MZEE MSUMI" HATUMTAMBUI MAGOMA/ANATUMIKA KUCHAFUA KLABU/KUNA WATU WAMEJIFICHA NYUMA YA PAZIA

  Рет қаралды 97,909

Mpenja TV

Mpenja TV

Күн бұрын

Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.

Пікірлер: 201
@ZanikMwakanyamale
@ZanikMwakanyamale Ай бұрын
Safi sana angalau akili yangu imetulia... kweli daima mbele nyuma mwiko 💛💚
@hawajohn749
@hawajohn749 Ай бұрын
Mimi nilivoona hizi taarifa nilivurugwa kiukweli
@Ramadhani-y6e
@Ramadhani-y6e Ай бұрын
Mwenyewe kidogo I'm happy now
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 Ай бұрын
Asante Mzee wetu Umeongea point zote sisi ni Yanga moja tusonge mbele
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 Ай бұрын
UTOPOLO mejambishwa n mzee magoma 😂😂
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Ай бұрын
CHANGAMOTO ZITAIFANYA YANGA ICHUKUE KOMBE LA AFRICA CHAMPIONS LEAGUE....WANACHAMA TULIENI EVERYTHING WILL BE ALRIGHT....VIVA YANGA VIVA.❤LOVELY YANGA.
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani Ай бұрын
Kipeni moyo
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Ай бұрын
Soma ulichoandika kabla ya ku share,,, utajitukana bure kisa yanga inakuumiza roho " # Daima mbele ​@@AishshibnShibani
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani Ай бұрын
@@damianmcba9525 nikitukaba sindio vizur ww yanakuhusu nn kama nimekosea embu pelaka mwiko wako uko nyuma
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani Ай бұрын
@@damianmcba9525 kwaro gani yakuniuma kisa utopolo
@ruthkami2273
@ruthkami2273 Ай бұрын
Mzee Msumi Mungu akutunze
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa Ай бұрын
Kateni rufaa akishindwa hiyo mzee afutwe uanachama mnapata tabu na mtu mmoja hiyo hataki maendeleo ya yanga
@GraceMarine-vo9hu
@GraceMarine-vo9hu Ай бұрын
Yeye mwenyewe ameshakataa amesema hicho kinachotambaa mitandaoni kimetoka wapi? Kina lengo lakumchafua, anadai endapo angekuwa amepeleka kesi mahakamani na akashinda kesi inamaana yeye ndo angepewa nakala ya hukumu kisha yeye angetuma watu wake waipeleke yanga, Sasa yeye hana nakala ya hukumu, hana nakala aliyoituma yanga ameshangaa tu nayeye ananyooshewa kidole bila kujua yanayoendelea mitandaoni yametoka wapi
@rahmaabdul1820
@rahmaabdul1820 Ай бұрын
MPAKA hapa tunapoongea sio MWANACHAMA WA yanga maana tangu KADI mpyaa zitokee hajajisajilo
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 Ай бұрын
Rufaa ya nyokwe
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa Ай бұрын
@@chinaaudax6459 rufaa ya nyokwe
@mcnakupenda
@mcnakupenda Ай бұрын
Mzee yupo vizuri sanaa
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r Ай бұрын
Msumi Asante ngojanijiandae nikanywe kahawa umenitia moyo sana.
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 Ай бұрын
Ikithibitika Magoma anayumika kuiharibu Yanga ahukumiwe kwa kosa LA kuifhalilisha klabu na uongozi wake
@user-lx9jl7de3m
@user-lx9jl7de3m Ай бұрын
Afungwe
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Ай бұрын
Hakika,anawadhalilisha viongozi wetu,anataka tuanze vibaya
@TwahirAlly-w4g
@TwahirAlly-w4g Ай бұрын
Nipeni namba za huyu mzee ana facts sana nimtumie chochote ila huyo magoma jau sana ni simba huyo
@user-bj7kd8es2x
@user-bj7kd8es2x Ай бұрын
Akitoka Engnea tutaandama kakenya wakalale tutpiga watu huyo magoma.
