Mdogo akimkosea mkubwa lazima lazima aombe samahani kuonesha utii kwa mkubwa na mzazi nisamehe na kusema usiludie too ndio upendö
@hamzalaus95994 жыл бұрын
Kama umekili kuwa umekosea, busara ni kuomba radhi kama ulivyofanya hongera Sana bro kwa kujitambua
@patrickmahona28264 жыл бұрын
Magufur is good and best leader.....anaongozwa na roho ya mungu nasi tunamwombea aeendelee kutupambania wanting.....thanks
@salhasalha93624 жыл бұрын
Ongera Mh kwa jambo zuri sana
@herifredrickson20404 жыл бұрын
Kuomba msamaha ni vizuri zaidi.
@michaelmpigauzi92104 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kutambua hilo sasa mambo yataenda vizuri ushakuwa huru, na Mungu ambariki rais wetu kwa kukupokea!
@stewartmillanzi71984 жыл бұрын
That's very good...I like the action. There's nothing bad about it. It's a courageous action.
@carodavies34224 жыл бұрын
His excellency the president; DR Joseph Maguuu,What a good example shown to other politicians. For forgiving Nape and others you actually showed your stance hapa kaz tu.congratulations.many more
@carodavies34224 жыл бұрын
My son 'hon Nape' that is great courage'and this is the only way of building up a new Tanzania'by reflecting on forgiveness if anything went wrong' and a mistake made is never a mistake' but a mistake repeated will be a mistake therefore .be careful and congratulations
@Mja_Gongo4 жыл бұрын
Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa kuanguka,lakini hatupaswi kuanguka na kuendelea kukubaliana na hali ya uangukaji kwamba ushindwe kusimama,yesu alipoanguka mara tatu na msalaba alikuwa anatufundisha kuweza kusimama na kuendelea na safari,hivyo alichokifanya Nape ni kuanguka na kisha kusimama,ameonesha ukomavu wa kisiasa na amejijua alipokosea na amani ya mkosaji hupatikana baada ya kuomba msamaha,hata asingesamehewa,amani angeipata tu maana ameshakili kosa lake,barikiwa JPM kwa kuzirejesha amani za waliokukosea,Mungu awabariki nyote mliokosea na aliyekosewa,Mungu ibariki Tanzania yetu.
@khadijambuya7944 жыл бұрын
Jaman huyu bba ana moyo mashaallah Allah akusimamie zaidi in shaallah mmi kitu najua Kkupenda na kkuombea dua jembe letu mh magufuli
@HASASON4 жыл бұрын
Masikini JPM pamoja na yote anayopitia lakini bado tu ni mwingi wa upendo, amani na uvumilivu, Mungu akupiganie baba yetu JPM 💙
@veniusstansilaus49874 жыл бұрын
Hakika magufuri we ni jembe. Nape hongera sana
@saidisimba79824 жыл бұрын
Nape safi sana maana mm nakukubali sana umefanya kitu cha uungwana sana chapa kazi
@kuluthumkalonga47574 жыл бұрын
Na aswa magu kiboko
@frolamrema36834 жыл бұрын
Mimi sio ccm lakin nampenda magufuli sanaaa tokea akiwa wazir
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Moja kati ya maraisi wakitofauti duniani🚡 inshaallah tutafka mbali aseeee Huyu ni raising wa dunia✈
@augustineaugustin52544 жыл бұрын
Mimi ni Murundi🇧🇮 namupend san laisi Magufuli ✍️✍️
@hasanially92944 жыл бұрын
Sana jpm kazi nzuri
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Mwenyew nimechek 😂😂😂maan nape kafurah htr
@lameckluoga33184 жыл бұрын
Umefanya vizuri sana nape. Live long my president!
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Mungu Awalinde Awatie nguvu sana.kuomba Msamaha kwa Uliye mkosea nijambo jema Duniani na mbinguni.Binadam kukosea ni jambo lakawaida .Binadam si maraika.Mungu Awabariki sana.
