Mwalimu aacha kufundisha na kuanza kuuza Maji mtaani, aonesha vyeti vyake,

  Рет қаралды 53,255

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Bilo Sid Bilo ni kijana anaishi mkoani Kigoma, Baada ya kumaliza masomo yake ya uwalimu mwaka 2015 na kuanza kufundisha moja kati ya shule ya secondary ya wasichana mkoani Kigoma kwa miezi 7 baada ya kukosa ajira serikialini na kuamua kujitolea katika shule hiyo.

Пікірлер: 148
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 6 жыл бұрын
Safi sana kijana,vijana wengi wanang'ang'ania majina Makubwa wakati halileti hata pesa ya ugali,endelea kupambana utafika mbali💪💪💪
@silvanustesha8978
@silvanustesha8978 6 жыл бұрын
Very good mwalimu mwenzangu ..na mm nimemaliza chuo 2015 na sasa cna mpango wa kuajiriwa coz nimejiajiri mwenyewe
@gataonyango9294
@gataonyango9294 6 жыл бұрын
Naomba siri ya mafanikio
@mrtembakiboboy6145
@mrtembakiboboy6145 2 жыл бұрын
Bado 2015 mpo jamn ss i 2016 uwii madam Mie atari
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Mashallah, nimekuelewa Teacher, hongera sana
@adamgeorge5532
@adamgeorge5532 6 жыл бұрын
daah pole sana brow mungu atakusaidi utafanikiwa katika mipango yako
@rechomakungu5342
@rechomakungu5342 6 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu brother Mungu hawezi kukuacha yupo pamoja nawe
@imanimatabula3109
@imanimatabula3109 6 жыл бұрын
Dah good brother. Hakika umenigusa sana . Wewe ni jembe na InshaAllah utafanikiwa sana kaka.
@ditricksilinu6038
@ditricksilinu6038 6 жыл бұрын
well done mwalimu tukaze buti
@benardboaz6347
@benardboaz6347 2 жыл бұрын
Mungu akulinde na malengo Yako usiyaweke wazi sana siyo Kila mtu anapenda maendereo Yako kaka.
@theonestkatanda3054
@theonestkatanda3054 6 жыл бұрын
Huyu ndugu ana akili nyingi na watu wa namna hii ni wachache sana duniani
@deliveranceprayer4902
@deliveranceprayer4902 6 жыл бұрын
hongera sanaaa mwalimu. A teacher is a Jeck of all trends
@atusajiyejaphet7463
@atusajiyejaphet7463 6 жыл бұрын
Shemeji yng nakukubali saaana na Leo umeniletea maji wewe ni jembeee
@KigomaTV.
@KigomaTV. 6 жыл бұрын
Atusajiye Japhet
@kipukatz
@kipukatz 6 жыл бұрын
#mtuwanguwanguvu mirrad ayo kama unamkubali mirrad ayo dondosha like yako hapa
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 6 жыл бұрын
Umenifungua kichwa kimejaa sumu namimi ngoja nijitose ktk fursa iliyoko mbele yangu ila napuuzia nikilinganisha namazingira niliyopo ingawa malipo siyo kama kazi inavo onekana ASANTE BRO ACHA NIJITOSE NAMIMI
@salummohdnyiga9760
@salummohdnyiga9760 6 жыл бұрын
Rashid Busanya mazingira si tatizo wewe si mti ndugu yangu you can move and change if you have thirty of success
@barnabasbahebe531
@barnabasbahebe531 6 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother big up
@emanuelgaddafi7651
@emanuelgaddafi7651 6 жыл бұрын
Wajinga hawatokuelewa brother Mimi nimmoja wawale wenye ndoto yakujiajiri full stop. Salyut to you my young brother 3years later waliokaa kusubiri ajira watarekebisha kauli zao.
