Subhanallah...Allah amsamehe na amrehemu sheikh wetu sheikh Yahya Hussein...
@EricsonNoah9 күн бұрын
Ila yule alkuwa anapiga ramli mtu wa nyota
@hassanabdulrahman18910 ай бұрын
Ma sha Allah....Allah awahifafhi na hassad mashekhe zetu
@a.85610 ай бұрын
Jazakallah khayran
@hamisisalimu690810 ай бұрын
Mashallah shukran sana sheik wangu
@Mcbel33110 ай бұрын
Sheikh Yahya alikuwa mtu wa ramli na ulikuwa unapokea pesa unajua inatokana na kazi hiyo mtihani sana ,Allah amsamehe na atuongoze tuliopo kwenye njia ya sawa
@RamadhaniLukambuzi10 ай бұрын
Ni kweli lakini Allah atakuuliza pesa zako ulizipataje na ulizitumiaje?Kuna watu wengi wanapata pesa kwa njia za halari lakini zinatumika kufanya mambo ya haramu,unadhani watapona nao hao?Umepata pesa safi lakini unatumia kuwaonga wake za watu na mabinti za watu,mtu analewa pombe kwa pesa halari;vipi hapo?Figisu nyingi kwa majirani wataka kuwanunua kwa nguvu kisa pesa zako,vipi hapo?
@Mcbel33110 ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi kwanza uovu wote uliosema hapo mara nyingi huambatana na pesa haram , ni aghlab sana kitapo Cha halali ulichotolea jasho kukipata kukivuruga namna hiyo na pia Huwa pesa halali inabaraka , ukichunguza Makini hiyo pesa haiwezi kuwa halali ukiafanyia uchafu namna hiyo . Lakini uovu utabaki kuwa uovu hajilishi nani kafanya na kutumia kitu Gani iwe Cha halali ama Haram
@nyanyambuli810110 ай бұрын
Twambie na wewe Makosa yako basi
@Mcbel33110 ай бұрын
Hakuna aliyemkamilifu ndugu yangu , ila kosa la Mwanachuo linaathari kubwa ktk jamii mfano hapo mtu wa kawaida asiye ufahamu wa dini ataona kwenda kwa mpiga lamri sio tatizo ktk dini .
@saidothman801410 ай бұрын
Hii zama watu hatutaki kusoma kisha tunatoa fatua za kielimu hebu tukaaeni chini jamani tusiwatie watu motoni tu
@nabiljumbe10 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah
@mohdhilaly790010 ай бұрын
Hata mm sheh, mwalimu wetu alikua akitulipa hela kila tukimaliza kuijua sura anakulipa anatupa pesa nakuambia shehe wangu sasahivi kajengewa msikiti mzuri kweli kweli na wazungu shehe kwake pale
@user-vt4wj1fr2c10 ай бұрын
Kweli mkuu kutoa kuna Baraka sana.
@mkubwamasoud277610 ай бұрын
Shirki hiyo kauli pesa ya mtume au ya Allah daaah swadakah unampa mtume baada ya kumpa Allah Daaah Sufi mtihani sana jamani tusome tuijue haqi
@AlhajiIssa-jb9hr10 ай бұрын
Uelewa wako chini ya 70%
@noorahkolongo27310 ай бұрын
Wallah unatkiwa ujifunze hta kwa kuelewa tuu co kupelka fikra zako mbele
@RamadhaniLukambuzi10 ай бұрын
Ukimpenda Allah tu bila kumtanguliza Mtume umefeli pakubwa make ummati Mohammad sote tunatakiwa kuwa na tabia za Mtume kwanza na huko ndiko kufahuru mbele za Allah lakini isitumike kama shiriki na haimanishi kwamba Mtu anaouwezo kama wa Allah.
@balkisamisi213110 ай бұрын
Allah amrehemu ya Salam
@khalidahmed690010 ай бұрын
Ikiwa wanazuoni ni warithi wa Mitume , basi kuwakosea adabu wao ni sawa na kuwakosea adabu Mitume, Hakuna kheri yoyote kwa mtu mwenye kuwakosea adabu wanachuoni. Mmoja katika Ulamaa anasema: " Nyama za wanzuoni zina sumu " mwenye kuzila anajimaliza mwenyewe.
@ngombegeorge357710 ай бұрын
Mm mkristo lakini kuna vitu hua vinaongelewa kwenye msikiti , mungu awape mema
@YusufuGoma10 ай бұрын
Karibu sana kwenye uislamu kaka
@alyumar465710 ай бұрын
Ila kuna mengi mazur ktk uislam kwaiyo krb sana ktk uislam na ukiusoma ukaacha propaganda za wat mitaani nakuahid utaupenda uislam daima na tunamuomba Allah akuongozee.