@akimAkimuWA-m3t
@akimAkimuWA-m3t Ай бұрын
Zipigweeeeeeeeeee
@user-ym4pf9ib6o
@user-ym4pf9ib6o Ай бұрын
Huyu mzee ni adhina ya taifa letu ana elimu ya kutosha pia ana uwezo mzuri wa kuifadhi nyaraka za taasisi mungu akubariki baba angu
@kazimilykulwa2516
@kazimilykulwa2516 Ай бұрын
Huyu mzee Yuko vizur 🤝🏾
@kayikumazoya322
@kayikumazoya322 Ай бұрын
Umeelezea vizuri sana, watu huwa tofauti sana ata ukiamka ugawe maadazi kila siku kwa majirani Kuna wengine watasema umetuona hatuwezi kutafuta hela ya kununuliia maandazi amaanisha nini si kila umuonaye akufurahie, kuteseka kwako ndio furaha kwa mwenzako
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 Ай бұрын
Magoma tuna kaziii nae 😢😢
@leonardbihemo4797
@leonardbihemo4797 Ай бұрын
Huyo hakimu pia aliyesikiliza kesi achunguzwe huwezi anadhalilisha mahakimu wenzake
@user-ws5uj8rz6r
@user-ws5uj8rz6r Ай бұрын
Mzee nazingua kama kashiba makana mwembieni akacheze anako chezaga atuwache naichinia uwetu
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Ай бұрын
😂😂😂 kashayatimba kwa wazee uyu magoma ngoja wamnyooshe
@user-nx9sm2ry3g
@user-nx9sm2ry3g Ай бұрын
Safi sana nimejikuta nalala vizur sana mzee umepigaje hapo?
@HabibuHeri
@HabibuHeri Ай бұрын
Asante mzee msumi nimekuelewa yanga tupo pamoja
@Mudathir-tx1md
@Mudathir-tx1md Ай бұрын
Magoma ni mdogo wake mangungu kabc😂 sasa kazi ipo
@josephmwangita7041
@josephmwangita7041 Ай бұрын
Asante mzee wetu
@hawajohn749
@hawajohn749 Ай бұрын
Nimekupenda Bure mzee msumi
@mgobanyapazi7738
@mgobanyapazi7738 Ай бұрын
Anatafuta kufa bila kujijua. Mzee Msumi anajielewa sana. Sijui huyo Magoma kama anafika hapa kwa uelewa alionao Mzee Msumi
@user-lq1fm4dj2n
@user-lq1fm4dj2n Ай бұрын
Mzee mungu akubariki
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 Ай бұрын
Magoma na Mangungu ni ma homeboy ndo maana wanafanana😅
@robertempire9542
@robertempire9542 Ай бұрын
+Akilimali😂😂
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 Ай бұрын
Huyu ni Mzee wa maana kabisa tuachane na magoma
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 Ай бұрын
Asante Mzee msumi
@alexsikab6433
@alexsikab6433 Ай бұрын
Magoma aje Simba ndo tuwe tuna washenyenda vizuri
@elment7269
@elment7269 Ай бұрын
Mzee anapoint sanaa
@thabithamagnus638
@thabithamagnus638 Ай бұрын
Wananchi tumechukia mno mno kwa kweli,atuondolee nuksi hapa,Magoma umetuudhi
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Ай бұрын
KATA MIRIJA YOTE YA HAO WAZEE WALIZOEA KUZURUMU DAMU ZA WACHEzAJI NJAA ZINAWASUMBUA, bRAVO ENGINEER KWA MAENDELEO MAKUBWA YANGA , MIMI NI SIMBA LAKINI BIG UP KWA ENGINEER MFANO WA KUIGWA!!!
