Mziki wa dansi zilipendwa- Bantu group- Vicky

  Рет қаралды 96,084

Eddie Nassor

Eddie Nassor

10 жыл бұрын

Пікірлер: 54
@shukurumalewa3115
@shukurumalewa3115 4 жыл бұрын
Huu wimbo siuchoki kuusikiliza moja kati ya nyimbo zangu Bora kabisa hapa Tanzania
@mcabby5037
@mcabby5037 Жыл бұрын
Penzi ni shahada ya pili katika maisha ❤
@ahamadarashid8797
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Wakati huo RTD .. WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..
@esir-vc3si
@esir-vc3si Жыл бұрын
Napousikilza huu wimbo namkumbuka marehem baba yang alkua anaupenda sana
@VitalisMkali-tl4zt
@VitalisMkali-tl4zt 2 күн бұрын
Fantastic song
@hassanmchonjo5917
@hassanmchonjo5917 2 жыл бұрын
Mwimbo bora mtunzi bora
@lupakisyomsese8210
@lupakisyomsese8210 4 жыл бұрын
Hatakama nimechoka nikuonapo huwa na nguvu lilee penzi letu.
@mwalimujames2345
@mwalimujames2345 3 жыл бұрын
Huu wimbo ukiusikiliza unaweza kufikiri umetungwa jana
@asharidhiwani5640
@asharidhiwani5640 5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana naomba kaka tuwekee nyimbo shegi mwisho wamwezi unambo naupenda sana
@mwanarajab5863
@mwanarajab5863 2 жыл бұрын
Nyimbo za zamani zilikuwa zinaeleweka
@saadmazen4528
@saadmazen4528 10 жыл бұрын
Hapa ni Hamza Kalala alipotoka Vijana jazz na kuunda kundi hili la Bantu group. Wimbo huu una mapigo yaliyofanana na wimbo uitwao Chiapo alioutunga Hamza akiwa na Vijana Jazz. aante sana Eddy Nassoro
@Sufa07
@Sufa07 9 жыл бұрын
kabisa Saad Mazen, hivi Stella ni na vijana au Bantu Ngoma? Eddie anatisha na hii collection what a memory!
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 4 жыл бұрын
Sufa07 ni ya vijana hiyo
@lazaropilla3887
@lazaropilla3887 Жыл бұрын
nyimbo nzuri na zenye hisia,mimi nazipenda sana nyimbo kama hizi.
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Maneno ayo ya kweli saana kea enzi zile enzi izi vibwagizo tupu
@ramadhanmasenga8730
@ramadhanmasenga8730 6 жыл бұрын
Nyimbo tamu sana hii. Ubarikiwe mkuu
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Жыл бұрын
Komandoo kalala kwenye gitaaa zitoo
@ogetoj6245
@ogetoj6245 Жыл бұрын
Penzi ni kama mirindiko ya kinyonga , sawa na malimwengi ya fikira nzuri. Nani atayabisha? Dr. Ogeto International
@gervasshepi6351
@gervasshepi6351 2 жыл бұрын
Wimbo bora kabisa
@brownbethuely4934
@brownbethuely4934 Жыл бұрын
Wimbo huu nakumbuka mbali Sana!!!
@zainabkihange8520
@zainabkihange8520 3 жыл бұрын
asante kwa wimbo mzuri. naomba uweke wimbo wa "watoto wamekuja juu"
@johnmassami6213
@johnmassami6213 2 жыл бұрын
Komandoo Hamza Kalala ktk ubora wake. Vya kale ni shahabu. Naomba wimbo uitwao Suluhisho la mapenzi uliopigwa na DDC Mlimani Park.
@mansamussa9071
@mansamussa9071 Жыл бұрын
Kuna wimbo wa msondo unaimbwa hivi "tahadhari eweeh mwanguu usijione ni hodari utakujaaa tesekaa eweeh mwanguu sikiaaa" sijui jina la wimbo naomba utanitajie km unaufaham
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 7 жыл бұрын
baba jeni nr 2 eddie tafadhali
@allynayomo485
@allynayomo485 6 жыл бұрын
Kama kuna anayeikumbuka kikosi kamili cha bantu group wana kasimbagu
@jumbeomary1949
@jumbeomary1949 5 жыл бұрын
Issaya mrithi wangu wa baadae umeimbwa na ddc mlimani park muimbaji kiongozi alikuwaw hussein jumbe.
@ahamadarashid8797
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Kwanza kuzaliwa, pili mapenzi tatu ni kifo...
@rajabululanga1114
@rajabululanga1114 2 жыл бұрын
Baba jeni
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Ya kale dhahabu
@edondaki
@edondaki 10 жыл бұрын
Umetisha kaka kwa kutushikisha nyimbo za kweli
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Hahaa,ahsante ndugu.Burudika
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 7 жыл бұрын
+Eddie Nassor uncle mimi ni mpenzi sana wa hizi old songs,kwani hunikumbusha maisha yetu halisi ya kipindi kile,kwani tulizoea kuzisikia RTD,na nyimbo zilikuwa zina maadili,tena zina ujumbe makhsusi,na pia zilikuwa zinafunza,ndio maana zinanipa kumbukumbu sana.sasa Uncle naomba wimbo wa Tabora Jazz band uitwao ....Halima barua yako ulionitumia nimeipata.....naupenda sana sana mara ya mwisho kuusikia nafikiri ni mwaka 1974 ila sina uhakika sana,nitafurahi sana ukipatikana.naitwa Mariam Fritsi,nipo uswis.12.03.17.