@mbwanarajabhussein71414 жыл бұрын
Huo ndio ubinadamu wa kumuheshimu aliye na mamlaka juu yako, sasa shirikianeni kwa amani mjenge nchi..MUNGU AWABARIKI NA AWAEPUSHE NA WAFITINI
@deboramrema28614 жыл бұрын
Safi sana kuomba radhi ni jambo LA msingi asante baba Magufuli kwa kumsamehe
@mashmash28264 жыл бұрын
Woooow makufuli he have a good heart and he is really thats good .GOD bless you magufuli
@pamelamwitula11014 жыл бұрын
True
@mashmash28264 жыл бұрын
@@pamelamwitula1101 yes pamela very had to find a President like him wengi huwa wako proud na age mfanyia kitu kibaya sana.but he took it very simple
@manmkama48294 жыл бұрын
iyo ndio hekima
@mashmash28264 жыл бұрын
@@manmkama4829 yes you are very right
@singlemom69154 жыл бұрын
Dah hongera sana magu Allah mwenyew anatusamehe ije siye tusisamehe👊together we can
@sebastianngimba48504 жыл бұрын
Ndio maana kristu,hapo kristu anacheka kwa furaha ya upendo alio tuachia.hongera sana NAPE/MAGUULI.
@mbalejohnlubale13484 жыл бұрын
Asante jpm kwa kumsamehe nape maana kwa mungu umeongeza kiwango maandiko yameandika asiyesamehe na yeye hatasemehewa mbele za mungu
@maikomahundi76314 жыл бұрын
Safi sana, msamaha huponya mwili na roho. Mambo ni mazuri sana sana.
@annaalsnadi87224 жыл бұрын
Vzr sana Rais kwa msamaha hakika najifunua kuwa na Rais wa namna tofauti
@stejohfinest72354 жыл бұрын
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽 viva Uncle 🙏🏽
@neemareed20254 жыл бұрын
Ni Bora kujishusha kuliko kujikweza ,love you Nape mungu akupe maisha marefu
@AB-ym2pu4 жыл бұрын
Good luck brother, let open another chapter.
@mohamedsasma8794 жыл бұрын
Jpm nakukubali na mungu akuongoze vema katika tote mana kama iunavyosema unasamehe kwa dhati ya moto mungu nawe pale unapojisahau ukamkosea na kumuomba anakusamehe pia !kwa Nape nawe umeonyesha ukomavu kama Mtoto kuwa Nazi haishindani na jiwe!hongera sana nape na mungu akutunze umetumia busara kubwa!
@mligombuma22874 жыл бұрын
Muungwana akivuliwa hasimami uchutama....Hongeraaa Nape ww ni muungwana kaka
@valenakomba76864 жыл бұрын
MAGUFULI YOUR REAL A MAN. MAY GOD BLESS YOU MORE.
@stevenkyanzi56224 жыл бұрын
Kufanya kosa sio kosa.kosa kurudia kosa Hongera Nape kwa kujirudi Hongera Baba Magufuli kwa moyo wa huruma Mungu akubariki wewe ni chaguo la Mungu piga kazi
@nasibumaiko34254 жыл бұрын
safi Sana nape mtu mwenye kukubali makosa akakiri na akamuomba radhi aliyemkosea msamaha hukubaliwa mpaka mbele ya mwenyezi mungu mwingi wa kusamehe Allah ampe nguvu rais wetu magufuli na moyo wake wa huruma
@annajohn65954 жыл бұрын
Kweli umefanya Busara kuomba msamaha,safi sana
@mwitathedon72704 жыл бұрын
Pole kaka ndio uzalendo ukikosea kuomba msamaa
@eddechriss26644 жыл бұрын
Hongera H. E JPM hongera Nape, Tumuunge mkono Rais wetu kwa manufaa ya TAIFA LETU
@antonyjoseph78584 жыл бұрын
Amina JPM
@user-my7bv5er7f4 жыл бұрын
safii baba ! kuomba msamaha sio kesi at all ! u free up your heart
@raymondhaule69474 жыл бұрын
Nakupongeza sana sana nape mungu azidi kukupaujasiri nimefurahi sana baba yetu amekusamehe nakupenda sana nape endelekukkitumikia chama chetu
@fatumahengo68494 жыл бұрын
Safi sana kuomba msamaha sio aibu ukijiona umekosea ni wajibu kuomba msamaha
@mariammussa25404 жыл бұрын
Samehe 7 ×70 hongera RAIS WANGU JOHN POMBE MAGUFURI kwa kuwa na moyo wa huruma na wakusamehe👏👏👏
@esabelfadhili84324 жыл бұрын
Huo ndio utu..Big up kaka!
@johntuju88164 жыл бұрын
Huo msamaha aloenda kuomba uwe ni wa UKWELI na siyo unafiki maana wewe JANJA JANJA MINGI.
@pilottv63364 жыл бұрын
Umeongea
@chinamilenas33754 жыл бұрын
Mi naona wanafki wanajiwekea mazingira ya kupata kura kwny majimbo yao hawa, siwaamini😄
@jumakapesa7264 жыл бұрын
Nape hongera sana, umefanya jambo la heshima na la kimaadili. Mhe: Rais umeendelea kuonyesha moyo wa ubaba.
