No video

NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm Tz

  Рет қаралды 2,085,293

Aloyce Goden Kipangula

Aloyce Goden Kipangula

Күн бұрын

Nyimbo Hizi Zote zimetungwa na Mimi Aloyce Goden Kipangula na Kuimbwa na Wanakwaya wakatoliki Parokia ya Chang'ombe Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam ( CHANGOMBE CATHOLIC SINGERS). Ni wajibu wa kila Mbatizwa kuhubiri Injili kwa kadiri ya Karama aliyopewa na Mwenyezi Mungu. Nasi tumekuletea Nyimbo Hizi zenye Tafakari ya kina ili zikufae wewe na Yeyote ambaye utapenda kumshirikisha ili kwa Pamoja kupitia Nyimbo Hizi za Kwaresma Tuweze KUWAPELEKA WATU KWA KRISTO NA PIA KUMLETA KRISTO KWA WATU ( KUTAKATIFUZA MALIMWENGU). NI Nyimbo za Kwaresma lakini pia zinafaa Kuimbwa wakati wowote kwani Katika tungo hizo Hakuna Sehemu hata Moja ambayo nimezungumzia neno Kwaresma Bali nimezungumzia kuhusu umuhimu wa kutubu, kuacha Dhambi, kumgeukia Kristo, kumtegemea Kristo huku Tukiiga mfano wa Mtakatifu Agustino Hippo, Kurudi na kuacha njia ya Dhambi na kufuata njia ya Uzima.

Пікірлер: 779
@nayoomisweya6890
@nayoomisweya6890 3 жыл бұрын
Hizi nyimbo ni nzuri sana, zinanigusa mimi sio mkatoliki lakini ninazipenda na zinagusa maisha yangu sana, Ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo hizi! Mungu azidi kukubariki ili uguse maisha ya watu wengi... AMEN
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Asante Sana Mpendwa Katika Kristo Endelea kutufuatilia, na kwa Neema ya Mungu tutaendelea kukuletea Nyimbo Nyingine
@wencegeorge9872
@wencegeorge9872 3 жыл бұрын
Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri.
@anthonyjosephat4624
@anthonyjosephat4624 3 жыл бұрын
Asant San ubarick saw
@everlynenato5466
@everlynenato5466 2 жыл бұрын
P
@lizziembwambo1271
@lizziembwambo1271 2 жыл бұрын
@@AloyceKipangula sweet songs Mie sabato ila nazfulahia saan nabalikiwa n navutw zaid especially wakat wa unyonge na nkihc ulemevuu wa dhambi
@tutisalim2280
@tutisalim2280 3 жыл бұрын
Jaman mi ni muislam lkn naguswa sana na nyimbo za baraka sana
@godliversumuni3077
@godliversumuni3077 2 жыл бұрын
Ur welcome dear
@eunicewaswa1256
@eunicewaswa1256 Жыл бұрын
Amen welcome dear
@imakulataemmanuel
@imakulataemmanuel Жыл бұрын
Amina
@barakaekuro
@barakaekuro Жыл бұрын
Mungu wetu ni mmoja... kuna kaswida pia nishawahi kuzisikia nikazipenda
@geoffreywairimu4485
@geoffreywairimu4485 Жыл бұрын
Waislamu na wakatoliki tuko sambamba
@user-kb8ry8ew1k
@user-kb8ry8ew1k 2 ай бұрын
Nakuomba ndugu kipangula nipelekee ushsuli wangu kwa jimbo kuu la dar es salaam naomba kama lile kanisa jipya. Litalochua nafasi ya st Joseph liiwe na sehemu itakayo wekwa picha za wale wote waliotunga tuzi bora yaani tokea ukatoliki upoingia tanzania 🇹🇿 ili vizazi vyetu vitambue michango ya wazee wao mungu hawabariki watuzi maana injili inasambaa kweli kweli amen 🙏
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 ай бұрын
😂😂😂
@samuelochieng4317
@samuelochieng4317 Жыл бұрын
Catholic from Christ The King Opanga Catholic Church of Rongo Parish,Homa Bay Diocese in Kenya. The Kwaresma album and Nyimbo za Mama Maria albums are so spiritual to listen to. Blessed be the composers and singers,in a special way you are preaching to generations. May Rais Magufuli's soul continue Resting in Eternal Peace.It is during his state burial functions that I came to know about the Kwaresma Songs by Changombe Choir.Every moment I listen ,the funeral memory flows in my mind 😭. May he rip as he sing and dances with angels till we meet again. "Ee Bwana Unifaadhili Mimi.." was the hit that drew me to look for the song kwa KZfaq
