852 жыл бұрын
Nakusapot asilimia zote🙏🙏
@salamaisayas8281 Жыл бұрын
Hongera zako M/kiti WA wanawake MH Wanu Hafidhi oyeee na Mungu akuweke
@farujohn6222 жыл бұрын
Big up endelea hivyo hivyo kuhudumia wapi nani kama mama
@mohamedmhando85482 жыл бұрын
Jambo la mama, Jambo letu sote 🙏👍
@rosemussa32402 жыл бұрын
Pole sn ww, hujamuona mwenye mama yake?!?
@lailasalim86852 жыл бұрын
Wanawake tunaweza ....tukiwezeshwa tuna plan za kujiendeleza na kuinua wenzetu wasiojiweza,mayatima na wajane vipi tutaweza bila kusapotiwa na kuwezeshwa😓😓.........big up mungu akutangulie kwa kila hali napenda sana hvyo vitu
@zakarianyakunga92072 жыл бұрын
Huna hata aibu huyo aliyewezeshwa anafanya Nini mbona KILA mtu analia
@greysonmheni51762 жыл бұрын
Unaweza nn sasa kama unasubiri mpaka uwezeshwe
@veronicasulle18492 жыл бұрын
Umemsifia nani sasa na vip amekuwezesha huon watu wanavyolia 😏
@eaglecrown11012 жыл бұрын
Amina 🙏🇹🇿🔥🔥🔥🔥 MUNGU amekupenda Sana mama samia unatakiwa umshukulu kweli🤔🙏🏿
@Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын
Mungu azidi kumbariki ili aendelee kusaidia Wanawakebasa wasichana wadogo wanaoishi mazingira magumu. Ukimuwezesha mwanamke umewezesha jamii nzima. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@roudhamahmoud7632 жыл бұрын
Kweli Nadra umeliona hilo biti Hassan
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Ajaribu akishonesha wamshonee shati refu kidogo alipo nyanyuka kutowa heshima nimeona aibu mm
@saadmbaraqa52722 жыл бұрын
Mtihani
@sarahkelvin48452 жыл бұрын
Mmh hakun ki2 hap
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Unateseka ukiwa wapi
@dominicksangu89342 жыл бұрын
Hovyooooooooo
@nazarenajoseph26952 жыл бұрын
Kina mama hoyeeeee
@makongoronyerere15642 жыл бұрын
Police wanauwa wamasai, au wamasai syo watu, furhn kunyweni cheken, ila mungu yupo mama Samia pandisha vyakula watu wfe kwanjaa nyinyi nenepenitu , unajisahau sna, kwakuw ww ni mzazibar
@salamasaidi66202 жыл бұрын
Acha kuongea sana ww😆😆😆
@makongoronyerere15642 жыл бұрын
@@salamasaidi6620 wananiudh xna hawana ubinadam
@peterdavid42302 жыл бұрын
Hawana utu wanajichumia matumbo lkn ivo ni vyeo tu wataviacha apa apa
@makongoronyerere15642 жыл бұрын
@@peterdavid4230 Yaa hata mm naamin wanamwaga dam za wa tz wenze2 ila ipo sku1 nadam zafamilia zao Zita mwagika hk wakitizama kwamacho Yao, on day one time
@peterdavid42302 жыл бұрын
@@makongoronyerere1564 kabisa kumbuka what goes around comes around
Mama tufikishe ule mji wa maziwa na asali,watasema tu ila tunaimani na mama!
@abednego38762 жыл бұрын
Safi hongera kwa Dada, waliopata wazazi maraisi alaf hawakufanya la maana pole zao .
@eaglecrown11012 жыл бұрын
Kwa kweli wengine kila siku mitandaoni midomo kama machochonge vile
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
Lkn sio walala hoi wapo vzr maana watakula keki ya taifa mpaka mwisho wa vizazi vyao
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@mwigakatumpula6852 mmmh
@simontamba12852 жыл бұрын
Vyema dada kikubwa tubadirishe mfumo wetu wa Elimu uzalendo saana na vitu vingi vianze kufundishwa mashuleni teena msingi ikiwa kazi ,sheria ,na usimamizi wa fedha
@saphiahaji77152 жыл бұрын
😀😀😀😀
@fatmasalim82932 жыл бұрын
Twakupenda sana mama samiha 🥰❤❤❤❤🌹👌
@emmanuelchiza77332 жыл бұрын
Mumpende huku zenji kwrnye njaa
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
Kazi ipo ipo ipo ipo....anaguswa sana na mambo ya jamii....huku mkuranga barabara mbovu anajua hilo?
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Jenga ww
@rayisadesigns26462 жыл бұрын
Wewe Richadi acha uongo Mkuranga gani? unatoka Mbagala mpaka Mkuranga lami tupu. wapi barabara imeharibika? si ajabu hata hiyo Mkuranga yenyewe hauijuia. Kazi kupotosha tu kwa michuki yako hiyo ya kishamba.
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 Shut up! Tarura wanashughulika na barabara za vijijini na sio main road kaongeze akili, (usichanganye barabara za tanroad na tarura, na zile za manispaa), watu hawaishi barabarani main road wanaishi interior.....mafungu ya pesa za barabara tarura zinatolewa? Mbona njia mbovu...au unaishi wapi wewe mburura? Piga simu kwa CEO wa tarura atakuambia kero nilizomfikishia tangu 2020 kajitahidi sana the guy is good but leo ni 2022, piga simu mkuranga tarura watakuambia....kama hujui au unaongea ushabiki kaa kimya! Wewe unayeishi main road this is not your topic...go to hell 😈
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
Kwa kiasi chake tumejenga sisi kwa kujichangisha na wengine kupeleka moto....hapo vipi Mohamed umeridhika? Wazee wa michongo, unaonaje hapo? One day you will endure eternal punishment...wait it's coming soon
@salmahalfani63072 жыл бұрын
@@mohamnedsalum2150 achana nae Fisadi wa roho huyo.
@thomasmseli30462 жыл бұрын
Kweli ni mara ya kwanza kukuona na kukusikia nakukubali na nimeamini unaweza kazi hiyo uliyo anzisha. Keep up binti mzuri nakutakia mafanikio mema njoo pia Moshi upate uzoefu
@jamesponeca89122 жыл бұрын
Na Yeye apewe uwaziri
@enickosanga49212 жыл бұрын
Endeleeni kutuona wtz Mabwege hivohivo
@bjzee19812 жыл бұрын
Anawezaje kua mbunge wa sehem mbalimbali.
@jambo37512 жыл бұрын
Mbona Hussein Mwinyi amekuwa mbunge wa Mkuranga na Kwahani pia?
@albertjames68452 жыл бұрын
Unaijuwa katiba ya nchi wewe?
@dr.bahatirichardson88342 жыл бұрын
Umenifanya nitafakari na kusikiliza upya video hyo. Hivi wale wa viti maalumu nao huwa wa sehemu maalumu kumbe? Nchi hii ina wenye nchi na wana wa nchi.
@sknapoleonshoo31452 жыл бұрын
Serikali inaendeshwa kifamilia 🥺🥺🥺
@samsonhaule36472 жыл бұрын
Huyu mama Anataka tuijuwe familia yake.
@anithakyara6232 жыл бұрын
W
@abbassalum68242 жыл бұрын
Kwani Kuna Mtto asiemksha mama yake nyie waandishi vp
@athumansuphian58912 жыл бұрын
Hii nchi ya ajabu sana
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Uajabu wake nini?
@safiaothman51752 жыл бұрын
Nchi ya Kiajabu kivipi?
@allykigatta75642 жыл бұрын
Ikisha ANA MJUNGU SI HABA...
@athumansuphian58912 жыл бұрын
Nchi yaendeshwa kifamilia
@nancymwangi79262 жыл бұрын
sipendi marais wanqotumia nafasi zao kupromoti watoto wao nahii iko kwa Y67oel mseven kagame jakaya naleo samia
@princebuganzilut20472 жыл бұрын
Hata mimi mwanangu ananikosha sana naomba mumrushe pia
@abdulhalim38402 жыл бұрын
Si buno hilo
@bojobunton71382 жыл бұрын
😸🤣
@Awatee2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Mungu anakuona
@melkzedeckmaimu83442 жыл бұрын
Hii nd nch amby wtt w mskin wkjiajr alf wtt w viongz waajriwe dahh 😪
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Na bado , wewe kaa na ujinga alf ujiite masikini na utakua masikini mpk ufe
@salamasaidi66202 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 😆😆😆😆
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
😥😥😥🙏🙏
@bajagihaji89232 жыл бұрын
Hongera mama mazuri yapo njiani
@greysonmheni51762 жыл бұрын
Kutoka kwa wazungu 😄😄
@bajagihaji89232 жыл бұрын
@@greysonmheni5176 kutoka kwa wizi wa mafuta ya transformer na wizi wa miundo mbinu ya bara bara mpya na mengine mengi tu tunajijua wenyewe
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@greysonmheni5176 ukipata tumia bila kujali kimetoka wapi ??isiwe mkopo tu wa kuua nchi
@mussahassan87512 жыл бұрын
Mtoto wa Samia Hana uzalendo hata kidogo kwanza ana ubaguz wa Salamu kaishia kusalimia waislam tu shame on,, tayari washaanza udini😏
@allyabdallahally96372 жыл бұрын
Yaani ukiweka hayo mbele hutafika hayo ni mazoea tuu
@zuakhalfan97672 жыл бұрын
Acheni wivu alopewa kapewa
@roudhamahmoud7632 жыл бұрын
Nakusapoti mana kajaaliwa kama mama yake
@kindandakudingwa75142 жыл бұрын
Mtoto wake ni yupi happo??
@salmahalfani63072 жыл бұрын
@@kindandakudingwa7514 huyo bi dada alie karibisha hapo na kuongerea hiyo hafla kavaa mtandio wa blue
@salmahalfani63072 жыл бұрын
@@kindandakudingwa7514 ameenda kaa jirani na mamaake.
@saidipara41342 жыл бұрын
Klla mtu ale kwa urefu wa kamba yake.baada ya muda tutamuona bungeni.😔😔watoto wa kimasikini Bunge tubaki kulisikia tu.
@reisedyy49102 жыл бұрын
Shauri yenu, mtaendelea kua maskini mpaka lini?
@mariamusiraju32892 жыл бұрын
Yupo bungeni huyo na ni mke wa waziri wa utamaduni mbunge wa Jimbo la rufiji kwahiy hapo ni maji tuu yanafat mkumbo
@salumumapunda67172 жыл бұрын
Yupo bungeni hata kabla mama yake bado sio makamu wa rais
@saidipara41342 жыл бұрын
@@salumumapunda6717 ok
@agustinohizza13952 жыл бұрын
Wabaguzi wa Salam, mmm
@simontamba12852 жыл бұрын
Umeonaaee
@yasserrashid68432 жыл бұрын
Salam ipi unataka
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Zanzibar ni nchi ya kiislam, usisahau Hilo!!
@Sheba46512 жыл бұрын
Nyie mtasalimiwa kwa jina la Jamhuri tu, Hizo salamu toka kwa muumbaji ni special kwa wanaomjua muumbaji. Sasa mungu wako wewe si Mungu wetu, tuna miungu tofauti kabisa.
@omarykitololi4472 жыл бұрын
Mshaanza kutuludisha tupotoka vipind vya kikwete na mkapa mashavu mnapeana wenyewe kwa wenyewe kana kwamba nyinyi ndo mmezaliwa special uongoz pumbav mtupu
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Tafuta pesa wacha majungu hayawezi kukusaidia kupata maisha' Bora ah ah ah
@eleoncejohn38232 жыл бұрын
Na wewe mpe shavu mwanao Kaka
@bjzee19812 жыл бұрын
Tozo zime wanenepesha
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Wewe ni mshamba na ubongo wako ni mavi tu
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
sana yaani hadi wanakaribia kupasuka
@barakakhemedi12502 жыл бұрын
Huyu akisema mama ana haki ni mama ake ila sie wengine rais tu
@dr.bahatirichardson88342 жыл бұрын
Tayari kuna Msichana Iniatives sasa hii Mwanamke Initiatives imesajiriwaje? Mtoto wa Rais anazindua foundation mgeni rasmi ni Rais? Ama kweli hii ni Nchi ya Wenye Nchi siyo ya Wana wa Nchi. By the way nimempenda baba ake Wanu (mume wa Rais), anaonekana hana makuu mzee wawatu na wala hajishauwi wala kujikweza,wonderful! Hongera kwake kwa kuwa mwanaume wa kwanza katika nchi yetu ambaye mkewe ni Rais wa nchi tena naye wa kwanza mwanamke, wote wamevunja record: First Female President and First Man.
@missmrs8292 жыл бұрын
Nchi ya walaji kaka tutafanyaje Acha tuwe wapenzi watizamaji 😁na unafiki wa watanzania eti wanampigia makofi 😅😅sijui ni kutokuwa na elimu? ama njaa ya umasikin??
@raffeiystar28702 жыл бұрын
Ulitaka mgeni rasmi awe kingwendu ndio ungefurahi??
@urumtewele96932 жыл бұрын
@@missmrs829 lakini sisi Waswahili tunapenda sana kulalamika lakini siyo kujitolea nakuanzisha kitu kitakacho faa kwa uma, tuna penda kuwa na wivu usio na maendeleo kumbe tukitaka kusonga mbele ni kuwa nawivu wafaida yeye kaanzisha hiki basi mimi naanzisha kitu kingine hivyo tutasonga mbele huo ni mtazamo wangu nisamehe
@mohamedasaid79102 жыл бұрын
@@urumtewele9693 Uhasidi hauna dawa. Huyo Dada Mwanu amekuwa Kiongozi kabla Mamake Kuwa Rais.Mamake amepata Urais kama kadari ya Muumba.Hakupigania.Sasa mahasidi wamlaumu Allah Nikumbushe Rais Magufuli alivyomsifu Mama Samia kwa kusema kuwa alipomchagua Mama Samia hakuwa anamjua sana lakini amejua ni Mama mchapa kazi sana