Asante Da Huu umeweka ukweli halisi hakuna kuficha. Hizo hela za Royal Tours aseme tu ukweli sio kudanya umma
@dogojahman93812 жыл бұрын
Uyo mwamba waga namkubali sana yeye na Levo 💪💪💪💪💪💪 maisha niku pambana kwa kila njia mna jua kuzi saka saana
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Me too
@mesikamesika30082 жыл бұрын
Elimu bila kujitambuwa ni adhabu ya kichwa. Huyu bwana hekima hana wala hofu ya mungu. Vijana tupambane maisha ni fumbo
@deotvonline27762 жыл бұрын
Kama umemuelewa mwijaku kaamua kujinunulia gari ili kumkumbusha Mama Samia amkumbuke kwa kujipendekeza kwake gonga like hapa🤣🤣🤣🤣😂😂
@methuselamarco71082 жыл бұрын
Asante dadaangu umeliumbua lipumbavuu hiloo
@tiffanyakramJr8222 жыл бұрын
Chama la wana WATOTO✔️ NYUMBA ✔️ GARI✔️ SIMU✔️ 😂😂😂 unamuita mpaka mkeo, mme wangu 🤗🤗 👏👏👏👏
@hdggu67922 жыл бұрын
Huyu baba muongo jamani midevu kama striwaya😂😂😂
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Yahni
@KamstheMixologist2 жыл бұрын
Mwijaku we love you from Congo 🇨🇩
@rahima9282 жыл бұрын
Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
fresh sana mwijaku,sifa za mwanamke wako ni kitu kikubwa sana ,upendo 🌹
@liciouscharles33702 жыл бұрын
Da geah mzuri
@nyamkamawanjara292 жыл бұрын
ila mwijaku usife sasa ivi mungu akuweke tunacheka sana juuu yako,
@SaidSaid-ef8md2 жыл бұрын
Mwijaku we unajua kufurahisha binaadam big up bro me uo uso wako ndo unanifurahisha yani unaonesha kabisaa km unaongea unachojiskia tu kuongea. 😀😀😀👍
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
*Da huu* Umetisha, wallah nimecheka 😀😀😀😀
@amsiabbas38092 жыл бұрын
😀😁😂 ananifurahisha sana Mwijaku mambo yake
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Napenda sana vituko vyake 😀😀😀 mwijaku khaaaa😀😀😀
@abdulnaseerabdulhakeem93022 жыл бұрын
" Et mme wangu,aaah mke wangu" 😁😁😁😁😁
@samatarabdullahi80832 жыл бұрын
Safi mwijaku.Napenda sana wewe uko mwongea wazi.Salamu kutoka Somalia.
@christiannyamamba90892 жыл бұрын
🤣🤣🤣 mwijaku mtambo sana ana utoto mwingi sana
@ramadhankanoun30072 жыл бұрын
Jicho kwa da Geah kwa Mwijaku daaaah🤣🤣🤣🤣🤣limenichekesha sana
@lelarubea64052 жыл бұрын
Mwijaku muongo amenunua mwenyewe anataka kuonesha amenunua,aliona akionesha mwenyewe watu watamchamba kwasababu anasema watu kila siku
@zuberikamote20782 жыл бұрын
Mwijaku muongoo,😂😂😂Anasutwaa jamniii😂😂
@fadymoses49942 жыл бұрын
Mwjaku 🙌🙌😂😂
@aminakazogolo22292 жыл бұрын
Nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
@chieframadhani49762 жыл бұрын
Mwijajo ni mbishi aliesoma aiseeeeee
@najuf80212 жыл бұрын
Hela ya mwijaku nagar kaenda kununua yeye mwenyewe kampa mkewe apate kuongelewa
@emmanuelmasanja60402 жыл бұрын
Napendaga mwijaku,akipambambanishwa na baba levo
@shaniashani70262 жыл бұрын
Da huu ❤
@shamsishaaban66952 жыл бұрын
Husna safi sana huo ndio ukweli
@saleheheda45372 жыл бұрын
Mwajaku Chawa mwenye Akili nyingi
@caashamacalini38872 жыл бұрын
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
@rajabdibwa64152 жыл бұрын
Kumbe hata babalevo pia yuko na hela kumshinda🤣
@simulizi26322 жыл бұрын
Mwijaku maneno ya uongo na kujiamini kwake ukisikia yanaumiza 🙋🏾♂️😖
@joachimompesh7387 Жыл бұрын
Jitu Kama hili siyo la kuliiga fala
@yahkiwera36112 жыл бұрын
Kazi kwelii kwelii
@rukkynassor22792 жыл бұрын
Hapo wasema kweli
@almachiusemmanuel95062 жыл бұрын
Mwijaku uko sahihi mkuu
@sophiamumbe888 Жыл бұрын
Hiyo gari kanunuwa mwenyewe mwijaku wewe unapenda sana sifa na kubwiiru
@kimingowameno40682 жыл бұрын
Duuu jamaa Ana macho makavu huyu hahahahaha
@jamesobedy39402 жыл бұрын
Kumbe wanakujua wenzio 😂😂😂 Muongo hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@felistersmejumaa51882 жыл бұрын
Eti wanamkopa 🤣🤣 halooo mwijaku
@betrackjasson66982 жыл бұрын
Nimeskia iyo kauli ya million tano ya yule kaka kumbe mbwa tu
@francismwacha2532 жыл бұрын
Gea ni mweupe pee😁
@mwombekimartin47612 жыл бұрын
Aya bwan
@stn48732 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwana Mwinjaaaaaaa!!!!
