No video

MZEE MWENDA: ANAYESEMA CHAMA KAZEEKA ANA KANSA YA UBONGO/ MO DEWJI ANATUONAJE SISI?

  Рет қаралды 45,317

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Ай бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 102
@mwamvuarashid290
@mwamvuarashid290 Ай бұрын
Huyu teacher mwenda huwa namwelewa sana Simba mnafeli wapi watu Kama Hawa walitakiwa ktk kamati ili kuwashauri
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Ай бұрын
❤nimekuelewA mzee mwenda
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Ай бұрын
Mzee mwenda unaujua mpira vizuri
@hafidhkikocho9161
@hafidhkikocho9161 Ай бұрын
mzee baba nimekuelewa sana
@user-sm6mq1du3c
@user-sm6mq1du3c Ай бұрын
Dah mzee wang nakuelewa
@imanishabani37
@imanishabani37 29 күн бұрын
Mzee mwenda Nomaaa sanaaa
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf Ай бұрын
kk mwenda nisameeeee naumia mm natamani kujitoa roho hv chama wapi ubovu wake katusaidia mangapi au siasa ya mpira wetu
@nurdinngalo-hj1ow
@nurdinngalo-hj1ow Ай бұрын
Kaongea point sana simba wana tajiri ila tajiri wao ni janja janja
@edinamwanasenga1584
@edinamwanasenga1584 24 күн бұрын
Mwenda yupo nvizur sanaa wampe usemaji simba❤❤❤❤
@EnockKombolela
@EnockKombolela Ай бұрын
Mzee mwenda nakuelewaga Sana Mzee wangu hongera
@Sukuma_Tv
@Sukuma_Tv Ай бұрын
Mzee Mwenda unaongea ukweli mtupu mzee wangu
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf Ай бұрын
upo vzr mwenda
@imanishabani37
@imanishabani37 29 күн бұрын
Kocha Mwenda Kiukweli Wewe unaongea vzr sanaa kwenye masuala ya mpira kuna watu wanakubeza lakin huo ni ukweli
@user-oz4gz8kq9e
@user-oz4gz8kq9e Ай бұрын
Mwenda uko vizuri sio kama hao mshabiki wengine matako wa Simba wasio na akili Chama kaisadia Simba robo fainali klabu bingwa mara zote.
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga Ай бұрын
we msenge acha kututukana sawa mpuuzi tatizo la mwenda ni mtu flan anayejiona ni Bora kuliko wengine kwanza siyo mchambuzi naona amekuwa maarufu Kwa kuitwa kwenye hizo midia bas anaongea vitu hata havieleweki
@charlesmkisi8052
@charlesmkisi8052 Ай бұрын
Mzeee mwenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@HenryMnungu-kj2hr
@HenryMnungu-kj2hr Ай бұрын
Huyu mwenda kumbe ni mwendawazimu Kwa kirefu... Mara zote alikuwa akimponda chama.... Leo amekua mzuri...
@yummaskitchen6167
@yummaskitchen6167 Ай бұрын
Mwenda unaongea fact Sana
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 19 күн бұрын
Jamaa ana hasira sana huyu! Anaweza kumtafuna mtu akijichanganya.
@obedyjohn5350
@obedyjohn5350 Ай бұрын
Mzee baba wew unajua uongo dhambi
@briantafari9224
@briantafari9224 Ай бұрын
Mzee Mwenda wapashe...
@user-vm4zq7kf4e
@user-vm4zq7kf4e Ай бұрын
Nakuelewa kamanda mwenda
@elgringo8592
@elgringo8592 Ай бұрын
Kweli mzee mwenda ukoo wa fisi ule😅😅
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d Ай бұрын
Kweli wew mzee choko kweli hata wew ulisema chama mzee kwani chama sio mzee ana miaka 26 au miaka selasini na mbili chama mzee Tena chiba
@user-cu8dm6eh3g
@user-cu8dm6eh3g Ай бұрын
Wewe mwenda mnafiki Sana ulimkataa Chama lkn leo umebadilika kumbe wewe uongo kweli
@DidasiJuma
@DidasiJuma Ай бұрын
Huyu mzee Mwenda ni hazina ya Taifa, nchi yetu imejawa na waongowaongo wengi,ila mzee kanyooka
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 Ай бұрын
Tz,80% wanasema Uongo
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
Njaa mbaya Sana... Unaweza kumpika supu mwanao wa kumzaa
@proisolution7166
@proisolution7166 Ай бұрын
wewe hawa jamaa OKWI aliposajili YANGA,walisema ana ukimwi ndiyo maana alikuwa hataki kwenda Ulaya na hii taarifa mimi aliongea kocha wao mwenye mdomo tulikuwa ofosi ya friends of simba ,so simba mapoyoyo tu halafu wana chuki na umbea.