@RamadhaniMbega10 ай бұрын
@@alyumar4657😊 iko lll 😊😊😊oo O pole😊😊
@RamadhaniMbega10 ай бұрын
@@alyumar4657l pool llll Lllllllll Llll la ll Llllpl Plppllp😊 la l 😊llllllllllllllllllp la ppllllllll😊l la l la llplllpp😊ppplp Llll la l Llll😊l 😊llppp la plll Pll😊p L P Llopllp😊llllo Ppl Pl Lllp Pllp la O 😊Ll Ll Lp la l L loop Pl P Ll 😊😊 O O 😊 Pp Pllpl Llppl 😊 all 😊😊 😊 😊l 😊 ? Pl Pole p Kl Pplo la pplp la polisi pll P Pl look p Pop Lllpp koo kl Ppl Ppllp Pl On llllll Ll La Ll Plll P la lpp pop pop plpplpp Pp on all l Lpl Lllplpll La plpplp on la ll la On plplllllppllplplll of llp la llll L L O Plkp pop ppll Llp pool lll lp la look Plllll Lll la l L Llllllpp la l Lpl pool ll la ollllllllpppplpllllll Lllllllllllllllllllllllllplllllllplllllllllllllll Lllll Lllllplllll Lll L la llllllll Lllllllll Lllllllll la Lplplpplllllllllllllllllllllpllllll L Lllllll Llllllll la llll Lllllllll Llll Llll llllllll L Lllpl Lllll la Ll L Ll lllllllllllllllllll L Llllllllllllllll Lllllllllll Llllll Llllll Ll Llllllllpppllllll Llllppllllllllllllllllllllp lp la pllllllllll L Lll Ll la L Llllloplllllll L Lll la llllllll ni llllpllplllllllll la llll La llll Llllll Llllkll ll L Llll L L Ll Lll L L
@RamadhaniMbega10 ай бұрын
@ambokileasheengai114010 ай бұрын
HUYU IMAMU MUNGU AMPE HEKIMA ZAIDI ,,KUFUNDISHA ROHO YA UPENDO NA SI UBAGUZI NI TABIA YA SHWETANI
@askofkibwe610610 ай бұрын
Wanawachuoni wp aina 3 ) 1 dola 2 umma 3 milla
@FATEHEWASAPA10 ай бұрын
Najisikia raha sana kukusikiliza kama tungekua na mashekhe mia kama wewe ingekua rahasana na unampenda sana mtume kunashekhe anaitwa mtoto wa bachu hampendi mtume na ana pingasana mtume asi sifiwe yani kila ukimsikiliza mawaiza ya mtoto wabachu yeye nikulaani maulidi hataki mtume atajwe hatakidogo
@Mcbel33110 ай бұрын
Hakuna ambae hapendi Mtume asifiwe ndugu yangu tatizo ni namna Gani ya kumsifia ,tusijitie pamba masikioni na kufuata maneno ya ushabiki , tatizo la maulidi ni kuwa huo utaratibu haujafundishwa ktk dini umezuliwa , Mtume anatakiwa kusifiwa na kuelezwa historia yake ila kwa namna ambayo imethibiti
@mtindikoja883710 ай бұрын
Sheikh unaingia vizuri kuliko masheikh wote wachama tawala, lakini sifa za Allah usimpe mtume tumpende mtume lakini tusipunguze sifa za Alah
@azizihfarijala530710 ай бұрын
wewe usilete siasa ya vyama ktk dini kila sheikh ana chama chake. ebu acha upuuzi huo kuna nini sisi waislam tuna ujinga sana
@nyanyambuli810110 ай бұрын
Sifa gani ya Allah kupewa mtume(S.A.W)?
@masoudalriyamy629810 ай бұрын
Sheh sio hela ya ramli hiyo kazi yake kupiga ramli mtihani mungu amsameh
@ramxomtum2babu41410 ай бұрын
Tusiwe na dhana sheikh,Allah ndie mjuz zaid
@fahadfaraj647410 ай бұрын
Hata ndege msipande na simu msitumie maana walotengeza ni makafiri , kazi ya hukumu muachieni Mungu maaana huu ujuaji tu ila na nyie kutwa mwakosea
@mafiatv547910 ай бұрын
wewe acha mambo yako ya kihanithi
@mafiatv547910 ай бұрын
wewe mwenyewe msenge tu
@yahyaibrahim473110 ай бұрын
Watu wenge wanaona uislam ni dini ya kishirkna kwa sababu ya sheikh yahaya hussein na mambo yake ya nyota Allah amsameh huwezi juwa Alifanya tauba
@adamaliali220610 ай бұрын
Mpaka sasa maisha yamekupiga maana ni sheikh wa ccm
@kassimabdallahmohamed618010 ай бұрын
Allah akuongoe na uwe mmoja wa miongoni mwa wenyekufaidika na elimu ya sheikh waliid
@HabibuSaid-up5sn10 ай бұрын
Kwaiyo wataka awe Wa chadema mweu ww
@abuahlaam10 ай бұрын
Makhurafi kwa kweli hamjui tawhid Eti tutakwenda kumwambie Mtumeﷺ nini ??? Eti toeni pesa zenu mpeni Mtumeﷺ aaah ???? Huu ni udhaifu mkubwa wa tawhid Sasa ikiwa mashkhe zenu wako hivi je wafuasi wapoje
@shilingi-Ahmadi10 ай бұрын
Wewe hujijui kwani wajua mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam apewa vipi kwani wewe huwezi kutoa kwa mtu yeyote mbali na mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam
@ibrahimsaad61710 ай бұрын
Acha ujinga
@ismailmsangule138010 ай бұрын
Kasome
@user-hx8bh1jt4k10 ай бұрын
We jamaa ni juha kama Abuu jahal...usome uislam vzr utaujua na utahisi ladha ya kumpenda mtume