No video

NIDA WATANGAZA NJIA MPYA YA KUJISAJILI ILI KUPATA VITAMBULISHO VYA URAIA

  Рет қаралды 52,450

HABARI ZETU DIGITAL

HABARI ZETU DIGITAL

Жыл бұрын

#Nida
#Vitambulishovyataifa
#habarizetudigital

Пікірлер: 128
@paulmwandala5481
@paulmwandala5481 Жыл бұрын
Big up! Mfumo huu wa online utakuwa mzuri sana,hongera sana
@cleverlandmusicbyshakur423
@cleverlandmusicbyshakur423 Жыл бұрын
Thanks for creativity
@muna9741
@muna9741 Жыл бұрын
Shukurni sana kwa ss tuliopo nje na huduma hii ya online itakuwa vizuri
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 Жыл бұрын
Tunashukur sana.kwa kuturahisisha maana sie wengine tupo inje ya Tz na vitambulisho vya uraia hatna 🙏
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Umeonaeee
@EmmanwelEmmanwel-hh2ko
@EmmanwelEmmanwel-hh2ko 6 ай бұрын
🤝🤝🤝 Safi San tunashukulu kwa kutulahisishia
@danielmkulat1598
@danielmkulat1598 Жыл бұрын
Asante sana mkuu mimi nimmojawapo aliyekosa namba ya nida nilijaza fomu mara tatu lakini mpaka sasa sijaipata kufanikiwa hivyo kwa hili nina imani nitafanikiwa
@kitejamgema9154
@kitejamgema9154 Жыл бұрын
Ahsanteni sana
@clementphilipo3340
@clementphilipo3340 Жыл бұрын
Naomba KUFAHAMU wageni hawawezi kuingia kwenye mfumo huo ?
@MothersBoy-ip8nh
@MothersBoy-ip8nh 3 ай бұрын
Thanks
@NassoroRajabu-qf7oo
@NassoroRajabu-qf7oo 8 ай бұрын
Kwenye powt
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Mnasumbuwa sana wananchi
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Nida mnafeli sana kwani ni miaka mitano sasa tangu raia tujiandikishe lkn raia waliopata namba za Nida wachache kuliko ambao hawajapata baadhi ya watumishi wenu wameweka urasimu mwingi ili kutengeneza mianya ya rushwa badala ya kuwasaidia watu kuwapa namba zao
@musttafamkulo7517
@musttafamkulo7517 Жыл бұрын
Ni kweli hamjakosea n shida mm mwenyewe nlikosewa mwaka wa kuzaliwa kila nkienda waniambia hawawez kubdilisha mpk hii leo tn sina vya kufnya n km kuna namn y kurekebisha tutarekebisha
@amanisaid9863
@amanisaid9863 Жыл бұрын
Vitamburisho mpka leo ,,,daaa
@barakanyanchama4297
@barakanyanchama4297 Ай бұрын
Tangia tujiandikishe huu ndo mwaka watatu hamtuletei vitamburisho au mnataka tutoe rushwa ndo mlete nakipindi tunajiandikisha wasimamizi mrikua mnatuomba hela ngoja tuone kama vyampiga kura mtakuja mtuombe rushwa mnapenda rushwa mbona hamtajiriki shida ziko pele pale
@user-yp7ny1dc1p
@user-yp7ny1dc1p 9 ай бұрын
Naomba fomu ya NiDa
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Tatizo la kwanza mpaka sasa hivi Kuna watu wana no lakini kitambulisho mpaka hii leo hakuna
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Жыл бұрын
Jiongezee ndugu utachina
@lubengomakumu6386
@lubengomakumu6386 Жыл бұрын
Ktk sekta ambayo haijui ifanyeji ipo ipo ni NIDa
