Ni vyema kwa Serikali kujenga Ferry terminal Kijijini Nungwi kuunganisha Unguja na Pemba kwa haraka..
@utaani19 ай бұрын
Hata mimi nahisi hivyo geti iwekwe Nungwi
@mjedahaji5536 Жыл бұрын
fanyeni mtuletee nyengine.. azam inatisha saivi maji hadi ndani
@felicienmanuana95057 ай бұрын
❤
@amirikoshuma6022 Жыл бұрын
Nimeipenda Sana hii mungu anabariki
@abdullatifhassan9399 Жыл бұрын
Masha Allah
@salma0000 Жыл бұрын
Alhamdulillah, Inshaallah tutasafiria. Usitaje habari za kutoboka capt.
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Hongera Wazanzibar Kwa kupata meli nzuri ya kisasa, huku Mwanza inaundwa meli ambayo kwa akili ya kawaida haieleweki kama ni meli ya abiria au muzigo au...!
@nassorhaji2637 Жыл бұрын
Duuh..poleni sana
@AbdillahSOthman Жыл бұрын
Muwe tyr kutufikisha pemba na unguja kwa Muda mfupi msitueke baharini kama azam kama masaa 5 iwe ni 5, azam inatuchosha hata kama bahari ipo shwari wao watafika muda ule wanaotaka sa 9.
@ELIMU65 Жыл бұрын
Muda mkubwa sana huo mimi nilitegemea angalau masaa 3
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Si wanapewa muda wa kusafiri na serikali
@AbdillahSOthman Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 ndio serikali ni watu na watu ni sisi watusikilize muda mkubwa huo.
@utaani19 ай бұрын
Kweli angalau masaa matatu
@Mosalahibrahim75 Жыл бұрын
Meli ipo vizur mashallah je itakua unguja mkoani tu wete haiendi????