Ameshindwa huyo Said mwalimu ataweza huyo mtoto, hadi leo wapumbavu wa kisufi hamjazijibu hoja za shekh Muhammad Bachu. Nyinyi jifarijini katika uzushi
@SuleimanMkubwa-ic1ig8 ай бұрын
Mungu tujaalie iliohaki ituvae na iliobatili iwe mbali sana kwetu ss waja wko
@shebbygangster92418 ай бұрын
MashaAllah
@mzazi258 ай бұрын
Assalaum aleikum, hizi mijadala hazisaidii umma
@abuujibriltv52337 ай бұрын
Comment kama hizi huzikuti kwa mashekh wa kiwahabi
@HashimJuma-en8jeАй бұрын
huu mtihani Bachu kazi unayo usikate tamaa Alla ataklipa
@sofiaahmed21708 ай бұрын
😭😭😭 Allah awaongoze awape fahamu ya kuiona haki nakuifwata
@abdulrahmansaad73588 ай бұрын
Na wewe pia akuongoze ukasome
@sofiaahmed21708 ай бұрын
@@abdulrahmansaad7358🤲 Amin Amin Amin
@abuumaryam79708 ай бұрын
@@abdulrahmansaad7358 huu ususfi imama malik aliusema vibaya nyinyi ndio mnaukumbatia?
@user-om7ov3ji3r8 ай бұрын
Kwanza kasome kisha uongee mbeleza watu uyo mwalimuwako DJ said hakuna halicho kifanya bd anatakiwa atowe ushahidi ulio thabit juu ya kuzungumza wanyama kaingia mitini soma kwanza bwanamdogo usifikirie kama hao mawahabi niwachache wa elmu ya dini hapana wanaanza na madoctor mastas na na na ndomana nondozao hazijibiki ubadilika uwa covid19 kilammoja uzikimbia
@ahmaduun65238 ай бұрын
kwenda kuzuru makaburi, kuwapijia maiti matwari, na kuwanyenyekea ndio elimu hiyo? watu wa twariqa hata wakawa mashekhe wa aina gani lakini maadamu itikadi yao ni ya kuzuru makaburi kwa namna alivyo kataza Allah na mtume wake, hao bila shaka watakufa katika shirki na juu yakuwa wao ni mashekhe na maulamaa. Yeyote anayepinga haya ajitokeze.
@tawfiqsaid49188 ай бұрын
Muogopeni Allah na mcheni Allah. Sisi hatujafikia hata robo ya kumpenda mtume km walivyompenda maswahaba na hawakufanya maulidi.
@abubakaromar61018 ай бұрын
Una dalili
@mohagurey22148 ай бұрын
Sema qalallahu, kisha qala rasul kisha utuambie mashairi. Sio ni mashairi na story wakati wote
@mohdkhatib2238 ай бұрын
Tatizo la hawa masufi wanapenda kujifariji katika uzushi na kuendeleza upumbavu wao
@Dr-ubaida9658 ай бұрын
Mashaallah
@user-ox4fv4cf5l2 ай бұрын
HONGERENI NYIE MATWARIQA AMBAO ETI MNAMPENDA MTUME MUHAMMAD S.A.W KUWAZIDI MASWAHABA!!!! VICHEKESHO HIVI...YAANI KUMPENDA MTUME KWA KUPIGA NGOMA NA KULA UBWABWA!!!
@kafiabood64938 ай бұрын
Mashllh
@alikocha7748 ай бұрын
Hiii kweli haiwezi kusimama Batili mpaka asingiziwe mtume !
@mkubwamasoud27768 ай бұрын
Angelijua anayoyazungumza hayo maneno Mtihani Wallah
Masufi mtahangaika Sanaa eti kuonesha Bachu alishindwa kwenye munaqasha wa mombasa lakini wenyewe Elimu na maarifa wanajua Ukweli kwamba Said amebamizwa vibaya Sanaa, hata yeye ustadh Said anajua maji aliyoingia yalimzidi kimo. Kwa hivyo endeleeni kujifariji lakini Ukweli na Haki Bachu alishamaliza kazi
@abubakaromar61018 ай бұрын
Alimaliza kwa kukojoa kitini sasa hana chake sasa azunguka atafuta Paka amsikie akizungumza yule Paka wa Kwanza alozungumza nae hakumjibu alikuwa Paka wa Kiwahabi 😂 😂 😂
@HassanKatumbi-hr5lg8 ай бұрын
Masufii hamna kitu kichwani Muhammad bachu mmoja tu anawatoa jasho kila sheikh wakisufi yu wasema lake
@abubakaromar61018 ай бұрын
Bachu huyo huyo mmoja mwanafunzi alimkojoza
@HemedSerious8 ай бұрын
Unamkumbuka vixr ni nani alitimka kwenye munaqasha?😂😂😂😂
@abuufayaadh82708 ай бұрын
@@HemedSerious wewe huwezi elewa hii mambo, wenye elimu ndio walielewa kwa sababu ustadh Said amesema yeye hotoki kwenye hoja yake mpaka bachu aseme "sijui" sasa nani anaweza ingia kwenye mtego wa kitoto kama huu?