@kefrenikefreni1903
@kefrenikefreni1903 Жыл бұрын
wengi tunaombwa rushwa jamannnnnnn
@user-yl7lr8ti3i
@user-yl7lr8ti3i Жыл бұрын
Mm ninaomba niwasiliane nanyie moj Kwa moja
@muddsaid-kn2dq
@muddsaid-kn2dq Жыл бұрын
taarifa hizo mpya ukiangalia ndani zaidi bado sana hazina msaada kwasabu ili uingie kwenye njia ya kimtandao ninazima uwe na line ya simu iliyo sajiliwa kwa kutumia namba ya nida jee kwa wale wasio na namba ya nida hatima yao nini hawa walio pata namba za nida ndio watakao endelea na kunufaika je kuna njia nyingine ya kuwasaidia wale wasio kuwa nanamba za nida kwani ndio wengi apa nchin
@erickkamala
@erickkamala Жыл бұрын
Mmm yaan keep ukweli mm sjawaelewa maana hamja twambia tunafanyaje Ili kuweza kijaza kupitia online
@jan6703
@jan6703 Жыл бұрын
Kwa heshima kabisa nawajulisha ndugu zangu wa NIDA kuwa hakuna lolote la maana mlilotuambia hapa. Jipangeni mjifunze kutoa taarifa kwa umma!!!?
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Sijuwi kwa nini sehemu nyingi za serikali Kuna changamoto nyingi hupati kitu na haki Yako lakini lazima usumbuke ili utowe rushwa ndio upate jamani watanzania tubadilike tushukuru tunacho kipata tunasumbuka katika haki saa nyengine unakata tamaa kwa haki yako mama samiya atatizama mangapi mlochaguliwa mumsaidie madudu mengi mungu ibariki tanzania ameen
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын
Kwanini msiweke mitambo hapohapo mtu akijiandikisha ndani ya wiki iwetayali nyinyi nida igeni mfano wa idara ya uhamiaji wanafanya vizuri sana
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Mnabadilisha badilisha mchakato kila kukicha mtengeneze mianya ya rushwa na wizi. Iwenye Mimi niliyejisajili mwezi Desemba, 2018 hadi Leo sijapata kitambulisho halafu mnakujja na story za usajili wa online? Taasisi nyingine ni mapango ya ufujaji wa fedha za serikali tu!
@ramadhansururujuma2394
@ramadhansururujuma2394 Жыл бұрын
Mama Mafuru umedamshi balaaa
@user-gq3qc4xb6f
@user-gq3qc4xb6f 6 ай бұрын
Muige wenzunu kama wakenya vile wanafanya kiurahisi sana kupata kitambulisho wiki mbili ushakuwa nacho
@OggNyalo-jy8dk
@OggNyalo-jy8dk 11 ай бұрын
Mimi nimejiandisha..IlA kira nikienda nambiwa kesho kesho
@shinemakenzi8101
@shinemakenzi8101 Жыл бұрын
Visomi vya bongo bwana vinapenda uongo uongo tu tena hivi vinavyopenda kuvaa miwani ni hatar sana kione
@amanisaid9863
@amanisaid9863 Жыл бұрын
Rushwa sanaaa sijui ulilijua hili , ulikuwa usumbufu kumbe unajua
@georgewambura7695
@georgewambura7695 Жыл бұрын
Mimi najiuliza , mbona vitambulisho vinavyowanufaisha wanasiasa vinakuwa rahisi sana kupata
@user-lq4vb9hc6s
@user-lq4vb9hc6s 8 ай бұрын
Maelezo mengiiiii lakini mpaka mmesahau kilicho wakutanisha hapa, mfumo unafanyaje kazi, namna ya kufanya application??
