Kama Umegundua Mtangazaji anahisi Kupigwa radi baada ya Interview. Gonga like
@FirebwizeGelfas15713 жыл бұрын
😂 😂
@khadijagundumu62103 жыл бұрын
ihhiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani
@zeddybass66725 жыл бұрын
kama umeona watu wanavizia camera gonga like
@angeljames20883 жыл бұрын
Hahaha
@victoriankanue78492 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤸🏼♀️
@SaidLikando-ny4fu2 ай бұрын
😂😂😂😂
@fei36685 жыл бұрын
Yan wew mtangazaji unajua kuhoji na unamface mtu adi raha hongera
@vidovidox26325 жыл бұрын
Frida Mbilinyi Asante Sana
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Daaa hongera sana mtangazaji kwa maswali yako mazuri kwa mzee huyo hakika nimekuelewa.
@vidovidox26325 жыл бұрын
Elizabeth Mwandu Nashukuru sana
@cestlaviecestlavie46065 жыл бұрын
@@vidovidox2632 nilitaka nijuwe ni sumbawanga upandegani, nnasumbiliwa sana, mwanangu ana ugonjwa wa ku anguka (kifafa) vile 😏
@jannyalviny92765 жыл бұрын
@@vidovidox2632 hyo mzee ypo sumbawanga sehem gani majanga ni mengi
@jimmylanson21545 жыл бұрын
Mzee anasema wanae wengne mungu kashawachukua dat means ana recognise na Ku appreciate uwepo wa mungu you guys put ur trust in God!!
@johnrimoy3704 жыл бұрын
Mtangazaji interview skill, zimepungua. 1. Watu wanataka kujua radi inatengezwaje( open ended questions) 2.Uko juu juu sana ( explorations ya phenomenon ya radi hujafanya vizuri)
@magazimahushi6417 Жыл бұрын
Daa RIP mzee Fabian. Nilifika kwake mwaka jana mwezi wa 3. Bahati mbaya nikakuta amefariki dunia
@user-es7pv6nf5r Жыл бұрын
😭😭😭😭
@odavia6357 Жыл бұрын
Kakanaomba unisaidie namba Yako ww maana ulikua unamjua zaidi
@essy5038 ай бұрын
Nani karidhi uganga wake anaeza saidia watu
@etrillyodfrex978 ай бұрын
Kaka naomba unitumie namba yko tuongee
@SmilingBread-zx6gz6 ай бұрын
Tuzungumze
@olgavicbindo145 жыл бұрын
Mtangazaji uko vzuri kati ya watangazaji wote wa ayo tv ,Upo vzuri bro hongera sana
@maidasaid94495 жыл бұрын
Shirki ni miongoz mwa dhambi nzito na zenye kuangamiza.tumuogope Allah na tuepukane na shirki...munaochukua namba na kuyaamini haya nanyi munaingia ktk jukumu.
@shemnayghosaima78562 жыл бұрын
Je bunduki na mabomu ni shirki ama????
@samueljr91055 жыл бұрын
Pole kwa kusema hivi, mzee uchawi si dili onee nyumba yako vile iko alafu una ujanja ya kutengeneza radi itoke TZ hadi KENYA kweli Africa imelaaniwa 😢😢na anasisitiza sio uchawi km mtu akikosea unamtumia radi ss si huo ndio uchawi ("baba mbinguni ni mbali") Alafu hawa vijana wadogo wanajivunia kusema namba za simu baba apate kazi huku wakifunzwa uchawi wa radi badala ya kuenda kazini
@francecemamba37485 жыл бұрын
Imelaaniwa akiliyako wewe mbaka leo umetengeneza nini
@samueljr91055 жыл бұрын
Sasa ww akili yako ya uerevu chezea huyo mzee akutumie radi ndio utajua mchawi si rafiki
@emmanuelletema83854 жыл бұрын
Samuel Jr ww una nn ? hujwahi rogwa kudadeq zako ngoj siku ikijakufika
@mariamswedi11402 жыл бұрын
Mpokee Yesu ww mzee usije ukaangamia maana unafanya kazi ya shetani Mungu hapendi
@D.P.O2 жыл бұрын
@@mariamswedi1140 Huo ni uchawi kabisa na Yesu karibu anarudi.