@victoriachesco35
@victoriachesco35 6 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu napenda wanaume wanaojituma
@suleimaniamadi1441
@suleimaniamadi1441 2 жыл бұрын
Tupo
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 2 жыл бұрын
Hata wanawake wanaojutuma pia Wana pendwa Sana.
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 6 жыл бұрын
Nakuupa wasia broo.. Utafika mbali.. Kwa bidii zako.. Lakiin ukipata mtonyo usije msaliti mkeo.. Kufa NA kuzikana
@gracenyanza432
@gracenyanza432 6 жыл бұрын
ww ni mfano wa kuigwa kaka mungu akufungulie milango ya baraka na familiy yako mungu aikumbatie .
@jeremiamunishi9444
@jeremiamunishi9444 6 жыл бұрын
mh Upo vizuri mwl kwa maamuzi mazuri
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 6 жыл бұрын
Safi sana kijana unaakili nakupongeza kwa hilo
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 6 жыл бұрын
Hongera sana , na mkeo ajivunie
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 жыл бұрын
Big up sana brother, mwenyezi mungu akusimamie.
@rechomakungu5342
@rechomakungu5342 6 жыл бұрын
Mungu Azidi kukuinua zaidi brother
@ferdinand1880
@ferdinand1880 6 жыл бұрын
Safi Sana braza upo vzr
@jenivavedasto636
@jenivavedasto636 6 жыл бұрын
Welldone!
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 6 жыл бұрын
Noma sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Umetisha Teacher
@lucianachappa1213
@lucianachappa1213 6 жыл бұрын
Big up.....Sana nimekuelewa sana
@beatricejuma1230
@beatricejuma1230 6 жыл бұрын
Safi kaka angu
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 6 жыл бұрын
Inspired
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 6 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@elivtv.baseafrica3988
@elivtv.baseafrica3988 6 жыл бұрын
Kaza buti blo
@obby2559
@obby2559 6 жыл бұрын
Amazing
@sumakamatula3591
@sumakamatula3591 6 жыл бұрын
safi sana bro. nimejifunza kitu
@agnetaagness5857
@agnetaagness5857 Жыл бұрын
Hogera sana brother mungu hatakuacha kamwe.
@joramchubwa3757
@joramchubwa3757 6 жыл бұрын
Imana iguhezagile
@greatmangii
@greatmangii 6 жыл бұрын
#nyumbatamu kweli ubunifu muhimu hongera sana
@saidihussein5707
@saidihussein5707 6 жыл бұрын
daa nimekuelewa sana
@salummuhija4435
@salummuhija4435 6 жыл бұрын
Welldone
@pendopius435
@pendopius435 6 жыл бұрын
Umetisha bro
@mwajumakweli6753
@mwajumakweli6753 6 жыл бұрын
Hunajitambuwa Sanaa kaka
@fridamwantandi8921
@fridamwantandi8921 6 жыл бұрын
Hongera sana
@ndimbumihumphrey8804
@ndimbumihumphrey8804 6 жыл бұрын
This is IQ good
@selemanteketeke6911
@selemanteketeke6911 6 жыл бұрын
kazi kazi tu
@emmanueldionis8822
@emmanueldionis8822 6 жыл бұрын
asante sana kaka umenifungua
@mariammichael9773
@mariammichael9773 6 жыл бұрын
Nimekupenda bure
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 6 жыл бұрын
Hongera bro.. Mungu akusimamie una akili saana
@sponsor7882
@sponsor7882 6 жыл бұрын
well done
@nkeshimanaemmanuel3066
@nkeshimanaemmanuel3066 6 жыл бұрын
Hongera
@eneambogo4802
@eneambogo4802 6 жыл бұрын
Nice bro
@frankfrank322
@frankfrank322 6 жыл бұрын
We tutaenda sawa ndg
@kakafranc8913
@kakafranc8913 6 жыл бұрын
Dar niwachache wenye usubutu kama wako . Wengine nawaona wanapenda kulewa sifa za majina na kutoangalia wanachoingiza
@jacksonmkome439
@jacksonmkome439 6 жыл бұрын
Hongera sanaaah kaka...kaz Nzur koz unakula jasho lako big up brother @
@carolinamushi5555
@carolinamushi5555 6 жыл бұрын
Na mimi nilisomea kilimo na mifugo nimejuariji mwenyewe nipo kijijini ninangombe wa maziwa ninashamba la matunda nauza maziwa nauza mapapai maparachichi, ndizi, kuku wa nyama, na mayai nimeweza kufungua biashara yangu kubwa tu mjini ya kuuza kuku wa nyama kwenye friji. Na nimejenga huku huku kijijini nyumba kubwa, nipo huru mimi na kilimo tuu
@eddycharles5199
@eddycharles5199 6 жыл бұрын
hatua nzuri
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 2 жыл бұрын
Big up. Simamia unachokiamini najua utapingwa na wengi ila hatima ya kesho yako iko mikononi mwako.