@JumaRamadhani-jg6hc8 ай бұрын
Kama ni Mimi ningesimama na kuanza kusema jamani kwakuwa hapa tumekuja kwa ajiri ya mtume kuanzia Leo tumfate mtume. Mtume hakuburuza nguo na pia alikuwa na ndevu na nk ningeongea la maana Sana kuliko huo utumbo hapo.
@mwalimjecha68938 ай бұрын
Kweli Kibano alichochezea bachu kilikuwa sikidogo mpaka leo anakikumbuka
@HajiHaji-lm6ku8 ай бұрын
Mashallah e mungu mzidishie ilmu
@mwinyiulalawi42028 ай бұрын
Chamuhimu ni kujiuliza je maswahaba hawakumpenda mtu au mtume alisahau kufundisha ibada ya maulid?
@nabellamerrey32328 ай бұрын
Allah mjuzi zaid ila siku zote haki haipatikani ki rahsi ila naamin ipo siku waislam tutaacha kushabikia mambo yasio na ulazima katika jamii, waislam tunatakiwa tukusanye pesa kwaajili ya kusaidia mayatima ,wangonjwa,watu wasio jiweza na wazee na sio tukusanye pesa ya sherehe wakat kuna waislam wanao hitaj misaadah ila hizo sunnah hatuzioni kabisa
@hassanmohamedabdalla41088 ай бұрын
✍🏿عندما تتعلم التوحيد: تعرف الشرك و عندما تتعلم السنة: تعرف البدعة. وعندما تتعلم التوحيد والسنة تعرف علماء السنة من دعاة الضلال
@Khatib-xp6fp8 ай бұрын
Hakuwahi nyanyuka hata mmoja na kuanza kujibu hoja zile tangu mnakasha umalize Halafu watu hawajasema km hawampndi mtume . Kijana mdogo subiri uote ndevu ufuge. Watu wanataka uthibitisho ukowapi?
@suleimansahal64338 ай бұрын
Faida yake nini akimvaa huyo Bucha sjui Bacho kwenye kuwaondolea machungu ndugu zetu Filistiin.
Tatizo sio kumsifu Mtume je shu nikweli hadithi munkar yafaa je nikweli wanyama walizungumza?😂😂haho sijui wanafunzi siju nini hayana msingi msingi semeni hii wanyama waliongea.....
@princefeisla36928 ай бұрын
Hehe Habib muulize sheikh fauzan na uthaimin kuhusu hadithi munkar 😂
@abuumaryam79708 ай бұрын
@@princefeisla3692 una ulizwa wewe si ujibu hao masheikh ulio wataja si watu wa twarika kwa hio huwakubali. tupe majibu kuhusu hadith munkar
@abubakaromar61018 ай бұрын
Viliongea visokuwa na akili mpaka nyama ilochinjwa ikapikwa ikiwa Sumu iliongea لحمة فقال: يا رسول الله أني مسموم فلا تأكلني Je wanyama vipi ishindikane wako na ulimi Roho na Nafsi
@abubakaromar61018 ай бұрын
وعن أنس بن مالك رضي الله عنه: (أن النبي صلى الله عليه و سلم كان يقوم يوم الجمعة فيسند ظهره إلى جذع منصوب في المسجد فيخطب الناس، فجاءه رومي فقال: ألا أصنع لك شيئا تقعد عليه وكأنك قائم؟ فصنع له منبرا له درجتان ويقعد على الثالثة، فلما قعد نبي الله صلى الله عليه وسلم على ذلك المنبر خار الجذع كخوار الثور حتى ارتج المسجد، حزنا على رسول الله صلى الله عليه و سلم، فنزل إليه رسول الله صلى الله عليه و سلم من المنبر فالتزمه (ضمه إليه) وهو يخور، فلما التزمه رسول الله صلى الله عليه وسلم سكن، ثم قال: أما والذي نفس محمد بيده لو لم ألتزمه لما زال هكذا إلى يوم القيامة، حزنا على رسول الله صلى الله عليه و سلم، فأمر به رسول الله صلى الله عليه و سلم فدفن) رواه الترمذي وصححه الألباني . Sijui kama utaelewa haya maneno lkni nikutafsirie kiduchu: kulikuwa na Kiguzo kila Ijuma Mtume S.A.W alikuwa akikitegemea akaja Mrumi akamwambia Mtume S.A.W ataka kukutegenezea Mimbar siku alipo ileta Mtume S.A.W akapanda Mimbar akakiwacha kile kiguzo basi kiguzo kililia mpaka Maswahaba wasikia Mtume S.A.W akashuka juu ya Mimbar nakukikumbatia akawambia Maswahaba wake kama nisengekimbatia kingelia mpaka siku ya kiyama. Sasa ikiwa vitu visokuwa na akili vinamlilia Mtume S.A.W vipi wanyama vishindwe kuzungumza? Wanyama wana ulimi Roho na Nafsi