@emmanueldrawerhq7526
@emmanueldrawerhq7526 Жыл бұрын
Toeni maelekezo namna ya kujisajili. Mseme website ya kujisajili inaitwa hivi ama inaandikwa namna hii.. Porojo nyiiingi lamsingi halijatajwa!!! hovyo kweli kweli
@EmmanwelEmmanwel-hh2ko
@EmmanwelEmmanwel-hh2ko 6 ай бұрын
Msaada jinsi ya kupata namb ya nida ni elekezi kitambulisho me kipo ofisi ya mtendaji me nipo Kenya nilikatia kigoma
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 Жыл бұрын
Mnasumbua. Mnaanzisha mifumo halafu ukiingia unasumbua watu.
@zakariasimkoko4617
@zakariasimkoko4617 Жыл бұрын
Natamani kujua, naweza kusaidiwaje ikiwa taarifa zangu za nida zilikosewa, na nikapata namba ya nida yenye makosa?
@blockchain1203
@blockchain1203 Жыл бұрын
Mimi si husikin Unaweza Wewe nenda ulipojiandikishia na Kina Garma Kama 20/30 Labda kama wamezitoa
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k 29 күн бұрын
Maneno mengi ndiyo maana mmefeli kwa hili.
@josephinamoshiro
@josephinamoshiro Жыл бұрын
Tumekuwa tunapoteza muda mwingi bila mafanikio kwani ukifika unaambiwa urudi yaani tumekuwa tunahangaika bila mafanikio
@joachimmyhima1933
@joachimmyhima1933 Жыл бұрын
Napenda kujua kama taarifa zangu zilikosewa Mwanza nifanyeje Ili ziwe sahihi
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Жыл бұрын
Nenda ofis za siasa ni kilimo sema nimekuja kubadilisha jina
@mariamjamali1444
@mariamjamali1444 Жыл бұрын
Maneno mengi! Be short and precise!
@niggachad8137
@niggachad8137 Жыл бұрын
Unauma ADHD wewe
@mariamjamali1444
@mariamjamali1444 Жыл бұрын
@@niggachad8137 siyo kweli I don't have Attention Deficit Hyperactive Disorder Hawa watu hata kuwasikiliza ni kichefu chefu. Hyo press conference yote Ina content Gani in reality
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Vitambulisho ni kitu endelevu , siyo kitu cha Mara moja.
@danielmkulat1598
@danielmkulat1598 Жыл бұрын
Mimi jina langu Daniel Mkulat kafuna tarehe 2/2/1974 naishi kijiji cha mabalanga kata ya mabalanga tarafa ya mswaki wilaya ya kilindi mkoa wa Tanga
@HusseinAli-hr2ru
@HusseinAli-hr2ru Жыл бұрын
Kwa mfano leo sabasaba wanakuepo wapi
@thomasnyarusanda2608
@thomasnyarusanda2608 Жыл бұрын
Mmeshindwa kutoa huduma hiii kwa wanchi,kubalini..mmetanguliza rushwa,mnamwomba mtu elf ishirini apate kitambulisho! Rais Shaw tu imejaa,hamna lolote. Mazidi kutesa wananchi. Hiyo online wengine wazee wetu hawaijui.
@barakangobuku6031
@barakangobuku6031 Жыл бұрын
Nida Bado hamkuweza kasajili laini au kutoa huduma Kwa jamii acheni maneno ya kiingereza kwenye mfumo huo ongeeni kiswahili vinzuri tunateseka sana jamani ikiwezekana mfute mpango wa nida kabisa isiwepo
@amaizinggracious8876
@amaizinggracious8876 Жыл бұрын
Kwani nida ndio wanasajiri laini
@elizabethmwamdanga7377
@elizabethmwamdanga7377 Жыл бұрын
Pasport pia mngetumia njia hii
@topfreelancer5151
@topfreelancer5151 21 күн бұрын
Ipo mbona
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын
Hamna kitu nyinyi vitsmbulisho toka tulivo sajiliwa migamboo wale
@laizersam570
@laizersam570 Жыл бұрын
So mnataka tuanze tena upya au namba za nida tunazo na zipo kwenye system ya mtandao lakini nida card sasa hapo ndio shida hatujapata nimezunguka katika ofsini zenu hadi kuchoka
@abdulkidebe1707
@abdulkidebe1707 Жыл бұрын
Mi nimejiandikisha toka 2019 mpaka leo nafatilia tu holaaa
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын
Vitambulisho story hadi saizi
@ndelimbiswai9697
@ndelimbiswai9697 Жыл бұрын
Mmmmh hakika mtakuwa mmetusaidia maana nimeangaika na sijapata no.ya nida hadi leo mara naambiwa taarifa sio sahihi
@allynkussa-gb8nu
@allynkussa-gb8nu Жыл бұрын
Maelezo nimarefu Sana tuelewe , Changa Moto tunajua
@josephsureeliajosephmion9997
@josephsureeliajosephmion9997 6 ай бұрын
Habari za majukumu watendaji NIDA Sisi ambao vitambulisho vyetu hatujaviona ama majina katika orodha mtatuletea lini!?
