Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

  Рет қаралды 222,752

The Chanzo

The Chanzo

5 ай бұрын

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinaongoza maandamano ya amani jijini Arusha yakilenga kuishinikiza Serikali kutoipitisha miswada ya sheria za uchaguzi.
Mpaka sasa chama hicho cha upinzani nchini kimeweza kufanya maandamano ya amani katika majiji makubwa manne nchini yakijumuisha Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na sasa Arusha.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 387
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 5 ай бұрын
President republic of Tanzania TUNDU LISU 2025
@marlopharle9199
@marlopharle9199 4 ай бұрын
Msema kwel na mshauri mzur aisee Lissu mungu akutenze popote ulipo
@user-cw7xw9cu6m
@user-cw7xw9cu6m 5 ай бұрын
oyaaa humu asiyehusika na shoo ashuke napata hasira nikiona mtu anayemsema vbaya huyu dingii mungu akulinde sana oneday yes
@DulaMudi
@DulaMudi 19 күн бұрын
risu saruti uyu Mzee saruti jeshi Ra mtu m Moja Yani waungane mi naona awa mfikii uyu kiyumo ana mambo yakipeke yake AA ana wasanini rakini ao watu a saritu mwana tundurisu baba
@HappyBooks-dj6oy
@HappyBooks-dj6oy 5 ай бұрын
True story Dunia Nzima magari yatapita njia nyingine sio njia Moja na waandamanaji.Salute waeleweshe Hao wamelala
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 5 ай бұрын
Hongera sana lisu kaka yangu
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 5 ай бұрын
Mungu akutunze baba na akupe maisha marefu ili watanzania waendelee kuchota hazina ambayo Mungu ameweka ndani yako.
@BazilTemu
@BazilTemu 5 ай бұрын
5⁵⁵⁵5⁵55⁵⁵⁵5⁵5⁵⁵⁵⁵⁵t5⁵55⁵⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5😢😢
@user-do5by8jl6g
@user-do5by8jl6g 5 ай бұрын
Shikamoo baba pokea mauwa yako bab🙏🙏🙏
@emmanuelthomas554
@emmanuelthomas554 5 ай бұрын
Uko poa Sana. Mungu akupe afya njema
@Dik770
@Dik770 5 ай бұрын
❤❤❤ lisu pamoja
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 5 ай бұрын
Hongeren. Makamanda wetu mnatusemea tuko pamoja
@mayalakatema2576
@mayalakatema2576 5 ай бұрын
Pamba inalimwa Mwanza Mongera Halafu Mongera yuko Arusha na ni mjumbe wa Bodi ya Pamba eti nini 😂😂😂😂😂😂😂
@user-td9rq5vl1v
@user-td9rq5vl1v 5 ай бұрын
😂😂😂
@erickabel6201
@erickabel6201 5 ай бұрын
😅😅😅
@fadhilikombe3338
@fadhilikombe3338 5 ай бұрын
Inaumiza sana mkuu, mimi nimekosa nguvu ya kucheka nimejisikia kulia.
@marakidtz9454
@marakidtz9454 5 ай бұрын
Upuuziii😂
@user-nd8mc6mz1s
@user-nd8mc6mz1s 5 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@edwinrevocatus
@edwinrevocatus 5 ай бұрын
Nilikuwepo apo live ✌️✌️
@jofreyjohn6796
@jofreyjohn6796 5 ай бұрын
@thomasmollel9465
@thomasmollel9465 5 ай бұрын
Big up bro nakukubali sana maisha marefu na ubaki na uzalendo wako
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 5 ай бұрын
I wish Mzee Magu angekuwepo!!😂😂😂😂🤣😂
@talents7934
@talents7934 5 ай бұрын
Huyo jamaa aliyesimama nyuma ya bodgadi wa lissu aliyevaa kofia nyekundu kafanana na Magu atari😂😂
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 5 ай бұрын
Ebana kweli kabisa🙏
@viviandule8171
@viviandule8171 5 ай бұрын
Saa mbona unamwita mjinga ,lisu ipo cku watanzania wasipokuelewa cku ukifa watasema lisu alisema bora yeye,jitu kama huwezi toa maon kaa kimya kuliko kutukana
@MohamedMkota
@MohamedMkota 5 ай бұрын
😂😂😂 mapolisiiiií angalia wasikugeuke lisu hao
@siamollel9725
@siamollel9725 5 ай бұрын
Mbeba Maono afi hadi kusudinlitimie,walishindwa kumuuwa ,hawataweza tena ,Kwajina La Mungu alie hai
@MohamedMkota
@MohamedMkota 5 ай бұрын
@@siamollel9725 ameeeeniii
@user-bl3go5yr8u
@user-bl3go5yr8u 5 ай бұрын
Mama anapiga kazi sawa ila hoja zisikilizeni vizuri jamani msitubeze chadema
@user-bz6ck8tz2z
@user-bz6ck8tz2z 5 ай бұрын
Unatufungua sana tusiyejuwa maujingq ya watawala
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 5 ай бұрын
Mungu akubariki akupe maisha marefu ni rais wa wanainchi. Watawala na machawa hawawezi kukupenda kaza boot kesho ya watanzania iko karibu.