@user-yw7uu6mc3m
@user-yw7uu6mc3m 29 күн бұрын
Mwenda chama hana ufalme wowote no power
@hafidhkikocho9161
@hafidhkikocho9161 Ай бұрын
mzee unaujua mpira
@godsonrwegasira4414
@godsonrwegasira4414 Ай бұрын
Eti ni kajanja kajanja hakajawahi futurisha😂😂
@HalimaIssa-pu4yt
@HalimaIssa-pu4yt 28 күн бұрын
Hakika maneno kuntu
@user-qo6bk1zs8m
@user-qo6bk1zs8m Ай бұрын
Unahishi kwa maneno tu ukimaliza ongea sema unatoa sh ngapi usaidie usajili maneno haya acaunt we mzee vp hatutaki32 plas
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf Ай бұрын
kwnn hushauri hayo mabwege kocha
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf Ай бұрын
sole kochi mwenda nisamee
@NondoRamadhani
@NondoRamadhani Ай бұрын
Mwenda nakukubali xana kea kuongea ukweli na kulichambua soka
@emmanuelthomas1078
@emmanuelthomas1078 Ай бұрын
😂Yaani pale anapotamka "Kajanja Kajanja" badala ya Kanjanja Kanjanja'mi ndo Huwa enjoy sana😂😂😂
@user-yf3tw7cq1s
@user-yf3tw7cq1s Ай бұрын
huyu jamaaa mwenye madevu mnafiki Sana alishawahi kusema chama mungu wake ni mfupi Leo hii anaongea pumba
@MashakaAthumaniAthumanimashaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka Ай бұрын
Unamwelewa Ww Huyu Alikuakiongozi Simba Alishindwa Mwanamichezo Nasimba Ililiwatimua Ndomaana Munagub Kambali N Ww Kulamilalamika Uwezo Wakuwashauri Unao Ww Namchome Wanabif Nanatajiri Asogezwe Karib Taftapesa Achannampira Maana Unahasira Simba Wala Siyako
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman Ай бұрын
Tatizo huyu nae mnafki alikua anamsema vibaya chama kwamba chengayake moja sasaleo kageuka nenda na midevu yako muongo mkubwa
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o Ай бұрын
Weeeeengiii makorooo wanaumiaaa rohonii iraaaa wanajikazaaa chamaaa yureeee kwaa wenyee akiriii yaaa sokaaa 😅😅😅😅
@simbamaduhu1600
@simbamaduhu1600 Ай бұрын
Nyie ndo mna kansa ya ubongo
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l Ай бұрын
Huu ni mpira sasa mlitaka MO afanyeje wakati chama anahogwa na injinia ili afanyevibaya ktk timu kwani mo alokuwapo, mambo hayo anayajua try ageni na mangungu, wakati wakina firi na baleke wanambiwa kuwachwa mo alikuwepo,? Leo hao wabovu wanarudi ktk timu zingine kwa mlango wa nyuma leo tunawaona kwani mo kafanya yeye?, walaumu miroho ya pesa wapewa madaraka
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 Ай бұрын
Watu vigeugeu sana.
@allyrashid9191
@allyrashid9191 Ай бұрын
We chizi sana
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 Ай бұрын
Unakuwa kama kila kitu unalalamika eleza vitu vizuri
@isayaluvanda8470
@isayaluvanda8470 Ай бұрын
Nyie mnao msifia mwenda mbona hamjamliza kuwa wakati yupo simba alikuwa anamkata chama kuwa nimzee Reo yupo utoporo unamuona kama haja zeeka mtuana miaka 35 unasema sio mzee kumbe Wewe nimamuluki nichawa
@leusissa3855
@leusissa3855 Ай бұрын
Mwenda acha kuishi kwa kukariri klabu haiwezi kuishi kwa kumtegemea mchezaji mmoja na hasa km ni kirusi. Simba ipo miaka 88 iliyopita chama hakuwepo. Katulie acha viongozi wafanye kazi yao. Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu mfululizo kwani chama alikuwa anacheza timu gan km co simba? Ww ni chawa tu hujui mpira unahitaji nn zaidi ya mizengwe MWENDA
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 Ай бұрын
Huyu jamaa kuna vitu anaongea sawa ila huwezi kila wakati unaponda tu kila kitu
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd Ай бұрын
Ww mzee itakuwa unavinasaba vya kiutopolo. ww ndo ulikuwa unalala sana kuwa chama ni mzee aondoke sasa ameondoka unalala tena na kumuita alikuwa mfalme wa simba
@user-st8hd9iq4o
@user-st8hd9iq4o Ай бұрын
HUYU NI MSENGE YYE NDIO ALIKUWA WA KWANZA KUSEMA CHAMA AMESHA ZEEKA ADOKE LEO ANASEMA VINGINE ZEE HOVYOO
@H3s4d
@H3s4d Ай бұрын
Wewe ni Simba. Au ni Nani?mwache aseme ukitaka mtu afanye. Vizuri usimsifie
@hajiseleman-un8so
@hajiseleman-un8so Ай бұрын
Sasa ww broo unaisaidia nini simba kama ww unauchungu kwanini usigombee uongozi alafu ufanye hayo unayo ya sema yani hawa hawana ponti
@BeniYaredy
@BeniYaredy Ай бұрын
Levo posho alikuwa hapat subilia utampenda
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 Ай бұрын
Tumepigwa sana yanga wataleta kombe.
