NJE YA ULINGO | Mwakinyo afunguka mikasa ya safari yake ya ngumi na alichoteta na Terrence Crawford

  Рет қаралды 19,689

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Bondia Hassan Mwakinyo amezungumzia safari yake ya ngumi huku akitaja mikasa aliyowahi kukutana nayo kwenye safari yake ya ngumi ikiwemo kuwahi kupimwa haja ndogo akihisiwa kutumia dawa za kusisimua misuli.
Mwakinyo pia amefunguka kila kitu jinsi alivyokutana na Bondia wa Marekani, Terrence Crawford na kila kitu walichozungumza na kukubaliana.
Ni kupitia kipindi cha Nje ya Ulingo akiwa na Aidan Mlimila.

Пікірлер: 46
@saidbakari2408
@saidbakari2408 2 ай бұрын
Champion champez Kinyo boe home boe be blessed kaka
@GodfreyNefary-mq5gr
@GodfreyNefary-mq5gr 2 ай бұрын
Hata watu waongee juu ya mwakinyo mabaya yake lakin mee kwangu ndiye bondia bora wa muda wote
@MuhinaCharse-gt7og
@MuhinaCharse-gt7og 2 ай бұрын
Ebana Leo kipindi kimekua kifupi Sana Mana tumepata mtu anaeijua ngumi na kuifatilia kuliko chochote kwenye maisha yake champez mtata mtatuzi mwamba kabisa
@shabanlue7253
@shabanlue7253 2 ай бұрын
Masumbwi🔥🔥🔥
@VisionVibes360-yi3rr
@VisionVibes360-yi3rr 2 ай бұрын
Hakuna bondia ninae mkubalia duniani kama huyu jamaa(champez one time) 💪💪💪
@Basagamp4
@Basagamp4 2 ай бұрын
Sema mwakinyo anajitambua saaana. Binafsi nampenda sana
@ulamaaworiaa8879
@ulamaaworiaa8879 2 ай бұрын
Safi sana champion
@mustafaosman1838
@mustafaosman1838 2 ай бұрын
Caption ❤
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 2 ай бұрын
Champenz one time ❤❤❤
@mohammedramadhan5547
@mohammedramadhan5547 2 ай бұрын
🥊
@JohanesboymsaniiMsanii
@JohanesboymsaniiMsanii 2 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿Naitwa JohanesBoy kishanda nimeachia❤nyimbo mpya ( JohanesBoy kishanda nakupenda official video❤❤❤❤ musicnaomba like zangu za JohanesBoy kishanda video)
@MrishoRajabu-rx8zp
@MrishoRajabu-rx8zp 2 ай бұрын
Aliyekuambia hapa tunatangaza movie nan
@hancykajanjathelimitmusic427
@hancykajanjathelimitmusic427 2 ай бұрын
Huyu ndo namba moja Tanzania
@user-hs9hk7ox3y
@user-hs9hk7ox3y 2 ай бұрын
Mwamba unajuwa sana kaza sana kaka utafkambali sana duniani
@nekashash2190
@nekashash2190 2 ай бұрын
Aidan...Hamis Mwakinyo Boxing Gym... Pro Boxing Player Hassan Mwakinyo Champez...God Bless ndg yangu..
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 2 ай бұрын
Aminiy Mwakinyo Mpekazi Konde boy Iriatambue Apakazi
@AwadhiAlfani-bd5pj
@AwadhiAlfani-bd5pj 2 ай бұрын
washikishe adabu. kaka wakome
@endrewnicolaus3819
@endrewnicolaus3819 2 ай бұрын
🥊🥊🥊🥊🥊🥊
@florinndeki8465
@florinndeki8465 2 ай бұрын
Aisee huyu jamaa ni bondia aliyekamilika sana,ata maneno yake ya shombo ambayo wengine wanamsema hayajaja Kwa bahati mbaya anajua maneno na ngumi ,akiwa ulingoni anabadirika chap kama kinyonga ,tumuache tu kama hatukubali Sanaa yake na ubora alionao"mabondia wengine wa TZ wamuige tu Wala siyo zambi kuiga Kwa anayejua.
@enamo1889
@enamo1889 2 ай бұрын
Isee ,Kweli kabisa broo zilobaki ni jealous tu na ushabiki wa kipinzani
@mliwakhatib9457
@mliwakhatib9457 2 ай бұрын
Mwamba anajua kujieleza na anajua nn anaongea ni mfuatiaji wa ngumi ukiachana nayy kua bondia