@nasiekutarishi3292
@nasiekutarishi3292 6 жыл бұрын
Woiiii God Help us
@jacobtitus5867
@jacobtitus5867 6 жыл бұрын
1st comment Teacher kaza nyie ndio mnatakiwa #hapa kazi tu😀😀😀😀😀
@durra6087
@durra6087 6 жыл бұрын
Safi sana
@asha.mwambamwamba1774
@asha.mwambamwamba1774 2 жыл бұрын
Ajira jamani zina chelew
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 2 жыл бұрын
حياتك من صنع أفكارك Maisha yako yanatengenezwa na fikra zako
@williamfavour2982
@williamfavour2982 6 жыл бұрын
kweli kabisa kamanda
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 6 жыл бұрын
Nunua pikipiki angalau itakusaidia utaokoa muda pia.vizuri kaka
@jedidaachieng3914
@jedidaachieng3914 6 жыл бұрын
This is so challenging...I've learnt something. .God bless you Bro
@LukeUrioNEWS
@LukeUrioNEWS 6 жыл бұрын
Hongera sana bro heshima sana kwako.
@priscabanzi2881
@priscabanzi2881 6 жыл бұрын
Nzur kaka angu kaza Mungu atakujalia
@amanichidyboy2900
@amanichidyboy2900 Жыл бұрын
Ukweli nimekumbuka home kgm pia ongera sana kijana
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 жыл бұрын
Usiwafiche brother waambie ukweli hawana hela yakukulipa maana watu waroho kubwa naninauhakika labda wakupe milion moja kwenda juu ndiyo kidogo inaweza kukusha wishi
@pascaltayari6004
@pascaltayari6004 6 жыл бұрын
Hiyo ndyo Tanzania tunayoitaka
@cipladapretty8617
@cipladapretty8617 6 жыл бұрын
Ukitoka hapo et dem aje kuomba pesa na yy anapga mkwanja kwako dah
@ELLYSTVONLINE
@ELLYSTVONLINE 6 жыл бұрын
Serikali imekupa ajira MBOLIBOLI iringa hongera kwa hilooo......
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 6 жыл бұрын
Mpaka mueshimiwa atoke TUTAPATA TABU SANA
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 2 жыл бұрын
Ni makosa ya mfumo kuanzia wazazi mpaka elimu kwa ujumla. Huyu alisomea fani ile pasipo kujua kama atakosa kazi hivyo huku alipo ni njia mbadala ila ndiko wanakotokea matajiri duniani kote.
@blackmamba7553
@blackmamba7553 6 жыл бұрын
ndo maisha ya Mtanzania inabidi tujiongeze tu
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 6 жыл бұрын
ww unajielewa kabisa
@jeromepetrododomatunawapat3654
@jeromepetrododomatunawapat3654 Жыл бұрын
Huyu ni mpambanaji apatiwe ajila afundishe watoto wetu
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 6 жыл бұрын
Magufuli hongera sn kwa kasi hii ipo siku tutatengeneza Rocket kwenda mwezini umetufanya WTZ kuwa wabunifu hakuna vya bwelele shikilia hapo hapo baba maana hamna namna.