@victoriousmakundi4771
@victoriousmakundi4771 Жыл бұрын
Lccft
@adelinusacleus4237
@adelinusacleus4237 Жыл бұрын
Keep it up
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 Жыл бұрын
Baraka tele nyimbo tamu sana full of glory be blessed choir
@graceandrew3988
@graceandrew3988 5 ай бұрын
Ee Bwana Unifadhili is my best song too in this album❤
@franmdleleni6520
@franmdleleni6520 5 ай бұрын
I love this compilation of Chang'ombe choir. I will check out thd Homabay one also. Be blessed for feeling our hearts with such soothing songs. Listening from SA
@cokolakasisi9211
@cokolakasisi9211 3 жыл бұрын
Nasikiya kujazwa na huu nyimbo nimekosa unihurumiye bila huruma ya Mungu hakuna maisha kwa mwanadamu tupo sote binafsi mimi ni mwenye zambi Bwana anihurumie
@angelinembondo
@angelinembondo Жыл бұрын
Mimi sio mkatoleki lakini zanibariki sana
@trztrzjb306
@trztrzjb306 4 ай бұрын
Che bella!!!
@LeahPetersalamalohoni
@LeahPetersalamalohoni 3 ай бұрын
Wimbo mzuri sana yesu krito alihulumie na anisamehe zambi Angu amina
@metrinenasimiyu7588
@metrinenasimiyu7588 3 жыл бұрын
ikiwa jumatano ya majivu,tunaanza msimu was Kwaeresma ,hivo basi nyimbo zako zinatukumbusha kumrudia Mungu wetu kwa kutubu na kuacha nia zetu mbaya ,Nabarikiwa sana nikiwa huku Kenya
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Amina
@kakeileelias4235
@kakeileelias4235 3 жыл бұрын
Amena
@peninagilbert1042
@peninagilbert1042 2 жыл бұрын
Amen
@luischoma-ww7db
@luischoma-ww7db 5 ай бұрын
s❤❤
@gema-pg4of
@gema-pg4of 5 ай бұрын
​@@AloyceKipangulalm. t
@kwayabikiramariamamawashau2448
@kwayabikiramariamamawashau2448 3 жыл бұрын
HONGERA NA ASANTE KWA NYIMBO NZURI ZA TAFAKARI YA KINA HASA KATIKA KIPINDI HIKI KIZURI CHA KWARESMA. IKAWE KWETU YA MAFANIKIO MAKUBWA KIROHO NA KIMWILI PIA
@yudakalinga3697
@yudakalinga3697 3 жыл бұрын
Nakukubari sana kaka kazi zako nzuri
@sylviashiundu382
@sylviashiundu382 5 ай бұрын
Nimerudi hapa kuskiza tena nyimbo nzuri za kwaresma.....hongera bwana Aloyce kwà kazi nzuri,,,Mungu atuongoze kwa kipindi kinachotusubiri hivi karibuni
@chrispinuswanjala7922
@chrispinuswanjala7922 Жыл бұрын
I come from Christ the king Cathedral Bungoma, Bungoma diocese (western Kenya).All the best bro
@holycrossfamilyministriest9448
@holycrossfamilyministriest9448 Жыл бұрын
Mungu atusamehe makosa yetu na kuzibariki familia zetu
@sophiesophie6452
@sophiesophie6452 2 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu kunifanyizia nafasi wakati wa shida mwanangu ulmponya waziimu sina chakukulipa Bali nitaendelea kukutukuza
@hermenegildamtei1483
@hermenegildamtei1483 5 ай бұрын
1k😊😊
@rachelmwachofi9687
@rachelmwachofi9687 5 ай бұрын
Mungu aishiye milele atuhurumie na atusamehe dhambi zetu sisi wakosefu na atujaze roho wake mtakatifu katika kipindi hiki cha kwaresma
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
🙏
@aminashariff9942
@aminashariff9942 3 жыл бұрын
Asante sana mimi ni ni muislamu lakini napenda s⛪ana hizo nyimbo na napenda ukristo
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
ASANTE NDUGU AMINA SHARIFF TUMEUFURAHIA UJUMBE WAKO. NA SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA HIVYO NAKUKARIBISHA ENDELEA KUTUFUATILIA KUPITIA CHANELL YETU YENYE JINA ALOYCE GOLDEN KIPANGULA- ILI KUPATA NYIMBO ZOTE CHA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.