@lugendondayanse49105 жыл бұрын
BABU NAOMBA UOKOKE, , Mtangazi unahoji vzr sana, ila utakuwa best kama utaokoka ili uwashauri wa namna hii wamgeukie Yesu.
@honesternanyaro21065 жыл бұрын
Yesu ni zaidi ya yote .Rudi kwa Yesu las cvyo utapata taabu sana
@pendomkumbo82623 жыл бұрын
Na atapata tabu sana ,maana radi zote alizorushia wenzie zitamrudia zote
@antoinekatembo85203 жыл бұрын
Amen amen
@dunianitv75102 жыл бұрын
Yesu ambaye hayupo nasi?🙄🙄🙄🙄🙄🙄au yesu aliyesulubiwa na wanadamu na akashindwa kujitetea?
@stacymaimuna32605 жыл бұрын
Hakika shirki ni dhambi iliyo kua kubwa zaidi katika dhambi zote. Ya Allah tuepushe na shirki
@mariamjuma10685 жыл бұрын
Amiin
@nyokamuddy41945 жыл бұрын
Amiin
@aminamauhfoda92015 жыл бұрын
Ndio maana wanalaana hawana hata pahali pazuri pa kulala wateja wengi alalapo hapajulikani
@ukhtyzainab72545 жыл бұрын
Aamiin
@princemujuni98035 жыл бұрын
co dhambi kbs ss hapo shida iko wap kumyoosha boya aliyekuzingua
@edrickniwamanya99684 жыл бұрын
Wanaosema Mungu ndo kila kitu wao ndo wakwanza kuwanga
@kimmauston10595 жыл бұрын
Uchawi sio dili unatengeneza radi lkn makaazi hayaeleweki unafaida gani ?
@antoinettedjumapili25225 жыл бұрын
anatengeneza radi halafu yeye fukara saana ivyo? uchawi wa wa Africa bure saana mzungu akijuwa tengeneza radi ata hakikisha dunia nzima imefaidika na yeye mwenyewe anakuwa billionaire
@sampatrick99515 жыл бұрын
Uchawi ni technology yetu Africa
@antoinettedjumapili25225 жыл бұрын
@@sampatrick9951 technology ambayo haiwasaidi hatakidogo ona wazungu uchawi wao wakuruka angani walitengeneza plane na ikafaidi dunia nzima ki usafirishaji na inafanya muchawi alie igunduwa tajiri saana ona uchawi wao wa simu kusumulia na mtu ako upande mwengine wadunia ina tusaidia watu wote na walio igunduwa vizazi vyao vyote vitabaki matajiri Africa una ambia huyo muchawi anauwezo wa kutoka au uwezo wa kufanya mtu tajiri utakuta huo muchawi yeye na kizazi chake maskini wote wa hali ya juu kweli wa Africa ujinga unatusimbuwa
@privatuswapeter44575 жыл бұрын
Kim Mauston Kwa kikawaida Wanao tibu kweli uwa awapendagi ela nyingi ivyo maisha yao uwa ya ivo
@damariszuckschwert94895 жыл бұрын
Umenena kweli, tunapenda kuaminishwa ujinga.
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
Alhamdullilah kwa kutengemea Allah
@husseinomary44665 жыл бұрын
Duh ngoja nijie radi aisee Kuna mpumbavu mjini ananizingua kishenz
@joshuahashim54015 жыл бұрын
Wee mzee laana ya Mungu iko juu yako kama hutatubu kwa Mungu uchawi sio dili.
@mathnasaeed38065 жыл бұрын
Joshua Hashim muache babu ajifaidie utamu wa uchawi bhanaaaa
@rizikisamwel99045 жыл бұрын
Wafrika wanauana kwa uchawi wakati ulaya wanatumia uchawi kutengeneza hela
@damariszuckschwert94895 жыл бұрын
Amen..