@belinabaya6977
@belinabaya6977 5 ай бұрын
Big up nakuelewa sana Uchongewe sanamu
@YonahMalaki-xx4pf
@YonahMalaki-xx4pf 5 ай бұрын
Mungu akulinde mh tundu lissu
@user-lx7ez3rq4c
@user-lx7ez3rq4c 5 ай бұрын
Wewe ni noma san
@danielmalale2615
@danielmalale2615 3 ай бұрын
Fact tunu ya mungu KwA watanzania mungu akulinde
@user-de8ly6ck8x
@user-de8ly6ck8x 5 ай бұрын
Nimekuelewa mkuu ❤
@monicamwita7865
@monicamwita7865 5 ай бұрын
Nimekuelewa lisu. Asante kwa kutoka somo
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 5 ай бұрын
Pamoja sana.
@michaelnsangallo7967
@michaelnsangallo7967 4 ай бұрын
Ķ,ìl
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 5 ай бұрын
Lisu you are a hero of Tz and Africa against Dictors of Tz, who serves their own greediness.
@evaemil856
@evaemil856 5 ай бұрын
Camera man, umetisha. Good job.
@leonardngulo8809
@leonardngulo8809 5 ай бұрын
Huyu ndiye wazembe wanamwita shoga ? Mungu amlinde sana tuendelee kuelimishwa
@frenktarimo4703
@frenktarimo4703 5 ай бұрын
Good
@user-pz2kp2ej5e
@user-pz2kp2ej5e 5 ай бұрын
Bro asante
@user-lt8oj3ui4q
@user-lt8oj3ui4q 4 ай бұрын
My mentor i wish i met you in anyway corner of this world 🌍🌍🌍
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 5 ай бұрын
Lisu ❤
@user-xk1bx2gp6e
@user-xk1bx2gp6e 4 ай бұрын
Mzee Mungu akupe maisha marefu siku moja jua litachomoza magarib na kuzama mashariki ipo siku
@Athumanirasuli
@Athumanirasuli 2 ай бұрын
Ramadhani Issa sawaya fundi
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 5 ай бұрын
Upuuzi kabisa,Tena haswaaaaa Peeople 💪💪💪
@SebastianSteven-pt8kh
@SebastianSteven-pt8kh 3 ай бұрын
Lisu ongera Sana broo mungu akulinde sana
@JohnBunzali-ni2zq
@JohnBunzali-ni2zq 3 ай бұрын
Mungu amlinde sana huyu bwana
@user-rr7kj2sb7s
@user-rr7kj2sb7s 5 ай бұрын
tupo pamoja tutaandamana mpaka kieleweke
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 5 ай бұрын
Nakubali sana mwanaharakat,
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 5 ай бұрын
Na kukubali sana kaka achane vibaka hao
@user-zh1py1fz1l
@user-zh1py1fz1l 4 ай бұрын
Mungu atulinde tunatabika sana maisha yamekuwa magumu sana
@siamollel9725
@siamollel9725 5 ай бұрын
ukweli sisi huku chini tunaosota ndotunajua mengi,jengeni mazingira ya kupokea kero zetu mziseme majukwaani
@user-ru1st2yc9z
@user-ru1st2yc9z 5 ай бұрын
❤chadema hoyee ungea baba polisi wa arusha malaya hao watolewe wote wsekeza wasomi
@user-uy2ot2so9l
@user-uy2ot2so9l 5 ай бұрын
Chuma hiki unaweza ukakosea ukakiita Mungu.
