No video

MWALIMU YANGA AMPA MAKAVU FEITOTO KUWAFUNGA MIDOMO/ANANUKA MAZIWA TABIA ZA KIKE/ATUOMBE MSAMAHA

  Рет қаралды 47,065

Scope Media

Scope Media

2 ай бұрын

#alikamwe #azizki #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yanga #yangaleo #yangasc #yangatv

Пікірлер: 62
@RehemaKomba-pv2le
@RehemaKomba-pv2le 2 ай бұрын
Wewe unaongea point sana big up
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 ай бұрын
Big mwalim yanga nakukubali sana..
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 2 ай бұрын
Wewe Mwalimu Naomba Namba Yako Nikutunze kwakweli Unanikosha Kweli Insha'Allah Nitakutafuta
@nuhu-sanda
@nuhu-sanda 2 ай бұрын
Mwalim weeeeeeeee Asante sana
@careemdulla1629
@careemdulla1629 2 ай бұрын
Hongera sana Mwalimu Yanga
@SyMEENA
@SyMEENA 2 ай бұрын
Very good football analyst,...hongera!
@hawamasanje9589
@hawamasanje9589 2 ай бұрын
Tena mwl huyo siyo Feitoto ni lijitu lizima halijitambui akafie huko Azam ni mjinga tu hawezi kuonyesha uwanja mzima na kuwafunga midomo mpaka akazira medali huyo kachanganyikiwa
@hamzanangameta6243
@hamzanangameta6243 2 ай бұрын
Alivyofunga midomo watu niliwaambia ubigwa YANGA anachukua! Wakanibishia
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 2 ай бұрын
Nkubali mwalimu yanga
@user-ke8iq9ue1h
@user-ke8iq9ue1h 2 ай бұрын
feitoto mshukuru Mwenyezi ndiye afanyaye yote ,,ukiwa Zanzibar unaonyesha ukija kusugua mdomo hata eti
@WilliamGama-zt3pj
@WilliamGama-zt3pj 2 ай бұрын
yanga inatisha
@haidarysalehe9056
@haidarysalehe9056 2 ай бұрын
BINGWA WA BARAAAAAA SIO WALE WA MECHI MBILI ETI BINGWA😂😂😂😂😂😂😂
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 2 ай бұрын
Uko vzr saaana....point unachoongea
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 2 ай бұрын
Kiukweli Nilaana Ilikuwa Asifanye Kile Kitendo Kwakweli Niutavu Waadabu Hata Alizomewa Yaye Engenyenyekea Kuonnesha Ungwa Kama Kuwaonesha Msamaha Sio..Kufumbusha Mdomo
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 2 ай бұрын
Toka zako
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 2 ай бұрын
Yap,yap,😂😂😂😂big up Teacher Yanga😂😂😂😂
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 2 ай бұрын
Kapata pesa kajisahau achana nae mwalimu
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 2 ай бұрын
Mwambie ukweli uyo mtt ni kenge ana nidhamu
@augustinemainde
@augustinemainde 2 ай бұрын
Simba Wana kombe la Muungano😂😂😂😂😂
@albertvalentino130
@albertvalentino130 2 ай бұрын
Hizo timu nyingine,eti wanatamba na kombe walilochukua kwa kucheza mechi mbili " big Shem to them " -- yule mtoto ni zwazwa tu,kwanza anagundu --- ameondoka,sisi tunaendelea kubeba mandooo tu --- yeye anamedali gani ? Uzwazwa tu unamsumbua tu "
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 2 ай бұрын
Daa huyu Yahe nampenda mnoo.na niliwahi kumpambania akatafute maisha mbele nikitegemea angeenda nje ya nchi kumbe alikuwa na ushawishi wa hapo bongo namsikitikia.amekosea kitendo alichofanya hata mi nimeumia.mbona Ali kamwe kasma hongera kwa Azam huo ni uzalendo.kweli nimeumia hana rispect.amesahau alikotoka
@user-xi9wq2em7e
@user-xi9wq2em7e 2 ай бұрын
Fei toto ni bwege tu.
@TwalibKwelii
@TwalibKwelii 2 ай бұрын
Na wewe ndio bwege mwenziwe
@user-nf6pe5zs7p
@user-nf6pe5zs7p 2 ай бұрын
Fei to hajui alifanyalo amejipa lana mwenyewe
@JumaMkumba-dm1rq
@JumaMkumba-dm1rq 2 ай бұрын
Leo tena na mama wazir
@user-vs5ow5jt1w
@user-vs5ow5jt1w 2 ай бұрын
Wape za uso hao shenz
@lucaskasonde4558
@lucaskasonde4558 2 ай бұрын
Bado hamjasema fei toto ngoja awanyooshee.....😂😂😂😂😂 ninyi mnazomea 😅😅😅😅
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n 2 ай бұрын
Fei ni zwazwaaaa
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 2 ай бұрын
Hii.....!
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 2 ай бұрын
Wewe unanuka mavi
@nassorseif404
