Mtoto wa Rais Samia amkosha mama yake katika uzinduzi wa MIF

  Рет қаралды 155,023

EastAfricaTV

EastAfricaTV

2 жыл бұрын

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 119
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 2 жыл бұрын
Mashallah like mother like doughter mpaka working style
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 2 жыл бұрын
Chapa kazi na Mwenyezi Mungu atazibariki kazi za mikono yako,achana na wale wenye vijiba vya moyo dhidi yako.
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 жыл бұрын
Hongera!!!
@lailasalim8685
@lailasalim8685 2 жыл бұрын
Nakusapot asilimia zote🙏🙏
@salamaisayas8281
@salamaisayas8281 Жыл бұрын
Hongera zako M/kiti WA wanawake MH Wanu Hafidhi oyeee na Mungu akuweke
@farujohn622
@farujohn622 2 жыл бұрын
Big up endelea hivyo hivyo kuhudumia wapi nani kama mama
@mohamedmhando8548
@mohamedmhando8548 2 жыл бұрын
Jambo la mama, Jambo letu sote 🙏👍
@rosemussa3240
@rosemussa3240 2 жыл бұрын
Pole sn ww, hujamuona mwenye mama yake?!?
@lailasalim8685
@lailasalim8685 2 жыл бұрын
Wanawake tunaweza ....tukiwezeshwa tuna plan za kujiendeleza na kuinua wenzetu wasiojiweza,mayatima na wajane vipi tutaweza bila kusapotiwa na kuwezeshwa😓😓.........big up mungu akutangulie kwa kila hali napenda sana hvyo vitu
@zakarianyakunga9207
@zakarianyakunga9207 2 жыл бұрын
Huna hata aibu huyo aliyewezeshwa anafanya Nini mbona KILA mtu analia
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Unaweza nn sasa kama unasubiri mpaka uwezeshwe
@veronicasulle1849
@veronicasulle1849 2 жыл бұрын
Umemsifia nani sasa na vip amekuwezesha huon watu wanavyolia 😏
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 жыл бұрын
Amina 🙏🇹🇿🔥🔥🔥🔥 MUNGU amekupenda Sana mama samia unatakiwa umshukulu kweli🤔🙏🏿
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 2 жыл бұрын
Mungu azidi kumbariki ili aendelee kusaidia Wanawakebasa wasichana wadogo wanaoishi mazingira magumu. Ukimuwezesha mwanamke umewezesha jamii nzima. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Kweli Nadra umeliona hilo biti Hassan
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Ajaribu akishonesha wamshonee shati refu kidogo alipo nyanyuka kutowa heshima nimeona aibu mm
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
Mtihani
@sarahkelvin4845
@sarahkelvin4845 2 жыл бұрын
Mmh hakun ki2 hap
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
Unateseka ukiwa wapi
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 2 жыл бұрын
Hovyooooooooo
@nazarenajoseph2695
@nazarenajoseph2695 2 жыл бұрын
Kina mama hoyeeeee
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 2 жыл бұрын
Police wanauwa wamasai, au wamasai syo watu, furhn kunyweni cheken, ila mungu yupo mama Samia pandisha vyakula watu wfe kwanjaa nyinyi nenepenitu , unajisahau sna, kwakuw ww ni mzazibar
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 жыл бұрын
Acha kuongea sana ww😆😆😆
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 2 жыл бұрын
@@salamasaidi6620 wananiudh xna hawana ubinadam
@peterdavid4230
@peterdavid4230 2 жыл бұрын
Hawana utu wanajichumia matumbo lkn ivo ni vyeo tu wataviacha apa apa
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 2 жыл бұрын
@@peterdavid4230 Yaa hata mm naamin wanamwaga dam za wa tz wenze2 ila ipo sku1 nadam zafamilia zao Zita mwagika hk wakitizama kwamacho Yao, on day one time
@peterdavid4230
@peterdavid4230 2 жыл бұрын
@@makongoronyerere1564 kabisa kumbuka what goes around comes around
@ajheemclassicaltv7608
@ajheemclassicaltv7608 2 жыл бұрын
Yetu macho kizuri kula na mwenzio
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 жыл бұрын
Acheni wivu mama anaweza
@ereriamatarimo7964
@ereriamatarimo7964 2 жыл бұрын
Hawezi..Kaz.i..sa.wanaume..yeye..akalee.mume..na..wajukuu
@sekwaocekwao259
@sekwaocekwao259 2 жыл бұрын
Mama tufikishe ule mji wa maziwa na asali,watasema tu ila tunaimani na mama!