@furahamwikombo46704 жыл бұрын
Nape nakupongeza, kwa uzalendo. Waliokushikia manati kwenye mkutano nao wakuombe msamaha, Kama wewe ulivyo na busara. Wapo wanajifanya hawajawai kukosea,hawajui hata kuomba msamaha. Ahsante Mfalme wa nchi kumsamehee kijana wako. Tunakuomba umtafutie walio mshikia manati nape kwenye mkutano.
@uwesusinde99764 жыл бұрын
Hpngera sana nape kwa umri wako una nafasi kubwa sana wa kulifanyia mengi taifa lako chama chako usikubali kutumiwa na watu ambao umri wao ushakwenda wakijua wakikosa hapa hawatapata tena jifunze kwa mh: kikwete alisubiri mpaka alifika anakotaka na usikubali kushawishiwa rais wetu ni mtu mwenye upendo na uzalendo na nchi yetu sisi na wewe tukiwa kama vijana tunakila sababu ya kumuunga mkono Nape hongera sana ni ujasiri na uumgwana wa hali ya juu.
@wendestiven72014 жыл бұрын
Hongeraa saanaa baba wa taifa..wetu
@zuberyyussuph15034 жыл бұрын
Good
@kulwachristian83504 жыл бұрын
Kiukweli nimejiskia kama kulia hivi. Hongera sanaa nape nauye umeonyesha uzalendo
@salmaothuman84124 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu safi mh magufuli
@sarahminja72554 жыл бұрын
jamani raisi wetu anapigwa vita mpaka anatoka mvi nyingi Mungu akupe subra utashinda tu
@vincentmaya88174 жыл бұрын
Umefanya la mbolea kuomba rdhi,safi sana! Dunia nzima inajua haijawahi tokea kiongozi kufanya mabadiliko makubwa ndani ya hawamu ya kwanza ya uongozi.Tunae kiongozi!
@ndogoroedson94382 жыл бұрын
Utakuja kulipwa hapa hapa! Umejisahau Sana nasikia kwa Sasa unapanga namna ya kutaka kumuhujumu Makonda! Kwa jina la Allah hutafanikiwa kabisa! Cku zote wanafiki hawatabaki salama
@naimanurdin28464 жыл бұрын
Msamaha ni Dawa ndani ya moyo Hakika na Mtu muungwana na mwenye Khofu ya mungu lazima kusamehe
@elishadaiypius83594 жыл бұрын
Barikiwa Rais wetu
@neyshazamaloyce30784 жыл бұрын
Hakika kila mkosefu ni vema kujishusha na kusamee ni seemu ya ibada hongera sana kwenu nyote
@chandrnyoeliakim10064 жыл бұрын
Duuu pole umetia huruma mweee
@aldoba28264 жыл бұрын
Vizuri lkn kumbe watu kama nape MNA mawazo tofauti na wengine.
@navyoagrey75234 жыл бұрын
Nawapendaa mbarikiwe
@lukasimchina52654 жыл бұрын
Hongera mape huo ni uzalendo
@mrrockboy95088 күн бұрын
Uyu nimzee kagoma wa CCM sinichi sana asitusumbulie mama etu
@leonardmrope95284 жыл бұрын
Safi sana Nape,,,uo ndio ungwana aisee,,!!
@williamkivulenge30814 жыл бұрын
good
@makwirojryg18854 жыл бұрын
Rais magufuli naomba uwasamehe lakini usiwaamini hata chembe tena kuwa imara zaidi Mimi nadhani wanatafuta njia rahisi ya kukuhujumu waangalie sana.
@user-oq3dd5xj9m4 жыл бұрын
One voice will be there forever unless someone has to surbotage. The Peacock voice... Did you hear that at 1:28?
@Semnyawenda4 жыл бұрын
i thought it was a cat voice!