@nassorseif404 2 ай бұрын
Naenda zako uko mafanikio ya fei yanawaumiza
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n 2 ай бұрын
Hahaaaaa kisugu chiziiiiii😂😂
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 2 ай бұрын
Hato fanikiwa ww kama nan
@AlexThobias-wn6tw
@AlexThobias-wn6tw 2 ай бұрын
Hakuna mchambuzi ni mcha tumbo nimecheka kisport
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
Fei anawaumiza sana utoporo poleni sana na baaadooo
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 ай бұрын
Anawaumiza Yanga kwa lipi wewe kolo?
@AliUsi-ms4bm
@AliUsi-ms4bm 2 ай бұрын
Hulijui? Wanga tu nyinyi
@Saidimussa-123
@Saidimussa-123 2 ай бұрын
unatish
@kayandaabwe2976
@kayandaabwe2976 2 ай бұрын
Ww kila mtu mdogo yako???
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 2 ай бұрын
Mkubwa hayoo mwalimu ni mwili umekataa
@janifajani8875
@janifajani8875 2 ай бұрын
Kwani hawa watu wanalipwa mishipa yashingo inavo watoka😅😅😅😅
@Mamcute-ec7rg
@Mamcute-ec7rg 2 ай бұрын
Nambar zinaongea aliwaomba radhi kimya ndio mlivyo wapenzi wa yanga na cmba mungu amjalie Kila laheri kijana wetu
@matiankomola2391
@matiankomola2391 2 ай бұрын
Mtengenezeni kijana wenu kuwa nq unyenyekevu utamfikisha mahali pa zuri, asiingie kwenye mapambano na Umati wa Watu. Kuwafumba midomo umma wa watu ni kiburi siyo malezi mema.
@user-ro8ff3jj3q
@user-ro8ff3jj3q 2 ай бұрын
Mwl wewe kumbe nimwalimu vidudu Huji hata msemo unaposema mti wenye matunda hupigwa mawe Huyo Feisal ni nzuri sana kuliko wengine hapo yanga, Wacha ujinga
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 2 ай бұрын
Tusije Tukasahau Mjinga Mwenyewe. Kwa Taarifa Zako Miti Mingine Inapigwa Mawe kwasababu Juu Yake Kuna Nyoka.
@aminasalim8708
@aminasalim8708 2 ай бұрын
😅🎉😂​@@nurdinmfamau3493
@RashidiHassani-in9rb
@RashidiHassani-in9rb 2 ай бұрын
Wataka furaha ipi ww mkwanja were anaoingiza kulipo alipo kuwepo huk
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 2 ай бұрын
Huyu ni mwalimu wa ujinga au
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 2 ай бұрын
Mbona hamuongei kama kaipeleka Azam club bingwa?
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 2 ай бұрын
Kolo mmoja
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
weee Mwehu sana pale kawanyamazisha utoporo mbona nyie Mkimzomea sana mmesahau? Tunajua mnamchukia lakini anawajibu kwa vitendo tu
@anyeresa928
@anyeresa928 2 ай бұрын
Acha kusupoti ujinga bro ..kua
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 ай бұрын
Anajibu kwa vitendo gani we kolo?
@user-fe8gq8dy1g
@user-fe8gq8dy1g 2 ай бұрын
Anawajibu kwa vitendo gan kwa mfano?
@EzlaFumbo
@EzlaFumbo 2 ай бұрын
Kwa vitendo gan wakat wamekoxa kombeee
@RashidiHassani-in9rb
@RashidiHassani-in9rb 2 ай бұрын
Halafu unasemaj fei anatukana ww na yeye anetukana nani unamwambia mtoto hajamaliz kunyonya mamaake
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 2 ай бұрын
Huyo ni shabiki ana haki ya kuzomea lkn sio mchezaji
@AliUsi-ms4bm
@AliUsi-ms4bm 2 ай бұрын
Dogo hujui ukisemacho ww, makelele tu.
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 2 ай бұрын
Kanye ulale huna jipya
@TwalibKwelii
@TwalibKwelii 2 ай бұрын
Wewe hanisi wewe unasema nini wewe
@careemdulla1629
@careemdulla1629 2 ай бұрын
Jamani Fei Toto ni mjinga msipoteze muda wenu kumfatilia ametangaza vita na sisi Yanga Africa sasa ameyatimba na bado hajazomewa asubiri ligi ianze ndio atatutambua..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@danielmkumbo783
@danielmkumbo783 2 ай бұрын
😊😊
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 35 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #joker
00:24
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 9 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 18 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 35 МЛН