@hashimumkunda3482
@hashimumkunda3482 6 жыл бұрын
Abby Adams. dalili ya umasikini hiyo
@mariammichael9773
@mariammichael9773 6 жыл бұрын
Abby Adams 😂😂😂
@robertgurti309
@robertgurti309 6 жыл бұрын
Kuma yako
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 6 жыл бұрын
Abby Adams kuma mamako unafirwa
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 6 жыл бұрын
Kwani we kipindi unazaliwa ulitokea wapi,,? Mungu akusamehe bure
@rosemongi5084
@rosemongi5084 6 жыл бұрын
millardayo hiiinikweli nakamanikweli kuanzialeo najiajiri
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Mhuu nimechoka ila tu mm niulize swali watu wanatatfa pesa wale wanaozitengeneza wanatatfa nn ikiwa na wao wanatatfa pesa basi hakuna atakae kuajir akakupa mshahara wa kukidhi mahitaji Kwa nchi zetu za afrika zaidi ya majeshi tu huo ndo ukweli ukitaka usitake habari ndo hio
@kingommy2393
@kingommy2393 6 жыл бұрын
Ajira how's, lap top hewa, Noah hewa na bado
@queenshomba8412
@queenshomba8412 6 жыл бұрын
Kaza buti dogo
@edinachami1754
@edinachami1754 6 жыл бұрын
uko vzur umeoa2017 nasasa unawatoto wawil
@kautharmohammed7868
@kautharmohammed7868 6 жыл бұрын
Edina Chami comment of the day
@habibumdetele6530
@habibumdetele6530 6 жыл бұрын
Edina Chami kweli mwalimu kawazidi,hamjui tofauti ya kuoa na kuwa na watoto?Na nyie ni wanawake,sitegemi mwanamke kuuliza hilo.Yaani mnamuona kakosea.......
@kiddandrew2520
@kiddandrew2520 6 жыл бұрын
Mapachaaa
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 6 жыл бұрын
Habibu Mdetele ....Haaaahaaaaa Umeonaaa Watu vilaza Sana....Mwalimu ni Mwalimu tuu...
@joshuamwambene6041
@joshuamwambene6041 2 жыл бұрын
Duh kijana jasiri huyu
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Kweli mm nilimuona jirani yangu anauza dagaa kwa baiskeli huko zanzibar nilijua hajasoma kumbe anadigree wallah kaoa na kajenga mjengo kawashinda waaliim
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 2 жыл бұрын
Ndugu yangu Hawa wanouza dagaa mara nyingi huwa ni watu wa kazi za watu Ile kuuza dagaa ni zuga tu 😎😎😎😎😎
@constantinemanyanda6667
@constantinemanyanda6667 6 жыл бұрын
Mm mwalim wangu wa english wa secondary sahv kaacha kawa fundi simu kariakoo
@mickskillstechnology7511
@mickskillstechnology7511 6 жыл бұрын
constantine manyanda kariakoo tena ufundi simu una hela Sanaa, kama mtu kwa siku atalaza 50 unategemea aajiriwe kufundisha alipwe laki 7 kwa kwezi bado makato
@jacksongithae5173
@jacksongithae5173 6 жыл бұрын
Pongezi sana kwa ujasiri
@mzalendomsilu2897
@mzalendomsilu2897 6 жыл бұрын
Hongera kijana; Penye nia pana njia!