@rigobertdimoso6637
@rigobertdimoso6637 Ай бұрын
Hukumu itelelezwe haraka kama viongozi hawajakata.rufaa Magoma apewe timu yake kashinda kesi kwishaaa
@MariaNicolaus-uk8of
@MariaNicolaus-uk8of Ай бұрын
Upo sawa baba washindwe kabisa kusambalatisha yanga
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Ай бұрын
Mzee naomba namba yako nikutumie hela ya soda,pili huyu kagoma mnyanganyeni kadi ,kagoma ni mtu wa simba na mo anawatumia
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini Ай бұрын
Saf mzee wangu
@user-kz8di5th6e
@user-kz8di5th6e Ай бұрын
Mzee msumi upewe mauwa yako 🎉🎉
@MuddySalim
@MuddySalim Ай бұрын
Good up sanaa mpeni salamu magoma
@meckcassius3983
@meckcassius3983 Ай бұрын
Mzee anajielewa sana🎉🎉🎉🎉
@TravisGvn
@TravisGvn Ай бұрын
Interview bora hii 👏👏
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini Ай бұрын
Nicee
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz Ай бұрын
inamaana izi mahakama zetu zinapokea tu kesi bila kuangalia ukweli wa kesi hizo
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 Ай бұрын
Kwani mahakama inatoa hukumu bila kuwepo mshitakiwa ? Huyo magoma ameendaje huko ?
@TashirfaHashim-w2w
@TashirfaHashim-w2w Ай бұрын
Uwe unasikiliza vzur
@mohamediibrahimu7064
@mohamediibrahimu7064 Ай бұрын
Uko vizur mzee umetoa elimu tosha
@OmarySamata
@OmarySamata Ай бұрын
Mzee unaongea point sana
@robertmswanyama8488
@robertmswanyama8488 Ай бұрын
Kwanza sio mwanachama hai iyo mahakama inasikiliza kesi iliopelekwa na mtu ambae sio mwanachama hai iyo hukumu ajaielewa kabisa na atuto waelewa
@user-qw2ti8mo1b
@user-qw2ti8mo1b Ай бұрын
Safi sana Mzee
@thabithamagnus638
@thabithamagnus638 Ай бұрын
Jamani huyu Magoma angekuwa Wananchi tulivyochukia?Au kuna Siri nyuma ya pazia? Maana wenye vyeo nao wanaweza kuvuruga jambo jema kwa kumtumia mtu wa chini kabisa! Sura yenyewe ya Magoma inaonyesha ni mtu wa kuomba hata hela ya mboga,Kweli ndiyo tumpe tomu mtu kama huyo jamani
@user-uk9vr6yk5v
@user-uk9vr6yk5v Ай бұрын
Magoma tuna kazi naye ameyatimba
@DottoMoshi-x9o
@DottoMoshi-x9o Ай бұрын
Uyo mzee magoma ameyatimba bola ata akacheze anako chezaga
@EmanuelMika
@EmanuelMika Ай бұрын
Mzee wa yanga umefafanua vzr
@rigobertdimoso6637
@rigobertdimoso6637 Ай бұрын
Magoma yupo sahihi na ndio demokrasia yenyewe
@LisiasiFanueli
@LisiasiFanueli Ай бұрын
Huyo mzee maga Hana mpango anatafuta kk yakujulikana anaona jua linatua bila kujulikana
@ImanueliMwakajinga-ry8ig
@ImanueliMwakajinga-ry8ig Ай бұрын
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO🙌🏽🤗
@edwardchecha-gz7sr
@edwardchecha-gz7sr Ай бұрын
Mzee katulia kweli Katika maongezi yake
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 Ай бұрын
Mzee msumi anatetea ugali wke UTOPOLO lkn mzee magoma yupo sahh 😂😂😂
@ZephaniaMgaya-ns5vm
@ZephaniaMgaya-ns5vm Ай бұрын
Huyo mzee magoma ni chizi akapimwe milembe
@magoripiru1757
@magoripiru1757 Ай бұрын
Atusomee kifungu cha katiba
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 Ай бұрын
Kweli baba ilo magoma lifuteni uwanachama lisiwaumize kichwa yeye nani katika timuyetu nyinyi ndiowazee mnaojitambawa ilo magoma halijitambuwi lifukuzeni lisitualibie timuyetu wehu huyo
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Hawa wenye vichwa vinavyoelekea Kiisugu
@hashimurashidi6573
@hashimurashidi6573 Ай бұрын
Wapeelim mzeewangu