@shishismile19735 жыл бұрын
Sasa kama unatibu hivi na vile unakaa apo maskini, ama miungu yako haipendi mijengo mzuri
@samehekyomo90423 жыл бұрын
Ukinichokoza hapo utakua umeniporomoa😅😅
@pakobrand53213 жыл бұрын
Mnapromote uchawi. Mtalaainiwa , subirini.
@shemnayghosaima78562 жыл бұрын
Mbona hamlalamiki kwenye mabomu na bunduki au kwasababu ni wazungu
@shazamzasha21675 жыл бұрын
I thank God almighty coz when He comes in my aid, hakujangi kubahatisha
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
mjue Mungu zaidi ndivyo mema mengi ya nchi yatakavyokuijia.
@nuurinkluge75845 жыл бұрын
Mungu anasema mujisaidieni ninyie nanyi nitawasaidia
@mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын
Nuurin Kluge Mwanadamu huwezi kumusaidia MUNGU hata ck moja utaumia.
@sixbertkomba36314 жыл бұрын
Asante Millard ayo kwa updates
@barakamnai55152 жыл бұрын
Du vijana wa uyu mzee wako kama panya rodi anae amini agonge like hapa🤣🤣🤣
@ashamwandu37815 жыл бұрын
Jamani mungu yupo. Na dawa zipo. Namnaotoa koment zenu kuhusu nyumba yake! waganga wengi hawana nyumba nzuri. manyumba mazuri makaburi ya duniani tu. nyumba ya kudumu ni kaburi lako. nayeye hajawalazumisha mkatibiwe. wabongo bwana unavituko haviishi
@marianachristophory49163 жыл бұрын
Asha umesema kweli.
@shabanimohamedijafar81425 жыл бұрын
MZEE KAMA HUYU BAADA AINGIE MSIKITINI ATUBU.KWAMOLA WAKE KAZI KUSHIKIRIA MITUNGURI NAMIZIMU HALAFU WATOTO NAO WANARISISHWA UCHAWI INNA LILLA WAINNA ILAIHI RAJIUUN ALLAH AMUONGE AISEE MZEE HUYU
@abdubabu49445 жыл бұрын
Mwenyezi mungu amekataa ushirikina jamani tumuepuke huyu mzee tujikinge kwa Allah ili tupate rehema zake insha allah
@carlsonndesanjomwanga20285 жыл бұрын
Uislam Ni uchawi pia
@abdubabu49445 жыл бұрын
@@carlsonndesanjomwanga2028 ukrstu niukafili tu hakuna namna nyingine hakunaga mungu mwenye govi kama alivyo kua yesu
@abdubabu49445 жыл бұрын
Hakunaga mungu mwenye govi kama yesu
@abdubabu49445 жыл бұрын
@@carlsonndesanjomwanga2028 Kwanza kiasili wakristu niwachafu sana hua si wasafi kabisa wengi wao hua wananuka midomo nahata wakienda haja kubwa hwajisafishi ipasavyo niwachafu sana lakini waisla niwasafi wamoyo namwili pia kama prof asadi
@salmaalimusa5475 жыл бұрын
@@carlsonndesanjomwanga2028 uchawi alianzisha mkristo bar Yesu 😀ucjioshe kupitia Uislamu kafiri mnuka shombo ww
@conradiuschrisant64565 жыл бұрын
Mzee yuko vizur huoni kuwa ana bodyguard pembeni
@siwemaking83215 жыл бұрын
hahaha
@clavinarobert60775 жыл бұрын
Hahaha
@reubendick40335 жыл бұрын
Hahahaha
@upendomatinya68513 жыл бұрын
😂😂😂
@filbetinyoni81053 жыл бұрын
wanafuata kamera hao tuwaone
@micamathew64335 жыл бұрын
Jmn uchawi ni noma, yaan ukiamini uchawi bac mwisho wako sio mzuri, jmn hapa duniani tunatafuta mwisho mwema yaan mwisho mzuri, sasa ukiamini uchawi hakika maisha yako yako hatarini, maana yake utakuwa umemwamini shetani.... Ewe mkristo yeyote hata kwa dakika moja usiwahi kuamini uchawi, mwisho wako itakuwa taabu mnoooo.... Amen...
