Kama. Kila ukiweka bando unamsikilz huyu jama sanaa na unamkuba❤ gonga like👇👇
@auntiemylee31574 жыл бұрын
Team WiFi wengine
@ubahalfan1054 жыл бұрын
@@auntiemylee3157 hahah sana tu tna za bure
@fadhilajamal2174 жыл бұрын
@@auntiemylee3157 tupooo tupo za warab
@fadhilajamal2174 жыл бұрын
@@ubahalfan105 hahaha tupoo za warab
@ameenasur6564 жыл бұрын
@@auntiemylee3157 nipo😊😊😊😊
@nsanzabahizirahma71044 жыл бұрын
Nakupenda we kaka wallah niko apa kwajili yako unasemaga ukweli kbs from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@teddlyimo60204 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza nipen like zangu
@hawaabdala52034 жыл бұрын
hahaha tobowa dr.hapo hapo
@twalib094 жыл бұрын
Niko hapa kwa ajili ya kumbuka
@aishahussein38794 жыл бұрын
Kumbuka Maashallah MUNGU akuweke udugu wangu nakupenda sana
@neemakilomoni42583 жыл бұрын
Dr Kumbuka umeongea ukweli kabisaha ndio maisha tunayo ishi nayo kwa sasa inasikitisha sana Mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli
@dinatalib27034 жыл бұрын
Mm nashukur Alhamdulilllah nimemuwachia ndugu yangu nyumba na tumejengewa na baba yetu ila nikaona mm nishapata kibanda changu wacha nimwachie mwenzangu ila hayo mambo duniani yapo
@tedymwandara54804 жыл бұрын
Nimemsaidia ndugu yangu kasoma, kajitenga kabisa anasema tutamrudisha nyuma na huyo ndio kwanza kamaliza degree.
@knifensharper27254 жыл бұрын
Dada sopfi mashaallah kwastara
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Upo sahihi sana doctor kumbuka
@salhamrishoaish92924 жыл бұрын
Wapoooooh twaishiii nao👌
@faridamaxakena71523 жыл бұрын
Dr kumbuka unatufurahisha sana hasa sie tulio nje ya nchi upweke wa nyumbani tunamiss sana nyumbani tukikusikiliza tunajisikia tuko nyumbani ahsante sana kwa kazi nzuri naongea kutoka U.K.
@khamisshee51314 жыл бұрын
DR kumbuka hapo kweye kutia maneno umenigusa mm kama ulikuweko wangu pia yuwamtaka. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪aka bachuchu
@mamumiyaskitchenvlogs58584 жыл бұрын
Si kwenu tu hata kwetu yako🤣
@berthamakortha83873 жыл бұрын
Dr.. Kumbuka. Safiii sana WAAMBIE WAAMBIE WACHAWIII HAOO. NDUGU. HAWABEBEKI KAMA MZIGO WA MIMAVIIII
@nassraalhabsi24383 жыл бұрын
Wallahi sawa sawa mm ndivyo ninavyo fanywa na ndugu zangu kila ninavyo wasaidia lkn wapi wana nisema wana nitukana na kuniharibia maisha yangu kweli ndugu wengine bilis
@cosmasmadata53563 жыл бұрын
Kumbuka uko vizuri😀
@mozasaid38694 жыл бұрын
Yaani dokta Kumbuka umeongea neno leo!! Hili tatizo lipo kwenye familia nyingi! Hongera Kumbuka!
@zainababdullsadik12474 жыл бұрын
Ahsante kumbukaaa manenoo kwenye mstari mambo 💥💥💥love from Luxembourg
@mamumiyaskitchenvlogs58584 жыл бұрын
Hujakosea Dr. Big up mola akulinde na hassad❤
@haribalbusaidi21463 жыл бұрын
Hahahaaa..nakupenda bure doctar kumbuka...nikiwa na hasira nikikuangaalia tu..kabla sijasikia maneno..nafurahi...hongera
Dr kumbuka hoooyiiiiiieeeeee nakupenda mpka naumwa
@naimanimo49254 жыл бұрын
Doctor wooooo tell them 🇺🇬🇺🇬🇺🇬❤❤kumbuka
@asiahassan63364 жыл бұрын
Sema wew kumbuka,
@brigidmua25483 жыл бұрын
Kumbuka ...International speaker 🔊 👌
@heyumi23403 жыл бұрын
Nikweli kabisaaa 💓💓
@lucywilliam13313 жыл бұрын
Nakupenda sana we mkaka,unaongea ukwel yaani
@hamisisukari30164 жыл бұрын
Brother Kumbuka Kweli kabisa Umeongea point ndugu wengine jau hawajuhi leo unayo au hauna ukimwambia sina hana kununia
@bimaisarankamia41534 жыл бұрын
Imenikuta hiyo.