@abubakaromar61018 ай бұрын
عن يعلى بن مرة رضي الله عنه قال: (بينما نحن نسير مع رسول الله صلى الله عليه وسلم فنزلنا منزلا، فنام رسول الله صلى الله عليه وسلم فجاءت شجرة استأذنت تشق الأرض حتى غشيته، ثم رجعت إلى مكانها، فلما استيقظ ذكرت له ذلك، فقال: هي شجرة استأذنت ربها عز وجل أن تسلم علي فأذن لها) رواه أحمد. Mtume S.A.W aliwambrisha Mti ukatoka sehemu yake ukaja mpaka kwa Mtume S.A.W na kumshuhudia kuwa ni Mtume wa Mwenye Ezi Mungu wa kweli mbele ya Maswahaba kisha ukarudi sehemu yake ya Kwanza. Sasa vipi ishindikane wanyama kuzungumza?
@dullafarsiy12308 ай бұрын
Uwislam haujatufundisha malumbano na ww unaesambaza vedio zamigogoro ya waislam unalakujibu mbele ya ALLAH
@ahmadmzoa748 ай бұрын
Mmeshaacha kupiga magitaa na vinanda??? Ukweli utabakia juu hata kama uwongo utatetewa kiasi gani.
@Khalid-mf3iu8 ай бұрын
Kma muko maulidini kwanini musieleze sunna zote za mtume ambazo wafuasi wenu hawazijui hzo sunna za mtume kisha mwajitaka wapenzi wa mtume ? Ama kweli Simba Muhammad Bachu amewatia tumbo joto yani mpka sasa bado mwamzungumza maulidini.....ni maulidi ya Bachu au mtume ? Watu wamezinduka.....ukhurafi hautafaulu
@sarmbadmkali61508 ай бұрын
Leta sifa za baba yko tunsifuuu
@princefeisla36928 ай бұрын
Naona wameisha mpaka mfungosita Kila siku Kuna maulid basi wamesoma maulidi kuanzia mfungo Tano yamezidi kua mamoto.huzuni Iko Kwa wengine wamefungiwa KZfaq na pia wameshindwa kwenda kwao mpaka Leo hii😂
@hamzangunga15788 ай бұрын
😂😂😂😂
@dennisajayi17858 ай бұрын
BACHU OFFER YA KWENDA KUSOMA MAMBRUI BADO IKO USIEPOTEZEE
@saidhija63338 ай бұрын
Yaani ukweli ukidhihir bas uongo hukitenga Mana naona mnazid kuwa wengi kila mmoja mtoto wa bachu mwenzenu Yuko peke yake nyny mmefika Mia sasa
@nusalim33898 ай бұрын
Siku zote sauti kubwa ya kelele ni kwa kadri ya ukali wa maumivu,halafu siku zote mbwa wanaobekwa hawaumi,kwahio acha msafara msafara usonge mbele Ili Hali majibwa yanabekwa bekwa,ni kwsbb hawana izza na washamba wa ushindi,basi Kila Leo waufanyia vituko mwenzao katulia anaendelea kufundisha na kufafanua
@AbdirahimIbrahim-sh6sl8 ай бұрын
Mwatafuta Kiki kwa jina la sheikh Muhammad
@user-bp6fb6wo5u8 ай бұрын
Maskini 😂😂😂😂😂😂😂
@mosalim8718 ай бұрын
Always husema,jmbo lolote la dini ambalo halikufanywa na mtume,maswahaaba na tabii na taabiin ni Bida'a it is as simple as that . Maulid is bidaa fullstop
@abubakaromar61018 ай бұрын
Nyinyi ajabu mwajua kupigia debe Maulid Bida'a hayafai kwenu nyinyi hakuna Bida'a muna Bida'a kibao mulozusha mpaka kwenye IBADA munazo hii mbona hamuisemi kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid? Kabla hijataja ya mwenzako mwanzo taja za kwako
@ibraa11578 ай бұрын
1st 11
@sarboko8 ай бұрын
Ndugu zenu wakipalestina wanakufa kwa makundi em wacheni hizo tena. Inaonekana nije raha watu watwarika linawatonesha
@shaabanialrashidy96728 ай бұрын
Mwatafuta umaarufu nasio kuelimisha jamii
@bakariismail32748 ай бұрын
Hakunaga mnyama alie wahi kuzungumza huu ni unafiki tuuu
@user-ix8bu3yy5z8 ай бұрын
Kwa kitabu cha albidaya wa alnihaya cha ibn kathir mwanafunzi mkubwa wa ibn taymiyah iko hio hio hadith..je pia ni mnafik???