@halifajuma5453 жыл бұрын
Huyu mzee yuko sahihi kuna wachawi wana sumbua watu huyu mzee ata wamaliza
Godlist3n achani wnga unasaidia w2 wkat ww na familia yako mko hoi au nd mgang hajigangi?
@dionisemyigezo91375 жыл бұрын
Intercontinental ballistic missile😁😁😀😂
@dasilvajunior30165 жыл бұрын
Godlist3n hiyo ngoma kutoka urusi
@issaathumani46825 жыл бұрын
😁😂😂
@macklinpeter58644 жыл бұрын
@@dionisemyigezo9137 qonk
@Nilo-hf8ye3 жыл бұрын
Kama umesikia utakuwa umeniparangua gonga like
@allyyuzo93823 жыл бұрын
Sana nilo music home boy green city
@stanleyjacob67445 жыл бұрын
Kwanini Baba yako aliye kurithisha utaalam huo arishindwa kumpiga radi Idd Amin dada,,,,
@dishasuwa76165 жыл бұрын
😂😂😂😂
@siwemaking83215 жыл бұрын
hahaha
@veronicambaga99955 жыл бұрын
Haaaaaaq
@ayeshiiddi82745 жыл бұрын
😁 daah akili zako bhana
@ueberttv57345 жыл бұрын
Nahisi wanataka kufanya jambo la babu wa loliondo hapa lazima kuna kitu
@mwanaidiramadhan39195 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@agnesmwaseba56555 жыл бұрын
Haswaa naona huo ni mchongo kama sio mpango kabambe wa 2019/2020.
@salummuhija44355 жыл бұрын
Ingekuwa matapelitapeli ungesikia tiba laki tano, inaonekana mzee anasaidia tu
@damariszuckschwert94895 жыл бұрын
Babu loliondo aliitisha jero, lakini tapeli vilevile.
@mwachamwacha55385 жыл бұрын
Salum Muhija hakuna msaada kwa wachawi .
@marcmakata2545 жыл бұрын
Kwahiyo anasaidia kuumiza wengine
@kurthumissa68224 жыл бұрын
Salum Muhija una namba ake jaman
@mzazilyimolyimo54655 жыл бұрын
Kama una shida yoyote ile, fanya dhikiri. Mtaje Allah kwa wingi, hakika yeye halali, hashindi na lolote, ndo mlinzi wa viumbe vyake, ndo mtoajia na anajibu dua za waja wake. Achani shirik mwisho wake ni mbaya, rudini kwa Allah mpate rehema zake. Allahu Akbar
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Swadakta
@edinarasta56085 жыл бұрын
Millard Ayo utabaki kuwa juu kwani huwa una longolongo kwenye hbr zako.....big up kaka!!
@castorycastory76325 жыл бұрын
Ee
@stevekayuwi91865 жыл бұрын
Edina Rasta sana
@alexchungu95055 жыл бұрын
Mtangazaji naona una heshima sana, fanya ujinga hapo uone.
@evakiwia67685 жыл бұрын
Watoto wenyew WK km wezi maskin hatar amsaidie nani?hebu mtupe habar za maana achen kupromot ujinga
@Godifrehi-bt3ht5 жыл бұрын
Yes
@evakiwia67685 жыл бұрын
Zeinab Farah umeonaeee anaonekana hajala sk kadhaa halafu anashusha radi eti anatibu sbb yy mwenyew anaonekana mgonjwa hatar
@chachawambura40305 жыл бұрын
Yaonesha anasaidia tu jamii ndo maana hana ukwasi mwingi.
@samaillahchiwila82235 жыл бұрын
Ukiwa na tatizoo ndio utajua kama wanoenda apo ni wakristo na waislam na utagundua ata waganga nao niwatu muhim
@evakiwia67685 жыл бұрын
chacha wambura Hana lolote kusaida jamii gani?kwan hao wtt wk sio jamii?kuwa mganga ni kutafuta mateso tuu hkn faida yyt
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Ngoja nikienda kwa nandy sumbawanga nitapitiapo...hahaaaa
Mtangazaji wangu hiyo siyo jazi ya kutaka jujifunza hiyo mtu wangu. Bora mtu ajifunze kulima mahindi. Hiyo kazi ya la'ana mpaka mbele ya Allah. Kinga onatoka kwa Allah siyo kwa mzee fabian.
@kirundumweteni20722 жыл бұрын
kila mtu na yake baki ba allah
@isserkherry85935 жыл бұрын
Mzee kwann asingeanza kutengeneza hela kwanza, maradi ya nn sasa ,,,mambo mengine bhana
@elisantej55125 жыл бұрын
😅😅
@damariszuckschwert94895 жыл бұрын
Hapo sasa😂😂😂
@godlisten81205 жыл бұрын
😆😂😂
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
🤣😄😂🤣 hana kimbia na hana break
@isserkherry85935 жыл бұрын
@@nickalreadyknows me nashangaa
@raphaelmganga3743 жыл бұрын
Sumbawanga nawanyooshea Mikono🙋♂🧟♂
@jaydon33615 жыл бұрын
Duh umezaa Simba na yanga
@uswizinyanginywa24985 жыл бұрын
Hahaaaa
@oredinondo50444 жыл бұрын
Hivyo vitu vyote ni vitu ambavyo Mungu amewapa ujuzi baadhi ya watu kwaajili ya sisi kuvitumia kwa kujilinda,kupeana adhabu,... Ubaya ni pale ambapo tunatumia kudhuru mtu kudhuru wengine bila sababu ya msingi. Mzungu anaetengeneza nyuklia ama bomu yakuuwa watu maelfu wasiokua na hatia kwa wakati mmoja tunamuita ana utaalamu wa hali ya juu ki teknolojia na kumsifia,ila kwa mzee kama huyo anaeua mtu aliyemuibia kwa radi mnamuita mtu wa shetani, Fikiria sana.
@handenitakuru66962 жыл бұрын
kunahitaji akili kubwa sana hapo, achilia mbali hizo nyukiria Kuna haya magonjwa wanayo yatengeneza hawa wazungu ambayo yameuwa wengi Duniani hawasemi
@kikondosimama13422 жыл бұрын
Ppppppppppp
@wilsonemanuel99152 жыл бұрын
Sasa wew kaka hapo Umechemsha bado kumpa salaya toba hakili kilito wew Unafanya hatoe Namba ya simu Eti watuwaje kwake hatakuja MTU hapo
@dunianitv75102 жыл бұрын
Achana nahao wanaojifanya wanamjua yesu sana kuliko Ibilisi anavyomjua yesu. Hawajui huo wanaouita uchawi ndio uliitwa muujiza wakati wa yesu
@fatumanasoro50572 жыл бұрын
Wee unaongea pumba
@peterkyese45165 жыл бұрын
Yesu ninusuru mm mweeh kumegemea mwanadam dioh
@maryameliya13675 жыл бұрын
Kaka upo vizur kwa kuhoji rahaaa
@januarymassawe19453 жыл бұрын
Piga kazi babu kiboko
@NyotaBalolane.3 жыл бұрын
Mzeee mungu akuhurumiye sana sababu njiya yako ni mbaya ila yesu christu anakuitaji uokolewe njiya ya kweli ni ya uzima wa milele na wale watoto wako unao wafundisha piya mungu anawaitaji wamurudiliye tu
@NyotaBalolane.3 жыл бұрын
Andika kwenye KZfaq" SAMEHE" by nyota balolane 👏
@wilsonjohn19195 жыл бұрын
Duuuu ukinichokoza utakuwa umenipalamula, hatar sana babu weeeee
@mamachris68115 жыл бұрын
Ha ha haaaaa ! kupalamula msamiati mpya
@gabrielmalecela37015 жыл бұрын
😂😂😂 we jichanganyee umpalamleee tyyuu dah
@beatriceisack53175 жыл бұрын
Hahahahaaa
@sylivestermwasile42033 жыл бұрын
Oya alieniuzia kichwa cha USB kariakoo akanambia ni flash GB 16 mwambieni nishafika salama kwa Mzee fabiani mpeni taarifa
@emmanuelshalom76123 жыл бұрын
Hahahaaaa nisamehe brodter maisha tu daah
@taifocuscompany92465 жыл бұрын
Ayo mnapenda sana mambo ya ushirikina..