@everinrobert6539
@everinrobert6539 5 ай бұрын
Karibu jmn
@winfridandunguru5834
@winfridandunguru5834 5 ай бұрын
Karibu sana kanisan kwetu la katoliki.
@matildanyallu7063
@matildanyallu7063 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kutumia vema karama ya uimbaji katika uinjilishaji. Hakika nabarikiwa na nyimbo hizi
@sheysarahnjeno5207
@sheysarahnjeno5207 Жыл бұрын
Nihurumie Nimekosa BABA..Nihurumie..Mie ni dhehebu tofaut na Romani Catholic ila Nimeguswa na nyimbo..hizi.kilala kher kwa kwaresma hii...MUNGU Awaongoze
@StephenOkumu-uh4fg
@StephenOkumu-uh4fg 5 ай бұрын
God bless
@marywambura9377
@marywambura9377 2 жыл бұрын
My favourite lent songs collection of all time 🙏🏾🙏🏾😘👏🏾👏🏾
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@user-ci5dh8zc7m
@user-ci5dh8zc7m 5 ай бұрын
Am a catholic by faith.The Lenten songs are so inspiring.More please.God bless.
@EuniceAkyoo-wd2ro
@EuniceAkyoo-wd2ro 5 ай бұрын
Napendaa sana🙏🏿naomba mnisaidie nataka kudownload niandike vip hili kupata zotee
@noramshila889
@noramshila889 Жыл бұрын
Mimi kila wakati haipiti siku kama sijasikiliza hizi nyimbo na kurudia mara kadhaa... Mungu Ambariki kwaya hiyi. Sauti zimepangwa vilivyo
@rehemapima769
@rehemapima769 3 жыл бұрын
Nimekooosaa nimekoosaaa nimekoosa baba nimekosa nihurumieee😭🤲🤦🙏
@richardmuema619
@richardmuema619 5 ай бұрын
Mungu atujalie neema zake kipindi hiki cha kwaresma tunapotubu na kumrudia
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
Amina. Asante Richard
@alicemuia1775
@alicemuia1775 Жыл бұрын
And today marks beginning of another Kwaresma, May God help us
@salmasalometitus2139
@salmasalometitus2139 3 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana hakuna mwanadamu ambaye anaweza jitoa kufa kwaajili yetu ila Yesu tu .
@yohanahussen
@yohanahussen Жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kutenga muda wenu na kumuimbia Mungu hakika tunaobarikiwa ni wengi kupitia nyimbo zenu na kutumbusha mambo muhimu ya kumtafuta "Mungu"
@user-jb2gl3jb7w
@user-jb2gl3jb7w 5 ай бұрын
blessed again with this songs🙏on ash wednesday on 2024
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
🙏
@user-lg5fz9mu7z
@user-lg5fz9mu7z 5 ай бұрын
I like your Lenten songs, very inspiring.
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
🙏
@robinsontheone4317
@robinsontheone4317 2 жыл бұрын
We really need to walk with God and lead us in the way to heaven and live happily life in paradise. Dear lord we have done many sins now its our turn to pay you for good cause you have been with us all the time you don't care if we does wrong I love you God help me out of this sin and Forgive us all Help the world
@marthajoseph3297
@marthajoseph3297 2 жыл бұрын
napenda nyimbo za injili sana za imani zote ili mradi zina utukufu wa MUNGU.
@briannakendrick1346
@briannakendrick1346 3 жыл бұрын
Mimi sio mkatoriki lakini nimebarikiwa sana na hizi nyimbo Ee bwana unifadhili mimi🙏
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Asante Sana Ndugu Mpendwa Brianna kendrick Naomba Endelea kutufuatilia Ili kupata Zaidi nyingine
@hillaryfranciscokasigara9407
@hillaryfranciscokasigara9407 3 жыл бұрын
Amina hongera na Mungu akubariki saana
@lydiakubingwa3180
@lydiakubingwa3180 3 жыл бұрын
Hongera Kaka kwa kuhubiri injili ya kupitia uiimbaji, tunafarijika na nyimbo zako hasa katika kipindi hiki cha kwaresma, Asante
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Asante Dada Endelea kutufuatilia kupitia hii youtube channel Yetu Ili uinjilike Zaidi
@tilda1297
@tilda1297 Жыл бұрын
Mpendwa Tuti Salim, Mungu akuimarishe katika ufuatiliaji wa nyimbo uzionazo ni za Baraka kwako
@annaauyo1958
@annaauyo1958 3 жыл бұрын
😭😭😭😭.tutubu na tumrudie Mungu.i just feel relaxed when ever I hear this songs
@consolatamoses5601
@consolatamoses5601 5 ай бұрын
Kiukweli ukiutafakari ukuu wa Mungu ndani yake lazima utoe 😭😭😭😭😭😭
@user-tf7ip2ol5t
@user-tf7ip2ol5t 5 ай бұрын
Pamoja sana ktk.kipindi hili cha kwalezima tumrudie na tufanye toba ya kweli
@sarahwekesa3117
@sarahwekesa3117 5 ай бұрын
Touching songs, mungu tuhurumie na utusamehe makosa yetu..
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
Amina. Asante Sarah endelea kutuombea Ili Roho Mtakatifu ezidi kutupatia mapaji yake tuendelee kutunga nyimbo kwa sifa na utukufu wake
@user-sx9dv9tp3y
@user-sx9dv9tp3y 5 ай бұрын
Listening to this songs so touching in Riyadh be blessed Mr aloyce
@gideons5265
@gideons5265 3 жыл бұрын
Naomba nikupongeze mkuu. Nyimbo zako zinagusa sana yaani nasikiliza huku natoa machozi. Japokuwa mimi sio Catholic ila sinaga shida na madhehebu kwa kweli nashukuru wema wa Yesu juu yangu kunitoa pepo la dhehebu
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Tumshukuru Mungu kwa Yote anayoyatenda kwetu
@rosesimon4630
@rosesimon4630 3 жыл бұрын
Siri ya injili channel hongera sana umekomaa kiimani
@gideons5265
@gideons5265 3 жыл бұрын
Amina Rose Simon Ubarikiwe
@rosesimon4630
@rosesimon4630 3 жыл бұрын
Amen
@anthonyjosephat4624
@anthonyjosephat4624 2 жыл бұрын
One pwenty
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 ай бұрын
Mungu tunakushukuru kwa kwaresma hii. Tembea nasi katika safari hii ya toba. Tunaomba utusemehe makosa yote tuliyokukusea tukijua na bila kujua. Upendo wako uwe nasi milele Amina❤❤❤
@pianamodu9501
@pianamodu9501 5 ай бұрын
Asante sana kwa nyimbo nzuri nabarikiwa sana ninaposikiliza
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
Asante Sana Piana
@AristidesAdorath
@AristidesAdorath 5 ай бұрын
Tufunge na kusali kwa roho na kweli bwana atapokea sala zetu huku tukitafakari nyimbo za kwaresma
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
Asante Aristides kwa Ujumbe.
@kimaugymnast
@kimaugymnast Жыл бұрын
And again here is Lent. Tumshukuru Mungu!