@salumnuhu9066
@salumnuhu9066 2 жыл бұрын
Umenifungua akili kweli ajira niutumwa huwezi kua namafanikio kwa kutegemea mshahara wa mwisho wa mwez
@jafariamiri8452
@jafariamiri8452 6 жыл бұрын
Kwakweli amenipa ufunguo mkubwa'akilini' Millard ayo ,km mtaweza kunipatia namba ya huyu mwalim nitashukur kuna kitu naweza shea nae kupiga hatua
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 Жыл бұрын
KIUKWELI PAMBANA KAKA
@matitu_jr5035
@matitu_jr5035 6 жыл бұрын
Only in Tanzania
@fighterm7708
@fighterm7708 6 жыл бұрын
Matitu_jr kwambaa
@menejawamradi4996
@menejawamradi4996 6 жыл бұрын
Duuh
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Kujiajir ndio mpango
@robertgurti309
@robertgurti309 6 жыл бұрын
Huyu ni muongo miaka saba
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 2 жыл бұрын
Acha wivu huo
@robertgurti309
@robertgurti309 6 жыл бұрын
Muongo maana kasema amemaliza chuo2015 alaf kafundisha Islamic school kwa miaka Saba je sahv ni mwaka gani
@rizikibakar3186
@rizikibakar3186 6 жыл бұрын
Robert Gurti miezi bna
@davidsonmaluka7917
@davidsonmaluka7917 6 жыл бұрын
Miez7 sio miaka!
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 6 жыл бұрын
Amesema alifanyakazi miezi 7
@isaackbm1935
@isaackbm1935 6 жыл бұрын
Miezi 7 mzee baba
@vailethstanley8780
@vailethstanley8780 6 жыл бұрын
Kasema miez Saba so miaka saba
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 6 жыл бұрын
Maji ni shida jamani kwanini serikali isifunge pampu ili kusambaza maji majumbani? Ni rahisi kutoa mabilioni kununua ndege but ni vigumu kutoa mamilioni kusambasa maji vijijini, huku ndiko mtatugusa sisi wanyonge please serikali yangu tunaomba mlifanyie kazi hilo najua lina wezekana tu.
@fighterm7708
@fighterm7708 6 жыл бұрын
Abel Mirwatu why kila kitu serikali ??? Kabla serikali haijakufanyia nn jiulize wewe umeifanyia nn serikali
@shiruclever1679
@shiruclever1679 6 жыл бұрын
Poa
@luteking
@luteking 6 жыл бұрын
Vyuma vimekaza
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 6 жыл бұрын
Lute King havija no havija kaza acha uvivu
@corrolesscps
@corrolesscps 6 жыл бұрын
Lute King .Hapendi kuajiliwa, anapenda ajiajili. Ana mipango na mikakati mingi ya mipangirio ya maisha, kiasi yakwamba kuajiliwa alikuwa anaona kama anapoteza muda wa mipangirio yake anayoiwazia haitweza kufanya
@diamondplatnumzvevo8645
@diamondplatnumzvevo8645 6 жыл бұрын
Lute King kumamayo wewe
@husseinbhatia434
@husseinbhatia434 5 жыл бұрын
Big up ila mzee baba baik itakutoa shipa so unaonaje ukatafuta njia mbadala ya kufanya hiyo kaz kama kutumia punda had hapo utakapo pata hiyo gari kama unavyotarajia maana hata ufanikiwe vip ukiharibu afya yako ur nothing
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Masha'allah kijana anauelewa wake ..atafikia lengo
@arnoldwillison3821
@arnoldwillison3821 6 жыл бұрын
Vizuri sana we ni mfano wa kuigwa kongore yako
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 37 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 13 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 26 МЛН
CHEKI MAPISHI YA AISHA BUHETI WAKATI WA SHEREHE
1:58
Panga Sherehe
Рет қаралды 6 М.
Impeaching Gachagua: Gachagua accused of undermining President Ruto
51:30
🔴Taarifa ya Habari ya Asubuhi, ..Julai 31, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 177
ERIC SHIGONGO- "SHUGHULIKA NA UBONGO WAKO! SIRI ZA MAFANIKIO NI HIZI"
42:33
A young mother couldn't calm down her baby at the lesson #shorts
0:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 12 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
0:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 27 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 7 МЛН
Приостановили веселуху😨 #симпсоны
0:59