Huyu Mwigulu kweli ni Dr. Ila amepata shahada yake kutoka visiwa vya watt watt! Maaana ni watu wa huko tu ndio watakaomfahamu!
@MichaelKingazi-wm7xj2 ай бұрын
Mungu nisaidie nimegundua kuna wabunge wana akili sanasana kuliko mawaziri,na kumbe wanatudanganya,na hapa ndipo pale wabunge wasioutafuta ukweli wanabaki kupiga makofi tu,nakupongeza sanasana spika,kwakuwaelewesha wale wasiojua.
@warewolfblue2 ай бұрын
hello 👋
@manuchochannel55382 ай бұрын
Kuna mtu hapo mumama atafika mbinguni akiwa amechoka sana😅😅
@user-on6lf6kq4h2 ай бұрын
Dada TULIA Mpige nondo maana hajawahi kuelekea katika hoja zake na akiwa hivohivo mpelekeni tene KARIAKOO
@ChakomaJames2 ай бұрын
kimeumana
@The1979bornagain2 ай бұрын
Kuna kila dalili kuwa kuna shida serikalini. Na kuna shida ya ufahamu na uelewa kwa mawaziri huko serikalini. Mathalani huyu waziri wa fedha Ng'wigulu Nchemba nafasi hiyo ni wazi kuwa haimtoshi, haimtoshi, haimtoshi kabisa!!!
@user-vm2ii2px9h2 ай бұрын
Mhhhhj jamn
@hamudshabani78012 ай бұрын
Mwiguli hatoshei kiatu chake kusema kweli
@Nedjadist2 ай бұрын
Duuuuh! Haidhuru huyu Gashigwa anafahamika na binadamu, badala ya yule wa Visiwa vya watt watt, ila ameonesha udhaifu mkubwa hata wa kufikiri. Na kwa kweli anayosema Gashigwa, na yalioandikwa katika taarifa, na anayosema Mwigulu ni mbali mbali kama baina ya mbingu na ardhi! Hapa aidha wanafunika dili la mabilioni, au ni incompetence. Haiwezekani upande mmoja useme mmekwishatiliana saini mkataba ambapo mkandarasi atatafuta fedha na vifaa na kila kitu mje mlipane tu, halafu upande mwingine wasema bado mwatafuta viwango bora vya riba! At least hivyo ndivyo nilivyoelewa mimi na Halima Mdee!