Ni kutoka kwenye hafla iliyoandaliwa maalumu kwaajili ya uzinduzi wa Wasafi Beti ambapo wamealikwa watu mbali mbali maarufu. PLAY kutazama video
Пікірлер: 61
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Mwijaku nimependa sana kumkumbusha nasibu kufunga ndoa ni jambo jema sana hongera sana kwa ukumbusho
@godfreylutengano93672 жыл бұрын
Hapo ndio mjue ukubwa wa Mwijaku
@abdimsagati96672 жыл бұрын
Mwijaku anatafuta pesa hajamsarit mtu yoyote mod kamuona kajua atanisaidia kutangaza bet yake
@samwelsanga53392 жыл бұрын
Hahahaha mond genius kishenz...
@janejohn42572 жыл бұрын
Mbona umetoa mkono mwijaku
@abdulfatahjuma53552 жыл бұрын
Daah👀!! Njaa utumwa kweli jamani , mana ukiwa na kapu la vyakula wanyama hukufuata mpaka jalalani!!!
@aishamussa72462 жыл бұрын
Nnachokupndea mwijaku upo proudly xna mkeo hongera na mung ajaalie mzikane
@fatmaally72522 жыл бұрын
Mwijaku maneno yote kwisha kaaaaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Kwani ni mimi tu ndo sielew au 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@agnesmpiluka79292 жыл бұрын
Hata Mimi sielewii
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
@@agnesmpiluka7929 sa itakuwaje 😂😂😂
@halimamasai22342 жыл бұрын
Mwijaku wewe mungu anakuona yani mara hivi mara hivi utaingia wapi kiama wewe jamani
@uwimanauwimana76922 жыл бұрын
Ndo umjue mtumsaliti mtu mnafiki ni mwinjako siua mnamwamini maneno yake kawakomoa wanafiki mnae mtusi daimond
@issai.ibungu2 жыл бұрын
🔥
@groveyagroya12802 жыл бұрын
Hatakama diamond anamapungufu ila Nampa hongera kwa kutowekq chuki moyon
@parfaitkale25032 жыл бұрын
Sielewi Mwijaku leo anacukuwa mkono wa Diamond 😂
@pesambilimusic7672 жыл бұрын
Kampa mkono kwishaaa kabisa hawezi kuongea mbovu tena
@dpaul...m.44762 жыл бұрын
😁🤣🤣ila wewe jamaa unachekesha
@saimonseleka36052 жыл бұрын
Naona Tanzania inamzoom na kumsh😳😳😳Mr mwijaku
@zou74702 жыл бұрын
Jamani dunia inaenda kwa kasi kwakwel mwijaku mkono huyo umekwisha kwakwel 🤣🤣🤣
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Umebana mwisho umeachia mbona mkono umetoa pelege kweli huna maisha hulu wewe
@erickkagisa8332 жыл бұрын
Sisi tuliokuwa tunamtukana mwijaku wakati anaitukana wasafi sura zetu tunaziweka wapi
@wanderenyeura90112 жыл бұрын
Aahaha
@sneedlekisengo95922 жыл бұрын
harmonize kaa mbali na huyu sinich atakumaliza anapuliza huku na huku
@malelabmalela50162 жыл бұрын
Kaman
@erickzephania10302 жыл бұрын
Una bahati wa tz walio wengi hawapo seriously, ungekuwa kwenye nchi za wanaojielewa ungeshakula za kichwa mapema sana. Elimu haina Mahusiano na Usaliti.
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Yetu macho tu mwijaku ni pelege
@nancyg86642 жыл бұрын
😂😂😂
@athumanmbululo39802 жыл бұрын
Hajafanya kosa,, ndo mana akasema yeye atabak kuwa mwijaku,, na mond atabak kuwa mond,,
@charlesrwegalulila10692 жыл бұрын
Mondiiiiiiiiiiiiiiiiiii huyooooo
@angelshirima22892 жыл бұрын
Unajua tatizo la chawa hanaga power😙😂😂😂
@estheraldo5062 жыл бұрын
njaa mbaya sana🤔
@fadhilarashidi51842 жыл бұрын
Watu wakigoma wote
@yessendelwa89212 жыл бұрын
duh!!!!😕😳😗😗😗😗😗😗
@costajr56662 жыл бұрын
ISSA Azam😁😁😁
@chrispinchris702 жыл бұрын
Atari nishida
@shantellemwanakombo37032 жыл бұрын
Jaman Domo alimea lini ndevu???🤣🤣🤣🤣🤣
@mahrooqsuleiman72162 жыл бұрын
Kanunuliwa
@ashuraumari13222 жыл бұрын
Kwanini asikatea kaona Kuna faida utajua ujui 😊😊
@rrerruhbyyyhseeko40492 жыл бұрын
Wewe mondi Kwani huoni mwijaku ni nyoka
@jescaizengo97222 жыл бұрын
Mwijaku mnafiki we mbaba😃😃😃😃
@DULLAHMASTER2 жыл бұрын
Hakushikwa mkono kweli
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Mwijaku wewe
@najmanassoro3082 жыл бұрын
Ndevu simba umekua
@NajmasoudiNajmasoudi2 жыл бұрын
Hahaha
@felisterjames97702 жыл бұрын
Tamaa mbele maut nyuma
@fayzal-amoudy62852 жыл бұрын
Betting Haramu, Dini hairuhusu
@uwimanauwimana76922 жыл бұрын
Mwinjako kawasaliti kond boy ndio kogoma hiyo kama mlikua hamjui .kawapiga rungu kichwani mashabiki wake
@jp17802 жыл бұрын
Mbona jibonge aliwasaliti wasafi
@davidjoseph97762 жыл бұрын
Mondi kumbe anandevu
@wilsonjohn19192 жыл бұрын
Nipe mkono tuone
@abdallahalbakri25612 жыл бұрын
Sasa Mwijaku sikuelewi mara Harmonize. mara Diamond siku elewi kabisa unapiga kote kote alafu na wewe unavo dai msomi lakini mbona huna msimamo najuwa huna njaa lakini as far as I am concerne mwanume lazime uwe na msimamo kwa hali hii ndugu sikuelewi kabisa ndugu yangu mimi msha biki wako usin late down please explain ndugu yangu
@africanmandetraveler28472 жыл бұрын
It's all about money ,kama unachukulia seriously issue ya mondi na tembo unapoteza mda mkuu Hustler kwanza pia mwijaku yupo kazini wala hamna ubaya wowote.
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Mwangalie ISSA AZAM anavyomuangalia mwijaku 😂 Astagfirullah laadhwim Nuru ya uso imepotea kawa mdogo kaa piritoni mwijaku, 🤣 Aristotee kashakupa za uso kwa macho 😄 kasema Aristote usitukane mamba kabla hujavuka mto mwijaku leo kikwapi na ulishawahi kusema diamond hana uwezo wa kukuajiri,mara mkono wa diamond usishikwe 😂sasa wewe leo uneushika mkono wa diamond na ajira kakupa 😂
@ashuraumari13222 жыл бұрын
Yajayo yanafurahisha 🤣🤣🤣
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
@@ashuraumari1322 yaani ni balaa ataanza kumpamba diamond na kumponda harmonize 🤣bado h baba na Hussein machozi kuja kumpa mkono na kupewa ajira na diamond 💎🤣
@ashuraumari13222 жыл бұрын
@@waheedahtanzania4912 🤣🤣🤣kabisa malipo ni hapa hapa duniani uko tuendeko ni maesabu2