No video

MWIJAKU AMCHANNA MWAMBINO KUNUNUA TUZO MTV, HARMONIZE, ALIKIBA NIMEWAKATAZA, BABA LEVO SIMTAKI, MKE

  Рет қаралды 38,719

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 90
@user-nx6bu4zv7l
@user-nx6bu4zv7l 9 ай бұрын
Nawapenda sana From RWANDA
@kulwamkota2459
@kulwamkota2459 9 ай бұрын
Ila nyinyi jitambueni uyu jamaaa anajua mengi mcmzarau yupo sahh Nyinyi mnayemzarau mpo kzan,mwijaku PGA Kaz
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 8 ай бұрын
NIKUREKEBISHE KIDOOGO BRO....PARIS... !! Umechemsha ama niseme umepitiwa tu kiubinaaadam.. PARIS NI MJI MKUU WA UFARANSA ...PARIS SIO NCHI KAMA UNAVYOELEWA WEWE 👐Ila nakukubali san bro..✌🙌🙌
@makischocho4613
@makischocho4613 9 ай бұрын
Ukweli kabisa mwijaku unaongea
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 9 ай бұрын
Wa kwnza Leo kwny comment nipeni Likes zngu
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 9 ай бұрын
uyu mwajuma anaongea sanaa
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 9 ай бұрын
Ngoma gani ya mondi ya kumpa tuzo 2023? Kumzidi rema na burna boy?
@mrsinia3064
@mrsinia3064 9 ай бұрын
Ata mim najiuliza 🤔🤔
@BOBAOIL-xr7ex
@BOBAOIL-xr7ex 9 ай бұрын
Watu walio chelewa kufika mjini na kusafiri nje ya nchi ndio hawa
@moseskulola6913
@moseskulola6913 9 ай бұрын
Huuu jama hawajuwi wana wake ...sijawahi kuona mwana ume kama uyu kweli
@Edgar_49
@Edgar_49 9 ай бұрын
Mwanamke ni akili jamaa Yuko parfect kabisa kua na uzuri wa sura na shepu kama huna akili it's none sense
@RichardRutembesa-ns1kn
@RichardRutembesa-ns1kn 9 ай бұрын
​@@Edgar_49wanaofata Makalio n wajinga na walevi!! Akili ndio Cha kwanza!!
@lillianbarongo2807
@lillianbarongo2807 9 ай бұрын
😅😅😅Mwijaku
@richshayo4924
@richshayo4924 9 ай бұрын
Paris nchi? Au mji ndani ya france😂
@j...876
@j...876 9 ай бұрын
Kwani Paris ni nch??? Bangi wewe na unafki unao kusumbuwa!!😮😮
@dannymarl2037
@dannymarl2037 9 ай бұрын
Pariiiì😂😂😂si paris
@user-cb2us2nu2m
@user-cb2us2nu2m 9 ай бұрын
Ni Paris
@svt3
@svt3 9 ай бұрын
​@@user-cb2us2nu2muwongo ni Pari-s I'll en silence hiyo s iko silent unaelewa au vous voul' explication?
@BenedictBenedict-hk4fe
@BenedictBenedict-hk4fe 9 ай бұрын
Hivi kuna mtu bado anasikiliza hili pimbi😂😂
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 9 ай бұрын
Wakaanza ni wewe 😂ndiye
@jimykelly7233
@jimykelly7233 9 ай бұрын
Jamaa la kushika chuchu za wanaume
@tracycheptoo305
@tracycheptoo305 9 ай бұрын
Almando snich sana
@AMwamzola
@AMwamzola 9 ай бұрын
Mwambie uyo mwijaku
@Yangaza
@Yangaza 9 ай бұрын
Uyu jamaa muuongo 😂😂😂😂 wajukuu wake watakuwa wanacheka sana kuwa babu aliwahi kulidanganya Taifa.
@hassanidris5873
@hassanidris5873 9 ай бұрын
Kuhusu tuzo ni kweli hata kwa wasanii wakubwa inafanyika
@khamisjuma3760
@khamisjuma3760 9 ай бұрын
Nenda na wewe basi ukanunuwe chawa chawa tu kazi kunyoya damu tu
@MbongoBoy-yg9tq
@MbongoBoy-yg9tq 9 ай бұрын
Huyumwijaku kwn anayosema utfkr nikweliee
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 9 ай бұрын
Mkumbusheni Mwijaku coz hajui kama Turkey 🇹🇷 haipo Asia ila ipo Europe vitu vingine asiongee kama havijui
@alexandershukuru5265
@alexandershukuru5265 9 ай бұрын
Mwijaku wew mpumbafu mukubwa hapo Tanzania
@DanielSaid-tv7dd
@DanielSaid-tv7dd 9 ай бұрын
Uyuuu jamaaa anawivu kwel acha uwivu weewe wee nichawaa uchwalaa mwenzako kapewa galiii sijui ww utapewa nn sasa labda
@johnmsogoti8552
@johnmsogoti8552 9 ай бұрын
Me huwa najiuliza kwani hawa waandishi huwa hawawezi kuuliza maswali bila kumuhusisha diamond kitu ambacho nimegundua diamond ndio content nzima bila yeye watu hawatazami😂😂😂😂😂😂😂
@mrsinia3064
@mrsinia3064 9 ай бұрын
siyo diamond tu hata harmonize
@petershombo945
@petershombo945 9 ай бұрын
Wew Kwan hauelewi maana ya celebrity...sas yeye sini msaniii ndio kioo cha jamiii
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 9 ай бұрын
mwijaku hana jipya na haw wandishi one line ni wandishi wababaishaji kila kitu mwijaku mwijaku ni mungu wenu hyo washenzi tu
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 9 ай бұрын
Kwani we ndo unajua leo kuwa diamond ni content mbona umechelewa sana bob
@johnmsogoti8552
@johnmsogoti8552 9 ай бұрын
@@adaboychibu1659noma kwel aisee🙄🙄🙄🙄
@stanslausihano1154
@stanslausihano1154 9 ай бұрын
Nitaanza kukupinguza kwa sababu huna mwaswari mazuri uko kikuda hii tuzo ilikua inapigiwa kula hata mimi nilipiga iweje uinunue tena acha ukuma na mwijaku wako
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 9 ай бұрын
Yan uyu jamaa kungekua hamna serikali ,ningekua nsha mpelekea moto kitambo ,live Simba alone asee
@mrsinia3064
@mrsinia3064 9 ай бұрын
🤣🤣
@user-hs1en8dm7n
@user-hs1en8dm7n 8 ай бұрын
Mwinjaku Katar sio Asia Ile ni UAE Kasome Tena wacheni kujisifu Asia ni China, Japan, India, n.k
@salimmwakaribu942
@salimmwakaribu942 9 ай бұрын
Mwijaku hyu mpuzi . Baba levo ndio humpaka
@magutadickson6900
@magutadickson6900 9 ай бұрын
Mikunfu tu awa
@Mariot130
@Mariot130 9 ай бұрын
Kwenye tuzo mwijaku kaongea Point
@svt3
@svt3 9 ай бұрын
Point gani?
@kilungahamis1270
@kilungahamis1270 9 ай бұрын
Mwabieni Kiba na Harmonize wanunue pia
@svt3
@svt3 9 ай бұрын
@@kilungahamis1270 yaani wajinga ingekuwa zinauzwa Harmonize anavyo penda sifa angekuwa amezijaza kabatini mtu alichukuwa tuzo ya H baba kwa nini asi nunuwe tuzo ya maana ili aendelee kujidai numbe1
@user-bz1rc1gb8q
@user-bz1rc1gb8q 9 ай бұрын
Hatuwezi kuwa sawa.......... Sio rahis kuelewa
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 9 ай бұрын
ovyoo
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 9 ай бұрын
Ulifukuzwa wasafi bet kwa sabbu ya upuuzi huu....kamununulie harmonize na wewe..😮
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 9 ай бұрын
Ipo siku utajuta unavyo kumkandika Simba wa watu bila aibu
@tayandaIsbo
@tayandaIsbo 9 ай бұрын
🎉🎉🎉
@abdulbora812
@abdulbora812 8 ай бұрын
Umeenda jerumani😂😂
@abdullahally5479
@abdullahally5479 9 ай бұрын
Huyu jamaa lazima anajinsia ya kike haiwezekani anawababikia wanaume ndi maana Dotto magari anamchana
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 9 ай бұрын
Nisaidieni jmn Kuna A + kwl 😀
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 9 ай бұрын
😂😂😂😂
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 9 ай бұрын
Kabisaa ipo ni ushamba wako
@merinakassembe118
@merinakassembe118 9 ай бұрын
Propisak ajui kingerwza hajasoma
@furahalita-zk2yi
@furahalita-zk2yi 9 ай бұрын
😂😂😂daaa mwijaku🤣🤣🤣🤣
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 9 ай бұрын
nonsense anaongea pumba tupu huyu jamaa
@BOBAOIL-xr7ex
@BOBAOIL-xr7ex 9 ай бұрын
Mjinga huyu boya Wadhani watu wote hawajsafiri Gharama ya Paris tower kupanda ni 20 dollar 💵 only
@jaylazorschannel5681
@jaylazorschannel5681 9 ай бұрын
" HOW SURE YOU ARE " 😅
@user-uh5qp6jd4h
@user-uh5qp6jd4h 9 ай бұрын
Tunakutaka tena paris mwijaku
@user-ui8ex1yl9k
@user-ui8ex1yl9k 9 ай бұрын
Ni wewe mwijaku😅😅😅
@marokeyLFM
@marokeyLFM 9 ай бұрын
Jamaa kwenye uongo niwa kwanza
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 9 ай бұрын
Hata nyie waandishi ni wapumbavu sana, hamuwezi kumhoji mtu kwa kumhoji kwa kumuuliza maswali ya akili! Pumbavu sana nyie
@emmalyanga3726
@emmalyanga3726 9 ай бұрын
Zinauzwa Bei gani?
@FarajaRoger-fe4cj
@FarajaRoger-fe4cj 9 ай бұрын
Turkey 🇹🇷 ni Europe sio Asia
@kibwanakhamisi5604
@kibwanakhamisi5604 9 ай бұрын
Turkey iko katikati ya Europe na Asia
@RaymondNjengo-bq1zc
@RaymondNjengo-bq1zc 9 ай бұрын
Kama vifaa vyake si aende Mahakamani akadai kama stakabadhi anazo na ushahidi upo wa kununua kwanini kila siku anadai tu vifaa vyake?
@yahayashuta9608
@yahayashuta9608 9 ай бұрын
Kuhusu tuzo kweli unaweza kununuwa tuzo
@svt3
@svt3 9 ай бұрын
Ingekuwa unaweza nunuwa wengi saana wengenunuwa kwanza Harmonize angenunuwa nyingi then he will be writing I'm number 1 in africa mpaka tz mngekoma na kuchoka kwenye instagram yake na hayo magazeti huoenda kuandika
@merinakassembe118
@merinakassembe118 9 ай бұрын
Nakumini mwinajaku hunafanya saba nVunjabeu
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 9 ай бұрын
Huyu nu graduate? University za bongo wanagawa degree kama muhogo?
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 9 ай бұрын
Huyu kenge akizeeka atakua mchawi tu lazima ana mambo yakikuma ile mbaya
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 9 ай бұрын
Ivi kwani hao watoaji wa tuzo wamekua wajinga kwa kiasi gani mapaka wawe wanauza tuzo
@abdulbora812
@abdulbora812 8 ай бұрын
😂
@barakafakihi2431
@barakafakihi2431 9 ай бұрын
kumbe huyu jamaa chenga sana
@geraldkbona5595
@geraldkbona5595 9 ай бұрын
ndiyo maana dotto magari anawatukana kila siku anasema bora yeye ambaye ajasoma kuliko nyie mnaojifanaya mmesoma kumbe useless
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 9 ай бұрын
WATANZANIA TUNAAKILI WE MBWIGA...TUNAJUA MNAMPENDA KUFA DAI...ILA NDO HIVO MMETUPWA KAPUNI..WE NA YULE CHIZI MWENZIO ANAEPEWA MAGARI AUZE SURA..IDIOT
@sumasule6207
@sumasule6207 9 ай бұрын
Turkey si Asia wewe Turkey ni Europe
@barakafakihi2431
@barakafakihi2431 9 ай бұрын
hawafahamiki wewe fala alikiba na harmo hawana vigezo vya kuwania izo tuzo
@gamerstech5689
@gamerstech5689 9 ай бұрын
Baba jinga hili kuwahi tokea😂😂😂😂 Msomi mpumbavu😅
@shabanseleman3257
@shabanseleman3257 9 ай бұрын
Basi wewe ni kunguni sio chawa tena
@warrenkilimber4013
@warrenkilimber4013 9 ай бұрын
Hili pumbavu ndo linajiita lisomi? Turkey ipo Asia kweli 😂😂😂😂 stupid kabisa
@magutadickson6900
@magutadickson6900 9 ай бұрын
Sijui nani labda una wajinga wenzake
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 9 ай бұрын
😂😂😂😂
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 29 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
LEONARDO AMZINGUA BABA LEVO😂😂😂
3:45
Laughs On Leonardo
Рет қаралды 43 М.
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 29 МЛН