@sarahmohamed3373 жыл бұрын
Huyu kaka anisema mm🤦hata simu sipigiwa na dada Wala kaka..mm ndio niwatafute.mtihan wallah hasa pale unapokua kapuku..wazazi na wanangu ndio kila kitu Allah atustir wallah.
@HansBwoi3 жыл бұрын
Mpe kinywaji Dr. Kumbuka ntalipa
@esadkulovic67774 жыл бұрын
Hapo hapo dr,wape wakati wote,siku moja tu umuambie sina au wacha niangalie,utakoma kma ulivyokoma titi la mamako,oh ajiskia,mungu na mm atanipa,zitakutoka,mwisho ilo ilo atajizungusha hta atake kulala na mmeo,.jamani ni ungwana huu?na nnachopata chote nakileta nyumbani tupateni sote,but bado,sijui kwa nn,mungu atuondolee roho mbya yarrab.
@vailetherasto22884 жыл бұрын
Ukweli mtupuuuu 😍
@salumame48453 жыл бұрын
Uko sawa dr
@wardawarda45154 жыл бұрын
Dahhhh umesemaaaa doctor
@uwimanauwimana73034 жыл бұрын
umenigusa kumbuka na dada yangu mimi. yupo radhi yende kuniuwisha kwa watu baki na marafiki zangu. bila sababu yeyote 😭😭
@advocatekarama49173 жыл бұрын
Vumilia dear muombee tu kwa Mungu
@uwimanauwimana73033 жыл бұрын
Karama classic Accessories asante. mamy
@alicethobias9323 жыл бұрын
Sema baba
@salmaluhombero84664 жыл бұрын
Ndioooo twambie babaa asante
@joycekinyange6179 Жыл бұрын
🙌🏾
@tumamamyfatma29423 жыл бұрын
Mashaallah wee kaka umenikoshaje hata kwetu wapo hao
@rahiminamsangi85584 жыл бұрын
We love u tuko nje ya nchi lakin tunawapata kisawasawa na big up kwa Dina Mario
@umrayanalbattashi23234 жыл бұрын
dokta kumbuka unasemapwet nakupenda sana niko oman
@vero574 жыл бұрын
Kweli kaka big up to kumbuka
@mwaminkalikwera503811 ай бұрын
❤
@hibaalfarsi77564 жыл бұрын
💖
@salmasimai23754 жыл бұрын
Tobaaaa
@fatmaalmujhairu19774 жыл бұрын
Kwer kumbuka mm yananikuta
@aoman52144 жыл бұрын
😀😀😀Kumbk Huw nafurahi Sana
@paulogaspersoka42674 жыл бұрын
Dah ni kweli kabisa ,yaan imenigusa sana
@streetwalking11334 жыл бұрын
Nipo hapa kwajili ya KUMBUKA 😄 nakukubal sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@nyokskinyah82464 жыл бұрын
Dr, kumbuka nakupenda bure
@zinabal-dubae35513 жыл бұрын
Hapoo
@faridariziki87664 жыл бұрын
Hapo kwenye roho kubwa kuliko kiwiliwili🤣🤣🤣
@agnessjoseph10723 жыл бұрын
Aaah ni hatari jaman
@magrethyohana42823 жыл бұрын
Hayo ni kweli kabisa kaka
@beatricepallangyo28213 жыл бұрын
Santeee
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Bala
@hibbatkhalt23634 жыл бұрын
Kweli kaka
@zamibrahim30144 жыл бұрын
Kweli kabisa..