@madinayasini94024 жыл бұрын
m agufuli endelea na moyo huohuo baba utuongoze
@user-oq3dd5xj9m4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Peacock the beauty of White House in DAR
@carodavies34224 жыл бұрын
Yes muzzur.l love your comment on forgiveness of nape by jpm ,congrates
@lucaskasonde24344 жыл бұрын
Good Mr President
@godfreychitanda80982 жыл бұрын
Daaaaa
@bafaello26194 жыл бұрын
Hongera
@Zainab-sq1tc4 жыл бұрын
😂😂😂Ila magu unatunyoosha baba
@eggypeter46874 жыл бұрын
Huyu baba jmn Mungu ampe maisha marefu
@winnesakara69574 жыл бұрын
Asante
@papafikiri4 жыл бұрын
Ungekomaa ungeyumba Nape huyo mtu kawekwa na wananchi kupitia katiba...unapokengeuka unakiuka mkataba wa kijamii tulioingia (social contract theory).na uchaguzi wa mwakani kwa upande wako una kazi kwa tabia mbaya uliyoonesha
@johashisamson19154 жыл бұрын
Goes around comes around
@madamloveness72744 жыл бұрын
Msamaha unaponya mioyo ya watu iliyojeruhiwa
@mussataliye78154 жыл бұрын
Kuomba msamaha si dhambi
@philipkomba55254 жыл бұрын
bismilahhh
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Wanajuana!!!!
@mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын
Umefanya uungwana Nape na umekuwa huru.
@hassankidisa80704 жыл бұрын
Msaka tonge Hana hata aibu
@neemajoshuaer95624 жыл бұрын
Hongera sana Nape huo ndio ukomavu wa Kisiasa
@princessaidal11304 жыл бұрын
Mtu akikili makosa yke ni lazima asamehewe,,, Hata baba yetu wa mbinguni alinena akatuambia sameheni nanyi mpate kusamehewa,,, big up President Magufuli,,
@shabbymakapane19104 жыл бұрын
kuomba msamaha ni jambo la hekima
@janeypheremmanuel98444 жыл бұрын
hahahahahahahahahha kazi kweli kweli kwaiyo Analia au alafu why mpaka wandishi hii inatisha ifike sehemu wamuheshimu uyu mzee anatusaidia sana watanzania jamani
@tonnymasizi33312 жыл бұрын
🙏🙏🏼🙏🏻🙏🏻
@tz79764 жыл бұрын
Kwahuyu rais mpaka namhurumia alivyo na moyo mzuri uliojaa hekima mungu amzidishie ampe maisha marefu ingekuwa mm hawa wenye vidharau vya kijinga ni kusukuma ndani tu ila baba wawanyonge anasamehe tu asante baba mungu yu nawe kipenzi chutu
@maisaalawi53994 жыл бұрын
Na usiridie Tena, hongera Sana
@florabaruti80324 жыл бұрын
Maisa Alawi ifanya kosa gani
@davidnicholaus53044 жыл бұрын
Safi sana Nape huo ndo utu uzima na kwa Rais Magufuli Hongera Sana rais yani najisikia faraja
@vicentandrea81554 жыл бұрын
Hongera, nape huo ndio uzalendo, na kuomba msamaha sio ujinga
@summanelson55234 жыл бұрын
Yaani sauti zisingevuja ungeomba msamaha????
@nicksonlwiwa1444 жыл бұрын
Daaaah hatari Sana hii
@japhetmwamlenga10104 жыл бұрын
Nimetoa machozi jpm amewakosea nini hadi mmuundie genge la kumhujumu jamani mnamchosha rais wetu,nilikuwa msiba anaongea uongo du inauma sana ,nape kuanzia leo kuwa hekima unamwita rais mshamba maana yake ulituambia watanzania wote washamba ira poa bora yameisha yasijiludie tena .
@raymondkanyama63874 жыл бұрын
nampenda rais wnguuuuuuu
@firdaus74284 жыл бұрын
Rais Magufuli ni wa kipekee apewe tena Urais mpaka aseme mwenyewe basi sasa napumzika
@fanuelngambiye13424 жыл бұрын
We have a Nice President Magufuli is a Man of the People for the People who living Forgiveness life
@augustinejohn18354 жыл бұрын
This is trues,
@paulinamuhando60404 жыл бұрын
Amefanya vizur kukosea kupo na msamaha tuliwekewa sisi
@evodevodymark44004 жыл бұрын
unamtukana baba kweli si laana hyo
@sideyasin27454 жыл бұрын
Kuomba msamaha nivizuli sana mweshimiwa
@abdullayahya87174 жыл бұрын
Mzee wa bao la mkono...Ushampiga bao la mkono JPM
@loner_wolf4 жыл бұрын
Wasamehe wote watakaokulilia radhi yako maana hata mungu anatusamehe sana...lkn kuwanao makini Sana ....binadamu wanambinu nyingi Sana..... Asili huvia ktk damu ya muasili..... Hawa NI nyoka wenye sumu ya kuua taifa letu.... Tusiwaamini Tena.