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
sauti za mamlaka izo..😊
@sangaelly8548
@sangaelly8548 Ай бұрын
Mzee Mwenda sisi sio wapumbavu mpumbavu mwenyewe
@ibrahimjames1464
@ibrahimjames1464 Ай бұрын
Mwenda huyu huyu kwa masikio yangu nilimsikia akidai simba wachezaji wote wafukuzwe wamechoka akiwemo na Chama. Leo amegeuka tena. Acheni timu itengenezwe. Kuondoka kwa mchezaji mmona haina maana timu imeharibika. Unachanganya wasioelewa mambo wewe mzee
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 Ай бұрын
Mashabi bora mnaongea😂
@allyrashid9191
@allyrashid9191 Ай бұрын
Huyu bwanake azizi kii kumbe mimba hiyo inakusumbua
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h Ай бұрын
Acha uchizi we mzee unachangia nn kwenye simba? Hata jezi huvai,kaa kimya
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Ай бұрын
Ufalume wake ulikwisha kiyambo ndiyo maanaisimu mtatu hajasaidia timu.Kwanza wewe hujui mpira au hufatilii uwezo wake unakurupuka tu
@awalutibiita9650
@awalutibiita9650 Ай бұрын
Wew so shabiki wa Simba wew ni mnafki akuna shabiki wa timu anaisema kwa maneno km hy ❌❌❌❌❌
@user-hn3oz7xu1z
@user-hn3oz7xu1z Ай бұрын
Penda kusikia ukweli
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Ай бұрын
@awalutibiita usiwe kama kina Kisugu Mzaramo Pass millions Kuisemea Simba vzr kwa kupewa posho na jez za bure atakama timu ni mbovu kosoa
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 Ай бұрын
Tatizo lako chuk yako na viongozi wa Simba ume ifanya iwe season mbona wenzio sasa ivi Wana maelewano acha shiriki bhana
@sangaelly8548
@sangaelly8548 Ай бұрын
Wewe umefanyia nini simbaaaaa?
@allyrashid9191
@allyrashid9191 Ай бұрын
Chizi
@DaudLucas-qj3mp
@DaudLucas-qj3mp Ай бұрын
Hata wewe unasema chama Kwa sasa nibola tunakuona hauna hakili.
@user-bi9xu6ix2o
@user-bi9xu6ix2o Ай бұрын
Hana hoja huyu atuache kidogo
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga Ай бұрын
we utopolo usituchanganye toka huko wewe siku zote unaizungumzia simba kwa hasi unatumia nguvu zako bure we mzee choko sana sijui unataka madaraka au ulinyimwa hizo siasa mpira pesa wewe unanini
@user-vm4zq7kf4e
@user-vm4zq7kf4e Ай бұрын
Maku sana wewe😂
@waziribori2280
@waziribori2280 Ай бұрын
Hili halijielewi ni njaa na wivi ajiulize SIMBA YA NGAPI RANK YA AFRIKA?
@musamagulu2023
@musamagulu2023 Ай бұрын
Matako kweli wewe. Hivi wydad ni ya ngapi Africa? Je imefanya vizuri?
