Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200. KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu kzfaq.info/get/bejne/ftV3qqV12c7eo40.html
@happyedson14065 жыл бұрын
Barikiwa mom
@rahmasellemani45637 жыл бұрын
mashaallah
@valentinamussa42126 жыл бұрын
je ukiwa na madeni unaweza kusave kweli
@MegatHomeSwahili6 жыл бұрын
Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.
@shabanchuma78326 жыл бұрын
Mchanganuo nimeupenda
@shedsmicharazo73086 жыл бұрын
Naomba NAMBA zako mwaya
@marizianasumba71107 жыл бұрын
Asante sana dada
@ahdahmed83835 жыл бұрын
Safisana
@aikasolomon77817 жыл бұрын
thank u
@victormkello95756 жыл бұрын
bless
@mussasuleiman.21986 жыл бұрын
Asant dd
@davidphares53166 жыл бұрын
mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet
@MegatHomeSwahili6 жыл бұрын
Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.
@renaldakamugishazeramulake9406 жыл бұрын
David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.
@gloriachristianshirima50016 жыл бұрын
Huko oman unafanya nn usirud kama unapokea laki 3'bora urudi
@fofomohammed62536 жыл бұрын
David Phares Mimi pia tupo sawa kwenye majukumu
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
MmmmTz hakuna kazi za mshahara laki 3? Mbona unatuma aibu ndg yangu.
@shabanmahamud92156 жыл бұрын
nice
@RED-kr5vc5 жыл бұрын
viti vinacheza au vinaitikia? sijaelewa
@jerryjuma13392 жыл бұрын
namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee
@nyanzalakaporo25047 жыл бұрын
SAFI SANA NIME KUELEWA SANA.
@sylvanussebastian62096 жыл бұрын
Ccta hiyo njia ya tano inanihusu na ya pili
@misckkoba72246 жыл бұрын
Sylvanus Sebastian bigup sis asante kwa elimu bora
@jastinnyatano40496 жыл бұрын
Sijapoteza muda kukusikiliza
@MegatHomeSwahili6 жыл бұрын
+Jastin Nyatano Nafurahi kusikia hivyo 😊
@faridahussein3505 жыл бұрын
Je unawezaje kulipa madeni na wakati huohuo ukaweka akiba, na bado familia inakutegema wewe?
@MegatHomeSwahili5 жыл бұрын
Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.
@josephatjohn21256 жыл бұрын
samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?
@MegatHomeSwahili6 жыл бұрын
+Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.
@hamisa34476 жыл бұрын
ndugu jitahidi uku unaweka akiba uku unafanya kitu maana ata mie nilikuwa naweka ila likaja tatizo yote ikaishaa yaan nusu weka nusu tumia
@jerryjuma13392 жыл бұрын
namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee