Mwijaku Yuko sahihi nampenda na anajua dini Ujumbe unawafikia wahusika wakitaka waufanyie kazi wasipotaka waache ila ukweli kaongea♥️♥️♥️
@halimamasai223411 ай бұрын
Mwijaku upo sawa usthadi ujumbe umefika kwa wahusika 👍👍👍
@salmaabdu501111 ай бұрын
Uko sahihi kaka ujumbe umefika hisabu iko kwa Allah
@ibrahimfarha385310 ай бұрын
Zinnah ngapi umefagilia we Mwijaku????
@helenkambi391811 ай бұрын
Mmmh dini yaijasema mkubwa haikosei. Kwa hivo mtu mkubwa akitenda kosa aachwe tu kwa sababu yeye mkubwa
@salassalas-eo6vo11 ай бұрын
Ustadh tunakuuliza waislam kamari halali kwenye uislam wewe si balozi wa kamari tumeamrishwa tufanye kazi za halali tule halal kufanya umbea ukashif watu kwenye mitandao na kuwataja majina hio halal kwenye uislam basi nnakufahamisha hayo ni katika madhambi makubwa kwrnye dini riudi kwenyedarsa ukasome uilewe vizuri dini uijue ndio useme kwenye mitandao kuchukua mkono wako uka mpost mkeo watu wasostahiki kumuona wakamuona hio ipo kwenye dini hatukatai wanofanya kina zuchu lkn dini yetu inasema mfate mtu pwke yake umfahamishe usimkashif watu wakaskia kuna watohukymiwa akhera kwa siri na kuno watohukumiwa kwa dhahir ambao ni hao wanoadhirisha aibu za watu wakazitangaza isome vizuri dini ndugu yangu uilewe ki undani kabisa
@OnlyRuky11 ай бұрын
Swadaktaaaa huyu ni mnafiki ktk wanafi because na dalili zake zote anazooo Shwain huyu
@abdiadam39410 ай бұрын
Hakuna aya inayosema "ujana ni nusu ya kichaa" unaboronga ayaa na hadith usifanye hivyo
@sarahmcharo154811 ай бұрын
hakun haja ya kukumkubusha ataiona interview mwenyew
@salassalas-eo6vo11 ай бұрын
Na kuimba umkataze pia afanye kazi ya halal mziki haram kwenye dini pia sema km mziki haram usifiche
@helenkambi391811 ай бұрын
Hapo mwijabu sikubaliani na wewe. Sai mke wako ashamaliza miaka mingi akwenye dini mke wako hajitandi mtandio ana suka nywele marasta na mambo mengi mengine
@OnlyRuky11 ай бұрын
Waaandi wahabri Asanteni leo mmejua kumpa za Usooo huyuuu Munafikinaa
@salassalas-eo6vo11 ай бұрын
Sasa kuimba halali mbona una sapoti waimbaji na nyimbo haram tunaambiwa anaesikilizatu atakwenda kuwashiwa moto wa mashikio sasa mbona na wewe una sapot waimbaji na uisla umekataza mziki na haram
@fakiikibakola130011 ай бұрын
MIAKA 10 YA NDOA BDO TU AJAZOEA TU UISRAM AWEZI TNA HYO KAFIRI