Jamani hasa wadada hii tabia unawasiliana na mtu kwenye mtandao humjui na unakula pesa yake mwisho wa siku inabidi ukailipe
Пікірлер: 427
@dr_ridhiwan23 күн бұрын
Hivi nyie Mnaoomba hizi LIKE zinawalipa Kiasi gani??? Ole wenu Mlike hii Comment😊
@chaggastar923623 күн бұрын
@@dr_ridhiwan mbinu za kivita naona umeambuli 26😁😁😁
@dr_ridhiwan23 күн бұрын
@@chaggastar9236 Kwanini walkie?¿?
@nancyg866422 күн бұрын
@@chaggastar9236😂😂😂Anazo 129
@chaggastar923621 күн бұрын
31 Ila sijui faida yake nn?
@maimunamudiri261623 күн бұрын
Nimependa kanyinyi alivyosoma quran mashallah
@allymwinyi97023 күн бұрын
Anajua na anayamka herufi vizuri Maashallah.
@omarymsusa890322 күн бұрын
Mashaallah
@mohammedkidody561812 күн бұрын
Mashallah❤
@dominiquebirler279123 күн бұрын
Leo nipo top 3 kwa wakenya. Anguka nayo🎉 Wapi likes zetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@DenvoiceChome23 күн бұрын
😂😂😂😂
@kiinamamargaret23722 күн бұрын
Na anguka nayo😂😂
@theoriginals324022 күн бұрын
1 legee😂
@neyjackson450721 күн бұрын
Mmm
@neemaallybendera149621 күн бұрын
Badala ya kwenda kuokota miili ya ndugu zako umesimamisha mshipa unaomba likes🤦🏾♀️
@allymwinyi97023 күн бұрын
Kanyinyi herufi za Qur'an unaxitamka vizuri Maashallah. MUNGU akubariki.
@feisalabdulaziz267521 күн бұрын
Htr nimeshangaa sana😂
@chaggastar923623 күн бұрын
Leo joti kashinda kila siku ana fale😂😂😂
@habiibanahassan445521 күн бұрын
Anafeli akiwa kama nishai😂😂
@hawafelician736321 күн бұрын
😂😂😂😂
@chaggastar923621 күн бұрын
@@hawafelician7363 😁😁
@jovinmoses25523 күн бұрын
Joti umefanya vizuri kuwaongeza wachekeshaji waliopotea muda mrefu kama asha boko kwenye hili jambo lako, na huyo mwengne anaongea kama wamakonde hii ni nzuri.
@mamasalhat23 күн бұрын
Da mwene huyo akiwa mwene na Asha boko hatariii😂😂😂
@munirmuhamed590818 күн бұрын
SAHIHI
@hassansaul709814 күн бұрын
Mbona Asha yupo kweny sinema tu nyingi mpya
@sadakombo-li7yi23 күн бұрын
Mchekeshaji maarufu kama muarabu like kwake ❤❤❤
@AmCool_21 күн бұрын
KANYINYI KASOMA VIZURI SANA QURAN MASHALLAAH. Ila hapo kaoa yeye hajaoa mwarabu 😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@Kidoaaisha19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mustafarajabu400523 күн бұрын
Joti hana mpinzani.na TV yake ni kubwa ina million na kitu
@saidilome-ue2df23 күн бұрын
Nishai mitwango kitombangile muarabu wa Facebook 😂😂😂😂😂
@ahz690716 күн бұрын
😂
@athumanimtajih23 күн бұрын
Mwarabu hunuki hata mafuta ya taa😂
@missdija495922 күн бұрын
Hii comment nimeona kabla hiyo sehemu haijafika🤣😂😂😂😂 nimecheka kabla🤣🤣🤣
@athumanimtajih22 күн бұрын
@@missdija4959 😝😝
@verahkokyactresskenya505923 күн бұрын
Mm namba 10 Leo wapi likes za wakenya
@KhadimDiop-bp9do23 күн бұрын
Umetisha bro joti n group lako
@mohammedkidody561812 күн бұрын
Kanyinyi kaisoma vzr sana qur'an mashallah❤🎉
@LazyGang25423 күн бұрын
Joti kama BABU😂😂😂
@jumajunior993423 күн бұрын
Nanga mjinga eti mda uo😂
@JamesReuben-gt8up23 күн бұрын
Ila joti ni mbunifu sanaa
@nemesapollo484623 күн бұрын
huo muda,muda ukifika huwezi kuogopa
@JohnnyDepp-m4j23 күн бұрын
Kachukuwa wawili badala ya mmoja 😂 joti chizi kweli😂😂
@user-jn9wm9bx6i22 күн бұрын
"Hata chui mkali lakini anazaa" 🤣🤣🤣 Joti una mbinguyako.