@MakarangaJohn-wi7yk
@MakarangaJohn-wi7yk 4 ай бұрын
Pamoja sana
@DulaMudi
@DulaMudi 19 күн бұрын
aaa baba mungu akurinde baba sisi badi tupu pamoja na wewe baba karibu kirwa baba tume kumisi baba
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 5 ай бұрын
You're a lion of Africa
@miriamamiri641
@miriamamiri641 5 ай бұрын
Ni kweli babaa
@OckendenMkandawire
@OckendenMkandawire 5 ай бұрын
Now I get why Lowasa was denied to be the head of State 😮 my God
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 5 ай бұрын
Good sana lissu❤❤❤
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 5 ай бұрын
Exellent Hon.Lissu
@salomemahenge7935
@salomemahenge7935 5 ай бұрын
namkubari sana uyu mwamba
@ChachaMariba
@ChachaMariba 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 5 ай бұрын
Burund madereva wakigoma mishahara matajiri wakaongeza.wabongo walipo karibu kugoma wakasaini kazinmadereva wengine siku ile ile mda ule ule.tumuumgeni mko tu mama dah
@user-vq8mi4xf7d
@user-vq8mi4xf7d 5 ай бұрын
Sema baba
@eltonbosha2141
@eltonbosha2141 4 ай бұрын
Huyu anafaa kuidimamia hii nchi maana Jana upuuzi na anaonekana ana uchungu na wananchi Barikiwa sana
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 5 ай бұрын
Wee jiulize tu,angalia magari ya kubebea wagonjwa mengi yamechoka sana,ukilinganisha na magari viongozi wa ccm na serikali 😢😢
@illomowerner7690
@illomowerner7690 5 ай бұрын
Hoja ya msingi
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 5 ай бұрын
Hao miungu wa kuchonga mungu wa kweli anawaona! Na malipo ni hapahapa duniani....!!!! Wacha watuulie familia zetu za kwao zinawiri...
@SamweliLekibenge
@SamweliLekibenge 5 ай бұрын
Usifananishe mwandam na Mungu
@gangan4618
@gangan4618 5 ай бұрын
Kenge we WA kijani, tunazungumzia katiba mbovu inayompa rais wa nchi hii kuchukua nafasi ya Mungu kama sio mungu.
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 5 ай бұрын
Uhusiano wakatiba nikipata viongozi Bora sio Bora viongoz
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 5 ай бұрын
Tunashukuru mzee kwa kuwa mtetezi wa haki
@sudiomari5881
@sudiomari5881 5 ай бұрын
Safi sana endeleeni kutuletea taalifa mzurmzuri km hizi zachadema
@michaelboniface7003
@michaelboniface7003 5 ай бұрын
Peoples power
@user-ee4sf5hi6g
@user-ee4sf5hi6g 5 ай бұрын
Most of the rulling part in Africa do silence opposition parties in many ways
@user-dq5xt8ed7w
@user-dq5xt8ed7w 5 ай бұрын
Mwl.kasema watu wa gome kuulipa kodi sii kufanya kaz erewaniiii masege sent
@alittlemoretime
@alittlemoretime 3 ай бұрын
Mimi nimekuelewa kiongozi
@NyokaaWise
@NyokaaWise 5 ай бұрын
What kind of 🚨 😁😁😁
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 5 ай бұрын
Kwa kweli leo Tundu Lisu nimekuelewa na umeleweka vizuri hotuba yako imetufungua na kuelewa mambo mengine ambayo binafsi nilikuwa siyajui hongera sana kwa hotuba nzuri hakika tunaliwa na watu wachache pambana wananchi tupo pamoja nanyi watatuelewa 2025
@StellaMakata
@StellaMakata 14 күн бұрын
Sema mwamba wetu
@user-ly3yy8iv9z
@user-ly3yy8iv9z 3 ай бұрын
Inchiiiii yetu pamba ina limwa mwanza badosana
@antonyelias866
@antonyelias866 5 ай бұрын
Ongea baba
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 5 ай бұрын
Lisu🎉
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct 2 ай бұрын
Umebarikiwa baba IKULU inakuhusu
@devisshirima6780
@devisshirima6780 5 ай бұрын
Dah !! Mmiliki wa saa ndiye atakuambia muda !! 😂😂😂
@illomowerner7690
@illomowerner7690 5 ай бұрын
.. daaa
@abelmghana2843
@abelmghana2843 5 ай бұрын
Mungu akulide sana lisu hakupe siku nyingi zakutosho Amina
@user-sj9ob8vb3s
@user-sj9ob8vb3s 5 ай бұрын
good
@SALOMECHARLES-pv6up
@SALOMECHARLES-pv6up 3 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 5 ай бұрын
✌️✌️✌️✌️💪❤
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 5 ай бұрын
MAJIZI,MANAFKI,MACCM HAYO..