@hosnakamees54542 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@salmamakweta11982 жыл бұрын
mwijaku nimekupenda sababu unamsaport Konde
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nicheke mie watazania acheni Kuishi maisha ya kujisifu tunajuwa mnavyotaka maisha feck
@aminakazogolo22292 жыл бұрын
Geah🤣🤣🤣🤣🤣
@innat042 жыл бұрын
maneno mengi mpaka umetoboa siri mwisho ukasema 'nimenunua kwa Jasho langu' 😆 Mwijaku wewe!!!
@nesto35872 жыл бұрын
Namsubiria babalevo anajibie maswal hayo😂😂🤣😂
@realramjen32702 жыл бұрын
Kanunua mwenyewe
@nyabahailani31692 жыл бұрын
Mwijaku wewe umepewa hela ya royo ya mazaaa bana wacha kutuzengua wewe😅
@vickykapama83862 жыл бұрын
😃🤣🤣🤣🤣 kha Mwijaku atafika Mbinguni amechoka sana kwa UONGO ANAVYOUPIGA🥲🥲
@salmaathuman91562 жыл бұрын
🤣🤣nacheka kama mazuri
@felistersmejumaa51882 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Kazi ipo hapo kwa Mwijaku
@charlottempangala38812 жыл бұрын
Hivi mwijaku yuko sawa kweli???
@barracksgabriell91522 жыл бұрын
Kwenye leo tena kasema milioni 18 hapa anakomaa 22
@Zenny892 жыл бұрын
Kha!! Lexus??😳🤣🤣🤣
@fatumahengo68492 жыл бұрын
😃
@magynzioka11222 жыл бұрын
Mwijaku unawafanya wanaume wezio wajione kama awaoa wanawake saiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku msifie Hadi upokonywe
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Mimi nataka niwe chawa wako
@lillianbarongo28072 жыл бұрын
Mwijaku 😂😂😂
@mariamally12442 жыл бұрын
Muongo mwijaku
@worldstartz2 жыл бұрын
😂 😂
@allykota83552 жыл бұрын
Kapewa na Mama anatangaza movie
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Jomba Mwijaku Leo unasutwa makavu live 🤣🤣🤣🤣
@zenamwasekaga74602 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄Mwijaku nyie🙌
@lelarubea64052 жыл бұрын
Sasa lazima uje uoneshe mtandaoni mambo ya gari,kazi kupenda kusema wenzako kumbe nawewe unapenda kujionesha huna lolote
@mdalamgir-gu9hu2 жыл бұрын
Kakojoe ulali lela..
@kassioothemiracle16882 жыл бұрын
Kabisa akojoe alale kweli
@belak9992 жыл бұрын
Na wewe km unalo onyesha 🤸🏻♂️🤸🏻♂️🤸🏻♂️
@bernadyahimba42792 жыл бұрын
Kumbe bajaji ilikuwa ya kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@yahyamkone56012 жыл бұрын
Mmesema kweli tuache mitandao
@ikrissaidrissa86132 жыл бұрын
Mhh km unaoa Kwa sababu ya ivyo Kuna mapenzi ya dhati kwr hp 🤔🤷🏾♂️
@bahatimkando8875 Жыл бұрын
Wwwww 😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪
@ayubukedimundi32212 жыл бұрын
Mwijaku ndio kanunua Gari kama box hahaha hahahahaha kaona aibu kusema kanunua yeye a naona haibu
@mwanajumamohammed63272 жыл бұрын
Fumbo kwa mama samia
@melcksedeki10122 жыл бұрын
Mwajuma choko tu
@aishambagi7371 Жыл бұрын
Mwongo mkubwa
@emmanuelemmanuel3047 Жыл бұрын
mke wangu wanamkopa
@simiyioninkwaya92912 жыл бұрын
Umesema ukweli dada yagu
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Wabongo kweli wanafi yaani mke kumpa zawadi mumewe nyie kinawauma nini jamani wivu mbaya ongera sana mwijaku
@ayubukedimundi32212 жыл бұрын
Sio kwamba wivu..... Mwijaku kaona akisema kanunua Gari bovu ivyo Gari kama nyumba kama box wakina baba levo watamcheka kaona asingizie mke wake
@maryamdunga38962 жыл бұрын
Wanaushamba
@jailoschahe91242 жыл бұрын
Unamshugulikia vizuri iyo ndo zawadi ya kumshugulikia vizur
@shabansalee49242 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
@mkongwegabagendi27132 жыл бұрын
Nimecheka 😂
@pendoanzigar31722 жыл бұрын
Alivyo mkavu Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@laizerlekisongo12162 жыл бұрын
Dada nimekuelewaaaa Yan na ile bajaji nimekuelewaaa
@costantinebahakaso37362 жыл бұрын
Hana hera
@festomatewa36382 жыл бұрын
huyu jamaa mpigaji saaana😆😆😆😆
@omanigaming64302 жыл бұрын
Mwija😆
@fidelekahezi51752 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣tuma mtambua sasa
@alkhudhertarek9762 жыл бұрын
😁😁😁😁chawa huyu
@godlistenorio59502 жыл бұрын
Tangazo hili jamani
@jacksongidion51702 жыл бұрын
7
@portinagodson38362 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@denicegabriel66162 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shamssaid28922 жыл бұрын
Gea umeshikika🤣🤣🤣
@aishatest44512 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😅
@samwesupa69062 жыл бұрын
Hhhhhh
@irenebeddah65242 жыл бұрын
mmempa makavu. nimependa
@teodosiampogole67672 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mosesgatsinzi73082 жыл бұрын
Haha Yaani Tanzanians nawapenda tu sana
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Daah jomba jomba mwijaku kampeni ya wanaume huko bongo muanze kuogongwa magar na kununuliwa vitu kama zote, jamani nchi wanawake mmeachiwa muanze kununulia wanaume magari 😂😂😂😂😂🏃🏿🏃🏿