@chadrackrunogeza330223 күн бұрын
Wa kwanza toka drc kalemie ❤❤❤😮😮
@EricaBizuru-jp9by23 күн бұрын
Basi hapo kwenye Ngoma Doris hua anapenda 😂😂😂
@magrethmbuma304517 күн бұрын
Suzi anapanikigi sana anakeraaaa😢 heebuu ajaribu kuwa kawaida sio kila sehemu anapayuka
@user-ky4rb2lg3h23 күн бұрын
Joti niko chini ya miguu yako,naomba week ijayo uigize Uke wenza,timbwili kama lote
@mbwanahussein9823 күн бұрын
Ili iyo klip umtishe mtu sio haki hiyo niamri kutoka Kwa mola wetu
@user-ky4rb2lg3h23 күн бұрын
@@mbwanahussein98 Ndugu siko huko kabisa,napenda akiigiza kama mwanamke,umenifikiria vibaya,samahani lakini
@mbwanahussein9823 күн бұрын
@@user-ky4rb2lg3h sorry pia Kwa kudhani
@liliansauwa844823 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Joti Mshenzi, eti hiyo picha nilikua kıjana na miaka 20. Hela za mwarabu umekula, kapambane na babu 😅
@josephmwaropha306718 күн бұрын
Lilian Mambo vp
@emmanuelymalange833223 күн бұрын
Namba one
@joelrwegasira160118 күн бұрын
Suzy anatumia nguvu sanaaaaa anapitiliza..
@Shadia54423 күн бұрын
NACHATI NA WAARABU 😂😂😂KUOMBA LIKE TU 😂😂KUOGA AAAAH 😂😂😂😂BIARUSI TULIA UWENDE DUBAI😂😂
@gwangtaek156423 күн бұрын
Dm please
@airfocymisosi20 күн бұрын
Kazi nzuri sana joti asha Boko like zangu Inshallah nasubiria kutoka 🇰🇪
@aminatanzanya747523 күн бұрын
😂😂 Mwarabu gan hata mafuta yataa hunuki. Kazi nzuri Joti tv ❤️❤️
@meryanagenes916323 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤makopa mengi kwa jotiii❤❤❤
@athumanimohamed952623 күн бұрын
Kanyinyi yaliyomo yamo Maashallah😅
@user-dp1hi9io6j23 күн бұрын
Joti on 🔥🔥 congratulations My brother 🙏🙏
@magesawambura304119 күн бұрын
Pumbavvvvvvvvvvvv 😂😂😂😂😅😅😅
@daudiniyonsaba111323 күн бұрын
#3 na sitaki likes...hahaha
@consorathajames269323 күн бұрын
Kazi nzuri sana hongereni sana
@richardomollo860823 күн бұрын
Mwarabu gani ata mafuta taa hunuki wee 🤣🤣🤣
@user-eb3hf1lm9e23 күн бұрын
Uskute ni mwarabu fighter 😅😅😅😅😅😅😅😅
@starjay305222 күн бұрын
iyo ishawai kutokea mtani kwetu 😁😁🤣🤣🙌
@kamanyile23 күн бұрын
Joti wewe ni kiboko wa comedian big up
@jeremiahromward678423 күн бұрын
#Joti ni best comedian Tanzania 🇹🇿 nzima. Kama unamkubali comment na like hapa tuwe sawa
@DannychiboJr.18 күн бұрын
Mimi ndo mwarabuuu😂😂😂😂
@mosesbarnabas337922 күн бұрын
Kumbe kanyinyi muislamu safi
@user-hn8un5fz2n17 күн бұрын
Ila nanga hicho kicheko 😂😂
@dullywa997319 күн бұрын
Nanga mbona utulii😂😂😂😂
@salymking189223 күн бұрын
Nanga fundiii😂
@ochumajan478023 күн бұрын
Video imefika kati joti hajaonekana, tunapenda joti ashiriki kuanzia mwanzo
@benedictorkambanga520923 күн бұрын
Mimi wa 20 Leo bigfunicture
@nchabhilondade622823 күн бұрын
Bawasiri bwana harusi😂😂
@user-ik8yy2wj6f23 күн бұрын
Sas rafiki yangu joti sikuhizi hata komedi zako sio nzuri umeyaweka mazee hayo hayawez hata kuchekesh rudisha bwan wakina sopa nakipande toa zito na na hilo zee
@wilbaldshayo122223 күн бұрын
Wewe tulia ujui watu kaa kushoto..
@mohannadmohammed663123 күн бұрын
Acha roho mbaya unataka wazee wakale wapi?