@iddbakari7627
@iddbakari7627 2 ай бұрын
Champeezzz
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 2 ай бұрын
Boxing trending
@saidyhusseinarsenal6795
@saidyhusseinarsenal6795 2 ай бұрын
@YusuphIbrahim-yf7jn
@YusuphIbrahim-yf7jn 2 ай бұрын
Maamuz Yako ni muhim zaid
@Jailosmagulu
@Jailosmagulu 2 ай бұрын
Hassani kwenye SOUTHPAW na vile anavyokua ana dance duuh,,anavutia sana kutazama. Kama Terence Bud Crawford vileee
@fj8317
@fj8317 2 ай бұрын
Halafu Crawford ndo role model wake
@user-ul1jm5bo6f
@user-ul1jm5bo6f 2 ай бұрын
Champenz
@kafirsantana8631
@kafirsantana8631 2 ай бұрын
Mdigo kama Mdigo
@WilliamNathan-hm7nk
@WilliamNathan-hm7nk 2 ай бұрын
Champez one time
@mohamedshemshindo2922
@mohamedshemshindo2922 2 ай бұрын
Likes wasena wangu
@mohamediabdalah7650
@mohamediabdalah7650 2 ай бұрын
Kwani kachaguliwa na kamision ya ngumi au kachagua yeyemwenyewe??
@saididuri3518
@saididuri3518 2 ай бұрын
mmeamin km huyu ni aina ya watoto waliolelewa na mama pekee pasipo baba anavoweza kukosa umakin anawezaje kupigana na mtu ambae cyo mpiganaji??
@Salumramadhankitori
@Salumramadhankitori 2 ай бұрын
Wadunde ili wakuheshim
@mohamediabdalah7650
@mohamediabdalah7650 2 ай бұрын
Wenzako huwa hawaongei sana . Wesubiriupigwe uone watuwakucheke, sikuhizi mabondia wa ulaya wanacheza hata na mabondia wa viwango vya chini . , bora kibunda kiingie.
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 2 ай бұрын
Ila huyu jamaa anaongea du.
@user-bn6we3nj6t
@user-bn6we3nj6t 2 ай бұрын
Anajua
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 ай бұрын
Mwakivyo NGUMI BADO. huyo PATRCK ni bindia NYANYA. mapambano mengi kashindwa. Na sio kweli kuwa pambano gumu.uwongo mtupu.
@abduryjumbe7447
@abduryjumbe7447 2 ай бұрын
Weee patrick ni bondia mzuri sana.
@yasiniselemani8672
@yasiniselemani8672 2 ай бұрын
​@@abduryjumbe7447alikuwa mzur zamani kwa Sasa ni nyanya tu Kama alivyo sema huyo huyo jamaa hapo juu
@user-rp1ly4xc8k
@user-rp1ly4xc8k 2 ай бұрын
N​@@abduryjumbe7447 Patrick ni mwepesi wa kukata tamaa Hana uvumilivu kabisa mwakinyo atajipigia tu
@ricklandennis
@ricklandennis 2 ай бұрын
Mwakinyo ngumi bado ww ulietayari mbona hatukujui? Ngumi zimebadilika siku hizi sio kupigana tu ni technic, ona Floyd Mayweather wanamdiss ila anashinda, ni km mpira unaweza ukachagua mfumo wako thn ukaumaster, ona Tank Davis alivyopigana na Ryan Garcia angesema arushiane ngumi angepigwa ila alimwacha ampige huku anavizia body punch alivyoipata ndipo alipomazizia pambano, mwakinyo Yuko sawa ana njia anataka kuipita na nyendo zake sio mbaya
@sports007tv4
@sports007tv4 2 ай бұрын
Nenda kapigane nae ww
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 195 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 9 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
YahStoneTown
Рет қаралды 69 М.
KUTOIDHINISHWA KWA PAMBANO LA MWAKINYO
2:56
Nsc_bmt
Рет қаралды 501
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 259 М.
Узбекский тренер растрогал кыргызстанцев
0:21
Кыргызстан сегодня
Рет қаралды 329 М.
ЖЕСТКО поплатился за мерзкие УДАРЫ❗
0:54