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Kaka Aloyce kwa karama hii ya Uimbaji. Hakika nimefarijika sanaa leo na haya Majonzi ya kuondokewa na Baba yetu JPM😭😭😭💔
@lwanjiedna5233
@lwanjiedna5233 3 жыл бұрын
Nazipenda hizi nyimbo mimi mlokole mpentecoste.nyimbo hizi nzuri zimeimbwa kwa utulivu na ni neno la MUNGU.Mbarikiwe sana kazi nzuri Changombe katolic
@marcmathewmuyala1937
@marcmathewmuyala1937 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo zenye ujumbe tukufu
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@kipropmesh592
@kipropmesh592 3 жыл бұрын
Oh Lord give us a chance, we are sinners and we live in earth full of sinners, lead and guide all of us to follow your steps lord🙏🙏🙏❤️
@user-ym6jf8zo7j
@user-ym6jf8zo7j 5 ай бұрын
Ee Bwana unfanifhili mimi 💖 💓 ❤️ 💕 ♥️
@emmanuelmutua8514
@emmanuelmutua8514 3 жыл бұрын
Feeling blessed by your songs. Hongera sana na mungu aibariki kazi ya mikono yenu 🇰🇪🇰🇪
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Amina
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 Жыл бұрын
Napenda kusikiliza hizinyimbo wakatoli 🙏
@ludoviclymo2044
@ludoviclymo2044 Жыл бұрын
Naguswa sana nikizisikia hizinyimbo.mungu aniurumie
@franciskaranja5871
@franciskaranja5871 3 жыл бұрын
The songs really brings one's close to God since it has inspirational messages
@ramasirro770
@ramasirro770 2 жыл бұрын
Katika hii album wimbo Ee bwana unifadhili huwa nanyenyekea mno nikiusikiliza yaani daah nimeutafuta kwa muda sana kumbe ni kazi ya Chang'ombe Catholic Singers ubarikiwa sana Aloyce Golden..
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
Asante Ndugu Ramadhan sirro. Uzidi kutuombea Ili tuendelee kuinjilisha Pamoja
@devothasamora8012
@devothasamora8012 3 жыл бұрын
Nyimbo ina hisia sana hii,Mungu azidi kuwabariki waimbaji
@vveronicamakori2297
@vveronicamakori2297 3 жыл бұрын
Best songs that always help us to remember seeking mercy since we're sinners. Amen be blessed bro
@oliveraivan3923
@oliveraivan3923 3 жыл бұрын
Nc ww W2
@teresiakokii4168
@teresiakokii4168 2 жыл бұрын
am down on my knees wen i listen this song "nimekosa" nice mix
@herthaheart6714
@herthaheart6714 3 жыл бұрын
May this songs be our hope and joy on this season of returning to our God
@twiga196
@twiga196 2 жыл бұрын
Xuy66y66 I i
@user-gu3hv3pr3u
@user-gu3hv3pr3u 5 ай бұрын
Mie sichoki kuzisikiliza yani zinanifariji Sana na haya maisha yangu abarikiwe sana
@Deo412
@Deo412 3 жыл бұрын
My spirit has been raised to another level, thanks for the blessing songs
@gabrielmassawe4750
@gabrielmassawe4750 2 жыл бұрын
Lakini
@AnnMakhoka-zl4ko
@AnnMakhoka-zl4ko Жыл бұрын
Nice song l'm not a cotholic but song teach me something
@gastokibabas2871
@gastokibabas2871 Жыл бұрын
Mungu akubariki kwakutumia Karama vema aliyokupa mungu
@jacklinamatias9230
@jacklinamatias9230 Жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼hakika nyimbo zimenigusa zaidi
@christinemaero3245
@christinemaero3245 Жыл бұрын
God my Father indeed I have sinned,,,,,, have mercy on me
@anitabizimana8175
@anitabizimana8175 3 жыл бұрын
asante ndungu, nyimbo hizi za nishirikisha vizuri ndani ya hizi siku za kwaresima ni kiwa kwangu nyumbani. kwani hatupendi kanisani
@irenejunechiriikenyangal254
@irenejunechiriikenyangal254 Жыл бұрын
Thanks for uploading 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula Жыл бұрын
Amen
@irenejunechiriikenyangal254
@irenejunechiriikenyangal254 Жыл бұрын
@@AloyceKipangula Amen 🙏
@getrudecharles444
@getrudecharles444 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa kazi nzur.
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
Asante Sana
@zainabucherotich7417
@zainabucherotich7417 2 жыл бұрын
Hizi Ngoma ni poa sna,huigusa ndani ya roho yngu,nkiwa mkatholiki tangu utoto mwangu na maombi yangu kwamba Mungu aendelee kunineemesha na kunibariki Ili niendelee kuwa mkatholiki daima na familiar yangu!