@sarajastiny65204 жыл бұрын
Jamani mtangazaji naomba namba yahuyo mzee au nielekeze kijiji anacho ishi please
@abdallahsaid54975 жыл бұрын
Mganga wakweli hakai nyumba mzuli
@graceassa25875 жыл бұрын
Anakaa bhna ww sema mganga wa kweli achaji kias cha pesa unampa chochote ulichonacho sasa kama mganga mkulima anapesa zake ashindwe kujenga kisa uganga mmmh
@francecemamba37485 жыл бұрын
Imani yakotu najisi alivyo jipanga kuishi
@nailahaule7055 жыл бұрын
Abdallah Said kweli kabisa
@financialloan98185 жыл бұрын
Amna mganga wa kweli awa wotee ni watumishi wa shetani tukiangalia kwenye torati ya musa waganga awakua na nafasi Mungu alisimama na musa waganga wakashindwa...tukiangalia kwa kina Daniel waganga walishindwa kutafsili ndoto za mfalme nabukadeneza ila Daniel aliweza maana Mungu alijifunua kwake na waganga wakaamuliwa kuuwawa na Daniel akashika nafasi so waganga ni watumishi wa shetani sio wa Mungu ata kidogo....
@estasage55063 жыл бұрын
Mimi nasaidiwa na Yesu Kristu wa Nazarethi. Sisaidiwe na agents wa shetani in name of Jesus Christ of Nazareth. Wapigwe kwa damu ya mwana kondoo. Yesu kristo wetu ni Mungu
@danielwilfred26095 жыл бұрын
Watoto 24 #u a the man😁😁
@drritte69675 жыл бұрын
Mrudie Mungu kabla mauti haijakufika maana jehanamu ya moto ipo.
@NyotaBalolane.3 жыл бұрын
Amen
@leonceurio14673 жыл бұрын
Kula mtu apa duniani kapewa huduma na Mungu Huyo aukumiwi ndio huduma yake kwan hadhuru
@blandonkisinga27165 жыл бұрын
Naona na matoto yamesha lith uchawi tayale, kaa dunia hiii yamesha lith umaskin kabisa hakuna maendeleo hapo.
@shakilamasoud89795 жыл бұрын
Eti ukinichokoza ..umeniparamura😂😂😂😂
@danieldaniel-lb2on4 жыл бұрын
Hahaa!
@agentchidisautimbaya21413 жыл бұрын
Hata Mimi nimepaelewa hapo
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
Namtengemea Allah peke yake ndo anaweza wengine majanga tu
@yeshuasweapon43843 жыл бұрын
Njoo kwa YESU
@johnsonjusto95645 жыл бұрын
Mzee unatimu ya football na netball
@kelvinmwage89865 жыл бұрын
Yup vizuri
@jimmymaingi59675 жыл бұрын
God is the key to all problems
@angelinasimchimba7055 жыл бұрын
Mathias msumeno(ulimwanawitu,wamulola umukombe wiyo vyooo akudanganya ayantu,.......mfipa mjinga alie gizani,sisi tulio na YESU,tunaishi kwa amani,....wanaishi maisha ya laana na mikosi tu,sisi tunarithishana imani ya Bwana Yesu,wao wana rithishana uchawi....UPUMBAVU ULIOKITHIRI
@stephanomnyakiju71495 жыл бұрын
Angelina Simchimba mh! balaaa
@shemnayghosaima78562 жыл бұрын
Raha gani uliyokua nayo? Mbona ndugu zake wapalestina hawana raha unayo wewe????