@abednego3876
@abednego3876 2 жыл бұрын
Safi hongera kwa Dada, waliopata wazazi maraisi alaf hawakufanya la maana pole zao .
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 жыл бұрын
Kwa kweli wengine kila siku mitandaoni midomo kama machochonge vile
@mwigakatumpula6852
@mwigakatumpula6852 2 жыл бұрын
Lkn sio walala hoi wapo vzr maana watakula keki ya taifa mpaka mwisho wa vizazi vyao
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@mwigakatumpula6852 mmmh
@simontamba1285
@simontamba1285 2 жыл бұрын
Vyema dada kikubwa tubadirishe mfumo wetu wa Elimu uzalendo saana na vitu vingi vianze kufundishwa mashuleni teena msingi ikiwa kazi ,sheria ,na usimamizi wa fedha
@saphiahaji7715
@saphiahaji7715 2 жыл бұрын
😀😀😀😀
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 жыл бұрын
Twakupenda sana mama samiha 🥰❤❤❤❤🌹👌
@emmanuelchiza7733
@emmanuelchiza7733 2 жыл бұрын
Mumpende huku zenji kwrnye njaa
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Kazi ipo ipo ipo ipo....anaguswa sana na mambo ya jamii....huku mkuranga barabara mbovu anajua hilo?
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Jenga ww
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 жыл бұрын
Wewe Richadi acha uongo Mkuranga gani? unatoka Mbagala mpaka Mkuranga lami tupu. wapi barabara imeharibika? si ajabu hata hiyo Mkuranga yenyewe hauijuia. Kazi kupotosha tu kwa michuki yako hiyo ya kishamba.
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 Shut up! Tarura wanashughulika na barabara za vijijini na sio main road kaongeze akili, (usichanganye barabara za tanroad na tarura, na zile za manispaa), watu hawaishi barabarani main road wanaishi interior.....mafungu ya pesa za barabara tarura zinatolewa? Mbona njia mbovu...au unaishi wapi wewe mburura? Piga simu kwa CEO wa tarura atakuambia kero nilizomfikishia tangu 2020 kajitahidi sana the guy is good but leo ni 2022, piga simu mkuranga tarura watakuambia....kama hujui au unaongea ushabiki kaa kimya! Wewe unayeishi main road this is not your topic...go to hell 😈
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Kwa kiasi chake tumejenga sisi kwa kujichangisha na wengine kupeleka moto....hapo vipi Mohamed umeridhika? Wazee wa michongo, unaonaje hapo? One day you will endure eternal punishment...wait it's coming soon
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
@@mohamnedsalum2150 achana nae Fisadi wa roho huyo.
@thomasmseli3046
@thomasmseli3046 2 жыл бұрын
Kweli ni mara ya kwanza kukuona na kukusikia nakukubali na nimeamini unaweza kazi hiyo uliyo anzisha. Keep up binti mzuri nakutakia mafanikio mema njoo pia Moshi upate uzoefu
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
Na Yeye apewe uwaziri
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Endeleeni kutuona wtz Mabwege hivohivo
@bjzee1981
@bjzee1981 2 жыл бұрын
Anawezaje kua mbunge wa sehem mbalimbali.
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
Mbona Hussein Mwinyi amekuwa mbunge wa Mkuranga na Kwahani pia?
@albertjames6845
@albertjames6845 2 жыл бұрын
Unaijuwa katiba ya nchi wewe?
@dr.bahatirichardson8834
@dr.bahatirichardson8834 2 жыл бұрын
Umenifanya nitafakari na kusikiliza upya video hyo. Hivi wale wa viti maalumu nao huwa wa sehemu maalumu kumbe? Nchi hii ina wenye nchi na wana wa nchi.