@hemedjackson22618 ай бұрын
Tuuwach bc huu upumbavu ktk dini mjadala umeisha lkn ss hii mitandao munafny kudhalilish masheikh km wanamuziki jmn tupunguz hay mamb hayana tija yyt ktk dini zaid y mgawanyik
@AliDaud-si3fg8 ай бұрын
sufi sufuria inashangaa ubwa bwa
@user-jk7sm1dl7p8 ай бұрын
Hakuna dalili yoyote ya kujuzisha bidah ya maulid
@user-jy9tp4xd3w8 ай бұрын
Huna ujualo unazungumza pumba tu kazi yako kuregeza mdomo
Sewingmachine. Alokudanganya yule wahabi mwalimu wako Abu Ahmad eti alikuwa mtu wa Maulid mrongo sana mimi namjua ndani nje tulikuwa mtaa mmoja kuanzia wadogo musidanganye Maulid yanazidi kunawirika kwa wingi
@user-hw5zu2vc3m8 ай бұрын
Mtoto mdogo unakuwa muongo
@masjidhamzainstitute88908 ай бұрын
Masufi mna shida kubwa saana sasa hizi majisifa ina saidia nini😢😢😢!?
@Mohammad_shidogo8 ай бұрын
😂😂😂😂 kwaugue hosipitalini kama waumwa😂😂
@abdulali7538 ай бұрын
😂😂😂
@user-ql2om7qj3v8 ай бұрын
Masufi hana elimu mpaka wapige story tu
@HemedSerious8 ай бұрын
Stori ni ipi hapo juha?
@abdillahali8368 ай бұрын
Kupitia ule munqasha Wa mombasa watu weengi walijua kua baadhi ya masufi ni wajinga we mtu unenda kushika shika kiti alichokalia mwenzako kwa kejeli ety mbona kina maji maji huu kweli uelewa sahihi ndo mana nyie hadi Leo Mnapiga kelele mkijisifu watu wametulia mkirudiwa mseme watu wakorofi
@abubakaromar61018 ай бұрын
Alikojoa kweli yeye bachu mewenyewe amenyaza mbona hajaraddi mpaka sasa alijua aibu nilimpata dhahiri sio siri. Wacheza na nyama za wanazuoni. Bado basi
@HemedSerious8 ай бұрын
Nynyi Kwa kejeli ni namba Moja na kejeli inawauma sana wkt ni mabosi wa kejeli😂😂😂
@Mariam99-ld4gw8 ай бұрын
Hata huyu mtoto alimfaa bachu kwenye munaqasha 😅😅😅😅
@AliSalim-yu4mo8 ай бұрын
Toweni mijadala yenye faida ya kisheria sio kuacha kazi na kutetea mambo yasiyokuwepo ktk sheria!na kama ni sifa mbona Allah kamsifu Mtume wake?sasa sifa gani zaidi zinazojulikana asizozijuwa Allah na hata Maswahaba!wacheni mambo ya ajabu!
@fikafikan84848 ай бұрын
Ww ndio uwache ajabu na ujinga sisi ndio twafaa kumsifu zaidi mtume s a w hii nikuoneshwa sisi binadamu Allah kamumba mwenyewe mtume s a w na yy Allah kamsifu na kumswalia mtume s a w na malaika wake hio nimoja kuonesha sisi tumswalie sana mtume na kumsifu na ww kama huna mtume ndani ya moyo wako pepo huoyoni mahasidi wa mtume lazima mtume s a w atangazwe ili watu wamjuwe vizuri kunawengine hawamjui lazima atangazwe
@AliSalim-yu4mo8 ай бұрын
@@fikafikan8484 ujinga unao wewe unayeshabikia kitu usicho na elimu nayo baadala ya kusoma Qur AAN na hadith za Mtume unashabikia mashairi yaliyotungwa na binaadamu!huo ndio uwerevu wako?wewe kweli kichwa kikubwa lkn ubongo wa kuku!
