I really like the tune n the song itself... though I don't understand the language since am a Malawian but I really like... Happy Easter to everyone...
@nicholasgitonga80032 жыл бұрын
Ni baadhi ya nyimbo zile nzuri zaidi ambazo kila mwana kwaya apaswa kujua kuziimba
@SMMUIA3 ай бұрын
Yehova alipowakusanya na kuwarudisha mateka wa Sayuni, Tulifikiri tunaota ndoto. Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko Na ulimi wetu kelele za shangwe. Wakati huo ilisemwa miongoni mwa mataifa: “Yehova amewatendea mambo makuu
@Paul.9366 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@bernardjohn87882 жыл бұрын
Melody ya huu wimbo ni kali sana na harmony yake ina mpangilio mzuri wa kupokezana unaoleta ladha fulani nzuri sauti zinapopishana. Niliwahibkuusikia miaka ya nyuma ukiwa umerekodiwa na kwaya moja dodoma siikumbuki. Sasa mmeimba kidigitaly zaid.Good job
@lilianalara80072 жыл бұрын
Heshima na adhama ziko mbele zake!!!!🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻,nguvu na ukuu ziko katika patakatifu pake🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@bonifacesilvan3072 жыл бұрын
Tenges Tenges hua kinanda kinafanya unavyotaka mzee barikiwa sana mwamba
@peterbinyaruka61622 жыл бұрын
Psalm 96: 1, 6
@devidkingu24392 жыл бұрын
Great combination, God bless you. Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume🙏
@ShimboPastory2 жыл бұрын
Kazi nzuri
@danielawe35132 жыл бұрын
Mwimbie bwana wimbo mpya mbarikiwe jamani
@KalltuniClassics2 жыл бұрын
Safeeee sanaaa🔥
@akwisombe2 жыл бұрын
Awesome, hongereni sana
@kelvinecheloti68812 жыл бұрын
Wimbo mzuri sauti taam
@musicheals15452 жыл бұрын
Tenges utadhani alivyozaliwa tuu, akawekwa kwenye chumba chenye vinanda.! shughuli yake sio ya kawaida.. bravoo
@mrtembakiboboy61452 жыл бұрын
Nice,tuni nzur,tumeiimba leo Kansan hongera kwa mtunzi,na waimbaji,,,Dominika njeema y Neno niwatakie
@yorandayorandan4018 Жыл бұрын
Nikimsikiliza huyu dada huwa ananipa sana raha naombeni namba zake nina shughuli yqngi ninampenda mno mwaaaaaa
@valeriasimon37242 жыл бұрын
....Tangazeni wokovu wake siku kwa siku!
@janem38062 жыл бұрын
Heshima na adhama ziko mbele Zake!!
@rizikiponsiano4002 жыл бұрын
I can't say more, the special vocal tone, the orchestral, the beats, most importantly the superb voices arrangement.
@yorandayorandan4018 Жыл бұрын
Huwa warombo nawakubali sana big up karibu nyumbani mpendwa wangu🙏
@olivervicent58182 жыл бұрын
Salute kwenu hakika mnaimba vizuri Mungu abaliki kipaji chenu
@Kingdon87652 жыл бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu kristu
@EvaristMaganga-wv4gp Жыл бұрын
Mwimbien
@roselambert67003 күн бұрын
❤❤❤
@Kingdon87652 жыл бұрын
Asante sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi Mliotuletea Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
@irenendanzi62423 ай бұрын
❤️🔥
@francmuthoka84772 жыл бұрын
Kazi safi pale❤
@dionisiabaynit29162 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana
@Kingdon87652 жыл бұрын
Mubarikiwe watimishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
@zamdasalumu9740 Жыл бұрын
Hadui zako zako. Watakuja kunyenyekea mbele zako ili neno.linanifulaisha sana
@raphaelomwenga54362 жыл бұрын
Naam!mwimbieni Wimbo mpya kwelii 🤗🥰
@elizabethjoseph94829 ай бұрын
Anastahili kuimbiwa wimbo mpya kila siku kweli
@paulcheyoshimbala14332 жыл бұрын
Great, is among the songs I like ❤️
@lilianalara80072 жыл бұрын
Mwimbieni kwa zaburi,heshima na adhama ,astahili sifa bwana🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🧎🏾♀🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@kastusbonifas2674 Жыл бұрын
❤❤❤❤nawapenda sana
@tesharose50412 жыл бұрын
nice song
@stephenwmbua11442 жыл бұрын
Nice song .. Big up Tenges .. Kazi safi
@magrethndabigeze56107 ай бұрын
Sifa na utukufu apewe Mungu
@wilkisterakinyi7791 Жыл бұрын
Can listen listen several times, God bless you
@governorwetu5383 Жыл бұрын
Kumuimbia Mungu kunapendeza 😍
@floradamas6551 Жыл бұрын
Mungu awabariki kwa utume uliotukuka......
@mbuvimike36362 жыл бұрын
This is awesome.Tenges do you offer piano classes.
@dowatebulyar49372 жыл бұрын
So Beautifu!l
@abelriziki43522 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@elizabethjoseph94829 ай бұрын
Heshima na adhama ziko mbele zake nguvu na uzuri ziko patakatifu pake
@nicodemussicilima83 Жыл бұрын
Very sweet song, sweet voices and very powerful spiritual song
@Spirit.23 Жыл бұрын
Beautiful and sweet voices,👍👍👍
@lakiolando45372 жыл бұрын
Good song ,heshima na adhama
@florianmangasini12692 жыл бұрын
Let's sing for his glory forever and ever.
@josephsikalombo76902 жыл бұрын
Hongereni sana
@bernadetteikandi44382 жыл бұрын
👍
@priscuskimario4952 жыл бұрын
Hakika mmenibariki, mbarikiwe
@annabalikudembe47642 жыл бұрын
Praise him forever and for more and more.
@lilianalara80072 жыл бұрын
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@silvastudiopro2 жыл бұрын
Tenges tusaidie nota bana
@reu.mathematicsacademy85662 жыл бұрын
Your voices are beautiful 😍
@guygerardmaindo32022 жыл бұрын
Louange et gloire à toi Seigneur notre Dieu.
@jacksonhaule28692 жыл бұрын
Mbarikiwe
@djking34182 жыл бұрын
💙💙💙💕💕💚💕💕💐💐💐
@PaskaAlaro-ir6ty Жыл бұрын
Amazing song
@gladysndungu34472 жыл бұрын
Sweet melodies
@BRAMOSCHOOLofMUSIC2 жыл бұрын
Kazi Nauru sana Angalia hii mziki tamu nayo sana kzfaq.info/get/bejne/oM99ZpqIrKvIYIE.html
@gustavkunkuta67332 жыл бұрын
Asanteni sana waheshimiwa kwa uinjilishaji uliotukuka. Soloist madam, hats off.