@Kanyawela
@Kanyawela Жыл бұрын
Naomba kujua ikiwa Jina langu limekosewa nafuata utaratibu Gani ili jina langu lisomeke vizuri
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Tatzo saizi nyinyi ubabaishaji mwingi sana,,
@danfordmahumi232
@danfordmahumi232 Жыл бұрын
Jifunze kuongea kwa mantiki. Unakera sana.
@israelwisdompower9856
@israelwisdompower9856 Жыл бұрын
Sisi ambao tulijisajili miaka sita iliyopita je tutapata lini vitambulisho vyetu? Ijaponamba mmetoa au kazi imewashinda.
@salumayou3455
@salumayou3455 Жыл бұрын
Mimi siitaki hata kuisikia nida nilipoteza kitambulisho tangu 2016 nikaja kuripoti kwao wakanipa maelezo ya kwenda polis nikaenda kuripoti niliporudi wakaniambia nilipie elfu ishirini hiyo ilikuwa mwaka 2021 tangia mwaka huo mpaka Leo sijapata kitambulisho changu mimi namba minato tatizo kitambulisho vipo wapi?
@oretetionjorio8374
@oretetionjorio8374 Жыл бұрын
Pia na grama pia ya kufika wilayani kwamfano kutoka tarafa ya ngorongoro mbaka wilayani ni 100000
@mbisemanase
@mbisemanase Жыл бұрын
Baada ya kusajili inakaa mda gani upate hiyo namba
@ramsohk
@ramsohk Жыл бұрын
Tatizo mnaongea Sana nendeni mwenye maada ya msingi
@sabinamachange6040
@sabinamachange6040 Жыл бұрын
Tuelekeze jinsi ya kulisajili online ache maneno mengi
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Жыл бұрын
Umeonaeeh maneno mengi
@barakangobuku6031
@barakangobuku6031 Жыл бұрын
Ebu naomba mnisaidie leng'oto ngobuku mbombwe
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Mkuu, tuliojisajili kipindi kile Cha vurugu na kuishia kupewa namba, "Je ? Vitambulisho tutavipata lini ??? Kwa sababu ni miaka Mingi imepita.
@barakakasamia5036
@barakakasamia5036 Жыл бұрын
nenda kwenye kusudio unaonea hadi bando linaisha kabla sijapata cha muhimu
@nockigona5160
@nockigona5160 Жыл бұрын
da maneno ni mengi mpaka lengo utasahau sasa
@nurubilali8025
@nurubilali8025 Жыл бұрын
Tatizo ukienda kufuata kitambulisho unazungushwa makusudi Ili uwape pesa
@benardLeonard-ss7fe
@benardLeonard-ss7fe 10 ай бұрын
Tanzania kila kitu ni dili leo miaka migapi hatujapa vitamburisho
@izackhongoli8099
@izackhongoli8099 6 ай бұрын
sjaelewa kitu mimi snanida naitaji nida nafanyaje kujisajili
@ip_header
@ip_header Жыл бұрын
Maelezo mengi lkn watu wanahitaji kufahamu wanasajili vipi?
@allymakwaya-vy4sb
@allymakwaya-vy4sb Жыл бұрын
Porojo nyingi
@agnesmwita9315
@agnesmwita9315 Жыл бұрын
Nawezaje kupata form
@mrhuba7
@mrhuba7 Жыл бұрын
Wanachelewesha vitambulisho miaka miwili tunasubiri vitambulisho😢😢😢
@kissimaplumbing
@kissimaplumbing Жыл бұрын
Story njingii maneno yanajirudiarudia , aeleze mfumo ulivyo story Ina maliza bando
@moffatnganikani5014
@moffatnganikani5014 Жыл бұрын
Mtajuaje kuwa anayeomba kwa njia ya mtandao ni Mtanzania halisi?Maana vitambulisho kwa njia hii nadhani hata wachina watakuwa navyo.
@godwinmsakwa373
@godwinmsakwa373 Жыл бұрын
Maelezo mengi yasio ya msingi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Kwani walio nakazi nyingi zaidi siyo RITA? Hata hao wanaform nyingi. Sasa sisi tuliokwisha haza Miaka mingi na tulikwisha jaza mtatusaidieaje,
@florencewaane-tn9xg
@florencewaane-tn9xg Жыл бұрын
Kama Kuna mahali Serikali imefeli na kuwadanganya watu ni hapo kwenye NIDA. Usajili siyo kupewa namba, kinachotakiwa ni kupata kile kitambulisho. Tangu Serikali ianzishe mpango wa vitambulisho ni miaka mingi Sana, lakini tujiulize ni asilimia ngapi ya watanzania wamepata vitambulisho?Shida Ipo wapi? Watanzania wangapi Wana uelewa wa maswala ya mitandao? Asilimia kubwa ya WaTZ walk vijijini ambako simu Janja na internet ni Shida, tusidanganyane, imarisheni ofisi zenu za wilaya na watu wapate vitambulisho palepale na siyo kupewa namba.
@nockigona5160
@nockigona5160 Жыл бұрын
sasa unafanyaje mbona maneno tu kuna fail au twende google
@mishlay8164
@mishlay8164 Жыл бұрын
Mambo kama matatu uliyozungumza zinafanana , hujasema change moto za mahimu sana , kunatatizo kwa wahudumu wenu sana ,wanakaulimbovu
@nockigona5160
@nockigona5160 Жыл бұрын
wafanyakaz wenu wanalinga mno mpaka nimeamua nikae bila namba zenu za uraia mje mnipeleke burundi
@shijasuley
@shijasuley Жыл бұрын
Kwanini usiende moja kwa moja kwenye mada toa maelekezo sio kuongea
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
MAZUNGUMZO YENU NI MENGI SANA KIASI KWAMBA MPAKA MNAMALIZS HAMJA TUELEZE HUO MFUMO UTAENDESHWA VIPI?!
@nockigona5160
@nockigona5160 Жыл бұрын
Da afadhali
@samwelgeho2602
@samwelgeho2602 Жыл бұрын
Pamoja na hayo yote vitambulisho vyenyewe hakuna toka mmeanza zoezi hill.
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Жыл бұрын
Material hakuna
@miriamgrayson-2843
@miriamgrayson-2843 Жыл бұрын
Nakama mtu Alisha jiandikisha namba ya nida amepata, ila kitambulisho hajapata kutokana na majukumu ya kikazi au mengineyo hayupo kwenye mkoa alio jiandikisha Je mtu huyu mnamsaidiaje? Au hadi afuate mkoa alio jiandikisha?