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 3 жыл бұрын
Nyimbo zuri zenye utulifu katika maisha hii ya ulimwengu Mungu awazidishie
@PeterBureta
@PeterBureta 5 ай бұрын
Hongera sna umependa kitu Kitakatifu and you are close and near by Jesus cross .
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 3 ай бұрын
Nimefiwa na mwanafunzi wangu mwenzenu,naombeni faraja zenu😭😭Nipo hapa nalia mwenzenu hasa kila ninapousikiliza wimbo wa kwanza,"lakini hata sasa,nirudieni mimi"😭😭😭😭😭 Mimi ni muislam by the way
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 ай бұрын
Pole Sana kwa Kufiwa Mwenyezi Mungu akupe Faraja katika kipindi ambacho ni Kigumu
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 3 ай бұрын
@@AloyceKipangula Ameen!🙏
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Жыл бұрын
Nyimbo na sauti nzuri sana mbarikiwe
@ngurukihoro5442
@ngurukihoro5442 Жыл бұрын
Tumurundieni Mungu kwa mioyo yetu yote maana yeye ni mwenye huruma nyingi.
@realheartomary2972
@realheartomary2972 2 жыл бұрын
My god pls be with this year 2022🙏🙏🙏🙏
@mariamjames5462
@mariamjames5462 Жыл бұрын
Nyimbo nzur mno za kwalesma zinafundisha vizuri mno
@ronaldmuinamia4157
@ronaldmuinamia4157 3 жыл бұрын
Songs for reconciliation
@petrosombe7315
@petrosombe7315 2 жыл бұрын
Eeeee mwenyenz mungu tuandalie sisi na makosa yetu sisi wenyewe tumeshindwa kuona na kutambua tunaomba utupe macho ya roho
@charlesndugulile7726
@charlesndugulile7726 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana, ninapokua ktk wakt mugumu, nyimbo zako hunifariji sana, ubalikiwe Mr Aloyce
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
MUNGU ATUBARIKI SOTE
@RoseNyangacha
@RoseNyangacha 5 ай бұрын
Nirudieni Mimi unanigusa sana Roho yangu mbarikiwe sana kama Mimi mkatoliki hasa huu wakati wa lent
@Eliza_Kuria
@Eliza_Kuria 2 жыл бұрын
Mtunzi bora, waimbaji bora. Asante sana kwa hizi nyimbo. Zanifariji sana✨
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@LeahPetersalamalohoni
@LeahPetersalamalohoni 3 ай бұрын
Nyimbo nzuri😢sana mwimbaji mungu azidi kukupa uelewa za idi 🎉
@user-fj6jy4lb2f
@user-fj6jy4lb2f 5 ай бұрын
Mungu ulie mwingi wa Rehema tuomba Huruma yako sisi tulio wakosefu katika kipindi hiki cha kwaresma ili kubadili njia zetu na kukufata wewe
@raelakiru6291
@raelakiru6291 5 ай бұрын
Aminah
@angelinanicora
@angelinanicora 4 ай бұрын
Congratulations!! 🙏🙏And thanks a lot for boosting our love in God through this song prayer🙏🙏👏
@onesmonyati3355
@onesmonyati3355 3 жыл бұрын
Daa nashindwa cha kusema Mungu akubariki zinanifariji nyimbo zako kaka Na kazini kwangu watu mbalimbali huniuliza hizi nyimbo
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Tumshukuru MUNGU
@noramkendamunishi6902
@noramkendamunishi6902 Жыл бұрын
Mungu naomba wabariki watumishi wako waliotunga kuimba na kutupatia hizi nyimbo.
@user-sm7gj4mn5n
@user-sm7gj4mn5n 5 ай бұрын
Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri
@mariamulupatu-wl3qb
@mariamulupatu-wl3qb Жыл бұрын
Napenda sana nyimbo hz pia nabarikiwa sana
@user-jn1tg8et3z
@user-jn1tg8et3z 4 ай бұрын
Mungu utuhurumie sisi pamoja na familia zetu
@fatherchisomoinspiration
@fatherchisomoinspiration 2 жыл бұрын
Mungu awabariki nyinyi wote! Muwe na kwaresma njema mkitubu dhambi zenu na mkisikiliza nyimbo hizi mzuri!