@bettympungu52794 жыл бұрын
Kweli.kabisa
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@esthersimbeye68963 жыл бұрын
Ira we kaka ni mkweli kabisa continue
@sadasambuka50533 жыл бұрын
Yapo ayoo
@salmasimai23754 жыл бұрын
Kweli
@mr.yahzadochuno79144 жыл бұрын
Mwenyewe masikoo na asikie
@binthkhamisi10974 жыл бұрын
Qwely kbisa Dar.kmbka udugu k.ma jua mbinguni
@halimamamuma73144 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@mariammwilwa13742 жыл бұрын
uko sahihi
@rahmaramadhan97734 жыл бұрын
Kumbuka kama umeniona miee jamaniiii
@sharifaoman13673 жыл бұрын
Safi
@upendomtambo51034 жыл бұрын
Unabaka mbuuuu
@rizikiabdalla33084 жыл бұрын
Daaaa leo mh
@mwaminindayishimiye44344 жыл бұрын
Dr kumbuka umeni gusa🤣🤣
@roseedevooo12363 жыл бұрын
Maneno kuntu mm dadang kanichunia bila sababu 😆 sijal wala nn
@zamdameena34794 жыл бұрын
Leo kawika na ndugu kweli umeongea familia zimekwisha zimeharibika sana kama yakwangu astaghafiru lah imekwisha mineno kutwa yani umegusa familia yangu
@marydaula32464 жыл бұрын
Pole mwaya
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Safi sana 😂😂😂😂
@salmasimai23754 жыл бұрын
Kabisa Dr kumbuka umenikuna ndugu haombi kwa ndugu mwenye pesa mpaka. akuzuliwewe uwongo ili wewe usiwe karibu nandugu yako
@pillioman20083 жыл бұрын
Kabisa kaka waambie ha oo oo ningekupa fanta😁😁😁😁 upoze koo
@mariamumapunda46144 жыл бұрын
Umeongea dk kumbuka
@pendooscar93223 жыл бұрын
Penda Sana hili group
@bahatokelo41904 жыл бұрын
Dr kumbuka
@jdjdjdjjdjdj1804 жыл бұрын
Please just asking, hii show huwa live saa ngapi? Please
@maishayetutv91644 жыл бұрын
Duuh huy jaman lisha pat kaz
@gilaboy12264 жыл бұрын
Kwakweli umenigusaaa atariii
@zuweinaalhabsya87734 жыл бұрын
Ni kweli kabisa yaan Leo Dr. Kumbuka umepatia hasa hasa jamani yako Sana Sana haya yaan 🤔
@grolyqueen58334 жыл бұрын
Kabisaaa daa wanasumbua sana🤣🤣🤣 haliyako,,,,,,ukijikuna unatokaa unga
@pillioman20083 жыл бұрын
Niache da dina umeongea kitu kimenigusa sanaaa hapo kwenyekubebeka
@godfreymbaya57563 жыл бұрын
Kabisa yani kama nimekutuma
@priscajuliasi88464 жыл бұрын
Kabisa kumbuka
@rahiminamsangi85584 жыл бұрын
Huyo doctor ni muelewa wa vitu vingi nipen namba yake nimtumie angalau hata laki ya nauli . Maana kuja hapo studio kutupatia elim anatumia usafir we have to help him like how he help us
@teddlyimo60204 жыл бұрын
Kumbuka nampenda bure
@rukiaosman84164 жыл бұрын
Kumbuka hoyeeee
@rukiaosman84164 жыл бұрын
Wallahi ww unani furahisha Allah akufurahishe inshaallah
Upo kama mm sina hamu na ndugu jamani kanigusa dah
@hawamatuta19054 жыл бұрын
Lkn ndugu zangu mwenye kuukana undugu Allah (s. w. t) pamoja na kipenzi wetu mtume atokua pamoja nao sasa basi tuangalie juu tuangalie chini tusameane kwa ajili Allah love you my ccters
@jepkorirzipporah37774 жыл бұрын
😭😭😭😭
@aoman52144 жыл бұрын
Yaaaaan nazid kuwapenda jmn Raha Sana hiki kipindi