@PhilimoniKazungu-bi2ru
@PhilimoniKazungu-bi2ru Ай бұрын
Magoma nimabaki ya mzee akirimali
@MahmoudKhamis-cv9pi
@MahmoudKhamis-cv9pi Ай бұрын
Huyo mzee anaelezea Katiba ya Sasa laki kesi aliyo shinda Magoma ni Katiba iliyo pita kabla kuundwa ya sasa
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 Ай бұрын
Daaah.....afadhari naanza kupata amani ya moyo ila magoma
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Ай бұрын
Kajua kutuchangamsha mi nimelala na marue rue shenz kabisa hyu magoma
@JumanneIbrahim
@JumanneIbrahim Ай бұрын
Magma ni mshenz sana
@yakubuipariro6392
@yakubuipariro6392 Ай бұрын
Magoma akapige2 ngoma takukur wamchunguze inawezekana katoka kuzim kwan hao sindo wanaouuza viwanja mbingun😮😮😮😮😮
@HanifaBruno-lv1qf
@HanifaBruno-lv1qf Ай бұрын
Anatumiwa na watu wavuruge kwa uwezo wa mungu huyu shetani magoma mbwa kabisa tena mshenzi
@ridhiwanijuma5743
@ridhiwanijuma5743 Ай бұрын
Kumbe tuna wazee wenye akili nyingi kuliko ata wachambuzi
@FrancisBogori
@FrancisBogori Ай бұрын
Huyo Mzee me nikwambie yanga daima mbele nyuma mwiko
@michaelmpangwa6366
@michaelmpangwa6366 Ай бұрын
Hilo zee Lina njaa hakuna kingine njaa tupu
@lwzmangulu7532
@lwzmangulu7532 Ай бұрын
Huyo mzee bahati Yake yaan angekuwabmtaani kwetu si tungemuongezea kiparaa aseee
@MombokaMomboka
@MombokaMomboka Ай бұрын
Msumi uwezikusemakweri godoro unaroraria rinachapa GSM.
@user-ru1yk6tc7w
@user-ru1yk6tc7w Ай бұрын
Sawa mzee
@sadicksalekhe
@sadicksalekhe Ай бұрын
Hao wazee wote hao ndio wanachangia kuiloga simba
@KhamisHassan-ql5ut
@KhamisHassan-ql5ut Ай бұрын
KESHATUCHOKOZA MAGOMA NGOJA TUMTIE UBOVU NA HATUMUACHI
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 Ай бұрын
HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises Ай бұрын
uyo mbwa magoma, asitake kutuona wabaya,magoma magoma,kama autkaki kuishabikiya yanga toka 😮
@aminangano3635
@aminangano3635 Ай бұрын
👏👏👏👌💛💚💛🙏
@SammyMwita-z7e
@SammyMwita-z7e Ай бұрын
Hyo mahakama imerogwa,,,,,,wameona yanga inaendelea vzuri wanaleta longo longo ikasome kwanza Allah
@AbdallaShaban-j1q
@AbdallaShaban-j1q Ай бұрын
Huyo mzee atuachie yanga yetu mzee mchaw huy katumw
@user-ut9zv7ft1g
@user-ut9zv7ft1g Ай бұрын
Wafafanulie vixuri kwa sababu wameshikilia kidedea mno
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 Ай бұрын
DAWA NI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO TUUFUTE SABABU NI WASALITI WAKUBWA
@valentinoswenya748
@valentinoswenya748 Ай бұрын
Watu wasiojulikana wausike nae uyo mzee
@user-sy4wf5ll4o
@user-sy4wf5ll4o Ай бұрын
Magoma uko vzr broo
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Ай бұрын
Huyu sio magoma huyu ni Mgumi. ,,,,Magoma ndio mzee anaeleta njaa, Zamani walikuwa wanaenda klabuni kukinga,,Sasa hivi akuna hiyo ndio mzee ana mind
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Ай бұрын
Huyo Mzee Magoma wala siyo ni tapeli wa viwanja anashinda kila siku pale Ardhi House
@enockjoseph3818
@enockjoseph3818 Ай бұрын
Fact ni kwamba Mzee alitaka apewe nafasi flani ambayo atakuwa anapata chochote kitu halafu awe na sauti pia ifike sehemu tukomeshe huu ujinga na hii inshu jamani tunaimaliza sisi mashabiki juu ya huyu Mzee timu ikifanya vizuri wasemwe wakifanya vibaya wasemwe mashabiki tumvae huyu mtu kwanza alikuwa mwanachama huko katoka kwahiyo Sasa hivi sio mwanachama tunahangaika nae vipi ?