@abdulkhalfan85868 ай бұрын
BACHU HUYU KIJANA ANATAKA MUNAQASHA NA WEWE NI 5HT ELEVEN
@hassanbakari45258 ай бұрын
AFU MUACHE KUMSHAMBULIA BACHU,,WATU WANAJUA IPI PUMBA UPI MCHELE...BACHU NI BINADAM,,,NA SO KWELI KWAMBA HUYO KIJANA ANAMZIDI BACHU KIELIMU,,,MSITUMIE NGUVU KUAMINISHA WATU...
@princefeisla36928 ай бұрын
Hehe
@princefeisla36928 ай бұрын
Hehe
@fatumajuma5928 ай бұрын
Kweli
@HemedSerious8 ай бұрын
Bacha ana elimu gn ww juha kusoma matini tu hajui? 😂😂😂kiarabu anaandika Kwa kiswahili juhaal
Hhhhhhh uyo kijana asaa muongo maneno ya uongo tuuu ndo kazi yao ndio maana wamekuwa felia
@HemedSerious8 ай бұрын
Km hujabainisha huo uongo basi ww ndio muongo!!!
@JabirHaji-vj2nf8 ай бұрын
Felia amfundisha felia mweziwe ndo hao kina said mambrui na wanafuz wao wote ni felia na wanaendelea kufeli allah awaongeze waijuwe haqqi
@muhamedjumaa68678 ай бұрын
Iloooooo😅😅😅 debetupu
@HemedSerious8 ай бұрын
Unalalamika km kafeli si utuambie wapi kafeli au chuki tu inakusumbua 😅😅
@fatmafatu11288 ай бұрын
Wapotevu mnafanya maulidi au mmeenda kwenye mipasho muogopeni Allah hii Chanel yawatu wa bidaa ndio maana kuandika kichwa cha habali uchonganishi
@HemedSerious8 ай бұрын
Mpotevu ww huwezi kumjua, Allah anasema aliepotea na aloongoka ni yy tu ndio anawajua sio ww na mm Wala yyte pumbavu ww
@safaasayed80378 ай бұрын
Tunataka kujuwa wanyama walisema au laa? Na hadith munkar inatumika au la?
@HemedSerious8 ай бұрын
Hadithi munkar kutumika au kutotmika alitakiwa kujibu bachu akatimka
@AliDaud-si3fg8 ай бұрын
@@HemedSeriousKw hio kama bachu alitimka ndo mkasusa kuwasomesha hata wafuasi wenu. Maana mpaka leo mnajiuliza UST. SAID MBONA HAKUTUSOMESHA? KM BACHU HATAKI KUJIBU SWALI C ANGEMTOA THAMANI PALE PALE KWA KUONYESHA WATU VILE BACHU ALIVYOMTUPU? Na mtakufa nacho hicho kijiba cha roho au mukubali kusoma bila y kuvitenga vitabu
@HemedSerious8 ай бұрын
@@AliDaud-si3fg kwn nyny mnataka kufundishwa? Wkt mnajiona mnajua kila kitu wakt mbumbumbu km nyny hawatokei
@AliDaud-si3fg8 ай бұрын
@@HemedSerious c o cc 2 bali hata wewe bado jaahil kwenye lile suali
@HemedSerious8 ай бұрын
@@AliDaud-si3fgmm cwezi kuwa jaahil sbb c mpuuzii
@mohagurey22148 ай бұрын
If you really love the prophet pbuh anza kufuga ndevu
@selemankishema57808 ай бұрын
Jama msisahau kwamba ujinga mbaya alafu kibaya zaidi msipojijua kwamba wajinga nayo mbaya zaidi
@user-be5hd4rc2i8 ай бұрын
Haram kiboko you Sufis are lost in the mchuzi wa biryani
@user-iw5hu3mc7l8 ай бұрын
Hana lolote kakaririshwa tu ili aeneze uzushi
@mkubwamasoud27768 ай бұрын
Yaani maneno ya kishirikina kabisa
@abubakaromar61018 ай бұрын
Jihadhari na hii Hadith ya Mtume S.A.W ushirikina usije ukakuangukia wewe. Mtume S.A.W asema: عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي». [حسن] - [رواه ابن حبان]
@SuleimanMkubwa-ic1ig8 ай бұрын
Mungu tujaalie iliohaki ituvae na iliobatili iwe mbali sana kwetu ss waja wko