@jofreyjohn6796
@jofreyjohn6796 5 ай бұрын
mungu tusaidie tupate rais kama huyu
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 5 ай бұрын
You're not normal big up mr Lisu
@RamaNinga-jv2xw
@RamaNinga-jv2xw 3 ай бұрын
Hakika kila kitu kina mwisho hakika mungu anawaona walichokifanya na wanalopanga kukifanya na kuendelea kuonea watu.
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 5 ай бұрын
Hivi anayempinga huyu anaakili sawa sawa!!
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 5 ай бұрын
Hata mm nitashangaa
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 5 ай бұрын
Ukiona mtu ana mpinga lissu na hayupo kwenye system jua hana akili timamu.
@franciskarangwa6554
@franciskarangwa6554 2 күн бұрын
Is there away we can do politics >> without being Nuscty??
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 5 ай бұрын
Sio wamasai tu sehem nyingi wamenyang'anya maeneo yalikuwa yakuchungia yote wamegawana mtusaidie kutusemea sahiz hakuna hata maeneo yakuchungia mifugo
@MakoyeMalugu
@MakoyeMalugu 5 ай бұрын
Kbsa
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 5 ай бұрын
My president ✌️
@clemencemarcelli3365
@clemencemarcelli3365 5 ай бұрын
Katiba mpya sasa hii iliyopo inatengeneza miungu watu
@user-pw4bc7sr5y
@user-pw4bc7sr5y 5 ай бұрын
Ikulu ya Rais Mama Samia mkiwa na tatizo au shida ndio mnamuita RAIS SAMIA
@RoiamajoFashion
@RoiamajoFashion 2 ай бұрын
Baba lisu ubarikiwe... Kwa kutufungua macho ila kazana upite nchi nzima mpaka vijiji usichoke WEWE NI MKOMBOZI WETU.,.
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 5 ай бұрын
The geneous guy in this country, may God reward you more years.
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
Yaan huyu mtu hatari sana tena sanaaaa alichokiongea ni ukweli mtupu chaguzi zinakalibia sasa wamepewa watu kazi ya kuleta mzigo huo ili wapate nguo za mabango ya uchaguzi sisi tunashangilia tu kwa kupewa jezi ujinga umetujaa sana vichwani
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 ай бұрын
HATUTAKI HISTORIA.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 5 ай бұрын
Hutaki wewe sisi tu nataka. Tumia sindano ikuingie.
@clemencemarcelli3365
@clemencemarcelli3365 5 ай бұрын
Lisu tunakuelewa sana ndiyo maana Mungu kakuokoa kwenye jaribio ulilopitia
@user-um7rz2lv3t
@user-um7rz2lv3t 3 күн бұрын
🎉🎉
@Fantsonmpango-uz3jw
@Fantsonmpango-uz3jw 5 ай бұрын
Bora Mungu alivomponya na risasi
@othumanomari1589
@othumanomari1589 5 ай бұрын
Puuzi typing 😂😂😂😂😂
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 2 ай бұрын
Safi
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
19:11
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 18 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 28 МЛН
TUNDU LISSU AMSHIKA KOO RAIS SAMIA KWA KUHONGA PIKIPIKI NCHI NZIMA
5:55
Chadema Media TV
Рет қаралды 46 М.
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1 МЛН
Lissu na Mbowe WATIKISA NCHI, Wapinga MUUNGANO Live BILA UOGAAAA!!!
21:50