@maryfides591
@maryfides591 Ай бұрын
Uyo mzee hanatafuta kifo tu😮
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg Ай бұрын
Kwakwel 😅😅😅
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi Ай бұрын
Magoma 😢😢
@GULIELMAS
@GULIELMAS Ай бұрын
Wazee msibaguane. Huyo mzee magoma ni mzee mwenzenu msimtupe kwa namna moja ama nyingine. Ukimsikiliza utagunduwa kitu. Clabu mliipokea toka kwa Wazee mkiwa kitu kimoja iweje Leo mu mtenge? Bila shaka kama mngalikuwa mna jinsi ya kuwaangalia hao Wazee wala wasinge peleka case mahakamani. Acheni uroho juaneni.
@user-ck6lf9gg6v
@user-ck6lf9gg6v Ай бұрын
Shida tumachagua watu kwa weredi wa kusema sio kwa uwezo wa elimu tutafute viongozi bora hakuna anaewatuma ni uwezo wao tu umefika mwisho eti unaomba ngoja niseme unasema ujinga njaa tu sasa kuwa mwanachama toka 77 umesaidia nini
@gaddafiswallahbawazir7999
@gaddafiswallahbawazir7999 Ай бұрын
Magoma mirembe anaitajika 😂😂
@MonahMosafiri
@MonahMosafiri Ай бұрын
Mbele daima nyuma mwiko
@saidseleman2973
@saidseleman2973 Ай бұрын
Ilo jambo la kishelia amuezi kutoa maamuzi
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 Ай бұрын
Najaribu kujiuliza swali hv kuna Club za Nje ya Nchi zina wazee kwenye uongozi wanaojiita baraza.
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 Ай бұрын
Kagoma jeshi la MTU MMOJA (Putin)
@user-kz8di5th6e
@user-kz8di5th6e Ай бұрын
Uyo ni paka kama mapaka walio mtuma
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Ай бұрын
Hili pepo kagoma linatoka wapi?
@nuruelsamiu
@nuruelsamiu Ай бұрын
Kajib mahakamn
@IbrahimMohammed-f2t
@IbrahimMohammed-f2t Ай бұрын
Magoma anakitu nimegundua sasa mwnachama anafaidika na nn kwanu mashabiki na wanachama😅😅😅
@yuzolove7120
@yuzolove7120 Ай бұрын
Huyu magoma tutampiga mbuzi kagoma mpuuzi sana
@AbdulMuhammed-e5q
@AbdulMuhammed-e5q Ай бұрын
Me ctaki kusikia kuhusu injineer kuondok na kama akiondok tunahama yanga
@LisiasiFanueli
@LisiasiFanueli Ай бұрын
Huyo Hakim alieamua hiyo kesi anafi........
@KhamisHassan-ql5ut
@KhamisHassan-ql5ut Ай бұрын
HEBU HUYO MAGOMA TUACHIENI SISI HUKU ZANZIBAR TUMFANYIE KAZI
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 50 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 19 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 77 МЛН
ENG. HERSI SAID, RAIS BISHOO ALIYELIFUATA KOMBE MSIMBAZI
5:32
Sportvia Media
Рет қаралды 5 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 383 М.
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 50 МЛН