Wenye magari jamani sio kila anaetaka kuvuka barabara ni mtoto mdogo.. Kuweni makini watu wapo na bebe zao...
Пікірлер: 464
@marcowawaghufa81979 ай бұрын
najiweza kiuchumi, kiserikali na kichawi😂😂😂
@hassanrashid94369 ай бұрын
😂😂😂
@fathiyahmuzney73679 ай бұрын
Mm wa mwisho maana kila mtu wa kwanza utadhan mnalipwa😂😂😂
@shyfettymtunda46199 ай бұрын
Yani huwa nakereka.😬😬
@Mummy4529 ай бұрын
Waviona na ww dada utadhan wanlipwa million 😅😅😅😅😅
@thomascharles85359 ай бұрын
Umeitisxha
@danielbihuzu23659 ай бұрын
Basi wewe ulipwe 😂😂
@fathiyahmuzney73679 ай бұрын
@@danielbihuzu2365 😄😄😄
@musakaphu45819 ай бұрын
Najiweza saana kiuchumi,kiserekali na kiuchawi pia 😂😂
@halimamohamed53279 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BenardIsmail9 ай бұрын
Kakomaaa😂
@frankbujiku94969 ай бұрын
Joti ni mfupi kakutana na wafupi haris wanaukoo wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@erickchitumbi13089 ай бұрын
Wenye magari wengi sana wanazo dharau kwa watu wasiowafahamu
@nancembaga439 ай бұрын
Raha ya joti hana dharau unaigiza na kila mtu na ndomana nyota yako haipoi❤
@dianerditto9 ай бұрын
Hatimae joti kakutana na wafupi yeye ndio mrefu basi hapo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@HassanMohamed-vs4re9 ай бұрын
Naomba like zenu wa kwanza mimi
@beniardajuna25809 ай бұрын
Yaan huyu jamaa ana bahati kuitwa mwanafunzi mmetishaaa fanya nao nyingi zitaendaaaaa saaana
@adandida57279 ай бұрын
Kumbe we braza 😂😂 sijakuanngalia vizuri
@zainabthomas69609 ай бұрын
Jot umezingua unapigwaje na watu wafupi😂😂
@visionstudios68048 ай бұрын
Sijapenda
@fatumasophu58559 ай бұрын
Nimeanza kucheka kablaa jotii jotii jotii❤❤❤
@zeynaaly19489 ай бұрын
🤣🤣 Mr. Mtombagile Kitwango chukua zawadi zako🍇🍇🍍🌶
@paskomilesjohn58929 ай бұрын
Daah anafanana na millad Ayo
@RichardvShengoto18 күн бұрын
Mimi wa kwanza ndo nini acheni ushamba mnalipwa au kila mtu mimi wa kwanza duh😅😅😅
@charlesmwambinga43559 ай бұрын
Najiweza kiuchumi kiserikali na kiuchawi ...Joti Fala sana
@evanssichalwe17169 ай бұрын
Sema mpiga picha kapata tabu sana akizumu hawapati inapidi awapige kwa mbali😅😅😅😅
@barakaelkaaya409 ай бұрын
Mbona Hana chupa ya maziwa??😂😂❤❤❤love sanaa joti
@starjay30529 ай бұрын
anasoma kijijini mjini mbona kama kakomaa 😁😁🤣🤣
@kachabisnea88159 ай бұрын
Dah eti mbona kakomaa hivi anasoma la ngapi😊😅😂😂
@mohamedhamisi97669 ай бұрын
😂😂😂 joti kakutana na kina sele sasa
@blackpanther48259 ай бұрын
Nishai kama harakati za Pimbi kitambo gazeti la Sani. Harakati hazifanikiwi siku zote 😂😂😂
@Boaz229 ай бұрын
Wakwanza hapa,gonga like kama unamkubali joti 😂
@RuniHaruna9 ай бұрын
Joti noma
@shanishani-qv3bc9 ай бұрын
Mbona dar wamekuwa wengi jamani zamani tulikuwa tunawaona kwa harusi mabele wakicheza mziki🤣🤣🤣
@aminatanzanya74759 ай бұрын
Joti 🤣🤣 leo kakutan na rafik zake pamoj n Gari wote wamefanan
@davidnchoji9 ай бұрын
Daah asee noma sana Joti we ni mwehu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@clodoaldusrutakangwa27029 ай бұрын
Leo wa kwanza nipe like zangu🔥💪
@user-vw5gy9mv6r9 ай бұрын
😂😂😂anasoma kijijini au mjini mbon km kakomaa joti fala sanaaa
@lilianalmas59119 ай бұрын
Jotiii never disappoint Bro 😂😂😂😂
@erickmidomsodock87169 ай бұрын
From Japan and I love you YANGA bingwa 😃
@mayaally25129 ай бұрын
Kesho tunawajaza mashine😅😅
@amanchuphichuphi47259 ай бұрын
M pia wa kwanza
@ladislausmoris96384 ай бұрын
Rahaaaaaaa joti unajiamin kiserikali, kiuchum a kiuchawi🔥🔥🔥
@YoungblackPeople-qf7vx9 ай бұрын
Mimi sitaki like mana kila mtu nipeni like zangu kama mme wapa bando
@user-md5cj8wh4x9 ай бұрын
❤ nakupenda San joti
@UmayyaNkya-ze3ri9 ай бұрын
Uwii huyu joti hivi anaitwa baba nan vile🤣🤣🤣🤣
@kitomarijames35079 ай бұрын
Mimi wa Kwanza ila Bado sijaangalia weka like nipate chai nitarudi baadae
@babusharo9 ай бұрын
mambo vp😢😮😮
@salvinhosn39169 ай бұрын
...kiuchumi, kiserikali na kiuchawi....he pulled out the Platinumz banter....😂
@Mgala_jr9 ай бұрын
Et najiweza kiuchumi, kiserikali na kiuchawi 😂😂😂
@rodgersmwagu2399 ай бұрын
Hahaha 😂😂 unyama mwingi joti
@michaelramadhan94669 ай бұрын
Mhubiri 12:1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
@Makala3609 ай бұрын
Katombwe huko ww nn kuma ww mwenzako anachekesha hajamaanisha matako ww
@michaelramadhan94669 ай бұрын
@@Makala360 kwani Mimi nimemtaja jina..? Ukiona mpaka unatukana ujue Kuna shida namna umelelewa kwenu
@Jaydannychawaboy.9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 eti huna wazi weeee naijua hio 😢😢😢😂😂😂😂❤❤❤❤
@rahimally38989 ай бұрын
Kumbe familiaaaa
@idrissaissa56079 ай бұрын
Joti kaya timba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@vediantazvedastus61076 ай бұрын
🤣kumbe familia...najiweza kiuchumi kiuchawi na kiserikal
@salim49199 ай бұрын
Furaha ya mtu mfupi ni kumuona mfupi kuliko Yeye 😂😂😂
@petermanala61385 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimekuelewa
@ozilxhaka24319 ай бұрын
Good Job mr Joti With Your Team
@PaulinaSemindu-ob3de9 ай бұрын
Wa kwanza jot peke yake alietunga hiis story nyie wengine hamjaitwa hd mjitambukishe wa kwanza n kuomba like mm simpi mtu like yangu zaid y jot peke yako mnakera sana
@kanikisomanda5789 ай бұрын
😅😅 mm nakukubali sana mwamba joti ww kiboko Chao, mm na chamq langu tuko pa1 naww
@japhetlust50509 ай бұрын
Hapo kwenye kiuchawi mi 😂😂😂
@jamesndonde9 ай бұрын
Mrishoooooooo blazaa katisha sana nice acting
@GidionKasenene-kc3yx9 ай бұрын
Wakwanza naomba like zangu
@mejoomejoo-vl2vi9 ай бұрын
Joti respect 😂😂
@user-fl7yd2st5b3 ай бұрын
Ila joti kwahy anajiona mrefu yeye😂😂😂😂
@starlonejadamskp82249 ай бұрын
😂😂😂 Never disappoint jotiiii😂😂😂😂😅
@arnhemzuid88859 ай бұрын
Dorris wajua kweli kumbananisha Nishai.😂😂
@bboynickyy9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 uyo mwamba amekomaaa 😂😂😂 mpaka makalio 😂😂😂
@user-im7nb4ld1i9 ай бұрын
Woiii nampenda Sana huyu joti, hajawai kuniacha nisicheke jamani
@alidingongo4439 ай бұрын
Alijua mshikaji kumbe bloo 😂😂😂
@gama_liely9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂daah
@maherzain6159 ай бұрын
Kumbe familia😂😂😂😂
@collinsbella83609 ай бұрын
Kiuchumi, kiserikali na ki uchawi... Ila joti.....😂😂😂😂😂😂
@wadhifatv88279 ай бұрын
😂😂😂😂😂nikecheka asubuhi hii leo nitapata pesa naona mbavu zote zimefunguka
@dullabadeco26819 ай бұрын
Joti noma
@Influvesselstz9 ай бұрын
Nasubiri wale wanaocoment.. "Joti never disappoint" 😂
@user-zb2mj5nd5g9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣nawewe mfukunyuku daaa!
@mathiasshayo63489 ай бұрын
Mi nasubiri wale wanaosema "siku yangu ndo imeisha hivyo sina stress"
@user-lu8gt1bi2g25 күн бұрын
Ety me mwenyew cho mrefu😂😂😂
@user-rk9tu1il5r9 ай бұрын
Nan kasikia watagongwaa😂😂
@harryvice779 ай бұрын
Hahahaha kumbe familia 😂😂😂😂
@Roby_Tz9 ай бұрын
Hahahahaha😂😂😂😂 kak nipe ujuzi
@AloyceMathayo9 ай бұрын
Joti on fire 🔥🔥🔥😂😂😂
@asiri-romy-simba36719 ай бұрын
Chuchumaa mtu anapiga magoti si dharau zingine kusimama tena notatizo😂😂😂😂😂😂
@SalumJumanne-zk8ei9 ай бұрын
Hahahaa mbona ananiangalia hvyo
@farsydickson30739 ай бұрын
Wa kwanza nipeni like
@user-pc2ow8rb8z9 ай бұрын
😂😂 asee Nishai bhana
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm9 ай бұрын
watanzania wanapenda usingzi weee
@muddytv15139 ай бұрын
Wa kwanza na mliotangulia naombeni ushuru
@benOfficial369 ай бұрын
Mtoto😂😂 Ila joti bhana,, Mm sigombanii namba moja wala wa mwisho😂😂 Kikubwa nimeona🎉🎉