@antonnyshadrack41365 жыл бұрын
mťangazaji uko Powa sanaaaaaa
@kuchumamakesi93823 жыл бұрын
Nilichojifunza kwa Fabiani anzuia mambo mabaya yasitokee yani wachawi wanaowaua wenzao bila huruma ndo anawashughulikia, wezi, majmbaz vibaka wote anawafumua anaemdharau hajawahi kuumizwa
@petermuganda37065 жыл бұрын
mtangazaji uko vizuri
@georgeswaiswai45812 жыл бұрын
Milady wapo kwa ajili yakukusogezea habar wewe kama nimtu wamungu umeokoka jipange upande wako wakristo,piga maombi uzizimishe rad za mzee,maana nayeye yupo anaemtumikia
@mohamedissakaishema98953 жыл бұрын
Allah atuhifadh
@thomaszakayo75365 жыл бұрын
Dawa ya kujikinga ni Yesu tu..
@maryemmanuel65895 жыл бұрын
Amen
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Jaman mnasema ajenge nyumba kwani amesema anaagua kwa biashara?anasaidia tu jaman?waganga wa pesa sio kabisa...unakuta eti mganga anasmartphone..ananyumba nzuri...majanga...
@mbwanarajab72385 жыл бұрын
Tutaftie fisi tupige bodaboda huku,kwan usafr ni shidaa kwetu
@moviezakutafsiriwa10495 жыл бұрын
Nimekuelewa,Lakin Mzee Wangu Tujenge Nyumba Sasa.
@leylasaid26165 жыл бұрын
Piga ua garagaza hawa watu wanamna hii yaani wenye asili ya uganga huwa hawanaga maendeleo..asilimia mia
@hezronpeteruggh6844 жыл бұрын
Watoa huduma hawawi matajiri
@FUNDIMAKAVAKIGOMA3 жыл бұрын
Nyumba ndo nini wew
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
😁😁😁
@mankialema64905 жыл бұрын
Makazi hafifu,afya hafifu,waliomzunguka kizungumkuti, Kazi yoyote isiyokuwa na baraka za kimungu Haina baraka hata kidogo Wateja Toka Kongo,Kenya, Uganda,Zambia,SA,huwa wanakuja kupata Tiba bure? Wiiii SI ningeona gorofa happy Acheni Mungu aitwe Mungu,,ole wake atakayemtegemea mwanadamu atakayekufa muda wowote
@mwazanimnyamani84935 жыл бұрын
Watu wote wanaojifanya wao mungu MTU matokeo yake yanakuwaga namna hiyo.koti kubwa kama nyumba ya mende
@josephmayunga78615 жыл бұрын
Kweli
@riz00rajebo825 жыл бұрын
Radi zauwa watu kumbe ww ndo wa tengeneza jipange NA lakumjibu allah wako
@oracleemanuely79464 жыл бұрын
mankia lema mizimu aitaki gholofa
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
😁😁😁😚
@simontamba12855 жыл бұрын
Yesu Ni zaidi ya ....
@princemujuni98035 жыл бұрын
ni kweli kbs Yesu ni zaidi lkn kuna vitu vingine huwa havimuhusu hlf yy ndiye final nikishindwa humu dunian bac msaada wangu utatoka kwake
@suzanamenamenswingahallelu1985 жыл бұрын
Amen .God always is hiller
@irenemassuky25214 жыл бұрын
Nimwiz uyo sio mganga
@NyotaBalolane.3 жыл бұрын
Amen sana
@hamisikabwe39805 жыл бұрын
Mzee yupo vzr sana kikweli.