@user-ik8yy2wj6f22 күн бұрын
@@mohannadmohammed6631 sio roho mbaya inatakiwa masilah kaz ziende mjini hela kwanz kama kila siku anadirop
@annaki31823 күн бұрын
Kuview tu kulike na kucomnent aaaaah😂😂😂 Mnatushushia brand😂😂
@EboyTanganika-tu8qh23 күн бұрын
JoTi🎉 Moto sana🎉😂😂
@MirajiIssa-kd7dx23 күн бұрын
Minyama nyama ya nini hio 😂
@rabaniAmri21 күн бұрын
Joti kashindi kana hayupo atakaye muweza joti❤❤❤❤
@amriiddy197223 күн бұрын
Leo wa kwanza like zangu plzzz 🙏
@melaniehalla465412 күн бұрын
Napenda kanyinyi anavyoigiza 😂
@fareedsaeed438822 күн бұрын
Omar burkan😂😂
@furahabusanga355422 күн бұрын
Tuliyo sikiya Muharabu kuhitwa Dogo Janja ebu tu like hapa 🤣🤣💃🏽
@malakimoses611516 күн бұрын
Babu Leo amekuwa mwarabu😂😂😂😂
@GabrielSky6423 күн бұрын
26 people 😂. Mahusiano ya Online
@ramajozz-sp4tp23 күн бұрын
Jamani joti hatari!!!!!!.
@rosemahenge907123 күн бұрын
Wewe Suzy acha ujuaji huyo ni mwarabu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@amridadi619619 күн бұрын
suzy anamikelele mpaka kero hawezagi kuongea taratibu au kwa kusikitika sehem yakufanya hivyo yeye ni kupayuka tuuuu khaa... anaboa sana
@awadhally105219 күн бұрын
😂😂😂.
@agnesjohn938218 күн бұрын
😂😂😂😂 jamani
@stephonlinetv449321 күн бұрын
Mbilikimo kafanana na dotto magari
@HusseinBafadhili-md7ld18 күн бұрын
Elimu kubwa sana hii. Mwarabu kapokonywa mke😂😂😂😂
@amanifaraji244723 күн бұрын
Mimi wa mwisho😂😂
@SamsonSony-e6e12 күн бұрын
Joti wewe ndugu yangu uarabu umeutoa wapi😂😂😂
@tanzaniantraveller23 күн бұрын
😂😂😂 yani Joti alivyonyofoka kwenye gari kama Aladin😂😂😂
@kekiplus1andonly18 күн бұрын
Mbona mwarabu😂😂😂😂😂tena ni wa facebook kumbe😂😂😂😂lako hilo bi dada,
@swalehmalik187521 күн бұрын
Joti Al thani😂
@MagrethNyakunga22 күн бұрын
Kutokea Nigeria naangalia 😂,habarii zenu TZ
@ramadhanurassa241022 күн бұрын
Khaaaaaaa khaaaa hii inasound good
@jamesjamesh.582223 күн бұрын
Geuza gari geuza gari... Bibi Harusi twende😂😂😂😂😂
@abdallahmakumbato668823 күн бұрын
joti miyeyusho sana
@JamesMpiga23 күн бұрын
Wahuni wa zamani utake utaenda usitake utaenda 😂joti 🙌🔥
@feisalabdulaziz267521 күн бұрын
Uyu nae nani mzuri uyu nae uyu😂😂😂
@abdallahkambangwa721519 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe si mtumzima sasa nakupa mtumzima mwenzio
@malonemalick199923 күн бұрын
Mi ndo mwarabu bhna😂😂😂😂
@boazambokile258719 күн бұрын
😂😂😂😂 JOTI
@benhanclove599723 күн бұрын
Mwarabu mweusi😂😂😂 au ibakie kua jina tu basi😂😂
@kelvindagine957123 күн бұрын
Am born 1st
@gracethomas68323 күн бұрын
Alivyoisema eeeeh muarabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rubsonheritier594022 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 joti vraiment 😂😂😂😂😂 tu vas tuer quelqu'un un jour 😂😂😂. Mzee muharabu
@mossiewiser23 күн бұрын
Ha ha ha jotiiii, champion,...
@rasnchimbi21 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣mwarabu wa kuchat kweli hili ni funzo mapenzi ya digitali
@chrismuganwa863422 күн бұрын
Sure !!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@zephaniamwangu985722 күн бұрын
Umetisha sana joti na nanga😂😂😂😂😂😂😂
@shopdavenvi4k22 күн бұрын
nimpenda iy last dance 😂
@PauPaulo-qf3wo22 күн бұрын
Nanga mpuuzi kabisa, eti rhaaaa rhaaaa 😂😂😂😂
@RhobinaOmondi-hr2eg22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mwarbu mwiti mybe mwarbu n jina😂
@sherrymeddy639822 күн бұрын
Somo amewafunda tanga nzimaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
@azizsaleh940221 күн бұрын
Jambia juu 😂
@ZackDaniella-wi5ur23 күн бұрын
😂😂😂dubai kama dubai😂😂😂
@hansrashid982123 күн бұрын
nang mseng san😂😂😂😂
@hamisaally96822 күн бұрын
Aliyewafungishaa ndoa kimyaa kama ayupoo😅😅😅
@hilarymariki56969 күн бұрын
Joti falaaaa snaaa 😂
@user-qq4zr3sk2g23 күн бұрын
Sema we Suzy hebu acha wenge hilo😂😂😂😂huyo mwarabu kabisaa tena nahisi atakuwa mdogo wake Sultan Qaboos 😂😂😂😂