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
Asante Sana Fr Chisomo. Tunatarajia kuwaletea Nyimbo za Pasaka
@dativavernance7111
@dativavernance7111 Жыл бұрын
Asante mungu kwa siku nyingine na mwaka mwingine naomba baba unijalie afya njema na neno lako likae kwa wingi noyoni mwangu 🙏 kolosai 3:16_17
@francismbithi582
@francismbithi582 3 жыл бұрын
asante sana ndugu kwa nyimbo zenye tafakari ya Kwaresma
@getrudabenedict-fp5yd
@getrudabenedict-fp5yd Жыл бұрын
Mungu aturehemu sisi na dunia nzima
@hellenmartin6684
@hellenmartin6684 Жыл бұрын
Asant mungu kwa kunijalia uzima walinde nde na hawa wanaotupatia injili kwa njia yanyimbo mbalimbali ili tusikusahau wewe mungu 。
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula Жыл бұрын
Asante Sana. Hellen Martin
@shariphasalum4111
@shariphasalum4111 5 ай бұрын
Mimi ni Muislam Bibi na Babu kwa pande zote, baba yangu mzazi ni ostadh haswaa Ila hizi nyimbo zinanifariji Sana nazipenda kwa asie muelew ANAWEZA jua nimebadili Ila zinaniingia Sana moyon mwangu nazipenda sana naimani hata wakristo baadhi ya Qwasida zetu wanazipenda...MUNGU NI WETU SOTE NA NI 1
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
Asante Sana Sharifa salum tuendelee endelea Kusikiliza hizo nyimbo Kwani anatukupenda sana na kupitia nyimbo hizi anaongea nasi kwa Namna mbalimbali Hasa kupitia nyimbo hizi. Endelea Kufuatilia Acaunt yangu KZfaq kwa jina la Aloyce Kipangula Ili upate nyimbo zote nilizoweka Mtandaoni 🙏
@DianaEliasy-ue6ld
@DianaEliasy-ue6ld 5 ай бұрын
Ubarikiwa sana 🙏🙏
@aminarajab1045
@aminarajab1045 5 ай бұрын
Jamani nakumbuka tz kwaresma nyimbo zina sisimua sana
@NDESHILO
@NDESHILO 3 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sanaa 🙏🙏🙏
@robertmuinde8673
@robertmuinde8673 Жыл бұрын
Can listen all day long. Love the sweet songs. Congrats Kipangula.
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula Жыл бұрын
🙏
@puritykarimi8058
@puritykarimi8058 Жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa nyimbo hizi.
@shadrachsanga2140
@shadrachsanga2140 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri zenye ubora kama huu
@ChristinaClement-ef2vc
@ChristinaClement-ef2vc 9 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana tutubuni jamani turudi kwa bwana tutengeneze njia ya kwenda kwa baba😍🙏🙏🙏
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 9 ай бұрын
Amina
@user-vn2qj5hf1v
@user-vn2qj5hf1v 5 ай бұрын
Namshukuru mungu kwa neema na rehema zake kwa toba hii kupitia nyimbo nzuri
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 5 ай бұрын
Amina
@christinefaila6591
@christinefaila6591 Жыл бұрын
Watoto wa mama Maria mubarikiwe sana kwa nyimbo ♥️🙏
@neemajuma1015
@neemajuma1015 Жыл бұрын
Kwakwer naipenda njimbo hiiiii
@beatricemuchini7019
@beatricemuchini7019 2 жыл бұрын
So inspiring and really touching my heart.
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@mwangebulongo
@mwangebulongo 5 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana i love the songs ho🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✅
@FortuneMlela
@FortuneMlela 4 ай бұрын
Kaka Aloyce,wimbo wa nne unanikumbusha kuwa mlango wa uruma ya MUNGU huu wazi,Kwa Nini siukaribii,,,,
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 4 ай бұрын
Tumshukuru Mungu kwa Yote
@KelvinKasuga-ij7lg
@KelvinKasuga-ij7lg Ай бұрын
M balikiwe wote mnao sikiliza hizi nyimbo nzuri
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula Ай бұрын
Amina. Tunaomba uwatumie na wengine Ili wasikilize
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН