No video

NIKO KASI_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Nzihi Kidamali - Iringa

  Рет қаралды 1,442,715

RAJO PRODUCTIONS

RAJO PRODUCTIONS

Күн бұрын

NIKO KASI ni wimbo ulioimbwa na kwa ya ya Mt.Joseph Mfanyakazi iliyopo Nzihi - Kidamali Iringa. Tuungane nao katika kumtukuza Mungu. Wimbo huu upo ndani ya Album yao iitwayo wema wa Mungu.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0752 721 316 / 0752 243 201 au 0755 849 190
#kwayakatoliki

Пікірлер: 437
@briankaruku1816
@briankaruku1816 4 ай бұрын
Oohh iwish ningemjua yesu mapema mimechelewa llakini naweka full effort ya recovering
@user-vt2ls4ll3g
@user-vt2ls4ll3g 11 күн бұрын
Mungu anatukuzwa ndani yangu kila ninaposikiliza hii nyimbo naona kiu ya Mungu wangu aliye hai🙏 nakutafuta Bwana wangu
@leoodongo690
@leoodongo690 5 ай бұрын
Who is still watching this wonderful song with me in 2024
@sixbert963
@sixbert963 Жыл бұрын
Mungu awabariki nimejiskia amanitele baada yakusikia wimbo mzuri kamahuu💯
@user-zo2nv8nt7k
@user-zo2nv8nt7k 11 ай бұрын
Hongereni sana sauti mulua mungu anapenda kupanza sauti kwa vinywa venu wenye ,Nakutama kama nchi kame isiyokuwa na maji hakika 🙏🙏🙏🙏🙏⛪⛪⛪⛪⛪
@sofialinus8241
@sofialinus8241 4 жыл бұрын
Yesu wangu, najua sijakamilika Naomba uchunguze moyo wangu Niondolee mapungufu yangu Nifanye utakavyo Nataka upendezwe na Mimi Usiruhusu kifo changu Kabla sijapata kibali Cha mbinguni Hamu yangu ni kufurahi pamoja na wewe mbinguni Ameen🙏🙏🙏🙏
@jenifafrank629
@jenifafrank629 2 жыл бұрын
Amen
@angelmwamlima3276
@angelmwamlima3276 8 ай бұрын
Mungu awape baraka zake mmeimba kwa hisia Sana napenda niskilize kila wakati moyo unajawa amani Sana🙏🙏🙏
@deodatusmwaipopo7284
@deodatusmwaipopo7284 3 жыл бұрын
Hongeleni taifa la mungu, Kwan wimbohuu ukweli umeimbwa kwahisia .asanteni sana naming awabaliki ninth nyie amina
@vinnywams6690
@vinnywams6690 3 жыл бұрын
Usanii wa daraja la juu sana! Siwezi lala kila siku kabla ya kubarikiwa na uimbaji huu.
@yohanewinnie5191
@yohanewinnie5191 5 жыл бұрын
Yaan huu wimbo jamani jamani unanipa tumaini la kuendelea mbele asante yesu kristo
@poyopitalisi7999
@poyopitalisi7999 5 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana, hongera mtunzi, wanakwaya na mpiga kinanda
@tuliarafael8934
@tuliarafael8934 3 жыл бұрын
Karibu
@sylivianamutosi9264
@sylivianamutosi9264 3 ай бұрын
Mungu awabariki kwa kazi nzuri wimbo huu nayimbeda sana and najivunia kuwa mu catholic 🙏🙏🙏💃💃🇺🇬🇺🇬 04 05 2024 time 07:15am ni juumamosi be blessed amen 🙏🙏 and amen 🙏🙏
@josephwalkerz3797
@josephwalkerz3797 4 жыл бұрын
Wapi likes za Ray ...kinanda chatii
@catherinemuthini6916
@catherinemuthini6916 3 жыл бұрын
I like the way he enjoys the music
@vinnywams6690
@vinnywams6690 3 жыл бұрын
Oooh! Ray Ufunguo! Kazi yake inapendeza kweli, and everything he outs his hands on flourishes.
@user-wu2to6tw6m
@user-wu2to6tw6m 9 ай бұрын
Nabarikiwa sana na huu wimbo congratulations sana kwa mtunzi
@merryngowi6607
@merryngowi6607 3 жыл бұрын
Mbarikiwe kwa kumtangaza Kristi Amina
@edmondkalinde4251
@edmondkalinde4251 3 жыл бұрын
Nyimbo nzuri kabosa
@paulmsape163
@paulmsape163 9 ай бұрын
Nimefarijika sn kwa wimbo huu, Mungu awabariki sn
@marckmark2738
@marckmark2738 Жыл бұрын
Njiani naja niko kasi 😘😘😘
@nestersanga7466
@nestersanga7466 3 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoriki amina
@olivacosmaskipingi1566
@olivacosmaskipingi1566 2 жыл бұрын
Nawapenda saaaaana Mungu azidi kuwabariki na kuwakirimia hitaji la mioyo yenu
@godysamwel1117
@godysamwel1117 5 жыл бұрын
Watumishi wa MUNGU mbarikiwesana kaziyenu nimzuri inabariki
@desminachavala8118
@desminachavala8118 4 жыл бұрын
Wooow,nafurah sana kuwaona watu wa nyumbani wakilitukuza jina lá bwana,
@kassiankuche3961
@kassiankuche3961 4 жыл бұрын
Daaahh nimekumbuka kidamali sec hasa nilipoona sura ya Tito well done
@pamphilimumwi1863
@pamphilimumwi1863 4 жыл бұрын
Tumwimbie Mungu wetu nyimbo za sifa na utukufu. Hakika wimbo murua sana, miondoko na mapigo yanatia fora. Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa daima. Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri ambayo naamini imegusa na kufariki nyoyo za watu wengi...
@deomunishi775
@deomunishi775 3 жыл бұрын
Hongeren sana mungu awbariki
@luwonekaandrea1547
@luwonekaandrea1547 4 жыл бұрын
Mungu awabariki na kuwalinda hongereni kwa kaz nzur lini vol 2
@berthakarungi6187
@berthakarungi6187 5 жыл бұрын
sichoki kuangalia wimbo huu. jaman mbarikiwe
@tuliarafael8934
@tuliarafael8934 4 жыл бұрын
Hunifikii mm 😘😘😘
@velejilyonatalis1787
@velejilyonatalis1787 5 жыл бұрын
Mmetisha sana vanyalukolo hongereni sana nyimbo inaturudisha kwenye njia mimi niko kasi nakuja
@felicianholle3010
@felicianholle3010 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji huuu
@angelmakotina2180
@angelmakotina2180 3 жыл бұрын
Nawakubaki wana iringa😍😍😍
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Wimbo mtamu na mazingira mazuri sana
@lukakivamba7245
@lukakivamba7245 2 жыл бұрын
Mhh tamu balaa
@mariachale6089
@mariachale6089 3 жыл бұрын
Kazi ni nzuri, mnastahili pongezi ni mwanzo mzuri. Keep it up, hongera kwa Mtunzi
@maribasimon801
@maribasimon801 6 жыл бұрын
Kazi nzuri, Mwenyezi Mungu awajaze wingi wa Baraka zake
@fr.Josephat-SharingGodsLove
@fr.Josephat-SharingGodsLove 2 жыл бұрын
Wimbo mzuri hongereni sana waimbaji na mtunzi
@user-il9vm1sx7x
@user-il9vm1sx7x 9 ай бұрын
mumetisha kwenye wimbo huu utume mwemah jaman
@inessboniface6293
@inessboniface6293 5 жыл бұрын
Nimebarikiwa na wimbo huu, mpiga kinanda Mungu alinde kipaji chako
@joshuaokiri5597
@joshuaokiri5597 6 жыл бұрын
I am not a Catholic but huu wimbo umenifurahisha sana
@catherinegerald1620
@catherinegerald1620 6 жыл бұрын
wow wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hongereni sanaa
@nelsonalex2805
@nelsonalex2805 6 жыл бұрын
asante
@gasparyrutta5255
@gasparyrutta5255 5 жыл бұрын
Mko vizuri, hongereni sana
@eunicejoseph2262
@eunicejoseph2262 6 жыл бұрын
Mko juu nimewapenda sana, wimbo unatafakarisha unanibariki kabisa
@frolencinahenry2407
@frolencinahenry2407 4 жыл бұрын
Nafsi yangu yakuonea kiu We Mungu😘😘😘
@elizabethjoseph7292
@elizabethjoseph7292 5 жыл бұрын
Wimbo mzuri mnooo Mungu kwaya zote ziweze imba ktk roho na kweli
@christinaoumah9023
@christinaoumah9023 3 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na wimbo huu hakika atukuzwe Mungu mkuu siku zote daima,🥰🥰🙏
@charitysamwel3823
@charitysamwel3823 5 жыл бұрын
Mnaimba vizurii hadi nimewatamani wana nzihi
@mercymacline658
@mercymacline658 5 жыл бұрын
Hii wimbo nzuri Sana, hongeren Sana kwa kaz nzuri
@elishaedson5042
@elishaedson5042 5 жыл бұрын
Mercy Macline. Dm
@franciscakitundu4163
@franciscakitundu4163 6 жыл бұрын
wimbo mzuri sana ....Sauti zote zimeimba vizuri pia mashairi mazuri
@octaviuskisinda9090
@octaviuskisinda9090 6 жыл бұрын
St. Joseph, 'MUNGU abariki kazi ya mikono yenu'. Wimbo mzuri wenye kuinjilisha, kutafakarisha na kugusa roho ya yeyote anayeutafuta umilele. Hakika kazi yote hii kwa ajili ya ufalme wa mbingu si bure. Sifa na utukufu tunamrudishia yeye anayetuneemesha yote haya.
@avonymaya832
@avonymaya832 5 жыл бұрын
HABARI NIMEUPENDA SANA WIMBO HU, NI KAZI NZURI SANA YA UINJILISHAJI NAOMBA ALBUM YAKE YOTE
@petrojoseph5970
@petrojoseph5970 5 жыл бұрын
hi kidamali nawasifu kwa ujumbe mzuri kwa Mungu wetu na Rajo pia wazuri ,safii sana wimbo huu unanitafakarisha sana nawapendeni kwa kazi nzuri,Mungu atukuzwe...
@magrethphillipo2626
@magrethphillipo2626 5 жыл бұрын
Mwimbo mzur Sana sauti nzuri adi rahaaa
@adelinasanga6710
@adelinasanga6710 3 жыл бұрын
Hongereni sanaaa!
@vinnywams6690
@vinnywams6690 3 жыл бұрын
Mimi hapa naendelea kubarikiwa tu! Fungulieni nyingine zitiririke!
@vestinaneema5008
@vestinaneema5008 5 жыл бұрын
Niko kasi kukutafuta Mungu wangu. kila siku lazima ni usikilize huu wimbo
@allanmsemwa5065
@allanmsemwa5065 4 жыл бұрын
Swahili Tanzanian Catholic Songs are so Amaizing
@consolatazachalia5442
@consolatazachalia5442 5 жыл бұрын
Hongereni sana mt. Joseph wimbo mzuri kweli! Mubarikiwe sana waimbaji na mtunzi.
@florencenthenya6391
@florencenthenya6391 4 жыл бұрын
Nice one yu bless me so much am lm in saudi Arabia watching yr music yu look nice 😍😍
@gabrielmikindo3756
@gabrielmikindo3756 6 жыл бұрын
raga tupu 'utamadunisho' murua ambao haukupotosha maadili CATHOLlC. hongera sana na Mungu awabariki sana. AMEN
@teresiaofficial3849
@teresiaofficial3849 6 жыл бұрын
Daaah wimbo mzuri maneno mazuri ya kutafakarisha.
@redemtamutinda2152
@redemtamutinda2152 6 жыл бұрын
I cant get enough of this song...how wonderful this song is, " Nafsi yangu yakuonea kiu mungu wangu na mwili wangu wakuonea shauku mungu wangu............."
@bongoclaudio7877
@bongoclaudio7877 5 жыл бұрын
Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri lakini pia hongera sana Mr Ray rufunguro kwa kazi nzuri
@edgarmadeje5298
@edgarmadeje5298 6 жыл бұрын
Tunasubiri kwa Hamu kubwa Wema wa Mungu
@christinawinfried246
@christinawinfried246 6 жыл бұрын
Coming soon
@felicianholle3010
@felicianholle3010 4 жыл бұрын
Mko vzr sana wapendwa kwa myimbo zenu na stail zimetulia
@juliuschacha1218
@juliuschacha1218 5 жыл бұрын
Kazi njema jamani natamani sana hata Mimi niimbe kama sijawahi imba tena.
@isabellakililo9506
@isabellakililo9506 5 жыл бұрын
wimbo huu unaiingia sana naupenda unabariki sana
@eddamkwawa6772
@eddamkwawa6772 3 жыл бұрын
Mungu awabalikj
@kaijagethomas2175
@kaijagethomas2175 6 жыл бұрын
Kazi nzr sanaaaaaa, Tuzidi kumtafta Bwana wetu Yesu Kristu
@mercyokumu1413
@mercyokumu1413 3 жыл бұрын
i cant get enough of this song...... my heart is blessed and is at peace whenever i listen to this song.... the keyboardist wow ..... be blessed the whole team
@josephinnocent2431
@josephinnocent2431 6 жыл бұрын
Naisubiri Hii Kaz Kwa Hamu sana,Naamini Kuna Manguli wa Muziki wamo pia kama Bernard Mukasa, Musa C Mabogo, Dionizi Kipanya,Zackaria Gerald,Na Wengine Wengine,.Tupatieni Kaz Iyooooooo
@ditrammgimba2759
@ditrammgimba2759 4 жыл бұрын
Naipataje DVD,, kuna ule wimbo ,,Wema wa Mungu,,, uwekeni mtandaoni nao,,, kuzipata dvd imekua kazi kweli kweli,,,,
@geofreymaranga5699
@geofreymaranga5699 6 жыл бұрын
Asante Kwa kazi yenyu mufti kabisa,naomba niweze kupata nota za wimbo huu.
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 6 жыл бұрын
Hongereni sana wana Iringa wenzangu.Mungu azidi kuwainua zaidi
@fidiaoscar8440
@fidiaoscar8440 4 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana kupitia wimbo wenu,hongeren kwa utume wenu
@damasmapuga9693
@damasmapuga9693 6 жыл бұрын
Hongereni wana Nzihi kwa kazi nzuri, melody nzuri na ujumbe pia. Ushauri wangu, mchanganya picha hajatenda haki kwa walio wengi kwani anawaonesha watu wale wale tuu. ikuwa kama ni kwaya ya mtu binafsi na wengine mmekodiwa ili muimbe. Kwa RC huwa tunaimba wote na tunamiliki kwaya wore. Pia mandhari ni nzuri ila hamjazitendea haki. Mf kwenye jiwe mngeweza kujaa wote mkacheza vizuri. Pia Kama ni Kidamali mngeweka radha ya kihehe kwenye kucheza, mf. kiduo na njuga staili mngetisha. NASHAURI, MKIREKODI ALBUM NYINGINE INGIZENI NA HUU BUT UTENDEENI HAKI KWENYE PICHA NA KUCHEZA. Napataje kanda hii nipo Moshi.
@Blessedhopefamily
@Blessedhopefamily 5 жыл бұрын
Pongezi zimfikie mtunzi wa wimbo huu. ametenda haki kwa kazi ya Bwana. lakini pia hongera Mwalimu wa kwaya hii hasa maandalizi ya kazi hii, sisi tuna la kujifunza. hongereni wanakwaya kiujumla kwa kuhubiri habari hii, Nikiwa Ambassodor wa Muziki nafurahishwa sana na kazi hizi. wekeni kazi sokoni mapema kabla wavamizi hawajaja.
@sakinaniwewegoodsongnicebr9804
@sakinaniwewegoodsongnicebr9804 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Mungu awabariki.
@vestinaneema5008
@vestinaneema5008 5 жыл бұрын
Rajo production muwe mnatoa na mstari ambao mtunzi kasimamia itapendeza zaidi ni ushauri tu km mlivyofanya ktk wimbo wa Dispina Nitakushukuru Mungu awabariki sana
@francekalinga439
@francekalinga439 5 жыл бұрын
Vestina Neema Saf San unampata despina
@neemataris3273
@neemataris3273 Жыл бұрын
Huu wimbo ulinivusha sana kuna kipindi niliusikiliza kila siku mara nyingi sana, Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri
@marianyalusi1830
@marianyalusi1830 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana na wimbo mzuri Niko kasi
@dismasvalentine9633
@dismasvalentine9633 5 жыл бұрын
Nyimbo imetulia sana.
@carolinegichuki702
@carolinegichuki702 2 жыл бұрын
Such a blessing...love from Nyeri KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@cleivanschalamila7085
@cleivanschalamila7085 6 жыл бұрын
wawoo kwaya ya nyumban 😍😍😍
@agustinomgaya7873
@agustinomgaya7873 4 жыл бұрын
Inapendeza saaaaaana wapendwa kaze budi ili iwe bora zaid katka kuifanya Nazi ya Mungu!!!!!
@theresialfredybugalama5850
@theresialfredybugalama5850 6 жыл бұрын
Nakuona Shem tem hii hadi unaachia kinanda duh mungu akuongezee uzidi hapo ulipo
@rosembilinyi6211
@rosembilinyi6211 3 жыл бұрын
Hongereni saana mpo vizuri
@mchumi_thecatalystofeconom7889
@mchumi_thecatalystofeconom7889 5 жыл бұрын
nzuri. inanibariki. so consoling.