@sknapoleonshoo3145
@sknapoleonshoo3145 2 жыл бұрын
Serikali inaendeshwa kifamilia 🥺🥺🥺
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 2 жыл бұрын
Huyu mama Anataka tuijuwe familia yake.
@anithakyara623
@anithakyara623 2 жыл бұрын
W
@abbassalum6824
@abbassalum6824 2 жыл бұрын
Kwani Kuna Mtto asiemksha mama yake nyie waandishi vp
@athumansuphian5891
@athumansuphian5891 2 жыл бұрын
Hii nchi ya ajabu sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Uajabu wake nini?
@safiaothman5175
@safiaothman5175 2 жыл бұрын
Nchi ya Kiajabu kivipi?
@allykigatta7564
@allykigatta7564 2 жыл бұрын
Ikisha ANA MJUNGU SI HABA...
@athumansuphian5891
@athumansuphian5891 2 жыл бұрын
Nchi yaendeshwa kifamilia
@nancymwangi7926
@nancymwangi7926 2 жыл бұрын
sipendi marais wanqotumia nafasi zao kupromoti watoto wao nahii iko kwa Y67oel mseven kagame jakaya naleo samia
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 2 жыл бұрын
Hata mimi mwanangu ananikosha sana naomba mumrushe pia
@abdulhalim3840
@abdulhalim3840 2 жыл бұрын
Si buno hilo
@bojobunton7138
@bojobunton7138 2 жыл бұрын
😸🤣
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Mungu anakuona
@melkzedeckmaimu8344
@melkzedeckmaimu8344 2 жыл бұрын
Hii nd nch amby wtt w mskin wkjiajr alf wtt w viongz waajriwe dahh 😪
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
Na bado , wewe kaa na ujinga alf ujiite masikini na utakua masikini mpk ufe
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 😆😆😆😆
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
😥😥😥🙏🙏
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
Hongera mama mazuri yapo njiani
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 2 жыл бұрын
Kutoka kwa wazungu 😄😄
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
@@greysonmheni5176 kutoka kwa wizi wa mafuta ya transformer na wizi wa miundo mbinu ya bara bara mpya na mengine mengi tu tunajijua wenyewe
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@greysonmheni5176 ukipata tumia bila kujali kimetoka wapi ??isiwe mkopo tu wa kuua nchi
@mussahassan8751
@mussahassan8751 2 жыл бұрын
Mtoto wa Samia Hana uzalendo hata kidogo kwanza ana ubaguz wa Salamu kaishia kusalimia waislam tu shame on,, tayari washaanza udini😏
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 жыл бұрын
Yaani ukiweka hayo mbele hutafika hayo ni mazoea tuu
@zuakhalfan9767
@zuakhalfan9767 2 жыл бұрын
Acheni wivu alopewa kapewa
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Nakusapoti mana kajaaliwa kama mama yake
@kindandakudingwa7514
@kindandakudingwa7514 2 жыл бұрын
Mtoto wake ni yupi happo??
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
@@kindandakudingwa7514 huyo bi dada alie karibisha hapo na kuongerea hiyo hafla kavaa mtandio wa blue
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 жыл бұрын
@@kindandakudingwa7514 ameenda kaa jirani na mamaake.
@saidipara4134
@saidipara4134 2 жыл бұрын
Klla mtu ale kwa urefu wa kamba yake.baada ya muda tutamuona bungeni.😔😔watoto wa kimasikini Bunge tubaki kulisikia tu.
@reisedyy4910
@reisedyy4910 2 жыл бұрын
Shauri yenu, mtaendelea kua maskini mpaka lini?
@mariamusiraju3289
@mariamusiraju3289 2 жыл бұрын
Yupo bungeni huyo na ni mke wa waziri wa utamaduni mbunge wa Jimbo la rufiji kwahiy hapo ni maji tuu yanafat mkumbo
@salumumapunda6717
@salumumapunda6717 2 жыл бұрын
Yupo bungeni hata kabla mama yake bado sio makamu wa rais
@saidipara4134
@saidipara4134 2 жыл бұрын
@@salumumapunda6717 ok
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 2 жыл бұрын
Wabaguzi wa Salam, mmm
@simontamba1285
@simontamba1285 2 жыл бұрын
Umeonaaee
@yasserrashid6843
@yasserrashid6843 2 жыл бұрын
Salam ipi unataka
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Zanzibar ni nchi ya kiislam, usisahau Hilo!!