@zakhiagabriel2632
@zakhiagabriel2632 Жыл бұрын
Upuuzi mtupu,
@davidmrema2527
@davidmrema2527 Жыл бұрын
Maelezo yasiyo lazima, siasa tupu hizo
@georgewambura7695
@georgewambura7695 Жыл бұрын
Lakini vinavyomhusu raia vinasumbua sana, mfano kitambulisho cha kura si tulikipata siku moja tu, why this miaka kibao horaa
@saketnicholaus9962
@saketnicholaus9962 Жыл бұрын
Polisi wamewapiga gape sanaa kwenye loss report ni nusu saa tu na imesainiwa
@boaziernest4403
@boaziernest4403 Жыл бұрын
Je sisi ambao tunasumbuliwa kupata nida jeatakufanya usajili walaini tufanyeje
@suleimanmtegwa8968
@suleimanmtegwa8968 Жыл бұрын
Lkn mh moaka Sasa tuna miaka 3,tumeshajisajili vitambulisho hakuna nikalenda kwenda mbele, vitambulisho vya kura fasta, Lkn sijui nida Kuna tatizo Gani?
@chomwabonzo8811
@chomwabonzo8811 Жыл бұрын
Tatizo utakuja sikia mtandao unasumbua hapo ndio utaona mauza uza.
@Hawa-ed2hg
@Hawa-ed2hg Жыл бұрын
Unaongea sana unatumarizia bando
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Жыл бұрын
Nilijua niko peke yngu
@emmanuelmakomango6577
@emmanuelmakomango6577 Жыл бұрын
Sasa mbn huelewek ww? Kelele nyingi lakn hakuna ata Cha maana hapo, ongea kivip mtu anaweza kupata NIDA yake online?? Acha kutupa changamoto zenu, hiz mpelekee Rais au ngaz za juu na si kutueleza sisi, maana sis ukituelezea Sis hatuna msaada wwte
@hemedimuna1400
@hemedimuna1400 Жыл бұрын
Yani bule kabisa sasa nini mlicho kiongea
@josephmazuma9347
@josephmazuma9347 Жыл бұрын
Tatizo lingine upatikanaji wa hivyo vitambulisho proses ni nyingi sana wengi tuna namba tu na hatuna vitambulisho, kwani hakuna uwezekano wa kutoka vitambulisho hivyo kama ilivyokua vya kupiga kula? Badilisheni utaratibu wazee muda ni mali!
@michaeltandike5011
@michaeltandike5011 Жыл бұрын
Sasa mbona haelezi kuhusu hiyo onnline reg?
@JacobDaudi-xs7rm
@JacobDaudi-xs7rm 11 ай бұрын
Pp
@jenifambafu2682
@jenifambafu2682 Жыл бұрын
Hata sisi pia tunapoteza nauli bule na hatupati chochote nyie ni wasumbufu tu
@shijasuley
@shijasuley Жыл бұрын
Natamani sana nipate namba Ya Nida
GIANT umbrella by Tsuriki Show
00:15
Tsuriki Show
Рет қаралды 7 МЛН
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 7 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 6 МЛН
UTARATIBU WA KUPATA CHETI MBADALA
10:40
NECTA ONLINE
Рет қаралды 10 М.
Jinsi ya kupata Visa kirahisi Tanzania
11:43
Maggeh New
Рет қаралды 17 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 381 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 719 М.
VIJUE VIFURUSHI  VYA BIMA YA AFYA
13:34
NHIF ONLINE TV
Рет қаралды 4,1 М.
#uhamiajiupdates:Fahamu kuhusu Pasipoti ya TANZANIA na Uraia Pacha
20:37
LINAH SANGA ATAJA WANAUME ALIOTOKA NAO/SABABU ZA KUACHWA KILA SIKU
43:09
JISAJILI KIMTANDO NA FAHAMU PIA TARATIBU ZA KUBADILI TAARIFA
30:50
nida tanzania
Рет қаралды 1,7 М.
GIANT umbrella by Tsuriki Show
00:15
Tsuriki Show
Рет қаралды 7 МЛН