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Ай бұрын
Ukiangalia usajili wetu simba wanasajili wachezaji ambao Hata timu zao ni ndogo tu
@user-mw6ym2vr9f
@user-mw6ym2vr9f Ай бұрын
Kwahiyo yeye mwenda alitaka chama afie simba😢😢,au azekee simba😢😢 ,aache ujuaji sana
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
🚮🚮🚮.. Mashabiki maandazi
@abubakarbajun3503
@abubakarbajun3503 Ай бұрын
Kama weweninmshabiki wa chama neeeeenda kahamie utopolo mzee unagojaa nini
@nurdiniabdillahi3558
@nurdiniabdillahi3558 Ай бұрын
Wewe na kansa ya hakili
@LucyMdoe
@LucyMdoe 29 күн бұрын
Kaka mwenda mtu na nusu
@ibrahimjames1464
@ibrahimjames1464 Ай бұрын
Mwenda naye ni wale wale. Alikuwa anapiga kelele simba imejaza wazee leo tena kabadilika. Kwani yeye ni coach wa timu gani hapa Tanzania? Hata huko champions league sidhani kama ana timu. Acheni simba itengenezwe upya. Manachanganya watu tu hapa. Siasa tu huna lolote!
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr Ай бұрын
LAU SIMBA MUNGEJUA MO ANAVYOKERWA NA HIZO KERERE ZENU KWA MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MUNGENYAMAZA..HAO WAZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MO KAWAWEKA YEYE...ALAFU ETI MANGUNGU KAGOMA KUJIUDHULU KAKWAMBIA NANI ? UJUE HUYO MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN NA MO LAO MOJA.. SIMBA AMNA JICHO LA TATU ?
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Ай бұрын
Ronaldo aliondoka madrid akiwa anahitajika , mayele ameondoka yanga akiwa anahitajika, acha tuandae timu yetu bwege wewe ,si ungekuwa hata na timu hata ya daraja dogo tu wewe ,kila wakati hukubaliani na moo wakati wachezaji walikuwa hawajitumi akiwemo chama leo anamuacha unashangaa au unataka turudi nyuma .kaa pembeni muache moo afanye kazi wewe mwanakaizaya mpumbavu ni wewe
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 Ай бұрын
Mbumbumbu
@user-bi9xu6ix2o
@user-bi9xu6ix2o Ай бұрын
Chukua hii jiulize wachezaji wote duniani wakiona umri umekata huwa wanatafuta timu ndogo kwenda kupumzika Simba ni kubwa sana acha akapumzike huko,
@user-it7jz4fc6q
@user-it7jz4fc6q Ай бұрын
Mwenda nakumbuka ulishawai kusema chama ameisha afukuzwe simba leo unalalamika
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp Ай бұрын
We mzee huna akili waache viongozi wa boleshe kikosi kama unataka nawewe nenda kujiunge na hao utopolo
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 Ай бұрын
Mchaga huyu hajui boli kabisa
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Ай бұрын
Hili jinga kweli kwaiyo misimu hii wewe umetoa nini?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Ай бұрын
We kauze nyuma mpira huujui
@BeniYaredy
@BeniYaredy Ай бұрын
Haji nyie wajinga hampendi kuambiwa ukwel
@drankskhally7019
@drankskhally7019 29 күн бұрын
Huna lolote ww
@sevelintino6181
@sevelintino6181 Ай бұрын
Weee s ulisema chama kazeeka acha hizo mzee
@audaxkasindo9016
@audaxkasindo9016 Ай бұрын
Mwenda ubongo wako aupo sawa unakumbuka wewe ulisha sema chama kazeeka kama umelipwa kuchafua Simba
@MotibaMashana-hv3tf
@MotibaMashana-hv3tf Ай бұрын
mwenda ww zuzu mlikuwa mnaixhi na mgonjwa kwa taaluma yako ndo maana huna timu juzi tu ulituaminisha ujinga wako chama hawezienda yanga leo unajichoma dole gumba km juha kweli sisi mbumbu
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 Ай бұрын
Huwezi kumuelewa kama ulianza kupenda TIMU baadaye MPIRA kama wewe! Jifunzeni kukubali ukweli sio kupiga kelele tu wakati timu inazidi kupotea baadaye muanze kulalamika mkishika nafasi ya 5.
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Ай бұрын
We mbwa tulia huna akili, mwache mwenda anajitambua
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w Ай бұрын
Sure​@@reinfridlipili5666
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w Ай бұрын
​@avh😮itusmichael5 Hakika
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Ай бұрын
Mwende hajawahi kusema kwamba Chama hataenda Yanga.
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 Ай бұрын
Mchaga huyu hajui boli kabisa
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
mwijako alivyo mdhalilisha daimond na hamoize
10:57
luqman actor📽
Рет қаралды 162