@kurwpaul11344 жыл бұрын
Hamisi Kabwe yupo vzr kwa anaye mwamini
@taifocuscompany92465 жыл бұрын
Milad kuna watu wengi sana wanafanya mambo ya maana... Achana na wachawi hawa ni hasara tupu
@jescasamwel33745 жыл бұрын
Ciamin uganga namwamini mungu wang alie jua
@NyotaBalolane.3 жыл бұрын
Amen
@hafidhyakoub53505 жыл бұрын
Jamaa unamuogopa mulize vizuri ana tengeneza vp radi
@user-po8hz7xw9j3 жыл бұрын
Miladi namba sana namba yahuyo mzee kunamtu kanizurumu hela nyinyi naombasana samahani
@nadystyle3394 жыл бұрын
Waru wakijijini wana lifestyle yao eti anawasogeza watoto waonekane kwenye camera kawashikia na fimbo kama ng'ombe 😂
@V.O.T4 жыл бұрын
Kumbe tunazo silaha nzuli tu kuliko nyukria ,atenge neze nyingi tuzi fanyie majalibio ya kiulinzi ,tusiwe na mawazo duni
@ombenimshahara28383 жыл бұрын
Kweli kaka umewaza mbaliii
@Ishengoma15 жыл бұрын
Mzee wa radi dah! Ile kitu noma. Iliwahi kunikuta huku nikipika. Nilisikia paaaawhaa nyota mia, sufuria kule, mwiko kule...mafiga hayakuonekana. Dahaaaaaaa!
@saleheinnocent76365 жыл бұрын
😁
@immamrema22885 жыл бұрын
Duu mm namikos Kama yote inabidi nimtafute UYU MZEE haloo miladi ago mniunganishe😢😢😢😢
@marthakingu4756 Жыл бұрын
Mambo
@muhammadmbaruku11714 жыл бұрын
Towa namba zako mzee na aniwani ya mahala ulipo
@yelemiakameta60334 жыл бұрын
Mungu akusaidiye ujenge nyumba
@G.r.e.a.t.I.Q10 ай бұрын
Eh, Babu Fabi... Ina maana hapo ni Tanesco kuenda mbele! Anaye leta ujinga anamurikwa!
@kiatu5 жыл бұрын
Je hii elimu dunia imeshafanyiwa research hata kidogo na sisi wa-afrika? Ama mzungu alisema ndio basi tena?
@martinjosephat69704 жыл бұрын
Hakuna cha waganga mganga in mungu pekeake
@marygregory75665 жыл бұрын
Yesu ndo jibu
@diamondplatnumz415 жыл бұрын
We mungu
@peterkyese45165 жыл бұрын
Xaxa anawateja nchi zotee hizoo afu makazi hayaeleweki doooh...jamani hi dunia ina mamboooo jamann🙄🙄🙄
@mathnasaeed38065 жыл бұрын
Peter Kyese yeye anawasaidia hebu msikilize vizur kamaanisha hatibu kwa tamaa bali anasaidia watu km unalo tatizo nenda ukajichukulie radi yako
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
Mathna Saeed anawasaidia ndiyo lakini anapata chochote mtu hawezi ingia gharama zake kukutengenezea tu maisha haya
@salmaothuman97625 жыл бұрын
Maana unafanya uchawi hauna faida unaishi maisha magumu halafu unafanya shirki bila kumuamini mungu
@foodmark4825 жыл бұрын
Mzee Fabian tena eeeeeh nabadilisha jina uwiiiiiii
@antonyjeremia72245 жыл бұрын
Food Mark babu ni noma
@emmanuelmbuliimo70553 жыл бұрын
Na Mimi Kuna mganga mkuu YESU KRISTO ATUPENDAYE Ni tabibu mkuu wa matatizo yetu yote Ni mkuu sana kuliko yeyote na yeye na mkaribisha na mtu awaye yeyote Yesu kristo yupo pamoja nasi
@annenduku52433 жыл бұрын
Mzee Fabian angali hai?ningemtaka nizungumze naye
@tausingomeni25685 жыл бұрын
Hakun mgonjw hat mmoja aliyejilotea kumjengea hat nyumba aliyefanikiw jmn