@Sheba4651
@Sheba4651 2 жыл бұрын
Nyie mtasalimiwa kwa jina la Jamhuri tu, Hizo salamu toka kwa muumbaji ni special kwa wanaomjua muumbaji. Sasa mungu wako wewe si Mungu wetu, tuna miungu tofauti kabisa.
@omarykitololi447
@omarykitololi447 2 жыл бұрын
Mshaanza kutuludisha tupotoka vipind vya kikwete na mkapa mashavu mnapeana wenyewe kwa wenyewe kana kwamba nyinyi ndo mmezaliwa special uongoz pumbav mtupu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
Tafuta pesa wacha majungu hayawezi kukusaidia kupata maisha' Bora ah ah ah
@eleoncejohn3823
@eleoncejohn3823 2 жыл бұрын
Na wewe mpe shavu mwanao Kaka
@bjzee1981
@bjzee1981 2 жыл бұрын
Tozo zime wanenepesha
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
Wewe ni mshamba na ubongo wako ni mavi tu
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
sana yaani hadi wanakaribia kupasuka
@barakakhemedi1250
@barakakhemedi1250 2 жыл бұрын
Huyu akisema mama ana haki ni mama ake ila sie wengine rais tu
@dr.bahatirichardson8834
@dr.bahatirichardson8834 2 жыл бұрын
Tayari kuna Msichana Iniatives sasa hii Mwanamke Initiatives imesajiriwaje? Mtoto wa Rais anazindua foundation mgeni rasmi ni Rais? Ama kweli hii ni Nchi ya Wenye Nchi siyo ya Wana wa Nchi. By the way nimempenda baba ake Wanu (mume wa Rais), anaonekana hana makuu mzee wawatu na wala hajishauwi wala kujikweza,wonderful! Hongera kwake kwa kuwa mwanaume wa kwanza katika nchi yetu ambaye mkewe ni Rais wa nchi tena naye wa kwanza mwanamke, wote wamevunja record: First Female President and First Man.
@missmrs829
@missmrs829 2 жыл бұрын
Nchi ya walaji kaka tutafanyaje Acha tuwe wapenzi watizamaji 😁na unafiki wa watanzania eti wanampigia makofi 😅😅sijui ni kutokuwa na elimu? ama njaa ya umasikin??
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 2 жыл бұрын
Ulitaka mgeni rasmi awe kingwendu ndio ungefurahi??
@urumtewele9693
@urumtewele9693 2 жыл бұрын
@@missmrs829 lakini sisi Waswahili tunapenda sana kulalamika lakini siyo kujitolea nakuanzisha kitu kitakacho faa kwa uma, tuna penda kuwa na wivu usio na maendeleo kumbe tukitaka kusonga mbele ni kuwa nawivu wafaida yeye kaanzisha hiki basi mimi naanzisha kitu kingine hivyo tutasonga mbele huo ni mtazamo wangu nisamehe
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 2 жыл бұрын
@@urumtewele9693 Uhasidi hauna dawa. Huyo Dada Mwanu amekuwa Kiongozi kabla Mamake Kuwa Rais.Mamake amepata Urais kama kadari ya Muumba.Hakupigania.Sasa mahasidi wamlaumu Allah Nikumbushe Rais Magufuli alivyomsifu Mama Samia kwa kusema kuwa alipomchagua Mama Samia hakuwa anamjua sana lakini amejua ni Mama mchapa kazi sana
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 Жыл бұрын
Ndio pale utajua hujui...
UTAPENDA VAZI NA VIBE LA RAISI MAMA SAMIA KWENYE HII HARUSI.
3:17
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 119 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 50 МЛН
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 380 М.
BINTI ALIEBAKWA AWAIBUA WANANCHI/TUNAOGOPA KUTEMBEA USIKU
2:43