@christinakimaro4788
@christinakimaro4788 11 ай бұрын
♥️
@maimunachuma437
@maimunachuma437 2 ай бұрын
Raha tupu
@yusuphbuyobe8583
@yusuphbuyobe8583 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@saidimwanja9159
@saidimwanja9159 Жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo Mabibo external(Mandela road)
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 3 жыл бұрын
Kwakweli comandoo kalala hana mpinzani kwa solo tanzania...
@saidimwanja9159
@saidimwanja9159 Жыл бұрын
Hii staili yaķe ilipigwa na Mabera inaitwa kente Kwa Tanzania waliiweza watatu tu Mabera,Komandoo na marehem Kasheba
@MrLevis3
@MrLevis3 9 жыл бұрын
Kaka habari za siku, upo ndugu yangu, umekaa kimya sana. Mimi naburudika na hizi nyimbo. Ukiweza turushie ule wimbo unaitwa "Isaya mrithi wangu" sikumbuki uliimbwa na nani. Pamoja sana kaka.
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Levis Gamba Levis,nilienda kuvuna kaka.Tege sikio tu ndugu!
@danielkalua1258
@danielkalua1258 8 жыл бұрын
kulikuwa na wimbo wa bantu group unaitwa baba jane
@hamisiyr9567
@hamisiyr9567 9 жыл бұрын
Kaka kama inawezekana kupata siwema ya juwata jazz nitashukuru sana
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Hamisi YR Hamisi,nitaurusha hewani kaka tukijaaliwa
@jmkwanzatv5363
@jmkwanzatv5363 6 жыл бұрын
Naweka sawa hapa commandoo hamza kalala alipotoka vijana jazz hakwenda kuanzisha bantu group bali alinda kuanzisha uda jazz band wana bayankata na uyu ndio aliyemlea mwijuma muumini na hapo sauti ya mwijuma hipo.
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 3 жыл бұрын
Hamza kalala ndio ametoka vijana kwenda kuanzisha UDA jazz? Sijakuelewa hapa kalala katoka vijana au Ushirika ndio amekwenda kuanzisha Wanabantu Stars group
@fundisayore866
@fundisayore866 Жыл бұрын
Sahihisho, Hamza Kalala alivyoondoka Vijana ndiyo alienda kuanzisha Washirika na kina Eddy Sheggy. Baadaye akatoka na kuanzisha bendi ya Bantu Group. UDA ilikuwepo miaka mingi kabla ya hapo.
@hajiabeid4304
@hajiabeid4304 10 жыл бұрын
Kaka habari, hivi kuna ngoma moja ya MK Group inaitwa Kitendawili, naomba posti yake kaka
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Acha niuchungulie ndugu,Nikiuona nitaurusha
@seifsaid8202
@seifsaid8202 9 жыл бұрын
hivi babu edi unapatikana wapi nakutaka face to face
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Seif Said Hahahaa ni inbox Seif
@adellaadam7401
@adellaadam7401 Жыл бұрын
Naweza pata cd au flash yenye hizi collection za zilipendwa
@brownee20007
@brownee20007 9 жыл бұрын
Mambo vipi Eddie? Mbona umekuwa kimya, hujadownload kitambo. Vipi uko poa?
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
brownee20007 browneeeeee,nilisafiri kaka.Sasa nipo hivyo tege sikio:)
@brownee20007
@brownee20007 9 жыл бұрын
Welcome back Cuz! my ears wide open!!!!
Mziki wa dansi zilipendwa- Washirika -Julie
6:56
Eddie Nassor
Рет қаралды 120 М.
MASAFA MAREFU BY TANCUT ALMASI ORCHESTRA 'LIVE' 1989
9:14
KWA JOHN KITIME
Рет қаралды 25 М.
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 61 МЛН
♥️♥️♥️
00:20
Татьяна Дука
Рет қаралды 10 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 42 МЛН
Mziki wa dansi zilipendwa- Zairi Ali na Kimulimuli- Cleopatra
6:47
Mziki wa dansi zilipendwa- DDC-Pata potea
7:08
Eddie Nassor
Рет қаралды 42 М.
Tanzania - Marijani Raajab  - Uke Wenza
6:37
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 329 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Bantu group- Nyambura
15:21
Eddie Nassor
Рет қаралды 10 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Kimulimuli -Tumerudi kishujaa
8:29
Eddie Nassor
Рет қаралды 142 М.
Mziki wa dansi zilipendwa -kimurimuri Zahir Ali-Photo album
7:48
Eddie Nassor
Рет қаралды 273 М.
01 tulizaliwa wote bantu group new)
7:55
ZILIPENDWAMUSIC
Рет қаралды 8 М.
Mziki wa dansi zilipendwa -Mzinga group -Mazoea yananikondesha
6:41
Mziki wa dansi zilipendwa- Vijana jazz- Stella
7:00
Eddie Nassor
Рет қаралды 77 М.
DDC Mlimani Park - Celina
7:36
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 491 М.