@abelsanga7361
@abelsanga7361 6 жыл бұрын
hatimae parokia yangu imenikosha kwa wimbo mtamu
@sheddyrobby5874
@sheddyrobby5874 3 жыл бұрын
Niko kasiiiiiii ninapenda staili yenuuu
@msaghamwakamba8182
@msaghamwakamba8182 Жыл бұрын
Utunzi na Uimbaji Mzuri 😌 can't get enough of this song 🤗🤗🤭😚
@zayzaphonhalharthi481
@zayzaphonhalharthi481 5 жыл бұрын
Mungu awabarik sana wimbo mzur sana saut zimepangiliwa vizur daah Mungu awafanyie wepea kila penye uzito
@petermulwa7121
@petermulwa7121 2 жыл бұрын
My ever prayerful song.... Nafika lini Mungu wangu niuone uso wako?
@shijalugiko4053
@shijalugiko4053 6 жыл бұрын
Tarumbeta ni ala mojawapo za kimziki ndugu zangu. Na ili mziki unoge vizuri inakubidi umix ala tofautitofauti. Ili mradi usitoke nje ya liturujia. Na pia ni kuendana na dunia pamoja na kizazi chake. Zamani kanisani ulikuwa ukiimba hakuna kucheza but now watu wanacheza na makasisi pia wakinogewa na mziki mtakatifu unakuta wanatamani hata kuruka. So mziki ni mzuri una maudhui sahihi mwisho unatafakarisha na alishoot kafanya vizuri kabisa.
@gabrieldaata
@gabrieldaata 6 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana nimeupenda sana.
@yudakitengesondanu808
@yudakitengesondanu808 4 жыл бұрын
naipenda sana hii Cd sasa nitaipataje niko Arusha
@seuzebiusaugustino9464
@seuzebiusaugustino9464 4 жыл бұрын
Safi sana mmeimba wimbo mzuri sana good
@joseph.hapadgaraproduction9329
@joseph.hapadgaraproduction9329 3 жыл бұрын
Nice song & vedio music
@cayusoginga
@cayusoginga 3 ай бұрын
Congratulations for a job well done ✅
@rozeeroz2515
@rozeeroz2515 5 жыл бұрын
Balikiw san kazi nzuli San💟💟💟💟💟
@tysonimichael816
@tysonimichael816 5 жыл бұрын
mungu awabariki sana kwanyimbo nzuri
@tuliarafael8934
@tuliarafael8934 3 жыл бұрын
asante
@barakamhagama5586
@barakamhagama5586 6 жыл бұрын
Hongereni.....Mapendo Daima*****
@gertrudeolisa3392
@gertrudeolisa3392 2 жыл бұрын
Safi sanaaaaa aisee
@robertshiwa6497
@robertshiwa6497 6 жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya, every thing is amazing on this song, kuanzia wimbo wenyewe, waimbaji, video instruments all are amazing, Mungu awatie nguvu msichoke tena
@faustinmadangi5733
@faustinmadangi5733 4 жыл бұрын
Imenipa faraja Sana ,,hongereni Mungu awape kiu ya uinjilishaji daima
@aglipinanaombaunirushueya2976
@aglipinanaombaunirushueya2976 6 жыл бұрын
Hongeleni muko vizuli wanakwaya nataka cd zenu
@juliusprinspatus7688
@juliusprinspatus7688 6 жыл бұрын
Naomba lyrics ya wimbo huu...nimeupenda
JEMEDARI WA MBINGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha
9:39
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 941 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 53 МЛН
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 36 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН
TWENDENI TUKAMTOLEE - TMY // Mtunzi: Tumaini Swai
4:52
KWAYA YA MT THERESIA MARUKU
Рет қаралды 86 М.
SAUTI YA MAMLAKA _Kwaya ya Mt.Bernadetha MUCE
4:05
St. Bernadetha MUCE
Рет қаралды 11 М.
HABARI ZA YESU (OFFICIAL VIDEO)
6:31
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 1,8 МЛН
SITAMUACHA MUNGU - KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, NANSIO //Mtunzi: E. F JISSU
6:23
Kwaya ya Mt. Yosefu - Nansio
Рет қаралды 97 М.
TEGEMEO LANGU NI YESU - Melodic Harmony Chorale Ft Lawrence Kameja
6:25
Melodic Harmony Chorale
Рет қаралды 2,8 МЛН
MAISHA YANAISHA_QUADRI-V By Bernard Mukasa
7:17
Bernard Mukasa
Рет қаралды 1,2 МЛН
MUNGU TUZUNGUMZE FARAGHA - KWAYA YA MT. MONIKA KISASA  (Official Video-HD)
8:06
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН